KIswahili Schemes F4 Final.indd

Transcription

KIswahili Schemes F4 Final.indd
Kiswahili,
Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili
Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
SHABAHA
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Kusikiliza na
kuzungumza
Utu ni bora kuliko mali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya utu.
• kufafanua maadili na mafunzo katika
somo.
• kujadili kwa ufasaha mada waliyopewa.
• Maelezo na
ufafanuzi
• Mjadala
• Maswali na majibu
• Ufahamu na
kusikiliza
• Masimulizi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 1
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 1-3
• Magazeti au
majarida
2
Fasihi
Fasihi yetu: Chimbuko
na sifa bainifu za fasihi
simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza chimbuko la fasihi simulizi.
• kufafanua sifa bainifu za fasihi simulizi.
• Majadiliano katika
makundi
• Ufaraguzi
• Maelezo na
ufafanuzi
• Maswali na majibu
• Kazi mradi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 1-3
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 3-4
• Vielelezo vya sifa
bainifu za fasihi
simulizi
• Vielezo vya vipera
vya fasihi simulizi
• Kanda za sauti na
video kuhusu fasihi
simulizi
3
Ufahamu
Ndio msingi wa mangi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma shairi kwa ufasaha.
• kukariri shairi kwa mahadhi.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kufafanua ujumbe wa shairi.
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 3-4
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 4-5
• Vielelezo
vya maadili
yanayohimizwa na
shairi
• Vibonzo vya watu
wanaotukanana
• Wanafunzi wenyewe
JUMA 1
1
286
Kuigiza
Usomaji
Utatuzi wa mambo
Tajriba
Uchunguzi kifani
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
SHABAHA
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Sarufi
Upatanisho wa kisarufi
• kueleza matumizi ya lugha.
• kuzingatia mafunzo ya shairi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na manufaa ya
upatanisho wa kisarufi.
• kukamilisha sentensi ili kuleta
upatanisho wa kisarufi.
• kugeuza sentensi za wingi ziwe kwa
umoja na za umoja ziwe kwa wingi.
• kusahihisha makosa katika sentensi.
• kutunga sentensi zenye upatanisho wa
kisarufi.
• Tajriba
• Maswali na majibu
• Mifano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 4-8
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 5-7
• Vielelezo
• Majedwali
• Vitu halisi
5-6
Fasihi
Tamthilia: Kifo kisimani
– Utangulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutaja na kugusia yaliyomo katika
tamthilia.
•
•
•
•
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
• Kifo kisimani
Ufasaha wa lugha
Lugha ya simu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za lugha ya simu.
• kutumia sifa za lugha ya simu katika
utendaji.
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
KcM 4, uk. 8-9
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Uigizaji
MwM 4, uk. 7-8
• Vielelezo vya
mazungumzo ya simu
• Wanafunzi wenyewe
• Vibonzo
JUMA 1
4
JUMA 2
1
287
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 2
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
KcM 4, uk. 9-10
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Uchunguzi
MwM 4, uk. 8
Kazi ya vikundi
• Mikusanyo ya
mashairi ya arudhi au
jadi
• Chati ya mashairi ya
arudhi
• Kanda za sauti au
video kutoka KIE
2
Fasihi teule
Chimbuko la mashairi ya
arudhi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza chimbuko la mashairi ya arudhi.
• kupambamua sifa za mashairi ya arudhi.
• kuhakiki shairi la arudhi.
•
•
•
•
•
3
Utunzi
Barua ya kirafiki
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza kanuni za uandishi wa barua ya
kirafiki.
• kubainisha muundo wa barua ya kirafiki.
• kuandika barua ya kirafiki kwa usahihi.
• Mifano halisi ya barua • Kiswahili Fasaha,
za kirafiki
KcM 4, uk. 10
• Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
• Maswali na majibu
MwM 4, uk. 8-9
• Maelezo na ufafanuzi • Vielelezo vya barua za
• Kuandika
kirafiki
4
Kusikiliza na
kuzungumza
Ujirani mwema baina ya
nchi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusimulia hadithi.
• kujibu maswali kwa sauti na ufasaha.
• kueleza maana ya maneno na misemo.
• kuzingatia mafunzo katika hadithi.
•
•
•
•
5
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua vitushi mbalimbali katika
tamthilia.
• Kusoma
• Kuandika
• Maelezo
288
Masimulizi
Maelezo
Tajriba
Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 11
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 9-12
• Ramani
• Kadi za hoja
• Mikusanyo
magazetini
• Kifo kisimani –
Onyesho la Kwanza
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
SHABAHA
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Fasihi
Chimbuko na sifa bainifu
za fasihi andishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza asili na maendeleo ya fasihi
andishi.
• kufafanua sifa zinazobainisha fasihi
andishi.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• Mjadala
• Maswali na majibu
• Uvumbuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 11-12
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 12-13
• Vielelezo
• Vitabu vya fasihi
andishi
• Chati ya sifa bainifu
za fasihi andishi
1
Ufahamu
Kutegea kazi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kukariri shairi.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kufafanua matumizi ya lugha.
• kueleza ujumbe wa shairi.
• kuzingatia mafunzo.
•
•
•
•
Kuigiza
Usomaji
Utatuzi wa mambo
Uchunguzi kifani
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 13-14
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 13-14
• Mabango
• Magazeti
• Picha au michoro
2
Sarufi
Umoja na wingi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha maumbo ya maneno katika
umoja na wingi.
• kugeuza sentensi katika umoja na wingi.
• kueleza mabadiliko ya viambishi vya
ngeli na upatanisho wa kisarufi katika
umoja na wingi.
•
•
•
•
Mifano
Maelezo
Ufaraguzi
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 15-17
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 14-15
• Chati ya viambishi
vya ngeli
• Vielelezo
• Majedwali
• Ubao
3
Fasihi teule
Chimbuko la mashairi huru Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua wakati na sababu za
kuchipuka kwa mashairi huru.
• kupambanua pingamizi dhidi ya
mashairi huru.
• kutoa maoni kuhusu mgogoro wa
mashairi wa jadi na huru.
•
•
•
•
•
Dayolojia
Maelezo
Utafiti
Tajriba
Mifano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 19-20
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 16-17
• Mikusanyo ya
mashairi huru
• Picha za washairi wa
kimapinduzi
• Ramani
JUMA 3
JUMA 2
6
289
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 4
JUMA 3
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
4
Utunzi
Mchezo wa kuigiza:
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
Njia za kufufua na
aweze:
kuendeleza viwanda nchini • kuandika mchezo wa kuigiza kwa
kuzingatia kanuni za utunzi wake.
• kubainisha njia za kufufua na
kuendeleza viwanda nchini.
• kutumia alama za uakifishaji ipasavyo.
•
•
•
•
•
Maigizo
Kazi mradi
Vikundi
Utatuzi wa mambo
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 20
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk.17-18
• Uandishi wa insha
• Waalikwa
• Makala magazetini
• Picha za
viwanda na watu
waliosimamishwa
kazi
5
Ufasaha wa lugha
Muhtasari
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua umuhimu wa muhtasari.
• kueleza mambo muhimu ya kuzingatia
katika ufupisho.
• kuandika muhtasari wa taarifa kwa
usahihi.
• Maswali na majibu
• Majadiliano
• Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 18
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 15-16
• Kazi za hoja
• Vielelezo vya
ufupisho
• Vidokezo ubaoni
6
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuelezea mchezo katika onyesho la pili.
•
•
•
•
• Kifo kisimani –
Onyesho la Pili
1
Kusikiliza na
kuzumgumza
Imla:
Kukonda kupita kiasi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusikiliza na kuandika taarifa kwa
usahihi.
• kufafanua ujumbe
• kueleza matumizi ya alama za
uakifishaji.
• kuzingatia mafunzo ya ujumbe.
•
•
•
•
290
Kusoma
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Mifano
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
KcM 4, uk. 21
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Ufahamu wa
MwM 4, uk. 18-19
kusikiliza
• Mikusanyo ya picha
• Imla
magazetini na habari
kuhusu watu
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 4
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
2
Fasihi yetu
Methali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupambanua chanzo cha methali.
• kufafanua matumizi ya methali.
• kutumia methali katika mazungumzo.
•
•
•
•
Utafiti
Mifano
Kazi mradi
Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 21-22
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 19-20
• Waalikwa
• Mikusanyo ya methali
• Miktadha ya
matumizi
3
Ufahamu
Vyama vya ushirika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa sauti na kimya.
• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
• kueleza maana za maneno na methali.
• kueleza hasara na manufaa ya vyama vya
ushirika.
•
•
•
•
Usomaji
Maelezo
Utatuzi wa mambo
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 22-25
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 20-21
• Mikusanyo kuhusu
vyama vya ushirika
4
Sarufi
Nomino
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuanisha nomino na kutoa mifano ya
aina za nomino.
• kutumia nomino katika sentensi.
•
•
•
•
Tajriba
Mifano
Mashindano
Upambanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 25-27
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 21-22
• Mabango ya vyama
vya ushirika
• Vielelezo ubaoni
5
Ufasaha wa lugha
Uakifishaji
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha alama za uakifishaji.
• kuafisha maandishi.
• Mifano
• Kiswahili Fasaha,
• Maelezo na ufafanuzi
KcM 4, uk. 27-29
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 22-23
• Kanda za sauti na
video
• Chati ya alama za
uakifishaji
• Vielelezo
291
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
6
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mtiririko wa onyesho la tatu
kwa muhtasari.
•
•
•
•
Uchunguzi
Kusoma
Kujadili
Kuandika
• Kifo kisimani
– Onyesho la Tatu
1
Fasihi teule
Fani katika mashairi ya
arudhi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na umuhimu wa fani
katika mashairi ya arudhi.
• kufafanua muundo, mtindo, wahusika
na matumizi ya lugha ya mashairi ya
arudhi.
•
•
•
•
•
Udadisi
Uchunguzi
Mifano
Maswali na majibu
Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 29-32
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 23-24
• Mikusanyo ya
mashairi ya arudhi
• Vielelezo
• Chati za miundo na
mpangilio wa vina na
mizani
2
Utunzi
Insha ya methali
• kuchambua fani katika mashairi ya
arudhi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya methali.
• kufafanua muundo wa insha za methali.
• kupambanua sifa za insha za methali.
• kuandika insha ya methali.
•
•
•
•
Masimulizi
Uchunguzi
Mifano
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 32
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 24-25
• Tarasha
• Vielelezo
• Mazingira halisi
3
Kusikiliza na
kuzungumza
Haki za wafanyakazi
viwandani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubadilisha mawazo kwa njia ya
majadiliano.
• kusikiliza kwa makini na kutekeleza.
• kueleza haki za wafanyakazi.
•
•
•
•
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Uchunguzi na udadisi
KcM 4, uk. 33
Utatuzi wa mambo
• Kiswahili Fasaha,
Makundi
MwM 4, uk. 25-27
• Picha, michoro na
vibonzo
• Taarifa kutoka redio,
runinga na mtandao
• Makala ya gazeti
JUMA 5
JUMA 4
KIPINDI
292
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
4
Fasihi yetu
Misemo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya misemo na umuhimu
wake.
• kutoa mifano ya misemo na kuitumia
katika sentensi kimantiki na kisarufi.
• Mashindano
• Kiswahili Fasaha,
• Majadialiano katika
KcM 4, uk. 33-34
makundi
• Kiswahili Fasaha,
• Maelezo na ufafanuzi
MwM 4, uk. 27-28
• Maswali na majibu
• Jedwali la misemo na
maana zake
• Vielelezo vya misemo
5
Ufahamu
Mfinyanzi hulia gaeni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha na usahihi.
• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
• kueleza maana ya maneno kama
yalivyotumika katika taarifa.
• kuzingatia mafunzo na maadili katika
taarifa.
•
•
•
•
•
Kusoma
Maswali na majibu
Mjadala
Utafiti
Ufaraguzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 35-37
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 28-29
• Magazeti na majarida
• Taarifa kutoka redio,
runinga na mtandao
• Picha na michoro
6
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza yaliyomo katika onyesho la nne
na tano.
• kueleza matumizi ya lugha katika
onyesho la nne na tano.
•
•
•
•
Kusoma
Kujadiliana
Kuandika
Kuhakiki
• Kifo kisimani –
Onyesho la Nne na
Tano
1
Sarufi
Vitenzi:
Mzizi na viambishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza dhana ya mzizi na viambishi
katika vitenzi.
• kubainisha mzizi na viambishi awali na
tamati katika vitenzi.
• Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
• Maswali na majibu
KcM 4, uk. 37-40
• Majadiliano katika
• Kiswahili Fasaha,
vikundi
MwM 4, uk. 29-31
• Tajriba
• Jedwali la kubainisha
mzizi na viambishi
katika vitenzi
• Kamusi ya Kiswahili
Sanifu
• Vielelezo vya
maumbo ya vitenzi
JUMA 5
JUMA 6
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
293
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 6
KIPINDI
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
MADA KUU
MADA NDOGO
2
Ufasaha wa lugha
Matumizi ya maneno
maalumu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na kubainisha matumizi
sahihi ya maneno maalumu.
• kutunga sentensi kwa kutumia maneno
maalumu.
• kusahihisha matumizi mabaya ya
maneno maalumu.
• Maelezo na ufafanuzi
• Majadiliano katika
makundi
• Tajriba
• Maswali na majibu
• Mifano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 40-43
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 31
• Magazeti na majarida
• Vielelezo vya sentensi
zenye maneno
maalumu
3
Fasihi teule
Fani katika mashairi huru
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na umuhimu wa fani.
• kufafanua fani katika mashairi huru.
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 43-46
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 31-33
• Vielelezo
• Chati ya vipengele vya
fani
• Mikusanyo ya
mashairi huru
4
Utunzi
Insha ya mazungumzo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza insha ya mazungumzo.
• kufafanua muundo wa insha ya
mazungumzo.
• kuandika insha ya mazungumzo.
• Maelezo na ufafanuzi
• Majadiliano
• Ufaraguzi wa
mazungumzo
• Tajriba
• Maswali na majibu
• Kuandika
5
Kusikiliza na
kuzungumza
Mjadala –
Umoja wa Afrika hauna
faida
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuendesha mjadala darasani.
• kujadili hoja muhimu kwa ufasaha na
mantiki.
• kuzingatia mitindo ya kujadili.
• Mjadala
• Kiswahili Fasaha,
• Maelezo na ufafanuzi
KcM 4, uk. 47
• Kazi ya vikundi
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 33-34
• Ramani
• Picha
• Mikusanyo ya makala
SHABAHA
294
Udadisi
Uchunguzi
Mifano
Maswali na majibu
Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 46
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 33
• Mazingira ya
wanafunzi
• Wanafunzi wenyewe
• Mikusanyo ya insha
za mazungumzo
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mtiririko wa onyesho la sita na
yaliyomo katika onyesho hili.
•
•
•
•
1
Fasihi yetu
Mafumbo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutoa maana ya mafumbo.
• kueleza sifa bainifu za mafumbo.
• kupambanua dhima ya mafumbo.
• kutoa mifano ya mafumbo.
• kufumbua mafumbo.
• Ufumbuzi wa
mafumbo
• Uvumbuzi huria
• Michezo ya lugha
• Maelezo ya ufafanuzi
• Mifano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 47-49
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 34-35
• Chati za mafumbo
• Wanafunzi wenyewe
• Kadi za mafumbo
• Vielelezo
2
Ufahamu
Historia ya Umoja wa
Afrika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma maandishi kwa ufasaha.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
• kueleza maana za maneno.
• kuzingatia mafunzo.
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 49-51
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 35-36
• Ramani
• Picha za viongozi
• Magazeti na majarida
• Waalikwa
• Tarakimu, grafu na
chati
3
Sarufi
Aina za vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
• Maelezo
aweze:
• Mifano
• kueleza maana ya vitenzi.
• Tajriba
• kubainisha vitenzi katika sentensi.
• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
vikuu, visaidizi, vishirikishi, vishirikishivipungufu na vitenzi sambamba.
295
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Uhakiki
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
6
JUMA 7
JUMA 6
KIPINDI
Usomaji
Maswali na majibu
Mahojiano
Utafiti
• Kifo kisimani –
Onyesho la Sita
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 51-54
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 36-38
• Mandhari ya shule
• Chati ya aina za
vitenzi na mifano
yake
• Vielelezo
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 8
JUMA 7
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 55-56
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 38-39
• Ripoti magazetini
• Chati
• Historia ya Kiswahili
(OUP)
• Picha na michoro
• Ramani
4
Ufasaha wa lugha
Muhtasari: Kiswahili baada Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
ya uhuru
aweze:
• kufupisha taarifa kuambatana na
maagizo.
• kueleza maendeleo ya Kiswahili tangu
Kenya ipate uhuru.
• kubainisha matatizo yanayoikabili lugha
ya Kiswahili na ustawi wake.
•
•
•
•
Kuandika
Kufupisha
Utatuzi wa mambo
Mahojiano
5
Fasihi teule
Maudhui katika mashairi ya Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
arudhi
aweze:
• kueleza maana ya maudhui.
• kupambanua hatua za kupata maudhui.
• kusoma shairi na kujibu maswali ya
ufahamu.
• kufafanua maudhui ya shairi la arudhi.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Mifano
KcM 4, uk. 57-58
Ugunduzi
• Kiswahili Fasaha,
Makundi
MwM 4, uk. 39-40
Uhakiki
• Mikusanyo ya visa vya
udhalimu magazetini
• Mikusanyo ya
mashairi ya arudhi
6
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mtiririko wa onyesho la saba
na kudondoa matukio makuu katika
onyesho hilo.
•
•
•
•
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Uhakiki
• Kifo kisimani –
Onyesho la Saba
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Unene wa kupindukia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza hoja kwa mantiki na ufasaha.
• kujadili chanzo na madhara ya unene wa
kupindukia.
• kupendekeza hatua za kukabiliana na
unene wa kupindukia.
•
•
•
•
•
Mjadala
Makundi
Maelezo
Maswali na majibu
Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 59
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 41-43
• Makala
• Picha na michoro
• Wanafunzi
296
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 8
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
2
Fasihi yetu
Lakabu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya lakabu.
• kufafanua sifa za lakabu.
• kutoa mifano na kufafanua maana za
lakabu katika vitabu vya fasihi.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Usomaji
Maswali na majibu
Tajriba
Utafiti
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 59-60
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 43-44
• Vielelezo
• Wanafunzi
3
Ufahamu
Usafiri wa umma siku hizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma ufahamu wa ufasaha.
• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
• kueleza ujumbe wa taarifa.
• kueleza maana za maneno.
•
•
•
•
•
Maelezo
Usomaji
Maswali na majibu
Tajriba
Utafiti
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 60-63
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 44-45
• Picha na michoro
• Mazingira ya
wanafunzi
4
Sarufi
Viwakilishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya viwakilishi.
• kuanisha viwakilishi mbalimbali na
mifano yake.
• kufafanua matumizi ya viwakilishi.
• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia
viwakilishi.
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
KcM 4, uk. 63-66
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
MwM 4, uk. 45-46
• Majedwali
• Maandishi kutoka
magazeti na vitabu
5
Ufasaha wa lugha
Muhtasari: Manufaa ya taka Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha na ufahamu.
• kudondoa hoja kuu kutoka katika
taarifa.
• kueleza hoja kwa muhtasari bila
kupoteza au kubadili maana.
• kujibu maswali ya ufupisho kwa usahihi
kulingana na vidokezo.
•
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Kutoa mifano
Maswali na majibu
Kusoma
Kuandika
297
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 66-67
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 46
• Wanafunzi wenyewe
• Kielelezo cha hatua za
kufupisha habari
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
6
Fasihi teule
Mafunzo na tathmini
katika mashairi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuonyesha mambo muhimu ya
kushughulikiwa katika tathmini ya
ushairi.
• kufafanua hatua za kupitia wakati wa
kujibu maswali ya mashairi.
• kujibu maswali ya ushairi kwa usahihi.
• kueleza mafundisho katika ushairi.
•
•
•
•
•
Majadiliano
Makundi
Utendaji
Maswali na majibu
Maelezo na
ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 68-70
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 46-48
• Kanda za sauti au
video
• Vielelezo
• Mashairi kutoka
vitabu mbalimbali
1
Utunzi
Mashairi ya arudhi na
huru
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutunga mashairi ya arudhi na
huru kwa kuzingatia utunzi wao na
maudhui waliyopewa.
•
•
•
•
Maelezo
Tajriba
Utafiti
Utungaji wa kisanii
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 71-72
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 48-49
• Vielelezo
• Mikusanyo ya
mashairi
• Makala toka
magazeti
2
Kusikiliza na
kuzungumza
Mawazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha.
• kusikiliza kwa makini.
• kujadili hoja kwa ufasaha.
•
•
•
•
Maelezo
Mdahalo
Maigizo
Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 73-74
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 49-50
• Vielelezo
• Wanafunzi
• Waalikwa
• Vibonzo
JUMA 8
JUMA 9
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
298
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Fasihi yetu
Misimu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza misimu.
• kueleza sababu ya misimu kuchipuka.
• kufafanua sifa za misimu.
• kutoa mifano na maana za misimu.
•
•
•
•
Mifano
Ufaraguzi
Utafiti
Maelezo na
ufafanuzi
• Michezo ya lugha
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 74-76
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 50-52
• Kamusi ya Sheng
• Kanda za sauti na
video
• Idhaa mbalimbali za
redio
• Mikusanyo ya
misimu
• Magazeti, hasa ya
udaku
4
Ufahamu
Barua wazi kwa
Mkurugenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa makini.
• kupambanua sifa za barua rasmi.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kueleza matumizi ya lugha.
• Ugunduzi wa
kuongozwa
• Maswali na majibu
• Utafiti
• Tajriba
• Usomaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 77-78
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 52-53
• Magazeti
• Vielelezo vya barua
rasmi
5
Sarufi
Vivumishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza vivumishi.
• kuanisha vivumishi.
• kutoa mifano ya vivumishi.
• kubainisha maumbo ya vivumishi.
• kutumia vivumishi katika sentensi
kwa usahihi.
• Maelezo na
ufafanuzi
• Utafiti
• Mifano
• Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 79-81
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 53-54
• Chati za vivumishi
• Maandishi
mbalimbali
6
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuelezea mtiririko wa onyesho la
nane.
• kutambua matukio makuu katika
onyesho la nane.
•
•
•
•
• Kifo kisimani –
Onyesho la Nane
JUMA 9
3
299
Kusoma
Kujadiliana
Kuandika
Uhakiki
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 10
KIPINDI
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
MADA KUU
MADA NDOGO
1
Ufasaha wa lugha
Muhtasari:
Wajibu wa Kiswahili
kitaifa na kimataifa 1
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.
• kufafanua wajibu wa Kiswahili.
• kueleza maenezi ya lugha ya
Kiswahili.
•
•
•
•
•
•
Kufupisha
Utafiti
Majadiliano
Kazi mradi
Usomaji
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 82-83
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 54-55
• Ramani
• Magazeti
• Redio na mdahilishi
• Vielelezo
2
Utunzi
Barua rasmi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuandika kwa usahihi akizingatia
muundo, maudhui na hatua za barua
rasmi.
•
•
•
•
•
Mifano
Maelezo
Majadiliano
Uchunguzi
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 85-86
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 56-58
• Vielelezo
• Chati
• Mikusanyo
3
Kusikiliza na
kuzungumza
Mjadala
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutetea hoja kikamilifu.
• kuwasilisha hoja kwa kuzingatia
kanuni za kuendesha midahalo.
• kuzungumza kwa ufasaha na usahihi.
•
•
•
•
Ufafanuzi
Mjadala
Tajriba
Utendaji au uigizaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 87
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 58-60
• Makala
• Kanda za sauti
• Wanafunzi
4
Fasihi yetu
Ngano
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya ngano.
• kufafanua muundo na umuhimu wa
ngano.
• kuanisha ngano.
• kuhakiki ngano.
• Maelezo na
ufafanuzi
• Masimulizi
• Majadiliano
• Maswali na majibu
• Makundi
• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 87-89
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 60-63
• Chati za muundo,
aina na umuhimu
wa ngano
• Kanda za sauti
kutoka KIE
• Vielelezo
SHABAHA
300
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
MADA KUU
MADA NDOGO
SHABAHA
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
5
Ufahamu
Ubakaji
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha.
• kubainisha maudhui au ujumbe wa
taarifa.
• kueleza maana ya msamiati.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• Usomaji
• Majadiliano
• Maelezo na
ufafanuzi
• Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 90-92
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 63-64
• Picha na michoro
• Magazeti
na majarida
yanayogusia ubakaji
6
Sarufi
Viunganishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya neno viunganishi.
• kubainisha viunganishi vya asili ya
Kibantu na vya kukopwa.
• kufafanua sifa na dhima za
viunganishi.
• kutunga sentensi kwa kutumia
viunganishi kwa usahihi.
• Maelezo na
ufafanuzi
• Maswali na majibu
• Majadiliano
• Mashindano
• Makundi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 92-94
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 64-66
• Majedwali
• Vielelezo
1
Ufasaha wa lugha
Wasifu na tawasifu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya wasifu na tawasifu.
• kueleza umuhimu wa wasifu na
tawasifu.
• kutoa mifano ya wasifu na tawasifu.
• kufafanua mafunzo kutokana na
mifano ya wasifu na tawasifu.
• Maelezo na
ufafanuzi
• Tajriba na mifano
• Maswali na majibu
• Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 95-96
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 66-69
• Vielelezo vya wasifu
na tawasifu
• Kanda za sauti au
video zenye mada
hii
• Picha na michoro
2
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mtiririko wa onyesho la tisa.
• Kusoma
• Kujadiliana
• Uchambuzi
• Kifo kisimani –
Onyesho la Tisa
JUMA 11
JUMA 10
KIPINDI
301
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Utunzi
Insha ya wasifu na
tawasifu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza muundo na hatua za kuandika
insha za wasifu na tawasifu.
• kuandika insha za wasifu na tawasifu
kwa usahihi.
•
•
•
•
•
Uchunguzi
Mifano
Tajriba
Maswali na majibu
Maelezo na
ufafanuzi
• Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 98
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 70
• Vielelezo vya insha
za wasifu na tawasifu
• Magazeti na
majarida yenye
wasifu au tawasifu
• Kanda za sauti au
video juu ya maisha
ya watu maarufu
4
Kusikiliza na
kuzungumza
Mkutano Mkuu wa
Mwaka
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusikiliza kwa makini.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kueleza shughuli za mkutano na
umuhimu wake.
•
•
•
•
Mjadala
Makundi
Mifano
Maelezo na
ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 99-101
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 70-71
• Mikusanyo ya
kumbukumbu
• Ripoti za mikutano
magazetini
• Vielelezo
5
Fasihi yetu
Miviga
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza miviga.
• kufafanua dhima ya miviga.
• kueleza sifa za miviga.
• kutoa mifano ya miviga.
•
•
•
•
•
Mifano
Tajriba
Utafiti
Maigizo
Maelezo na
ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 101-102
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 71-72
• Mikusanyo ya miviga
• Mwalikwa
• Kanda za sauti
• Picha za sherehe
JUMA 11
3
302
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
6
Ufahamu
Kitengo cha ukimwi
chazinduliwa
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa makini.
• kueleza hali ya wahasiriwa wa ukimwi
katika mazingira ya kazini.
• kufafanua maana za maneno.
• kujibu maswali kwa usahihi.
•
•
•
•
Ufaraguzi
Utatuzi wa mambo
Maswali na majibu
Usomaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 102-104
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 72-73
• Picha za maeneo
• Ripoti za visa vya
maonevu kazini
• Tarakimu za
wahasiriwa wa
ukimwi
• Magazeti na
majarida
• Kanda za video
1
Sarufi
Vielezi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya vielezi.
• kuainisha vielezi vya mahali na idadi.
• kutumia vielezi kutungia sentensi.
•
•
•
•
Tajriba
Kazi mradi
Masimulizi
Uigizaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 104-106
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 73-74
• Mabango
• Ramani
• Mandhari katika
ujirani wa shule
2
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mtiririko katika onyesho la
kumi.
•
•
•
•
Kusoma
Kujadiliana
Kuandika
Uchambuzi
• Kifo kisimani –
Onyesho la Kumi
3
Ufasaha wa lugha
Muhtasari:
Wajibu wa Kiswahili
kitaifa na kimataifa 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.
• kufafanua wajibu wa Kiswahili.
• kueleza ufundishaji wa Kiswahili
katika vyuo vikuu.
• kupima matumizi ya Kiswahili katika
vyombo vya habari.
•
•
•
•
•
•
Maswali na majibu
Usomaji
Kuandika
Maelezo
Majadiliano
Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 106-107
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 74
• Magazeti
• Mdahilishi
• Redio
• Vielelezo
• Historia ya
Kiswahili (OUP)
JUMA 11
JUMA 12
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
303
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
4
Utunzi
Kumbukumbu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuandika insha ya kumbukumbu kwa
usahihi akizingatia mbinu za uandishi
wake.
•
•
•
•
•
Utatuzi wa mambo
Tajriba
Ufaraguzi
Mazungumzo
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 110
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 75-76
• Vielelezo
• Ubao
• Mikusanyo
5
Fasihi yetu
Mighani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mighani.
• kuonyesha sifa za mighani.
• kufafanua sifa za mighani kuhusu
Nyerere.
• kusimulia mighani.
•
•
•
•
•
Maswali na majibu
Maelezo na ufafanuzi
Tajriba
Majadiliano
Masimulizi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 111-114
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 79-80
• Vielelezo vya
mighani
• Magazeti, majarida
na makala toka
kwenye wavuti
yenye mighani
• Wanafunzi wenyewe
6
Ufahamu
Mwacha mila
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa makini na ufasaha.
• kutoa maoni kuhusu mila ya kuzika
maiti ‘kwao’.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
• kueleza maana za maneno.
• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
•
•
•
•
•
•
Mjadala
Maswali na majibu
Mifano
Usomaji
Tajriba
Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 114-116
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 79-80
• Vielelezo
• Mikusanyo ya visa
magazetini
1
Mtihani na
kusahihisha
Marudio na mazoezi ya
stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Karatasi za mitihani
• Kalamu
JUMA 12
JUMA 13
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
304
HAKIUZWI
MAONI
Yatumiwe na Kiswahili
Fasaha
Kiswahili,
Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Pili
JUMA 1
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
1
Sarufi
Vihusishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya vihusishi.
• kufafanua dhima ya vihusishi.
• kubainisha aina za vihusishi.
• kutumia vihusishi katika sentensi kwa
usahihi.
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
KcM 4, uk. 116-118
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
MwM 4, uk. 80-81
• Majedwali
• Vielelezo
• Mikusanyo ya sentensi
zenye vihusishi
2
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mbinu mbalimbali za lugha
ambazo zimetumika.
•
•
•
•
Kujadiliana
Kuandika
Kusoma
Uchambuzi
3
Ufasaha wa lugha
Uundaji wa maneno
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sababu za lugha kuendelea
kuunda maneno kila wakati.
• kutaja mifano ya maneno ambayo
yamezuka katika nyanja mbalimbali
kutokana na maendeleo ya jamii.
• kueleza mojawapo ya njia ambazo
hutumiwa katika kuunda maneno.
• kufafanua namna maneno
yanavyotumiwa kuunda maneno
mengine.
• kutoa maneno yaliyoundwa kutokana
na mengine katika sentensi kwa
usahihi.
•
•
•
•
•
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Majadiliano
KcM 4, uk. 118-120
Mifano
• Kiswahili Fasaha,
Majibu na maswali
MwM 4, uk. 81-83
Maelezo na ufafanuzi • Chati ya aina za
maneno
• Vielelezo
vya maneno
yaliyoundwa
kutokana na
mengine
• Makala yenye
maandishi
305
• Kifo kisimani
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
JUMA 1
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Fasihi teule
Fani katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma hadithi fupi.
• kupambanua vipengele vya fani.
• kuchambua fani katika mkusanyo wa
hadithi fupi.
• kujibu maswali kwa usahihi.
•
•
•
•
•
•
•
Tajriba
Maswali
Uhakiki
Kazi mradi
Udadisi
Usomaji
Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 120-123
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 83-84
• Mandhari halisi
• Chati ya vipengele
vya fani
• Kitabu kiteule cha
hadithi fupi (Mayai
Waziri wa Maradhi)
6
Utunzi
Uandishi wa matangazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza matangazo.
• kueleza umuhimu wa matangazo.
• kubainisha aina za matangazo.
• kuandika matangazo.
•
•
•
•
•
Tajriba
Maswali na majibu
Uchunguzi
Makundi
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 123-124
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 84-85
• Mabango
• Mdahilishi, runinga,
redio
• Picha magazetini
• Mandhari halisi
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Hotuba:
Balozi wa Umoja wa
Mataifa juu ya mazingira
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusikiliza kwa makini.
• kufafanua ujumbe wa hotuba kwa
ufasaha.
• kueleza matatizo ya uharibifu wa
mazingira na ufumbuzi wake.
• kueleza maana za maneno.
• kupambanua mchango wa vijana
katika kuhifadhi mazingira.
•
•
•
•
•
•
Mdahalo
Maigizo
Makundi
Utatuzi wa mambo
Kazi mradi
Kuhutubu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 125-126
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 85-86
• Mabango
• Mdahilishi, runinga
video na redio
• Picha magazetini
• Mandhari halisi
4-5
JUMA 2
MADA KUU
306
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 2
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
2
Fasihi yetu
Ulumbi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza ulumbi.
• kueleza majukumu ya walumbi.
• kupambanua sifa za ulumbi.
• kutoa mifano ya walumbi.
•
•
•
•
Mifano
Utazamaji
Uchunguzi kifani
Maelezo na
ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 127-128
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 86-87
• Kanda za sauti
• Picha
• Waalikwa
3
Ufahamu
Haki za watoto na
wanawake
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha na makini.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
• kueleza maana za maneno na methali.
• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
•
•
•
•
Ufaraguzi
Maelezo
Maswali na majibu
Mahojiano na
majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 128-130
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 87-88
• Vibonzo
• Waalikwa
• Vyombo vya habari
• Makala
• Kamusi
4
Sarufi
Vihisishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza vihisishi.
• kuanisha vihisishi.
• kutoa mifano ya vihisishi katika
Kiswahili.
• kutumia vihisishi katika maandishi na
mazungumzo.
•
•
•
•
Maigizo
Utafiti
Mifano
Masimulizi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 130-133
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 88-89
• Kanda za sauti au
video
• Mikusanyo ya
vihisishi
• Mazungumzo
kwenye runinga au
redio
307
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 3
JUMA 2
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
5
Ufasaha wa lugha
Mwingiliano wa aina za
maneno
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha dhana ya mwingiliano wa
maneno.
• kutambulisha aina za maneno.
• kutunga sentensi kudhihirisha
mwingiliano wa maneno mbalimbali.
• Mifano
• Utafiti
• Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 130-133
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 89-90
• Kadi za maneno
• Jedwali la aina za
maneno
• Mandhari ya
wanafunzi
6
Fasihi teule
Fani katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya fani.
• kubainisha mambo muhimu katika
fani.
• kufafanua umuhimu wa fani.
• kuhakiki riwaya teule kifani.
• Maelezo na
ufafanuzi
• Maswali na majibu
• Uchambuzi
• Majadiliano
• Makundi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 107-110
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 75
• Riwaya teule
• Chati
• Kanda za sauti
kutoka KIE
1
Fasihi teule
Maudhui katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maudhui na dhamira.
• kupambanua hatua na vigezo vya
kupata maudhui.
• kufafanua maudhui ya riwaya teule.
•
•
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 135-136
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 90
• Kanda za sauti
kutoka KIE
• Riwaya teule
• Picha za watu, vitu,
hali na mandhari
mbalimbali
308
Majadiliano
Makundi
Maswali na majibu
Tajriba
Ugunduzi
Utafiti
Uhakiki
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Utunzi
Uandishi wa hotuba:
Kenya tuitakayo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya hotuba.
• kufafanua sifa za hotuba.
• kueleza muundo wa hotuba na hatua
za kuiandika.
• kuandika hotuba.
• kuzingatia ujumbe katika hotuba.
• Maigizo ya hotuba
• Kiswahili Fasaha,
• Muundo wa hotuba
KcM 4, uk. 136
• Jinsi ya kuandika
• Kiswahili Fasaha,
hotuba
MwM 4, uk. 90-92
• Ujumbe katika hotuba • Vielelezo vya hotuba
• Ufahamu wa kusikiliza
mbalimbali
• Magazeti na
majarida ya hotuba
• Picha za mandhari
kutoka nchi
mbalimbali
3
Kusikiliza na
kuzungumza
Mahojiano:
Jopo la waajiri
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za mahojiano katika jopo
la waajiri.
• kuendesha mahojiano ya jopo la
waajiri kwa usahihi.
• kuandika insha ya mahojiano ya kazi.
•
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Maigizo
Ufaraguzi
Mahojiano
Majadiliano
Tajriba
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 137-138
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 92-93
• Vielelezo
vya maswali
yanayoulizwa na
jopo
• Wanafunzi wenyewe
4
Fasihi yetu
Soga
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya soga.
• kufafanua sifa za soga.
• kubainisha mafunzo katika soga
• kutoa mfano wa soga.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Maigizo
Ufaraguzi
Maswali na majibu
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 138-139
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 93-94
• Vielelezo vya soga
mbalimbali
• Jedwali
• Kanda za sauti
JUMA 3
2
309
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 3
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
5
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuzitambua mbinu na fani mbalimbali
za lugha zilizotumika katika tamthilia.
•
•
•
•
Kujadiliana
Kusoma
Kuandika
Uchambuzi
6
Ufahamu
Kazi mbi si mchezo
mwema
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma ufahamu kwa ufasaha.
• kueleza yaliyomo katika taarifa.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kueleza maana za maneno na vifungu.
• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Usomaji
KcM 4, uk. 140-142
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
Majadiliano
MwM 4, uk. 94-96
Tajriba
• Picha na michoro
• Makala ya magazeti
• Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
Sarufi
Vijenzi vya sentensi 1
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha vijenzi vya sentensi.
• kutunga sentensi ili kudhihirisha
vijenzi maalumu.
• kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi
ambavyo vinashughulikiwa.
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Uchunguzi
KcM 4, uk. 142-146
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
MwM 4, uk. 96-97
• Vielelezo vya vijenzi
vya sentensi
• Mikusanyo ya
maandishi, kama
vitabu viteule,
magazeti na kamusi
Ufasaha wa lugha
Dayolojia:
Uwajibikaji wa viongozi
waliochaguliwa
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kuigiza dayolojia kwa
ufasaha.
• kujibu maswali kutokana na dayolojia
kwa usahihi.
• kuandika dayolojia nyingine kama
walivyoelekezwa kwa usahihi.
•
•
•
•
•
Uigizaji
• Kiswahili Fasaha,
Makundi
KcM 4, uk. 146-148
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 4, uk. 97-98
Maswali na majibu
• Wanafunzi wenyewe
• Vielelezo vya
dayolojia
JUMA 4
1-2
3
310
• Kifo kisimani
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA NDOGO
JUMA 5
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
KcM 4, uk. 148-150
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Ugunduzi wa
MwM 4, uk. 98-99
kuongozwa
• Kitabu kiteule cha
• Uhakiki
hadithi fupi
• Kanda za uhakiki
kutoka KIE
Fasihi teule
Maudhui katika hadithi
fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya maudhui.
• kueleza vigezo vya kuzingatia katika
uchambuzi wa maudhui.
• kufafanua maudhui ya hadithi
mbalimbali katika mkusanyo teule wa
hadithi fupi.
•
•
•
•
5-6
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutambua maudhui yanayoendelezwa
katika tamthilia.
•
•
•
•
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Uchambuzi
• Kifo kisimani
1
Utunzi
Mahojiano
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua muundo wa mahojiano.
• kuandika insha ya mahojiano kwa
usahihi.
•
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Kuandika
Mahojiano
Kuigiza
Mifano
Maswali na majibu
Makundi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 150
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 99-100
2
Kusikiliza na
kuzungumza
Wavuti
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutumia wavuti ipasavyo.
• kuendesha majadiliano kutokana na
ujumbe katika wavuti kwa ufahasa.
• kuzingatia ujumbe katika wavuti.
•
•
•
•
Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
KcM 4, uk. 151
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 4, uk. 100-101
• Wavuti
• Ramani
• Picha kutoka
magazeti
JUMA 4
4
MADA KUU
311
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
SHABAHA
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Fasihi yetu
Malumbano ya utani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuchunguza mifano ya malumbano ya
utani.
• kupambanua aina za utani.
• kueleza matumizi ya lugha katika
malumbano ya utani.
• kufafanua dhima ya malumbano ya
utani.
•
•
•
•
•
Uchunguzi kifani
Mifano
Tajriba
Maswali na majibu
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 151-153
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 101
• Kanda za sauti
• Mikusanyo ya
malumbano ya utani
• Ripoti za utafiti
kuhusu utani
4
Ufahamu
Taarifa ya wavuti kuhusu
ajira ya watoto
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa makini.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
• kueleza maana za maneno.
• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
• Tajriba
• Uchunguzi kifani
• Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 153-155
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 101-103
• Wavuti
• Picha katika
magazeti na
majarida
• Redio, runinga na
video
• Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutambua maudhui yanayoendelezwa
katika tamthilia hii.
•
•
•
•
• Kifo kisimani
JUMA 5
3
5-6
Fasihi
Kifo kisimani
312
Kusoma
Kujadiliana
Kuandika
Uchambuzi
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Sarufi
Vijenzi vya sentensi 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza vijenzi vya sentensi.
• kubainisha vijenzi mbalimbali vya
sentensi kama shamilisho, vishazi na
virai.
• kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi.
• kufunga sentensi kudhihirisha vijenzi
maalumu vya sentensi.
•
•
•
•
Mifano
• Kiswahili Fasaha,
Uchunguzi
KcM 4, uk. 155-159
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 4, uk. 103-104
• Vielelezo
• Mikusanyo ya
maandishi
3
Ufasaha wa lugha
Muhtasari: Ponografia na
athari zake
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufupisha habari.
• kueleza chanzo cha ponografia.
• kufafanua sababu na njia za kuenea
kwa ponografia.
• kujadili athari za ponografia.
• kupendekeza njia za kukabiliana na
ponografia katika jamii.
•
•
•
•
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
Uchunguzi kifani
KcM 4, uk. 160-161
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Kuandika
MwM 4, uk. 104-105
• Mifano ya vyombo
vya mawasiliano
• Mwalikwa
4
Fasihi teule
Mafunzo na tathmini
katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mafunzo na tathmini.
• kupambanua vipengele vya mafunzo
na tathmini.
• kufafanua mafunzo ya riwaya teule.
• kufanya tathmini ya riwaya teule.
•
•
•
•
•
•
Tajriba
Utatuzi wa mambo
Maswali na majibu
Maelezo na ufafanuzi
Majadiliano
Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 162-163
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 105-106
• Riwaya teule
• Mwalikwa
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maudhui katika tamthilia ya
kifo kisimani.
•
•
•
•
Kusoma
Kujadiliana
Kuandika
Uhakiki
• Kifo kisimani
JUMA 6
1-2
5-6
313
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
JUMA 7
1-2
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 164-166
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 106-107
• Vielelezo
• Mikusanyo ya
memo, baruameme
na ujumbe wa
rununu
• Tarasha za
matangazo
• Mdahilishi
• Rununu
Utunzi
Memo, baruameme na
ujumbe wa rununu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya memo, baruameme
na ujumbe wa rununu.
• kupambanua sifa za memo,
baruameme na ujumbe wa rununu.
• kubainisha tofauti na mfanano baina
ya barua rasmi na memo, baruameme
na ujumbe wa rununu.
• kuandika memo, baruameme na
ujumbe wa rununu kwa usahihi.
•
•
•
•
•
•
3
Kusikiliza na
kuzungumza
Mjadala
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuendesha mjadala darasani.
• kujadili hoja muhimu kwa mantiki na
ufasaha.
• kuzingatia mitindo ya kujadili.
• Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
• Mjadala
KcM 4, uk. 167
• Mashindano
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 107-109
• Kielelezo cha
mdahilishi
• Hoja kuhusu
manufaa na
madhara ya
mdahilishi katika
magazeti, majarida
na mtandao
4
Fasihi yetu
Mawaidha katika fasihi
simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na umuhimu wa
mawaidha kama kipera cha fasihi
simulizi.
• kufafanua sifa na dhima ya mawaidha.
• kuchambua mawaidha waliyopewa.
• kuandika mawaidha kwa usahihi.
•
•
•
•
•
314
Maelezo na ufafanuzi
Mifano
Uvumbuzi
Kuandika
Utafiti
Maswali na majibu
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Ufaraguzi
• Kiswahili Fasaha,
Utafiti
KcM 4, uk. 167-168
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Makundi
MwM 4, uk. 109-111
Maelezo na ufafanuzi • Vielelezo vya
mawaidha
• Mwalikwa
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
5
Fasihi teule
Mafunzo na tathmini
katika fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua mafunzo yanayojitokeza
katika vipera vya fasihi.
• kueleza hatua za kuzingatia wakati
wa kushughulikia mtihani wa fasihi
simulizi.
•
•
•
•
•
Majadiliano
Makundi
Tajriba
Maelezo na ufafanuzi
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 97-98
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 69
• Vielelezo vya
tathmini ya kazi za
fasihi simulizi
6
Fasihi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maudhui katika tamthilia.
•
•
•
•
Kusoma
Kujadiliana
Kuandika
Uchambuzi
• Kifo kisimani
1
Ufahamu
Utandawazi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kueleza ujumbe wa taarifa.
• kueleza maana ya msamiati.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kuzingatia mafunzo katika somo.
•
•
•
•
•
Uvumbuzi
Majadiliano
Makundi
Maelezo na ufafanuzi
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 169-171
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 111-113
• Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
• Magazeti na
majarida
Sarufi
Uchanganuzi wa sentensi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya uchanganuzi wa
sentensi.
• kufafanua sentensi sahili, ambatano na
changamano.
• kuchanganua sentensi mbalimbalai
kwa njia za majedwali, mistari, mishale
na michoro ya matawi.
• kueleza vijenzi vya sentensi baada ya
uchanganuzi.
•
•
•
•
•
Maelezo
Majadiliano
Mifano
Tajriba
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 171-175
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 113-124
• Vielelezo
vya sentensi
zilizochanganuliwa
kupitia kwa
majedwali, mistari,
mishale na michoro
ya matawi
JUMA 7
JUMA 8
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
2-3
315
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Ufasaha wa lugha
Ukanushaji wa nyakati na
hali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya ukanushaji.
• kufafanua jinsi ya kukanusha kwa
kutegemea nafsi, nyakati na hali.
• kubainisha maumbo ya viambishi vya
ukanushaji.
• kubadilisha sentensi katika hali
yakinifu au hali kanushi.
•
•
•
•
•
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Majadiliano
KcM 4, uk. 176-180
Mifano
• Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
MwM 4, uk. 124-125
Maelezo na ufafanuzi • Vielelezo vya
sentensi katika hali
yakinifu na hali
kanushi
• Jedwali la viambishi
vya ukanushaji
6
Fasihi
Mtindo wa mwandishi
katika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mtindo wa mwandishi katika
tamthilia ya kifo kisimani.
•
•
•
•
Majadiliano
Maswali na majibu
Kuandika
Uchambuzi
1
Fasihi teule
Mafunzo na tathmini
katika hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua mafunzo yanayojitokeza
katika hadithi fupi.
• kueleza namna ya kushughulikia
tathmini katika utanzu wa hadithi fupi.
•
•
•
•
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Makundi
KcM 4, uk. 180-182
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Tajriba
MwM 4, uk. 126
• Mkusanyo teule wa
hadithi fupi
• Vielelezo vya hatua
za kuzingatia wakati
wa kushughulikia
tathmini ya hadithi
fupi
2
Utunzi
Insha ya masimulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua sifa za insha ya masimulizi.
• kusimulia kisa kwa sauti.
• kuandika insha aliyosimulia kwa
usahihi.
•
•
•
•
•
Makundi
• Kiswahili Fasaha,
Majadiliano
KcM 4, uk. 182
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
MwM 4, uk. 126-127
Kuandika
• Vielelezo vya insha
za masimulizi
• Kanda za video
au sauti zenye
masimulizi
• Chati
JUMA 8
4-5
JUMA 9
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
316
• Kifo kisimani
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 9
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
3
Kusikiliza na
kuzungumza
Ilani na onyo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza ilani na onyo.
• kutoa mifano ya ilani na onyo.
• kujadili ujumbe katika ilani na onyo.
• kuzingatia ujumbe katika ilani na
onyo.
•
•
•
•
•
Maigizo
• Kiswahili Fasaha,
Mifano
KcM 4, uk.183-185
Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 4, uk. 127-128
Kuandika
• Mikusanyo ya ilani
na onyo
• Picha na michoro
• Hali halisi
4
Fasihi yetu
Maigizo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya maigizo.
• kufafanua sifa za maigizo.
• kutoa mifano ya maigizo.
• kuzingatia ujumbe katika maigizo.
•
•
•
•
•
Maigizo
• Kiswahili Fasaha,
Mifano
KcM 4, uk. 185-186
Ugunduzi
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 4, uk. 128-129
Maswali na majibu
• Vielelezo
• Kanda za sauti na
video
5
Ufahamu
Tohara
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma shairi kwa mdundo ufaao.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kuzingatia ujumbe wa shairi
• kueleza maana za maneno.
•
•
•
•
•
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
Uvumbuzi
KcM 4, uk. 187-188
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Makundi
MwM 4, uk. 129-130
Usomaji na kukariri • Visa vya tohara
magazetini
• Michoro au picha
• Wasakatonge
6
Fasihi
Wahusika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za wahusika wakuu katika
tamthilia
•
•
•
•
Majadiliano
Maelezo
Maswali na majibu
Uchambuzi
317
• Kifo kisimani
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Sarufi
Mnyambuliko wa vitenzi 1
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mnyambuliko wa vitenzi.
• kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.
• kufafanua maana ya vitenzi katika
kauli mbalimbali.
•
•
•
•
•
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
KcM 4, uk. 188-194
Mifano
• Kiswahili Fasaha,
Uchunguzi
MwM 4, uk. 130-131
Tajriba
• Vielelezo
• Chati ya viambishi
vya kauli za vitenzi
• Mandhari halisi
3
Ufasaha wa lugha
Muhtasari:
Janga la Tsunami
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa makini.
• kufupisha habari.
• kufafanua hoja kuhusu janga la
Tsunami.
• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
•
•
•
•
Utatuzi wa mambo
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
KcM 4, uk. 194-196
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
Mifano
MwM 4, uk. 131-132
• Ramani
• Picha
4
Fasihi teule
Chimbuko na usuli wa
tamthlia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza chimbuko na usuli wa
tamthilia.
• kueleza mikondo ya tamthilia.
• kufafanua mambo ya kuzingatia katika
uchunguzi wa usuli.
• kupambanua usuli wa tamthilia.
•
•
•
•
Uvumbuzi
Tajriba
Utafiti
Uchunguzi kifani
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 196-198
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 132-133
• Picha
• Kanda za sauti
• Mikusanyo ya
tamthilia
Fasihi
Wahusika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za wahusika wote katika
tamthilia.
•
•
•
•
Majadiliano
Maswali na majibu
Uhakiki
Kuandika
• Kifo kisimani
1-2
JUMA 10
MADA KUU
5-6
318
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 11
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
SHABAHA
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 198-200
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 133
• Vielelezo vya ratiba
• Kalenda
• Saa
• Orodha ya mambo
ubaoni
1
Utunzi
Ratiba ya tamasha ya sanaa
za maonyesho
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha sifa za ratiba.
• kueleza mambo ya kuzingatia katika
maandalizi ya ratiba.
• kupambanua umuhimu wa ratiba.
• kukamilisha ratiba ya mashindano ya
sanaa ya maonyesho.
•
•
•
•
•
Uchunguzi kifani
Kazi mradi
Tajriba
Ufaraguzi
Kuandika
2
Kusikiliza na
kuzungumza
Wimbo:
Ufisadi ukome!
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuimba wimbo kwa mahadhi
yanayovutia.
• kujadili ujumbe wa wimbo
• kuanisha wimbo
• kuzingatia mafunzo katika wimbo
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Majadiliano
KcM 4, uk. 201
Utendaji, hasa uimbaji • Kiswahili Fasaha,
Vikundi
MwM 4, uk. 133-135
Tajriba
• Vielelezo vya nyimbo
• Wanafunzi
Fasihi yetu
Nyimbo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya wimbo.
• kupambanua sifa na muundo wa
nyimbo.
• kuainisha aina mbalimbali ya nyimbo.
• kuzingatia mafunzo katika nyimbo.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Utendaji
KcM 4, uk. 201-205
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
MwM 4, uk. 135-137
Makundi
• Kanda za kunasia
sauti
• Ala za muziki
• Waalikwa (waimbaji)
• Vielelezo vya nyimbo
Ufahamu
Mgawanyo wa majukumu
katika familia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma ufahamu kwa ufasaha.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
• kueleza kwa tafsili maana za maneno
na vifungu.
• kuzingatia mafunzo.
•
•
•
•
•
3-4
5
319
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Majadiliano
KcM 4, uk. 205-207
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Usomaji
MwM 4, uk. 137-139
Maswali na majibu
• Magazeti na majarida
• Kanda za sauti
• Maelezo na ufafanuzi
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 207-209
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 139-140
• Jedwali la viambishi
vinavyohusika katika
hali ya kuamisha
• Sentensi vielelezo
katika hali yakinishi
na kuamuru
6
Sarufi
Hali ya kuamuru
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza dhana ya kuamrisha.
• kubainisha vigezo vinavyotawala hali
ya kuamrisha.
• kutunga sentensi katika hali ya
kuamrisha katika umoja na wingi.
• Majadiliano
• Uchunguzi
• Tajriba
1
Ufasaha wa lugha
Muhtasari:
Nyimbo za kazi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kufafanua ujumbe wa taarifa.
• kufupisha taarifa kulingana na
maagizo.
• kufafanua dhima ya nyimbo za kazi.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Uvumbuzi
KcM 4, uk. 209-211
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
MwM 4, uk. 140-141
Usomaji
• Vielelezo vya
Kuandika
nyimbo za kazi
• Vielelezo vya habari
iliyofupishwa
Fasihi teule
Fani katika tamthlia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza vipengele vya fani, kama vile
mtindo na muundo, matumizi ya lugha
na usawiri wa wahusika.
• kufafanua matumizi na umuhimu
wa mtindo, muundo, matumizi ya
lugha na usawiri wa wahusika katika
tamthilia.
• kuchambua fani katika tamthilia teule.
•
•
•
•
•
•
Uchunguzi
Udadisi
Ugunduzi
Maigizo
Maswali na majibu
Uhakiki
JUMA 11
JUMA 12
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
2-3
320
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 211-214
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 141
• Majedwali ya
miainisho tofauti ya
tamthilia
• Vielelezo vya fani
• Tamthilia teule
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
4
Utunzi
Maagizo na maelekezo
katika mazingira ya kazi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya maagizo na
maelekezo.
• kufafanua umuhimu wa maagizo na
maelekezo katika mazingira ya kazi.
• kueleza sifa au muundo wa maagizo na
maelekezo.
• kuandika maagizo na maelekezo.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Tajriba
Ufaraguzi
Maswali na majibu
Makundi
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 214
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 142
• Vielelezo
• Magazeti
5
Kusikiliza na
kuzungumza
Mjadala bungeni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuigiza mjadala bungeni ipasavyo.
• kufafanua majukumu ya watu
mbalimbali bungeni.
• kutoa maoni kuhusu mjadala bungeni.
•
•
•
•
Uchunguzi kifani
Maigizo
Ziara bungeni
Mifano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 215-217
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 142-143
• Picha na michoro ya
bunge
• Mikusanyo ya ripoti
za bunge magazetini
• Nakala za Hansard
• Vipindi katika
redio na televisheni
kuhusu bunge
6
Fasihi yetu
Maghani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya maghani.
• kutoa mfano wa maghani.
• kupambanua sifa za maghani.
• kufafanua umuhimu wa maghani.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Maigizo
Uchunguzi kifani
Mifano
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 217-218
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 143
• Kanda za sauti
• Mikusanyo ya
mwalimu na
wanafunzi
Mtihani na
kusahihisha
Marudio na mazoezi ya
stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Karatasi za mitihani
• Kalamu
JUMA 12
JUMA 13
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
321
HAKIUZWI
MAONI
Yatumiwe na Kiswahili
Fasaha
Kiswahili,
Kidato cha Nne, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Ufahamu
Mfumo wa soko huru
haufai
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa makini na kwa ufasaha.
• kutoa hoja kwa mantiki na ufasaha.
• kueleza faida na hasara za mfumo wa
soko huru.
• kufafanua maana za maneno.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
•
•
•
•
•
Mjadala
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
KcM 4, uk. 218-220
Maigizo
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 4, uk. 144-145
Usomaji
• Kamusi ya Kiswahili
Sanifu
• Mikusanyo ya taarifa
magazetini
• Picha za viwanda
vilivyofungwa
• Mabango ya bidhaa
zilizoagizwa kutoka
nje
2
Sarufi
Viambishi maalumu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza viambishi maalumu.
• kufafanua matumizi ya viambishi
maalumu vya -ku-, -ndi- na –ji-.
• kutoa mifano ya viambishi maalumu.
• kutumia viambishi maalumu kutungia
sentensi.
•
•
•
•
•
Vielelezo
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
KcM 4, uk. 220-223
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Mifano
MwM 4, uk. 145-146
Majadiliano
• Vielelezo vya
viambishi maalumu
• Jedwali la sentensi na
viambishi maalumu
3
Ufasaha wa lugha
Muhtasari:
Matatizo ya Kiswahili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kufupisha habari ipasavyo.
• kueleza matatizo ya Kiswahili.
• kufafanua namna ya kusambaza
Kiswahili.
•
•
•
•
•
Maelezo
Mifano
Tajriba
Mjadala
Utatuzi wa mambo
JUMA 1
1
322
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 223-225
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 146
• Ripoti magazetini
• Historia ya Kiswahili
(OUP)
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
JUMA 1
4-5
6
JUMA 2
1-2
3
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Fasihi teule
Maudhui katika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maudhui na dhamira.
• kubainisha vipengele vinavyobeba
maudhui.
• kufafanua maudhui ya tamthlia teule.
•
•
•
•
•
•
Tajriba
Mjadala
Maigizo
Maswali na majibu
Kuandika
Uchambuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 225-227
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 146-147
• Kifo kisimani
• Kanda za sauti
Utunzi
Insha ya maelezo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua sifa za insha za maelezo.
• kubainisha dhana ya magulio.
• kuandaa vidokezo vya insha.
• kuandika insha ya maelezo kwa
usahihi.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Utazamaji
Utafiti
Kuandika
Mahojiano
Ziara
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 111, 227228
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 76-78,
147-148
• Picha
• Vidokezo ubaoni
Kusikiliza na
kuzungumza
Umuhimu wa utafiti
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza utafiti ni nini.
• kueleza umuhimu wa utafiti.
• kufafanua maana ya msamiati.
• kuzingatia mafunzo kutokana na mada.
• kueleza maana za istilahi.
•
•
•
•
•
•
•
Mafunzo
Ufahamu wa kusikiliza
Maelezo
Uchunguzi
Tajriba
Makundi
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha
KcM 4, uk. 229
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 148-150
• Vielelezo
• Vyombo vya habari
na mawasiliano
Fasihi yetu
Ngomezi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya ngomezi.
• kuainisha ngomezi.
• kufafanua matumizi na manufaa ya
ngomezi katika jamii ya sasa.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Maigizo
Ufaraguzi
Maswali na majibu
Utafiti
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 229-230
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 150-152
• Mikusanyo
• Zana halisi
• Kanda za sauti
• Wanafunzi
323
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Ufahamu
Kuchelewa ni ada ya
Mwafrika?
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha.
• kufafanua ujumbe wa taarifa.
• kueleza maana za maneno.
• kuzingatia mafunzo ya taarifa.
•
•
•
•
•
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
KcM 4, uk. 230-232
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
MwM 4, uk. 152-153
Usomaji
• Kielelezo cha saa
• Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
5-6
Sarufi
Mnyambuliko wa vitenzi
kutokana na shina 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha maumbo ya vitenzi katika
kauli ambazo zinashughulikiwa katika
somo.
• kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadi
nyingine.
• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
katika kauli zinazoshughulikiwa katika
somo.
• kufafanua maana ya sentensi
walizotunga katika kauli mbalimbali.
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
KcM 4, uk. 232-235
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Majadiliano
MwM 4, uk. 153-155
• Vielelezo
vya sentensi
zilizonyambuliwa
katika kauli ambazo
zinashughulikiwa
• Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
(toleo la pili)
• Jedwali la vitenzi
vilivyonyambuliwa
katika kauli
mbalimbali
1-2
Ufasaha wa lugha
Muhtasari:
Mikakati ya kuimarisha
Kiswahili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua mikakati inayoweza
kutumika ili kukiimarisha Kiswahili.
• kueleza mchango wa wanafunzi katika
kuimarisha Kiswahili.
• kuandika muhtasari wa habari
kulingana na maagizo.
• kuzingatia mafunzo katika taarifa.
•
•
•
•
•
•
•
Utatuzi wa mambo
Maelezo na ufafanuzi
Mifano
Masimulizi
Majadiliano
Kufupisha
Kuandika
JUMA 2
4
JUMA 3
MADA NDOGO
324
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 235-237
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 155-156
• Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
• Ramani
• Historia ya
Kiswahili (OUP)
• Chati
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 4
JUMA 3
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
3-4
Fasihi teule
Mafunzo na tathmini
katika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza namna ya kupata mafunzo
katika tamthilia.
• kupambanua mafunzo kwenye
tamthilia teule.
• kufafanua mahitaji ya mwanafunzi
katika kujibu maswali kutokana na
tamthilia kwa usahihi na kikamilifu.
• kueleza yanayolengwa katika tathmini
ya tamthilia.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Maswali na majibu
Uhakiki
Uchanganuzi
Tajriba
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 237-240
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 156-157
• Vielelezo vya
maswali ya tamthilia
na mafunzo
• Kifo kisimani
5-6
Utunzi
Barua kwa mhariri wa
gazeti
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza muundo wa barua kwa mhariri
wa gazeti.
• kufafanua sifa za barua kwa mhariri wa
gazeti.
• kuzingatia mafunzo.
• kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
•
•
•
•
•
•
•
Kutoa mifano
Makundi
Maswali na majibu
Maelezo na ufafanuzi
Majadiliano
Tajriba
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 240
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 157-158
• Kurasa za barua
kwa mhariri katika
magazeti
• Kanda za kunasia
sauti
• Mazingira ya
mwanafunzi
yanayoonyesha
uzembe kazini
1-2
Mitihani
Mtihani Mwigo 1:
Karatasi 1
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 241
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 159-160
• Karatasi
• Kalamu
325
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 5
JUMA 4
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
SHABAHA
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
3-4
Mitihani
Mtihani Mwigo 1:
Karatasi 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 241-248
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 160170
• Karatasi
• Kalamu
5-6
Mitihani
Mtihani Mwigo 1:
Karatasi 3
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha
KcM 4, uk. 248-252
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 170175
• Karatasi
• Kalamu
1-2
Mitihani
Mtihani Mwigo 2:
Karatasi 1
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 252-253
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 175
• Karatasi
• Kalamu
3-4
Mitihani
Mtihani Mwigo 2:
Karatasi 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 253-256
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 175177
• Karatasi
• Kalamu
326
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
JUMA 6-12
JUMA 5
5-6
MADA KUU
Mitihani
MADA NDOGO
Mtihani Mwigo 2:
Karatasi 3
SHABAHA
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
• Tajriba ya
wanafunzi
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 4, uk. 257-260
• Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 178-184
• Karatasi
• Kalamu
Marudio na Mitihani ya KCSE
327
HAKIUZWI
MAONI

Similar documents