Kiswahili Fasaha

Transcription

Kiswahili Fasaha
Yatumiwe na Kiswahili
Fasaha
Kiswahili,
Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza
JUMA 1
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Vinyume vya vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutofautisha baina ya kinyume na
kukanusha.
• kueleza maana ya vinyume vya vitenzi.
• kutumia vinyume katika sentensi sahihi.
•
•
•
•
•
•
Marudio
Maelezo
Maswali na majibu
Mifano
Mazoezi
Kutofautisha
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 1-2
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 1-2
• Wanafunzi
• Ubao
• Vielelezo
• Majedwali
2
Fasihi
Dhima ya fasihi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza dhima ya fasihi.
• kujibu maswali kwa usahihi.
•
•
•
•
Maelezo
Kuandika
Mifano
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 2-3
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 2
• Wanafunzi
• Mchoro
• Mikusanyo ya kazi za
fasihi
3
Ufahamu
Usalama barabarani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa sauti na kimya.
• kubainisha umuhimu wa usalama
barabarani.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
•
•
•
•
•
Tajriba
Maelezo
Usomaji
Maswali na majibu
Utafiti
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 3-6
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 2-3
• Takwimu au tarakimu
• Picha au michoro
Sarufi
Vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupambanua tofauti baina ya vitenzi
asili na vile vya kigeni.
• kufafanua mzizi wa vitenzi.
• kuainisha viambishi awali na tamati.
• kutumia vitenzi sahihi katika sentensi.
•
•
•
•
•
Marudio
Mazoezi
Maelezo
Mifano ya vitenzi
Kazi mradi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 6-9
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 3-4
• Jedwali
• Vielelezo
• Maandishi
mbalimbali
4-5
248
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 3
JUMA 2
JUMA 1
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Kuandika
Insha ya hadithi
(masimulizi)
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza vipengele vya insha ya
masimulizi.
• kuandika insha ya masimulizi.
•
•
•
•
Mazoezi
Tajriba
Maelezo
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 12
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 6-7
• Visa vya wanafunzi
• Makala ya magazeti
1-2
Fasihi teule
• Usuli katika riwaya
• Utangulizi wa Mwisho
wa kosa (sura 1)
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya usuli.
• kueleza umuhimu wa usuli wa riwaya.
• kumwelewa mwandishi na jumuia yake.
• kueleza dhamira ya mwandishi.
•
•
•
•
•
Mifano
Uchunguzi
Usomaji
Majadiliano
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 11
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 5
• Wanafunzi
• Riwaya ya Mwisho wa
kosa, uk. 1-9
3-4
Fasihi
andishi
Hadithi fupi:
Utenzi wa moyoni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutaja maudhui ya hadithi hii.
• kujadili mbinu za lugha zilizotumiwa.
• kujadili wahusika.
•
•
•
•
Kusoma kwa sauti
Majadiliano
Uchambuzi
Kuandika
• Kitabu cha Mayai
Waziri wa Maradhi,
uk. 13-19
5-6
Sarufi
Uakifishaji
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuzitambua, kutaja na kueleza alama za
uakifishaji na matumizi yake.
• kuakifisha makala mbalimbali.
• Mifano ya alama za
• Kiswahili Fasaha,
uakifishaji
KcM 3, uk. 9-10
• Matumizi ya alama za • Kiswahili Fasaha,
uakifishaji
MwM 3, uk. 4-5
• Majadiliano
• Maumbo ya alama za
• Mazoezi
uakifishaji
• Maandishi
mbalimbali
1-2
Kuandika (Utunzi)
Insha ya hadithi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza vipengele vya insha ya hadithi.
• kueleza namna ya kuandika insha ya
hadithi.
• kuandika insha ya hadithi kulingana na
mada iliyotolewa.
• Tajriba
• Visa tofauti
• Kuandika
6
249
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 12
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 6-7
• Vielelezo
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
JUMA 4
JUMA 3
3
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Maigizo
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo
KcM 3, uk. 13
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Tofauti kati ya
MwM 3, uk. 7-9
kuamrisha, kurai na
kuhimiza
• Mifano ya maneno na
sentensi
Kusikiliza na
kuzungumza
Hali ya kuamrisha
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutaja njia mbalimbali za kuamrisha.
• kutunga sentensi za kuamrisha.
• kubainisha viambishi vya kuamrisha.
•
•
•
•
Fasihi yetu
Fasihi simulizi: Vipera vya
fasihi simulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya fasihi simulizi.
• kufafanua umuhimu wake.
• kutaja mifano ya vipera tofauti vya
fasihi simulizi.
•
•
•
•
•
Uchunguzi
Majadiliano
Maswali na majibu
Maelezo
Kunukuu hoja
muhimu
• Kazi mradi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 14-15
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 10
• Mikusanyo ya vipera
tofauti
6
Ufahamu
Haki za wanyama
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.
• kujadili kwa ufasaha matendo mazuri
na mabaya kwa wanyama.
•
•
•
•
•
Usomaji
Maswali na majibu
Kujadili
Mifano
Maelezo
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 16-18
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 10-11
1
Ufasaha wa lugha
Kuandika barua
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufahamu sifa za barua rasmi.
• kubainisha mitindo ya barua tofauti.
• kueleza sifa za lugha
• Usomaji wa makala
tofauti ya barua
• Maelezo
• Kujadili
• Maswali na majibu
• Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 20-21
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 11-12
Sarufi
Nyakati na hali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha viambishi vya nyakati na
hali.
• kutunga sentensi sahihi akitumia
viambishi tofauti vya nyakati na hali.
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 18-20
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 11
• Jedwali la kubainisha
viambishi
4-5
2-3
250
Maswali na majibu
Ufaraguzi
Kuandika
Mazoezi
Kunakili
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
4-5
Hadithi fupi
Siku ya Mganga
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kujadili dhamira ya mwandishi.
• kuchambua maudhui na tamathali za
lugha zilizotumiwa.
•
•
•
•
6
Fasihi teule
Maudhui katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya riwaya na maudhui.
• kufafanua mambo ya kuzingatia katika
kuchambua maudhui.
• kueleza hatua katika uchambuzi wa
maudhui.
• Kusoma kwa sauti
• Majadiliano
• Kujadili sifa za
maudhui
• Kuandika
• Uchunguzi
• Tajriba
• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 22-23
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 12-13
• Makala mafupi
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Lugha ya dini
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za lugha ya kidini.
• kutumia sifa hizi katika utekelezaji
maishani mwao.
• kubainisha madhumuni na maudhui ya
lugha ya kidini.
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 25
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 14-16
• Makala tofauti
• Kanda za kunasia
sauti
2
Utunzi
Umbo la barua rasmi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua umbo la barua rasmi.
• kutofautisha kati ya barua rasmi na
barua ya kirafiki.
• kubuni maudhui ya barua rasmi.
• kuandika barua rasmi.
• Maelezo ya barua
• Kiswahili Fasaha,
rasmi
KcM 3, uk. 23-24
• Mifano
• Kiswahili Fasaha,
• Kufafanua hoja
MwM 3, uk. 13-14
muhimu kuhusu
• Vielelezo
mtindo
• Kuandika barua rasmi
Hadithi fupi
Pwaguzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
• Majadiliano
aweze:
• Kuchambua hoja kuu
• kusoma kwa sauti na kimya.
za maudhui, lugha na
• kueleza visa vya ulaghai.
wahusika
• kufafanua maudhui na sifa za wahusika. • Uchambuzi
• Maswali na majibu
JUMA 5
JUMA 4
KIPINDI
3-4
251
Kusoma kwa sauti
• Mayai Waziri wa
Majadiliano
Maradhi, uk. 20-37
Muhtasari wa hadithi
Maswali na majibu
Kusoma
Kuigiza
Maswali na majibu
Kujadili
Mifano
• Mayai Waziri wa
Maradhi, uk. 50-56
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 6
JUMA 5
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 25-26
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 16-17
• Fanani
• Kanda za video zenye
hotuba za walumbi
5
Fasihi yetu
Ulumbi
(Hotuba)
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na kanuni za ulumbi.
• kutaja mifano ya ulumbi.
• kueleza umuhimu wa ulumbi.
• kueleza baadhi ya walumbi na sifa zao.
•
•
•
•
•
6
Sarufi
Ukanushaji
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuelewa na kubainisha viambishi vya
kukanusha.
• kutofautisha kinyume na kukanusha.
• kukanusha sentensi.
• Ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
• Mifano
KcM 3, uk. 29-33
• Tofauti kati
• Kiswahili Fasaha,
ya kinyume na
MwM 3, uk. 18-20
kukanusha
• Jedwali la maumbo
• Maumbo ya viambishi
ya viambishi vya
vya kukanusha
kukanusha
• Mazoezi
• Kuandika
1
Ufahamu
Matumizi ya simu tamba
maabadini
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma ufahamu.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• Kusoma kifungu
• Kujadili msamiati
mpya
• Mazungumuzo
• Uigizaji
• Kazi ya makundi
• Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 26-29
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 17-18
• Mifano
• Vinyago
• Picha au michoro
Fasihi teule
Wahusika katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kujadili na kueleza aina za wahusika
katika riwaya.
• kufafanua sifa na umuhimu wa
wahusika.
•
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 36-38
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 22
• Vitabu vya ziada
• Riwaya teule
2-3
252
Uigizaji
Majadiliano
Hotuba
Maswali na majibu
Kazi ya makundi
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Maelezo
Majadiliano
Maswali na majibu
Tajriba
Makundi
Uhakiki
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Ufasaha wa lugha
Historia na chimbuko la
Kiswahili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza historia na chimbuko la
Kiswahili.
• kujadili lahaja za
Kiswahili.
• kubainisha ukweli kuhusu asili ya
Kiswahili.
•
•
•
•
•
•
Kusoma
Majadiliano
Tajriba
Mifano
Makundi
Ufafanuzi wa asili ya
ya lugha ya Kiswahili
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 33-36
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 20-21
• Ramani ya Afrika ya
Mashariki
• Historia ya Kiswahili
(OUP)
5-6
Hadithi fupi
Tuzo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma hadithi.
• kujadili wahusika, maudhui na lugha
kwa ufasaha.
•
•
•
•
Majadiliano
Kusoma
Kuchambua hadithi
Kujibu maswali
• Mayai Waziri wa
Maradhi, uk. 57-62
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Hotuba
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha hoja za kuzingatia mtu
anapotoa hotuba.
• kueleza hoja muhimu katika hotuba.
• kutoa hotuba mbele ya darasa.
• kuandika muhtasari wa mambo.
•
•
•
•
Maelezo ya hotuba
Maswali na majibu
Maigizo
Uigizaji wa kutoa
hotuba
• Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 39-40
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 24-25
• Kanda za sauti
• Picha za magazeti
• Chati za grafu na pai
Kuandika
Utunzi: Insha ya
mazungumzo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za insha za mazungumzo.
• kufafanua mbinu za utunzi wa insha ya
mazungumzo.
• kuandika insha ya mazungumzo.
•
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 38
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 22-24
• Wanafunzi
JUMA 6
4
JUMA 7
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
2-3
253
Maelezo
Maigizo
Maswali na majibu
Kuandika
Majadiliano
Makundi
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA NDOGO
JUMA 8
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Maelezo
• Mazoezi ya kutunga
sentensi
• Mifano
• Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 43-45
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 28
• Jedwali
• Vitu halisi
• Mazingira ya shule
SHABAHA
Sarufi
Kauli ya vitenzi:
kutendesheana,
kutendeshewa,
kutendesheka
5-6
Hadithi fupi
Mayai Waziri wa Maradhi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua dhamira, maudhui na
wahusika.
• kuchunguza lugha iliyotumiwa.
• Kusoma
• Mayai Waziri wa
• Uchambuzi wa
Maradhi, uk. 63-77
dhamira, lugha,
maudhui na wahusika
• Kujadili
• Maswali na majibu
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Hotuba
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua mambo ya kuzingatia mtu
atoapo hotuba.
• kuandaa muswada wa hotuba.
• Ufafanuzi kuhusu
maana ya hotuba
• Maelezo
• Maigizo
• Uvumbuzi
• Uchunguzi kifani
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 39-40
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 24-25
• Kanda za sauti
2
Fasihi yetu
Mawaidha
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutoa maana ya mawaidha.
• kueleza sifa, muundo na manufaa ya
mawaidha.
• kutoa mawaidha kutegemea hali fulani
maalumu.
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 40-41
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 25-27
• Mkusanyo wa
mawaidha
• Mwalikwa au fanani
• Vielelezo
JUMA 7
4
MADA KUU
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha maumbo ya vitenzi katika
kauli tofauti.
• kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadi
nyingine.
• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
katika kauli maalumu.
• kueleza maana ya sentensi zenye vitenzi
katika kauli maalumu.
254
Ufaraguzi
Ufafanuzi
Utafiti
Mifano
Uigizaji
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
3
MADA KUU
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 42-43
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 27-28
• Tarakilishi
• Ramani
• Picha
Ufahamu
Umaskini Afrika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kueleza maana ya maneno na misemo.
• kuzingatia mafunzo
•
•
•
•
•
Utafiti
Utatuzi wa mambo
Uchunguzi kifani
Maswali na majibu
Usomaji
Ufasaha wa lugha
Muhtasari: Ratiba ya
mkutano
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza umuhimu wa ratiba.
• kubainisha saa za ratiba.
• kuandaa ratiba ya mikutano ya hadhara.
•
•
•
•
Maagizo
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
KcM 3, uk. 45-46
Ufafanuzi wa muundo • Kiswahili Fasaha,
Kuandika mfano wa
MwM 3, uk. 29
ratiba
• Mikusanyo ya ratiba
• Vielelezo
6
Fasihi teule
Muundo na mtindo katika
riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutoa maelezo ya muundo na mtindo
katika sura tofauti za riwaya teule.
• kufafanua sura za muundo na mtindo
wa kazi ya riwaya.
• kueleza kwa kutumia mifano sura za
muundo na mtindo wa riwaya.
•
•
•
•
Uchunguzi
Kusoma
Udadisi
Maelezo ya muundo
na mtindo
• Uchambuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 47
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 30-31
• Riwaya teule
1
Utunzi
Hotuba
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuandika hotuba kama ipasavyo.
•
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 48
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 31-33
• Kanda za sauti
• Vielelezo ubaoni
2
Kusikiliza na
kuzungumza
Hojaji na kujaza fomu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza hojaji na kujaza fomu.
• kueleza namna ya kutayarisha na kujaza
hojaji na fomu.
• kufafanua madhumuni ya kutumia
hojaji au fomu.
• Utafiti
• Maswali na majibu
• Kutayarisha hojaji na
fomu
• Kujaza
• Maelezo
JUMA 8
4-5
JUMA 9
MADA NDOGO
255
Utatuzi wa mambo
Uvumbuzi
Maigizo
Uchunguzi kifani
Kuandika
Maelezo
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 49
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 34-35
• Vielelezo vya hojaji au
fomu
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Uhakiki
KcM 3, uk. 50-51
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Kazi ya vikundi
MwM 3, uk. 35-36
Mifano
• Wanafunzi wenyewe
• Vielelezo
Fasihi yetu
Malumbano ya utani katika Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
fasihi simulizi
aweze:
• kueleza utani na umuhimu wake.
• kutoa mifano ya utani.
• kueleza mabadiliko katika utanzu wa
utani.
•
•
•
•
•
4
Ufahamu
Ugaidi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
•
•
•
•
•
Tajriba
Masimulizi
Mjadala
Majadiliano
Uchunguzi wa
msamiati
• Usomaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 51-53
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 37-39
• Kanda za video
• Magazeti
• Picha
Sarufi
Kauli za vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kugeuza vitenzi katika kauli
zinazoshughulikiwa.
• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia
kauli ya vitenzi hivyo.
• Maelezo ya dhana ya
mnyambuliko
• Ufafanuzi wa
viambishi vya
mnyambuliko
• Kuigiza
• Ufaraguzi
• Mazoezi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 54-55
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 39-40
• Jedwali ya mageuzo
• Vitu halisi
• Matini tofauti
Ufasaha wa lugha
Uhusiano wa Kiswahili na
lugha za Kibantu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza uhusiano wa Kiswahili na lugha
za Kibantu.
• kueleza muundo wa maneno katika
lugha za Kibantu kwa kutumia
Kiswahili.
•
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 56
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 40
• Vielelezo vya
msamiati wa lugha za
Kibantu na maneno
ya Kiswahili
• Wanafunzi
JUMA 9
3
5-6
1
JUMA 10
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
256
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Tajriba
Mifano
Makundi
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Fasihi teule
Matumizi ya lugha katika
riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza umuhimu wa lugha katika
riwaya.
• kufafanua mambo muhimu ya
kuzingatia wakati wa kuhakiki lugha
katika riwaya.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Uhakiki
KcM 3, uk. 56-58
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
MwM 3, uk. 41
Makundi
• Mwisho wa kosa
• Kanda za sauti
• Wanafunzi
• Vielelezo vya
tamathali za semi
4
Utunzi
Insha ya mawazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya insha ya mawazo.
• kuandika insha ya mawazo kulingana na
kichwa walichopewa.
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu.
KcM 3, uk. 58
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Kuandika
MwM 3, uk. 41-42
• Magazeti na majarida
• Vielelezo vya insha ya
mawazo
5
Kusikiliza na
kuzungumza
Vitendawili na mafumbo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na kupambanua
umuhimu wa vitendawili na mafumbo.
• kutoa mifano ya vitendawili na
mafumbo.
• kutega vitendawili na kufumbua
mafumbo.
• Michezo
• Maelezo ya mafumbo
na vitendawili
• Utafiti
• Ufafanuzi
• Mifano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 59-61
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 42-43
• Picha au michoro
• Mkusanyo wa
vitendawili na
mafumbo
6
Fasihi yetu
Soga katika fasihi simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya soga.
• kufafanua umuhimu na mafunzo ya
soga.
• kufanya mazoezi ya kutoa soga.
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 61-62
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 43
• Kanda za sauti
• Mkusanyo wa soga
2-3
JUMA 11
MADA KUU
257
Maigizo
Ufaraguzi
Maswali na majibu
Maelezo
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
1
JUMA 11
2-3
4
5-6
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 62-64
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 43-45
• Chati na grafu
• Magazeti
• Picha
• Tarakilishi
Ufahamu
Chanzo cha matatizo barani Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
Afrika
aweze:
• kusoma taarifa na kujibu maswali kwa
usahihi.
• kueleza aina na sababu za matatizo
barani Afrika.
• kufafanua maana za maneno.
•
•
•
•
•
•
Mjadala
Tajriba
Ufaraguzi
Uchuguzi
Maswali na majibu
Usomaji
Sarufi
Mnyambuliko wa vitenzi
vya silabi moja
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutambua vitenzi vya silabi moja.
• kubainisha maana na vitenzi hivi.
• kutunga sentensi sahihi akitumia
vitenzi vya silabi moja.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Mifano
KcM 3, uk. 64-65
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Masimulizi
MwM 3, uk. 45-46
Vikundi
• Chati vya vitenzi vya
Mazoezi
silabi moja
• Kadi za maneno
• Mkusanyo wa vitenzi
vya silabi moja
Ufasaha wa lugha
Uundaji wa maneno
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya uundaji wa maneno.
• kufafanua jinsi maneno yanavyoundwa.
• kubainisha umuhimu wa kuunda
maneno.
• kuunda maneno kwa viambishi.
•
•
•
•
•
Majaribio ya uundaji • Kiswahili Fasaha,
Uvumbuzi
KcM 3, uk. 66-67
Mifano
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 3, uk. 46-47
Maswali na majibu
• Kadi za maumbo ya
maneno
• Majedwali ya maneno
Fasihi teule
Mafunzo katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua maana ya mafunzo katika
riwaya.
• kueleza namna na hatua za kupata
mafunzo.
• kubainisha mafunzo katika riwaya.
•
•
•
•
•
•
•
•
Tajriba
Utatuzi wa mambo
Kuigiza
Maelezo na ufafanuzi
Uhakiki
Usomaji
Majadiliano
Maswali na majibu
258
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 67-68
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 47-48
• Mwisho wa kosa
(Riwaya teule)
• Picha
• Michoro
• Magazeti
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 12
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
1
Utunzi
Dayolojia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya dayolojia.
• kufafanua sifa bora za dayolojia.
• kuandika dayolojia kwa usahihi.
•
•
•
•
Ufaraguzi
Kuandika dayolojia
Maswali na majibu
Maigizo
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 68
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 48-49
• Kanda za sauti
• Kanda za video
• Matini ya dayolojia
2
Kusikiliza na
kuzungumza
Mahojiano baina ya
wataalamu wawili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza umuhimu wa mahojiano kati
ya wataalamu wawili.
• kufafanua sifa hizo za mahojiano.
• kuendesha mahojiano.
• kufafanua maenezi ya ugonjwa wa
kansa.
•
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Ufafanuzi
Mifano
Mahojiano
Maigizo
Usomaji
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 69-70
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 49-50
• Picha, michoro
• Makala ya magazeti
au majarida
• Vielelezo
Fasihi yetu
Ngano katika fasihi
simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza dhima ya ngano, masimulizi
na hadhira.
• kueleza muundo wa ngano.
• kufafanua mafunzo katika tanzu hizi.
• Ufafanuzi
• Masimulizi ya visa
tofauti
• Maigizo
• Maswali na majibu
• Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 70-72
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 50-51
• Kanda za kunasia
sauti
• Ngano tofauti
• Vielelezo
Ufahamu
Saratani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi.
• kueleza chanzo cha saratani, dalili na
matibabu yake.
• kushauri jinsi ya kugundua kansa
mapema na kuizuia.
• Usomaji
• Maelezo na
ufafanuzi
• Mifano
• Majadiliano
• Mjadala
• Utatuzi wa mambo
• Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 72-74
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 51-52
• Mabango kutoka
Wizara ya Afya
• Picha au michoro
• Majarida na makala
• Mwalikwa
3-4
5
259
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
JUMA 13
MADA NDOGO
SHABAHA
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Sarufi
Mnyambuliko wa vitenzi
vya asili ya kigeni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza tofauti kati ya vitenzi vya asili
na kigeni.
• kugeuza vitenzi katika hali tofauti.
• kutumia vitenzi vya asili ya kigeni
katika sentensi na kueleza maana zake.
• Maelezo
• Ufafanuzi
• Mifano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 74-75
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 53-54
• Jedwali
• Mifano halisi
• Vielelezo
Mtihani na kusahihisha
Marudio na mazoezi ya
stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Karatasi za mitihani
• Kalamu
JUMA 12
6
MADA KUU
260
HAKIUZWI
MAONI
Yatumiwe na Kiswahili
Fasaha
Kiswahili,
Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Pili
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 76-77
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 54
• Makala
• Vielelezo
1
Ufasaha wa lugha
Muhtasari
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kudondoa hoja kuu kutoka makala
tofauti.
• kueleza mambo kwa muhtasari bila
kupoteza maana.
• kuandika muhtasari.
•
•
•
•
•
•
2
Fasihi teule
Tathmini katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza jinsi ya kujitayarisha kwa
tathmini katika riwaya.
• kubainisha aina za maswali ya riwaya
katika mtihani.
• Usomi wa riwaya
• Kiswahili Fasaha,
teule
KcM 3, uk. 77-78
• Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
• Maswali na majibu
MwM 3, uk. 55
• Majadiliano
• Riwaya teule
• Vielelezo
Utunzi
Mahojiano
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza na kufafanua mtindo na
madhumuni ya mahojiano.
• kuandika insha ya mahojiano.
•
•
•
•
Mahojiano
Mifano
Maigizo
Maswali na majibu
5
Kusikiliza na
kuzungumza
Maenezi ya Kiswahili kabla Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
ya uhuru
aweze:
• kueleza sababu za kuenea kwa Kiswahili.
• kutetea sababu za kukithamini na
kuhodhi Kiswahili kama lugha ya taifa.
• kuyafahamu maeneo ya maenezi.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Masimulizi
KcM 3, uk. 79-81
Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
MwM 3, uk. 56
Makundi
• Ramani ya maeneo ya
Maelezo na ufafanuzi
Afrika Mashariki
• Picha na michoro
• Historia ya Kiswahili
(OUP)
6
Fasihi yetu
Visasili katika fasihi
simulizi
• Maelezo ya sifa za
visasili
• Mifano
• Masimulizi
• Uhakiki
• Maswali na majibu
JUMA 1
3-4
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza na kufafanua maana na sifa za
visasili.
• kutoa mfano wa kisasili.
261
Maelezo
Mifano
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Kazi mradi
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 78
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 55
• Mikusanyo ya
mahojiano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 81
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 56-58
• Vielelezo
• Wanafunzi
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
MADA NDOGO
SHABAHA
Ufahamu
Urafiki baina ya Binadamu
na Mbwa
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
• kuhakiki matumizi ya lugha na ujumbe
wa hadithi.
•
•
•
•
•
Sarufi
Vielezi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza dhana ya vielezi.
• kutaja na kueleza aina za vielezi.
• kutunga sentesi kwa kutumia vielezi
tofauti.
• Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
• Maswali na majibu
KcM 3, uk. 84-87
• Majadiliano
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 60
• Picha
• Michoro
• Vibonzo
4
Ufasaha wa lugha
Uhusiano wa Kiswahili na
lugha za kigeni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza uhusiano baina ya Kiswahili na
lugha za kigeni.
• kutaja msamiati wa kukopwa.
• Maelezo ya
mwingiliano wa
Kiswahili na lugha za
kigeni
• Maswali na majibu
• Majadiliano
• Makundi
• Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 87-88
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 60-61
• Ramani
• Michoro na picha
• Vielelezo
• Historia ya Kiswahili
(OUP)
5
Fasihi teule
Maana na usuli wa hadithi
fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya usuli na hadithi fupi.
• kueleza umuhimu wake katika kuhakiki
wa hadithi fupi.
• kufafanua usuli wa hadithi katika kitabu
kiteule cha hadithi fupi.
•
•
•
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 89-90
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 61-62
• Kitabu kiteule cha
hadithi fupi
1
2-3
JUMA 2
MADA KUU
262
Kusoma
Uhakiki
Tajriba
Maswali na majibu
Ufafanuzi
Maelezo
Mifano
Tajriba
Majadiliano
Makundi
Kusoma
Maswali na majibu
Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 82-84
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 58-60
• Kamusi
• Vielelezo
• Picha
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA NDOGO
1-2
4-5
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Insha ya masimulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za insha ya masimulizi.
• kusimulia na kuandika kisa juu ya mada
waliyopewa.
•
•
•
•
Maelezo
Maswali na majibu
Masimulizi
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 90
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 62-63
• Kanda za sauti zenye
masimulizi
• Magazeti
Fasihi teule
Hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma hadithi fupi.
• kuichambua kwa usahihi.
• kujadili maudhui na lugha.
•
•
•
•
•
•
Kusoma
Maelezo
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Uchambuzi
• Kitabu kiteule cha
hadithi fupi
• Miongozo ya
uchambuzi wa hadithi
fupi
Kusikiliza na
kuzungumza
Wasifu wa kitu au mtu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutoa fasili ya neno wasifu.
• kutoa mifano ya wasifu.
• kueleza mafunzo kutoka kwa wasifu.
•
•
•
•
Maelezo
Mifano
Maigizo
Ziara nyanjani
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 91-92
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 63-64
• Kanda za sauti au
video
• Mikusanyo ya wasifu
Fasihi yetu
Mighani katika fasihi
simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na sifa ya mighani.
• kutoa mifano ya mighani.
• kupambanua umuhimu wa mighani.
•
•
•
•
•
Ziara nyanjani
Utafiti
Mifano
Maelezo
Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 92-93
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 64-65
• Mikusanyo ya
mighani
• Mazingira halisi
JUMA 3
3
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
Utunzi
JUMA 2
6
MADA KUU
263
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA NDOGO
1-2
4-5
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Wasifu wa Shaaban Robert
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha.
• kueleza maana za maneno na vifungu.
• kujibu maswali kwa usahihi.
•
•
•
•
Kusoma
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 94-95
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 65-66
• Picha za Shaaban
Robert
• Mikusanyo ya
maandishi ya
Shaaban Robert
Sarufi
Viwakilishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na kazi ya baadhi ya
viwakilishi.
• kutoa mifano ya viwakilishi.
• kutunga sentensi kwa kutumia baadhi
ya viwakilishi.
•
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Kuigiza
Ufafanuzi
Mifano
Kazi mradi
Uchunguzi
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 96-100
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 66-67
• Mandhari ya shule
• Chati
• Vitu halisi
• Vielelezo
Ufasaha wa lugha
Tawasifu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua maana na sifa za tawasifu.
• kupambanua vipengele vya tawasifu.
• kueleza matumizi na umuhimu wa
tawasifu.
•
•
•
•
Maelezo
Uchunguzi
Tajriba
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 100-101
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 67-68
• Mikusanyo ya
tawasifu
• Vielelezo
Fasihi teule
Muundo na mtindo wa
hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua muundo na mtindo wa
hadithi fupi.
• kufafanua matumizi ya lugha katika
hadithi fupi.
•
•
•
•
•
•
Usomaji
Uchunguzi
Ufafanuzi
Mifano
Maelezo
Uchambuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk101-102
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 69
• Kitabu kiteule cha
hadithi fupi
• Jedwali
JUMA 4
3
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
Ufahamu
JUMA 3
6
MADA KUU
264
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
6
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 102-104
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 69-70
• Vielelezo
Insha ya wasifu na tawasifu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza muundo na hatua za kuandika
wasifu na tawasifu.
• kuandika insha ya tawasifu na wasifu.
•
•
•
•
•
1-2
Kusikiliza na
kuzungumza
Kupasha ujumbe siku hizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kukariri shairi.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• kueleza sifa za ujumbe wa rununu
ulioandikwa.
•
•
•
•
•
Kukariri
Mjadala
Tajriba
Maelezo
Ufahamu wa
kusikiliza
• Maswali na majibu
• Usomaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 105-106
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 70-72
• Simu tamba
• Michoro na picha
• Shairi kutoka MwM
3-4
Fasihi yetu
Miviga katika fasihi simulizi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua maana na faida ya miviga.
• kutoa mifano ya miviga kutoka jamii
mbalimbali.
•
•
•
•
•
Maigizo
Tajriba
Majadiliano
Utazamaji
Ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 106-107
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 72-73
• Kanda za sauti
• Wanafunzi
• Picha za sherehe
• Mafanani toka jamii
tofauti
Ufahamu
Satalaiti
•
•
•
•
Usomaji
• Kiswahili Fasaha,
Utafiti
KcM 3, uk. 107-109
Uvumbuzi
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 3, uk. 73-74
• Picha
• Wavuti
• Kamusi
5
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kujibu maswali kwa usahihi.
265
Majaribio
Uchunguzi
Vikundi
Mifano
Kuandika
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Utunzi
JUMA 5
JUMA 4
KIPINDI
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 5
KIPINDI
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
6
Sarufi
Viwakilishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na matumizi ya
viwakilishi.
• kutoa mifano ya baadhi ya viwakilishi
na kuvitumia katika sentensi.
• Maelezo
• Mifano
• Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 109-112
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 74-75
• Jedwali la viwakilishi
• Vielelezo
1
Ufasaha wa lugha
Lugha ya kompyuta
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza matatizo ya lugha ya kompyuta
na ufumbuzi wake.
• kufafanua istilahi za kompyuta.
•
•
•
•
•
Maelezo
Mahojiano
Utafiti
Mifano
Tafsiri
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 112-113
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 75
• Kamusi
• Kadi za maneno
Fasihi teule
Maudhui katika hadithi fupi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maudhui ya hadithi fupi.
• kufafanua jinsi ya kufichua maudhui ya
hadithi fupi.
•
•
•
•
•
•
Usomaji
Uvumbuzi
Maswali na majibu
Maelezo
Uhakiki
Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 113
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 75-76
• Kitabu kiteule cha
hadithi fupi
4
Utunzi
Baruapepe
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha sura za baruapepe.
• kueleza maana ya baruapepe.
• kuandika baruapepe.
•
•
•
•
•
Majaribio
• Kiswahili Fasaha,
Mifano
KcM 3, uk. 114
Utafiti
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 3, uk. 76
Kuandika
• Tarakilishi
• Mikusanyo ya
baruapepe
5
Kusikiliza na
kuzungumza
Methali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza umuhimu, maana na matumizi
ya methali.
• kupambanua uhusiano kati ya methali
na mazingira zinamotumika.
•
•
•
•
•
Maelezo
Ufafanuzi
Utafiti
Uchambuzi
Tajriba
2-3
JUMA 6
MADA KUU
266
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 115-116
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 77-78
• Kamusi za methali
• Vielelezo
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
6
Fasihi yetu
Sifa za methali katika fasihi
simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua na kutathmini lugha ya
methali.
• kubainisha muundo wa methali.
•
•
•
•
•
Uchunguzi
Maelezo
Mifano
Tajriba
Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 116-118
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 78-80
• Kamusi za methali
• Shairi toka MwM
• Mandhari tofauti
1
Ufahamu
Tapeli hatari
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha.
• kueleza ujumbe wa kifungu.
• kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
•
•
•
•
•
Uvumbuzi
Maelezo na ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Usomaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 118-120
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 80-81
• Kamusi za methali
2
Sarufi
Viwakilishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupambanua baadhi ya viwakilishi vya
ngeli na a- unganifu.
• kubainisha maumbo ya viwakilishi.
• kutunga sentensi sahihi kudhihirisha
matumizi ya viwakilishi.
•
•
•
•
Maelezo
Uchunguzi
Mifano
Ufafanuzi na
maelezo
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 120-122
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 81-82
• Chati za maumbo ya
viwakilishi
• Vielelezo
3-4
Ufasaha wa lugha
Tamathali za semi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza na kufafanua baadhi ya
tamathali za semi.
• kutumia tamathali za semi katika
sentensi.
•
•
•
•
Ufafanuzi
Mifano ya tamathali
Maelezo
Kuchambua
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 122-124
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 82-83
• Picha, mashairi,
hadithi au riwaya
zilizo na tamathali
5-6
Fasihi teule
Ushairi mapokeo (wa jadi)
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya ushairi wa mapokeo
na sifa zake.
• kuhakiki mashairi ya arudhi.
•
•
•
•
Mijadala
Mifano
Uhakiki
Maelezo
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 124-125
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 83-85
• Vielelezo
• Magazeti
JUMA 6
JUMA 7
MADA NDOGO
267
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 8
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
1
Utunzi
Insha ya methali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua methali.
• kuandika insha inayothibitisha ukweli
na matumizi ya methali.
•
•
•
•
Ufafanuzi
Masimulizi
Mifano
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 126
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 85
• Vielelezo
• Michoro
• Kamusi
• Mikusanyo ya methali
2
Kusikiliza na
kuzunguma
Misemo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya misemo na nahau
mbalimbali.
• kutoa mifano na kuitumia misemo na
nahau katika sentensi.
•
•
•
•
Utafiti
Mifano
Maelezo
Mashindano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 127-128
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 86-87
• Jedwali
• Mikusanyo ya misemo
na nahau
• Michoro ya
kubainisha dhana
mbalimbali
3
Fasihi yetu
Ushairi: Nyimbo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana, sifa na aina za nyimbo.
• kupambanua miundo tofauti ya nyimbo
na umuhimu wake.
•
•
•
•
•
•
Utazamaji
Mahojiano
Maelezo
Mifano
Uimbaji
Ufahamu wa
kusikiliza
• Imla
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 128-130
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 87-89
• Kanda za muziki
• Malenga mwalikwa
• Zana za muziki
4
Ufahamu
Situmiki kinafiki
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kariri kwa ufasaha.
• kuhifadhi kiini cha habari katika shairi.
• kujibu maswali ya shairi kwa usahihi.
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 130-132
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 89-90
• Kanda za sauti
• Picha magazetini
• Ramani ya Afrika
Mashariki
268
Kuigiza
Kusoma na kukariri
Tajriba
Uchunguzi
Maswali na majibu
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
5-6
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Fasihi teule
Riwaya teule
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kutathmini kazi ya fasihi.
• kueleza sifa na tabia za wahusika.
• kujadili maudhui na matumizi ya lugha
katika riwaya teule.
•
•
•
•
Usomaji
Uhakiki
Majadiliano
Uchambuzi wa
maudhui, lugha na
wahusika
• Wanafunzi wenyewe
• Kitabu kiteule chenye
riwaya
1
Sarufi
Upatanisho wa kisarufi
katika umoja na wingi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha nyanja mbalimbali za umoja
na wingi.
• kubadilisha sentensi kutoka umoja hadi
wingi na kinyume chake.
• kutunga sentensi katika umoja na wingi
akizingatia upatanisho wa kisarufi.
•
•
•
•
Uchunguzi
Mifano
Ufafanuzi na maelezo
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 132-133
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 90-93
• Jedwali la viambishi
vya ngeli
• Kadi za maneno
2
Ufasaha wa lugha
Mlinganisho wa mashairi
ya arudhi na mashairi huru
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuonyesha kufanana kwa mashairi ya
mapokeo na huru.
• kupambanua tofauti zilizomo.
•
•
•
•
Utatuzi wa mambo
Uchunguzi kifani
Kuigiza
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 134-135
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 93-95
• Mkusanyo wa
mashairi
• Michoro ya vina na
mizani
Fasihi teule
Ushairi wa jadi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua dhana ya ushairi wa jadi
kimuundo, lugha na wahusika, n.k.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Maigizo
Ufafanuzi
Uchunguzi
Ugunduzi
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 135-137
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 95-96
• Kanda za sauti
• Chati za vina na
mizani
• Vielelezo vya
mashairi
JUMA 9
JUMA 8
KIPINDI
3-4
269
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 9
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 137-138
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 96-97
• Kamusi tofauti
• Makala tofauti
5
Utunzi
Shairi la arudhi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua hatua za utunzi wa mashairi.
• kutunga shairi la arudhi au huru kama
njia ya kisanii.
•
•
•
•
•
6
Hadithi fupi
Hadithi teule
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kutathmini kazi ya fasihi,
kimuundo na lugha.
• kuchambua maudhui na wahusika
katika hadithi hiyo.
• Usomaji
• Majadiliano
• Uchambuzi
• Kitabu cha hadithi
fupi kilichoteuliwa
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Mjadala
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuzua hoja na kuzitetea.
• kuziwasilisha katika mjadala kwa
ufasaha.
•
•
•
•
Mjadala
Utendaji
Ufafanuzi
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 139
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 97-98
• Kanda za sauti
• Makala tofauti
• Wanafunzi
Fasihi yetu
Maghani katika fasihi
simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza na kufafanua aina tofauti za
maghani.
• kueleza sifa za utanzu mbalimbali wa
maghani.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Masimulizi
KcM 3, uk. 13-141
Maigizo
• Kiswahili Fasaha,
Ufaraguzi
MwM 3, uk. 98-100
Majadiliano
• Malenga wa Vumba
Vikundi
(OUP)
• Malenga wa Mvita
(OUP)
• Wanafunzi
Ufahamu
Sakata za ufisadi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kueleza chanzo na madhara ya ufisadi.
• kujibu maswali kwa usahihi.
•
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
Usomaji
KcM 3, uk. 141-144
Ufafanuzi na maelezo
•
Kiswahili Fasaha,
Tajriba
MwM 3, uk. 101-103
Makundi
•
Makala ya magazetini
Mjadala
• Fanani
• Wanafunzi
JUMA 10
2-3
4
270
Majaribio
Utatuzi wa mambo
Tajriba
Utafiti
Kuandika
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Sarufi
Upatanisho wa kisarufi
katika umoja na wingi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha nyanja mbalimbali za umoja
na wingi.
• kutunga na kugeuza sentensi katika hali
moja hadi nyingine.
• kubainisha viambishi visisitizi na vya
vivumishi vya pekee.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Ufafanuzi
Tajriba
Majadiliano
Makundi
Mazoezi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 144-148
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 103
• Majedwali ya ngeli na
viambishi
• Wanafunzi
1
Ufasaha wa lugha
Muhtasari
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mambo muhimu ya kuzingatia
katika muhtasari.
• kuandika muhtasari wa kifungu teule.
•
•
•
•
•
Maswali na majibu
Kazi mradi
Uchunguzi
Kuandika
Kufupisha
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 148-149
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 103-105
• Vielelezo
• Wanafunzi
2
Fasihi teule
Mashairi huru
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya shairi huru.
• kufafanua na kuhakiki mashairi huru.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu.
KcM 3, uk. 149-150
Makundi
• Kiswahili Fasaha,
Uchambuzi
MwM 3, uk. 105-107
Kukariri
• Vielelezo vya
mashairi huru
• Kanda za sauti
3
Utunzi
Mjadala
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza muundo wa insha ya mjadala.
• kufafanua sifa na kuandika insha ya
mjadala kwa usahihi.
• kujadii hoja ya kuwaadhibu mafisadi
kwa ufasaha.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Mjadala
KcM 3, uk. 150
Utafiti na uchunguzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
MwM 3, uk. 107-108
Tajriba
• Vielelezo vya insha za
mjadala
• Mikusanyo ya maoni
ya watu
• Jedwali la hoja
JUMA 10
5-6
JUMA 11
MADA NDOGO
271
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
JUMA 11
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Kusikiliza na
kuzungumza
Afisa mtawala na raia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sababu za migogoro baina ya
watu na wanyama mwitu.
• kupendekeza suluhisho.
• kueleza maana ya maneno.
•
•
•
•
•
Utatuzi wa mambo
Tajriba
Uchunguzi
Kusoma
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 151-153
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 108-109
• Picha
• Vibonzo
• Makala ya magazeti
6
Fasihi yetu
Ngomezi katika fasihi
simulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na kuainisha ngomezi.
• kufafanua matumizi na manufaa ya
ngomezi.
• kukusanya mifano ya ngomezi.
•
•
•
•
•
•
Maigizo
Maelezo na
ufafanuzi
Utafiti
Mahojiano
Ukusanyaji na
uhifadhi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 153-154
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 110
• Kanda za sauti
• Zana halisi
• Mkusanyo wa
ngomezi
1
Ufahamu
Historia ya katiba
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kusoma taarifa kwa kuzingatia kanuni
za usomaji bora.
• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
•
•
•
•
•
•
Usomaji
Maswali na majibu
Majadiliano
Utafiti
Maelezo
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 154-156
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 110-111
• Mikusanyo
magazetini
• Katiba (kielelezo)
• Fanani
• Machapisho na
miswada
2
Sarufi
Upatanisho wa kisarufi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua dhana ya upatanisho wa
kisarufi akizingatia ‘amba’ rejeshi, ‘o’
rejeshi na ‘a’ unganifu.
• kutunga sentesi sahihi akidhihirisha
upatanisho wa kisarufi.
•
•
•
•
Maelezo
Tajriba
Mifano
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 156-157
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 112-114
• Vielelezo
• Chati za maumbo ya
viambishi
• Majedwali
4-5
JUMA 12
MADA KUU
272
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 12
KIPINDI
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
3
Ufasaha wa lugha
Magazeti
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutoa mifano ya aina za magazeti na
sifa zake.
• kupambanua muundo na lugha ya
gazeti.
• kuandika makala ya kuchapishwa.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Uchunguzi kifani
Mifano
Utafiti
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk158-159
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 115-116
• Michoro
• Picha
• Tarasha
• Magazeti tofauti
4
Fasihi teule
Usuli wa tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana, hatua na mbinu za
kuchambua usuli wa tamthilia.
• kufafanua usuli wa tamthilia teule
kulingana na masharti mbalimbali.
•
•
•
•
•
Uchunguzi
Maigizo
Michezo
Tajriba
Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 159-160
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 116-117
• Maleba
• Video
• Kanda za sauti
• Tamthlia teule
Utunzi
Tahariri
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na sifa za tahariri.
• kufuata hatua za kuandika tahariri ya
gazeti.
• kuandika tahariri.
•
•
•
•
•
Maana ma maelezo
Utafiti wa mambo
Uchunguzi
Dayolojia
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 160
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 117-118
• Machapisho
• Tarasha
• Vielelezo
Mtihani na kusahihisha
Mazoezi na marudio ya
stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Tajriba ya wanafunzi
• Karatasi za mitihani
• Kalamu
5-6
JUMA 13
MADA KUU
273
HAKIUZWI
MAONI
Yatumiwe na Kiswahili
Fasaha
Kiswahili,
Kidato cha Tatu, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu
JUMA 1
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Misimu na lakabu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya misimu na lakabu.
• kujadili umuhimu wao.
• kutoa mifano ya misimu na lakabu.
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
KcM 3, uk. 161-162
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Ufahamu wa
MwM 3, uk. 119-120
kusikiliza
• Vielelezo
• Wanafunzi
• Kadi za maneno
2
Fasihi yetu
Lugha ya nathari na
ufupisho katika ushairi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya ufupisho na lugha ya
nathari katika shairi.
• kuandika shairi katika lugha ya nathari.
• kufafanua umuhimu wa lugha ya
ufupisho katika shairi.
•
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Majadiliano
Maswali na majibu
Mifano
Makundi
Uhakiki
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 162-163
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 120-121
• Vielelezo
• Sauti ya Dhiki (OUP)
• Kanda za sauti
• Wanafunzi
3
Ufahamu
Kujali wenye ukimwi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kujadili yaliyomo.
• kueleza maana ya istilahi ngeni na
msamiati.
• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
•
•
•
•
•
•
Tajriba ya wanafunzi
Mazungumzo
Mjadala
Maelezo
Maswali na majibu
Usomaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 163-165
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 121-122
• Picha au michoro
• Waalikwa
• Kanda za video
• Magazeti
Sarufi
Aina za virai
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza virai.
• kutaja na kueleza aina za virai.
• kubainisha virai mbalimbali katika
sentensi.
•
•
•
•
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Makundi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 166-167
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 123
• Vielelezo vya virai
• Wanafunzi
4-5
274
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Utunzi
Insha ya maelezo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza mambo ya kuzingatiwa wakati
wa kuandika insha ya maelezo.
• kuandika insha ya maelezo kwa usahihi.
•
•
•
•
•
Maelezo
Maigizo
Tajriba
Maswali na majibu
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 170
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 125
• Vielelezo
• Majarida
• Makala ya magazeti
1-2
Ufasaha wa lugha
Muhtasari: Usanifishaji wa
lugha ya Kiswahili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya usanifishaji.
• kufafanua sababu za kusanifisha lugha.
• kujadili udhaifu katika usanifishaji wa
Kiswahili.
• kufupisha makala kama alivyoagizwa.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Makundi
Kufupisha
Utafiti
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 167-169
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 123-124
• Historia ya Kiswahili
(OUP)
• Ramani
• Orodha ya lahaja za
Kiswahili
3-4
Fasihi teule
Maudhui katika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maudhui na dhamira katika
tamthilia.
• kueleza namna ya kuhakiki maudhui.
• kufafanua mambo muhimu ya
kuzingatia katika uchambuzi wa
maudhui.
•
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Ufafanuzi
Mifano
Majadiliano
Tajriba
Makundi
Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 169-170
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 124-125
• Tamthilia teule
• Vielelezo
• Wanafunzi
• Kanda za sauti na
video
5-6
Hadithi fupi
Wahusika katika hadithi
fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma na kuchambua hadithi teule
kama alivyoagizwa.
• kueleza wahusika wanavyojipambanua
katika hadithi fupi.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Majadiliano
Maswali na majibu
Tajriba
Makundi
Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 171-172
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 127-128
• Hadithi fupi teule
• Jedwali
JUMA 2
JUMA 1
6
275
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 4
JUMA 3
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
1
Kusikiliza na
kuzungumza
Maagizo na maelekezo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya maagizo na
maelekezo.
• kufafanua umuhimu wa maagizo na
maelekezo.
• kuandika ripoti.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Mifano
Kazi mradi
Tajriba
Kuandika
Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 171
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 125-127
• Vielelezo
• Chati za vielelezo
• Mifano ya ripoti
2
Ufahamu
Povu la sabuni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kwa ufasaha na kujibu maswali
kwa usahihi.
• kuzingatia mafunzo yaliyomo.
•
•
•
•
•
Tajriba
Mjadala
Mifano
Maigizo
Usomaji
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 172-174
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 128-129
• Picha au michoro
3-4
Sarufi
Aina za vishazi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuanisha vishazi.
• kutunga sentensi kwa kutumia vishazi.
• Maelezo
• Mifano
• Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 175-176
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 129-130
• Vielelezo
• Mazingira halisi
5-6
Ufasaha wa lugha
Mwingiliano wa maneno
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuanisha na kubainisha aina za maneno
kutegemea matumizi.
• kutunga sentensi kubainisha
mabadiliko ya aina ya maneno.
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 177-179
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 130
• Kadi za maneno
• Chati za sentensi
• Vielelezo ubaoni
1-2
Fasihi teule
Wahusika katika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua nafasi ya mhusika.
• kueleza uumbaji na uchoraji wa
wahusika.
• kupambanua aina za wahusika.
• kueleza jinsi ya kuchambua wahusika.
•
•
•
•
•
276
Uchunguzi
Mifano
Michezo ya lugha
Maelezo na ufafanuzi
Maigizo
Uchunguzi
Mjadala
Utazamaji
Ufahamu wa
kusikiliza
• Ufafanuzi
• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 179-181
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 131-132
• Picha au michoro
• Mazingira halisi
• Kanda za sauti
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk.181-182
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk.132-133
• Vielelezo
• Vitu halisi
• Visa vya magazetini
Hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua hatua za kuandika hadithi
fupi.
• kuandika hadithi fupi kwa usahihi.
•
•
•
•
•
•
4
Kusikiliza na
kuzungumza
Habari na ripoti za runinga
na redio
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana, umuhimu na jinsi ya
kutoa ripoti za redio na runinga.
• kuanisha ripoti hizi.
•
•
•
•
Maelezo
Masimulizi
Mifano
Ufahamu na
kusikiliza
• Mjadala
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk.183
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 133-135
• Runinga
• Redio
• Nakala za ripoti
• Kanda za sauti
Fasihi yetu
Matumizi ya lugha katika
hadithi fupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza fani ya lugha katika hadithi
fupi.
• kufafanua umuhimu wa fani hizi.
•
•
•
•
•
•
Kusoma
Uchunguzi
Ufafanuzi
Mjadala
Masimulizi
Uchambuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 183-184
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 135-136
• Sadiki ukipenda
(JKF)
Ufahamu
Ripoti za michezo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kueleza aina ya michezo.
• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
•
•
•
•
•
Utafiti
• Kiswahili Fasaha,
Tajriba
KcM 3, uk. 184-186
Maswali na majibu
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 3, uk. 136-137
Usomaji
• Picha na vifaa vya
michezo na wachezaji
Sarufi
Sentensi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuanisha sentensi.
• kueleza sifa na aina za sentensi.
• kutoa mifano ya kila aina ya sentensi.
•
•
•
•
•
Majadiliano
Makundi
Mifano
Ufafanuzi
Mazoezi
JUMA 4
Utunzi
1
2-3
277
Mifano
Majaribio
Uchunguzi
Majadiliano
Maelezo na ufafanuzi
Vidokezo
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
3
5-6
JUMA 5
MADA KUU
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 186-188
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 137
• Vielelezo vya
sentensi
• Majedwali ya
sentensi
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Ufasaha wa lugha
Lugha za ripoti na uandishi
wake
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza jinsi ya kuwasilisha ripoti.
• kueleza lugha ya ripoti.
• kuandika ripoti maalumu.
• Maelezo
• Mifano
• Utafiti
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 188-189
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 137-138
• Vielelezo
5-6
Fasihi teule
Muundo na mtindo wa
tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha na kueleza muundo na
mtindo wa tamthilia.
• kuhakiki muundo na mtindo wa
tamthilia.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Ufafanuzi
Utazamaji
Masimulizi
Uhakiki
Kuigiza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 189-190
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 138
• Kitabu kiteule cha
tamthilia
• Vielelezo
1-2
Utunzi
Insha ya ripoti
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza hatua za kuandika ripoti.
• kuandika ripoti kwa usahihi.
•
•
•
•
Ufaraguzi
Utafiti
Kazi mradi
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 190
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 138-139
• Vielelezo
Kusikiliza na
kuzungumza
Mahakama
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua aina za mahakama na
shughuli zao.
• kutumia msamiati unaofaa wa
mahakama kutungia sentensi.
• kuendesha mazungumzo ya
mahakama.
•
•
•
•
•
•
Ziara
Masimulizi
Utafiti
Maelezo
Ufaraguzi
Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 191
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 139-142
• Picha michoro
• Maleba
• Mandhari halisi
• Kamusi
Fasihi yetu
Aina za maigizo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya maigizo na sifa zake.
• kubainisha sura za sanaa za maonyesho
ya kawaida.
•
•
•
•
Kuigiza
• Kiswahili Fasaha,
Ziara
KcM 3, uk. 192-193
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Masimulizi
MwM 3, uk. 142
• Vitu halisi
• Maleba
• Mandhari
• Vielelezo
• Picha
4
JUMA 5
MADA KUU
JUMA 6
3
4-5
278
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
6
Ufahamu
Haki za binadamu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
• Kusoma kwa sauti au
aweze:
kimya
• kusoma na kujibu maswali kwa usahihi. • Kukariri
• kueleza ujumbe wa shairi.
• Maswali na majibu
• Maelezo
• Makundi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 194-195
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 142-143
• Vibonzo
• Magazeti
• Kadi za maneno
1
Sarufi
Uchanganuzi wa sentensi
kwa njia ya mishale
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuchanganua sentensi kwa njia ya
mishale au mistari.
• kueleza muundo wa kikundi nomino
(KN) na kikundi tenzi (KT).
• Maelezo na ufafanuzi
• Mifano
• Mazoezi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 195-196
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 143-144
• Vielelezo
2
Ufasaha wa lugha
Muhtasari –
Haki za watoto
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kudondoa hoja muhimu.
• kuandika muhtasari wa kifungu.
• kubainisha haki za watoto.
•
•
•
•
Utatuzi wa mambo
Masimulizi
Maelezo na ufafanuzi
Makundi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 196-198
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 144
• Mabango
• Tarasha
• Kielelezo cha katiba
3
Fasihi teule
Matumizi ya lugha katika
tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za lugha katika tamthilia.
• kutoa mifano ya aina mbalimbali za
matumizi ya lugha katika tamthilia.
•
•
•
•
•
Kuigiza
Uchunguzi kifani
Mifano
Ufafanuzi
Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 198-199
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 144-145
• Vibonzo
• Tamthilia teule
Utunzi
Mchezo wa kuigiza
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupambanua aina ya michezo ya
kuigiza.
• kuandika mchezo wa kuigiza kwa
usahihi kama njia ya kisanii.
•
•
•
•
Kuigiza
Majadiliano
Majaribio
Kuandika
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 199-200
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 145
• Vielelezo vya
michezo ya kuigiza
• Kanda za sauti na
redio
JUMA 6
JUMA 7
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
4-5
279
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
JUMA 7
6
1-2
JUMA 8
3
4-5
6
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Kusikiliza na
kuzungumza
Mialiko
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana na umuhimu wa
mialiko.
• kupambanua sifa za mialiko.
• kuanisha mialiko.
•
•
•
•
Mifano
Utafiti
Vikundi
Maelezo na
ufafanuzi
• Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 201-202
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 145-149
• Kadi za mialiko
• Vielelezo ya mialiko
• Tarasha
Fasihi yetu
Aina za maigizo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kutoa mifano ya aina
mbalimbali za maigizo.
• kupambanua umuhimu wa maigizo.
• kueleza jinsi ya kuchanganua maigizo.
•
•
•
•
•
Ziara
Utafiti
Uchunguzi
Maswali na majibu
Maelezo na
ufafanuzi
• Maigizo
• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 202-203
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 149
• Mazingira halisi
• Vifaa na maleba
• Kanda za sauti
• Picha au michoro
Ufahamu
Kumbukumbu za mkutano
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma kumbukumbu kwa ufasaha.
• kueleza maana za maneno na vifungu.
• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
•
•
•
•
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 204-206
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 149-150
• Kadi za hoja
• Vielelezo
Sarufi
Uchanganuzi wa sentensi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kubainisha dhana ya uchanganuzi.
• kuchanganua sentensi kwa njia ya
jedwali.
• Mazoezi
• Maelezo na
ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 206-208
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 150-151
• Majedwali
• Vielelezo
• Kadi za sentensi
Ufasaha wa lugha
Kumbukumbu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza umuhimu wa kumbukumbu.
• kupambanua sifa za kumbukumbu.
• kujibu maswali kwa usahihi.
• Ufafanuzi
• Dayolojia
• Mahojiano
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 208-209
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 151-152
• Tarasha
• Vielelezo
280
Maswali na majibu
Majadiliano
Maelezo
Kuigiza
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 9
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
1-2
Fasihi teule
Mafunzo katika tamthlia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya mafunzo.
• kufafanua mbinu wanazozitumia
wasanii kutoa mafunzo katika
tamthilia.
• kueleza mafunzo kwenye tamthilia.
•
•
•
•
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
Mifano
KcM 3, uk. 209-210
Mjadala
• Kiswahili Fasaha,
Maelezo na ufafanuzi
MwM 3, uk. 152-153
• Picha za mambo
tofauti
• Mikusanyo ya
tahakiki mbalimbali
• Kanda za sauti
3-4
Utunzi
Insha ya kumbukumbu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua mambo ya kuzingatia wakati
wa kuandika kumbukumbu.
• kuandika kumbukumbu kwa usahihi.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Ugunduzi
Majaribio
Uchunguzi kifani
Kuandika
Ufahamu wa
kusikiliza
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 210
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 153-155
• Mazingira halisi
• Tarasha
• Vielelezo
5
Kusikiliza na
kuzungumza
Matangazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za matangazo katika redio
na runinga.
• kufafanua jinsi ya kuandaa matangazo
ya redio na runinga.
• kuhakiki na kuandaa matangazo.
•
•
•
•
•
•
Maelezo
Tajriba
Majadiliano
Maswali na majibu
Ufaraguzi
Ufahamu wa
kusikiliza
• Uhakiki
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 211
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 155-158
• Kanda za sauti
• Vielelezo vya
matangazo
• Wanafunzi wenyewe
6
Fasihi yetu
Mikusanyo ya kazi za fasihi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
simulizi
aweze:
• kufafanua umuhimu wa kukusanya na
kuhifadhi fasihi simulizi.
• kueleza njia za kuhifadhi kazi za fasihi
simulizi.
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi • Kiswahili Fasaha,
Maswali na majibu
KcM 3, uk. 211-213
Makundi
• Kiswahili Fasaha,
Uhakiki
MwM 3, uk. 158-159
• Vielelezo vya kazi za
fasihi simulizi
• Kanda za sauti
• Wanafunzi
281
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
KIPINDI
MADA KUU
MADA NDOGO
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
SHABAHA
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
Ufahamu
Maji na uhai
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kusoma taarifa kwa ufasaha.
• kufafanua hali ya maji na umuhimu
wake.
• kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.
•
•
•
•
•
Usomaji
Tajriba
Maswali na majibu
Uvumbuzi
Uchunguzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 213-215
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 159-217
• Picha na michoro za
mambo ya maji
• Chati za hali za maji
Sarufi
Uchanganuzi wa sentensi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza maana ya uchanganuzi.
• kuchanganua sentensi sahili, ambatano
na changamano kwa njia ya michoro ya
matawi.
•
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Tajriba
Mifano
Majadiliano
Makundi
Mazoezi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 216-217
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 161-166
• Vielelezo
4
Ufasaha wa lugha
Matangazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kuandika tangazo la kuvutia kulingana
na kichwa walichopewa.
• kueleza sifa za matangazo ya
maandishi.
•
•
•
•
Maelezo
Maswali na majibu
Makundi
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 218
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 166-167
• Magazeti
• Wanafunzi
• Mabango
5
Fasihi teule
Tathmini katika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kueleza sifa za tathmini katika
tamthilia.
• kueleza namna ya kujibu maswali
katika tamthilia.
•
•
•
•
•
Maelezo na ufafanuzi
Maswali na majibu
Uhakiki
Uchunguzi
Tajriba
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 219-220
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 167-168
• Vielelezo
• Tamthilia teule
6
Utunzi
Insha ya makala ya
kitaaluma
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kufafanua maana ya makala ya
kitaaluma.
• kuandika insha ya kitaaluma kuhusu
mada waliyopewa kwa usahihi.
•
•
•
•
Ufaraguzi
Makundi
Mahojiano
Maelezo na ufafanuzi
• Kiswahili Fasaha,
KcM 3, uk. 220
• Kiswahili Fasaha,
MwM 3, uk. 168
• Vielelezo vya makala
ya kitaaluma
• Magazeti au majarida
1
JUMA 10
2-3
282
HAKIUZWI
MAONI
Kiswahili, Kidato cha 3
Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
JUMA 11-12
KIPINDI
MADA KUU
Mtihani na kusahihisha
MADA NDOGO
Mazoezi na marudio ya
stadi zote
SHABAHA
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi
aweze:
• kupitia yote waliyojifunza.
• kubuni na kujieleza.
• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
283
NJIA ZA
KUFUNDISHIA
• Tajriba ya wanafunzi
NYENZO ZA
KUFUNDISHIA
• Karatasi za mitihani
• Kalamu
HAKIUZWI
MAONI

Similar documents