jamhuri ya muungano wa tanzania

Transcription

jamhuri ya muungano wa tanzania
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA
RIPOTI YA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA BARA 2004
Imetayarishwa na:
Idara ya Tiba
Afya Makao Makuu
P.O. Box 9083,
DAR ES SALAAM
June 2005
Yaliyomo
1.1
1.2
1.3
1.4
1.5
1.6
1.7
2.0
2.1
2.2
2.2.1
2.2.2
2..2.3
2.3.
2.3.1
2.3.2
2.3.3
2.3.4
2.3.5
2.3.6
2.3.7
2.3.8
2.3.9
2.3.10
2.3.11
2.3.12
2.3.13
2.3.14
2.3.15
2.4
2.4.1
2.4.2
2.4.3
2.4.4
2.4.5
2.4.6
2.4.7
2.4.8
2.5
2.5.1
2.6
2.7
2.7.1
2.7.2
2.7.3
2.8
2.8.1
2.8.2
2.8.3
3.0
3.1
3.2
3.3
3.4
3.5
3.6
4.0
4.1
4.2
4.3
4.4
4.5a
4.5b
4.6
4.7
Vifupisho
Utanguli
Ripotiya Huduma za Aya Makao Makuu 2004/2005
Dira/Mwelekeo (Vision ya Wizara)
Majukumu ya Wizara ya Afya
Azma (Mission) ya Wizara ya Afya
Malengo ya Wizara ya Afya
Maeneo yaliyopewa Kipaumbele 2004/2005
Muhtasari wa kazi zilizopangwa kutekelezwa na Wizara ya Afya 2004/2005
Utekelezaji wa Majukumu Afya Makao Makuu 2004/2005
Mipango ya Maendeleo
Sera na Mipango
Mabadiliko katika Sekta ya Afya
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya
Huduma za Kinga
Udhibiti wa wa Magonjwa ya Kuambukiza
Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria
Mpango wa Taifa wa Kifua Kikuu na Ukoma
Mpango wa Taifa wa Kuzuia Upofu na Kudhibti Ugonjwa wa Usubi
Huduma ya Elimu ya Afya kwa Umma
Huduma ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto
Mkakati wa Kutibu Magonjwa ya Watoto kwa Uwiano
Mpango wa Taifa wa Chanjo
Huduma ya Afya Shuleni
Afya ya Mazingira
Huduma za Afya Mipakani
Afya katika Sehemu za Kazi
Huduma za Afya Wilayani (District Health Services)
UKIMWI
Mradi wa Uimarishaji wa Huduma Muhimu za Afya
Huduma za Tiba
Huduma za Uchunguzi wa Magonjwa
Huduma za Tiba Asili
Hudma za Afya ya Kinywa
Huduma za Afya ya Akili na Vita Dhidi ya Dawa za Kulevya
Huduma za hospitali za Mshirika ya Kujitolea na Watu Binafsi
Huduma ya Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba
Huduma za Kuzuia Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kutoka kwa Mama kwenda kwa Mtoto
Huduma ya Matibabu ya Nje ya Nchi
Hudma ya Utawala na Utawala na Utumishi
Idara ya Utawala
Huduma ya Mafunzo ya Watumishi
Ofisi ya Mganga Mkuu Kiongozi
Huduma za Dharura na Maafa
Ukaguzi wa Huduma za Afya
Huduma za Uuguzi na Ukunga
Uhasibu na Fedha
Ukusanyaji wa Mapato
Matumizi ya Fedha za kawaida
Matumizi ya Fedha za Miradi ya Maendeleo
Taasisi na Mamlaka zilizo chini ya Wizara ya Afya
Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC)
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali
Mamlaka ya Chakula na Dawa
Taasisi yaTaifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu
Matatizo na changamoto
Maeneo yaliyopewa kipaumbele mwaka 2005/2006
Ripoti ya huduma za Afya Mikoa
Utangulizi
Mchanganuo wa Watu katika
Mchanganuo wa hali ya Vifo vya Watoto na Mama wajawazito katika Mikoa
Mchanganuo wa Maeneo ya kiutawala katika Mikoa
Uwiano wa Wataalam wa Afya na Idadi ya Watu
Uwiano wa Wataalam wa Afya ya Kinywa (Dental) na Idadi ya Watu
Idadi ya Vituo vya kutolea Tiba na Umiliki wake
Idadi ya vitanda vya kulaza wagonjwa kwa kufuata miliki ya Vituo vya kutolea tiba
Ukurasa
4
5
6
6
6
6
6
7
8
9
9
10
10
11
13
14
14
15
16
18
19
19
20
21
21
21
22
23
23
24
25
26
26
27
28
28
29
29
30
30
31
31
32
34
34
35
35
36
36
37
37
39
39
40
42
43
45
46
48
48
48
48
50
50
53
53
56
2
4.8
4.9a
4.9b
4.9c
4.9d
4.9e
4.10
4.11
4.12
4.13
4.14
4.15
4.16
4.17
4.18
4.19
4.20
4.21
4.22
4.23a
4.23b
4.24
4.25
4.26
4.27
4.28
4.29
4.30
4.31
5.0
5.1
5.2
5.2.1
5.2.2
5.2.3
5.2.4
5.2.5
5.2.6
5.2.7
5.2.8
5.2.9
5.2.10
5.2.11
5.2.12
5.2.13
5.2.14
5.2.15
5.2.16
5.2.17
5.2.18
5.2.19
5.2.20
5.2.21
5.2.22
5.2.23
5.2.24
5.2.25
5.2.26
5.2.27
5.3
6.0
6.1
6.2
6.3
6.4
7.0
8.0
Watumishi wa Sekta ya Afya na Sehemu za Kazi
Magari na Pikipiki
Hadubini
Mashine za X-ray
Vifaa vya Utakasaji
Vifaa vya Tiba ya Meno
Magonjwa yanayotolewa Taarifa
Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa wa Nje
Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa Waliolazwa
Taarifa ya Huduma Maalum
Aina za X-ray zilizopigwa
Huduma za Maabara
Matokeo ya Vipimo vya Maabara
Huduma za kliniki ya Meno
Mahudhurio ya kliniki kwa Mama Wajawazito
Mama wajawazito kujifungua
Huduma kwa Mama waliojifungua
Matatizo ya akinamama wakati wa kujifungua
Sababu za Vifo vya Mama wajawazito
Taarifa ya watoto waliozaliwa mmojammoja
Taarifa ya Watoto waliozaliwa zaidi ya mmoja
Idadi ya watoto chini ya mwaka mmoja waliopata chanjo
Chanjo ya TT2+ kwa akinamama wajawazito
Wateja wa uzazi wa mpango wanaoendelea na Huduma
Watoto waliopata matone ya Vitamin A
Kiwango cha Watoto wenye Utapiamlo Mkali
Kiwango cha Kaya zenye vyoo vinavyokubalika na maji toka vyanzo salama
Mapato na vyanzo vyake
Fedha zilizotumika
Ripoti ya Hospitali za Rufaa
Utangulizi
Ripoti ya huduma zilizotolewa
Mahudhurio ya Nje
Wagonjwa waliolazwa
Magonjwa yaliyojitokeza kwa mahudhurio ya nje
Magonjwa Kumi yaliyoongoza kwa Mahudhurio ya Nje
Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa wa Ndani
Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa waliolazwa Idara ya “Internal Medicine”
Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa waliolazwa Wodi ya Upasuaji
Huduma za Upasuaji
Magonjwa ya Akinamama (Ggynaecology)
Sababu za kulazwa Mama wajawazito
Kujifungua Mama Wajawazito
Aina ya kujifungua Mama Wajawazito
Matokeo ya kujifungua Mama Wajawazito
Sababu ya Vifo vya Mama Wajawazito
Sababu za kulazwa na vifo wodi za watoto
Sababu ya Vifo vya watoto wa umri chini ya mwaka mmoja
Magonjwa ya Macho kwa waliolazwa
Magonjwa ya Akili kwa waliolazwa
Magonjwa ya Kinywa
Idara ya Vipimo vya Maabara
Takwamu za Damu Salama
Takwimu za X-ray zilizopigwa
Takwimu za kipimo cha Ultrasound
Takwimu za kipimo cha CT Scan
Takwimu za Watumishi
Takwimu za Madaktari Bingwa
Taarifa ya Fedha za Kuendesha Huduma
Mafanikio na Matatizo katika Hospitali za Rufaa
Ripoti za Hospitali za Huduma Maalum
Hospitali ya Kibongoto
Taasisi ya Tiba ya Magonjwa ya Mifupa MOI
Hospitali ya Mirembe na Taasisi ya Mirembe
Taasisi ya Saratani Ocean Road
Ushirikiano na Nchi za Nje
Shukrani
58
58
59
59
60
60
61
64
66
68
69
69
70
70
71
71
72
72
73
74
74
75
77
77
78
80
80
81
82
84
84
88
88
89
89
90
91
92
92
92
94
94
95
95
96
96
97
97
98
98
99
99
100
101
101
102
103
103
104
105
107
107
107
108
109
110
111
3
VIFUPISHO
ADB
ADDO
ARVs
BADEA
BF
CCHP
CHSB
CDC
CEDHA
CHF
CLP
CUAMM
DANIDA
DDH
DFID
DOTS
EEG
EOP
EPI
EU
HFGC
GAVI
GTZ
ICU
IDRC
IMCI
ITI
JICA
KCMC
KfW
MDRTB
MDT
MKUKUTA
MOI
MoU
MSF
MTUHA
MUHUMA
NACTE
NEPHI
NIMR
OC
OPD
ORCI
OREC
OPET
PHCI
PMTCT
DOTS
PPM
RHMT
SAFI
SAREC
SDC
SIDA
SP
STI
SWAP
TAMISEMI
TALGWU
TFDA
TFNC
TIKA
TUGHE
UKIMWI
UNHCR
UNDP
UNFPA
UNICEF
USAID
VAs
VCT
VVF
WB
WHO
ZBTC
African Development Bank
Accredited Drug Dispensing Outlets
Anti Retro Viral Drugs
Bangue Arabe pour Development Economique en Afrique
Basket Funds
Comprehensive Council Health Plans
Council Health Services Board
Centre for Disease Control and Prevention
Centre for Education in Health Development Arusha
Community Health Fund (Mfuko wa Afya ya Jamii)
Central Pathology Laboratory
International College for Health Cooperation in Developing Countries
Danish International Development Agency
Designated District Hospital
United Kingdom Department for International Development
Directly Observed Treatment Short Course
Electro Encephalogram
Emergency Operational Plan
Expanded Programme of Immunization
European Union
Health Facility Governing Committee
Globed Fund for Vaccine Initiative
Gesellschaft fuer Technische Zusammenarbeit
Intensive Care Unit
International Development Research Centre of Canada
Integrated Management of Childhood Illnesses
International Trachoma Initiate
Japan International Cooperation Agency
Kilimanjaro Christian Medical Centre
German Bank for Development
Multi Drug Resistant TB
Multi Drugs Therapy
Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania
Muhimbili Orthopedic Institute
Memorandum of Understanding
Medicine Sans Frontieres
Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya
Mradi wa Uimarishaji wa Huduma za Afya
National Council for Technical Education
National Essential Package of Health Interventions
Institute for Medical Research
Other Charges
Out Patient Department
Ocean Road Cancer Institute
Organization of Petroleum Producing Countries
Overseas Related Export Trade
Primary Health Care Institute
Prevention of Mother to Child Transmission
Directly Observed Treatment Short Course
Planned Preventive Maintenance
Regional Health Management Team
Sawazisha Kope, Anza Matibabu Mapema, Fanya Usafi wa Uso na Mwili Imarisha Mazingira
Swedish Agency for Research Cooperation in Leading Countries
Swiss Agency for Development and Cooperation
Swedish International Development Authority
Sulphurdoxine Pyrimethemine
Sexually Transmitted Infections
Sector Wide Approach Programme
Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa
Tanzania Local Government Workers Union
Tanzania Food and Drug Authority
Tanzania Food and Nutrition Centre
Tiba kwa Kadi
Tanzania Union for Government Health Employees
Ukosefu wa Kinga Mwilini
United Nations High Commission for Refugees
United Nations Development Programme
United Nations Fund for Population Activities
United Nations Children Fund
United States Agency for International Development
Voluntary Agencies
Voluntary Councelling and Testing
Vesicle Vaganal Fistula
World Bank
Word Health Organization
Zonal Blood Transfusion Centres
4
Utangulizi
Katika kipindi cha mwaka 2004/05, Huduma za Afya nchini ziliendelea kuimarika. Malengo
yaliyowekwa katika kipindi hicho yalitekelezwa kwa ufanisi na vipaumbele vya Wizara pia
vilifikiwa. Pamoja na mafanikio yaliyofikiwa katika kipindi hicho kulikuwa na tatizo la takwimu
kutokamilika katika Sekta ya Afya. Kwa ujumla wake bado limeendelea kujitokeza katika
uandikaji wa taarifa za mwaka za hospitali za Rufaa na Mikoa. Kutokana na hali hiyo bado ipo
haja ya kuzingatia umakini katika kupata takwimu sahihi za utendaji kwani ndizo zitakazosaidia
kutoa takwimu sahihi ya hali ya magonjwa na hali halisi ya Huduma za Afya Nchini. Matatizo
yaliyojitokeza katika taarifa zetu za utendaji za mwaka yanatoa changamoto kwetu sisi watendaji
tujipange upya katika kutekeleza majukumu yetu katika Sekta ya Afya. Aidha, takwimu
zimeonyesha kushuka kwa viashiria vingi vya hali ya Afya katika taarifa za mwaka za Mikoa na
Hospitali za Rufaa. Iwapo hapatakuwa na juhudi za kutosha za kurekebisha hali hiyo ni wazi
kwamba hali ya Huduma ya Afya itazidi kushuka na hivyo kuathiri afya za wananchi. Kutokana
na hali hiyo zinahitajika jitihada za kutosha za kujifunza kwa Mikoa/Hospitali iliyofanya vizuri ili
kasoro zilizojitokeza ziweze kurekebishwa. Changamoto la tatizo la UKIMWI linataka kujipanga
upya ili kutekeleza wajibu wetu katika kutoa huduma za afya kwa Watanzania.
5
1.0
RIPOTI YA HUDUMA ZA AFYA MAKAO MAKUU 2004/2005
1.1 Utangulizi
Kwa mwaka 2004/2005 huduma za afya nchini ziliendelea kutolewa kwa kuzingatia sera,
miongozo, mipango na mikakati mbalimbali iliyowekwa na Wizara ya Afya. Kazi
zilizopangwa kufanyika katika kipind hiki zililenga dira, malengo na majukumu yaliyopewa
kipaumbele. Vyote hivi ni mwendelezo wa utekelezaji wa mipango na mikakati iliyowekwa
katika mwaka 2003/2004.
1.2 Dira/Mwelekeo (Vision) ya Wizara
Dira ya Wizara ya Afya ni “ Kutoa huduma za afya zenye ubora wa hali ya juu zinazofaa
na zinazofikiwa na kutumiwa na wananchi wote kulingana na mahitaji yao kupitia
mfumo wa afya ulio imara na endelevu”.
1.3 Majukumu ya Wizara
Ili kuiwezesha Wizara kufikia dira yake inatakiwa kutekeleza majukumu yafuatayo:• Kusimamia Sera na kutayarisha miongozo ya Afya ya huduma za Kinga na Tiba
• Kudhibiti kemikali na kuendesha uchunguzi wa kisayansi wa sababu za vifo
• Kusimamia na kudhibiti ubora wa dawa, vifaa tiba, vipodozi na vyakula
• Kuendeleza huduma za Tiba ya Asili
• Kusimamia Mpango wa Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto
• Ukaguzi wa huduma za afya
• Kuandaa na kusimamia programu za mafunzo ya wataalamu wa afya na kuwaendeleza
kitaaluma watumishi wa sekta ya afya
• Kuinua kiwango cha ushirikiano kati ya Wizara, mashirika ya umma na dini, sekta
binafsi, idara na miradi mbalimbali ya afya katika kuongeza na kuimarisha ubora wa
huduma za afya
• Kutafuta rasilimali na vyanzo vya kutosha vya fedha na kuhakikisha matumizi bora ya
watumishi wa afya, fedha na vifaa
• Kuongoza na kusimamia wakala za Serikali, taasisi na mashirika ya umma yaliyo chini
ya Wizara ya Afya
• Kushirikiana na jumuia za kimataifa katika kuimarisha huduma za Afya.
1.4 Azma (Mission) ya Wizara ya Afya
Azma ya Wizara ya Afya ni kutoa huduma za afya kulingana na mahitaji, kusimamia sera na
kutayarisha miongozo sahihi inayowezesha upatikanaji wa wataalamu wa afya wenye ari na
hamasa ili kuboresha afya hasa ya wale walio katika hatari ya kuugua zaidi.
1.5 Malengo ya Wizara ya Afya
•
Kupunguza magonjwa na idadi ya vifo kwa makundi yanayoathirika zaidi hasa watoto
wachanga, na walio chini ya miaka mitano, chipukizi ambao hawajafikisha umri wa
kwenda shule na walio shuleni, vijana, watu wenye ulemavu, wazee na wanawake
walio katika umri wa uzazi na kuongeza umri wa kuishi
6
•
•
•
•
•
•
•
Kuhakikisha kuwa huduma muhimu na za msingi za afya zinasaidiwa na kusimamiwa
kwa utaratibu sahihi wa huduma za rufaa, utafiti, takwimu zenye mgawanyo wa kijinsia
na kuwahusisha kikamilifu wananchi
Kufanya tathmini na kudhibiti usalama na ubora wa vyakula, dawa, kemikali na
vipodozi ili kulinda afya ya wananchi wote na mazingira kwa ujumla
Kuzuia na kudhibiti magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza yakiwemo
Malaria, Kifua Kikuu, Utapiamlo na yale mengine yanaohusiana na afya ya mazingira,
afya kazini, matumizi ya kemikali
Kupanga mafunzo ya watumishi na kujitosheleza kwa wataalam wa afya wenye uwezo
na ujuzi katika kada mbali mbali kwa kuzingatia uwiano wa kijinsia katika kutoa
huduma za afya katika ngazi zote
Kuainisha mahitaji na kukarabati miundo mbinu ya afya kwa kuzingatia huduma
zinazotolewa kwa watu wenye ulemavu na kuweka mfumo wa matengenezo ya
majengo ya afya, mitambo na vifaa
Kufanya mapitio, kutayarisha, kuhamasisha, kueneza, kufuatilia na kutathmini sera ya
afya, mipango na bajeti, miongozo, sheria za afya za viwango mbali mbali vya huduma,
kanuni na taratibu zinazohakikisha huduma za afya zinatolewa kwa ubora unaotakiwa
Kuweka mazingira mazuri ya kazi na vitendea kazi kwa ajili ya kutoa huduma bora na
muhimu za kiutendaji na utawala zenye kuzingatia jinsia.
1.6 Maeneo yaliyopewa kipaumbele 2004/2005
Maeneo yaliyopewa kipaumbele ni yale yaliyolenga katika kupunguza umasikini, magonjwa
na vifo kwa wananchi wote, kuongeza umri wa kuishi na ubora wa maisha. Maeneo hayo
yaliainishwa kama yafuatayo:• Kuzipatia hospitali, vituo vya afya na zahanati dawa muhimu na vifaa vya hospitali
• Kuimarisha huduma za hospitali za rufaa kwa kuzipatia vifaa vya hospitali, vifaa vya
uchunguzi na dawa za maabara. Vifaa hivi huwawezesha waganga kugundua tatizo
mapema na kutoa tiba sahihi
• Udhibiti na uzuiaji wa Malaria
• Kutoa mafunzo ya kitaalamu ya watarajali (pre-service) ya wataalam wa afya na ya
kujiendeleza kwa kada zote za afya
• Kuimarisha huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto, kwa kusambaza dawa za uzazi
wa mpango, vifaa vya uzazi na kutoa mafunzo kwa waganga na wauguzi jinsi ya
kutambua, kuainisha na kutoa tiba sahihi kwa magonjwa ya watoto kwa kupitia
mpango wa uwiano wa kutibu magonjwa ya watoto (IMCI)
• Kuimarisha huduma za chanjo kwa kununua dawa za chanjo, vifaa na vipuli kwa ajili
ya mnyororo baridi
• Udhibiti na uzuiaji wa kuenea kwa Kifua Kikuu na Ukoma
• Kuboresha hali ya elimu ya lishe nchini
• Kuimarisha afya na usafi wa mazingira nchini kote
• Kuzipatia fedha hospitali Teule (DDH) na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) ili
kuongeza uwezo wa kutoa huduma kwa wananchi katika sehemu zisizo na vituo vya
afya vya Serikali
• Kutekeleza majukumu ya sekta ya afya katika kudhibiti ugonjwa wa UKIMWI
• Kutumia matokeo ya utafiti yanayotolewa na taasisi mbalimbali za utafiti katika kutoa
mapendekezo ya sera, miongozo na mipango mbali mbali ya afya
• Kutoa mchango wa Serikali katika miradi yote inayopewa fedha na wahisani mbali
mbali
7
•
•
•
Kufanya ukarabati wa majengo ya afya yaliyo katika hali mbaya na vifaa vya tiba na
kuweka utaratibu wa kufanya matengenezo ya kinga (Planned Preventive Maintainance
PPM)
Kufanya uchunguzi wa vyakula, dawa na kemikali, kutoa ushauri wa kitaalam na
kutambua vyanzo vya vifo kwa kufanya uchunguzi wa kisayansi
Kusimamia na kudhibiti kemikali za viwandani na majumbani, utakaotekelezwa na
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali.
1.7 Muhtasari wa kazi zilizopangwa kutekelezwa na Wizara ya Afya 2004/2005
Katika kipindi hiki kazi zilizopangwa kutekelezwa na Wizara ya Afya kwa kutumia fedha za
matumizi ya kawaida na miradi ya maendeleo, imefuata vipaumbele vilivyoanishwa hapo juu.
Kazi hizo ni kama zifuatavyo:• Kutoa dawa na vifaa vya hospitali kwa zahanati, vituo vya afya na hospitali katika
ngazi zote ili kuiwezesha Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kutoa
huduma muhimu za afya kwa wananchi
• Kutoa ruzuku kwa hospitali za mashirika ya dini
• Kusimamia, kufuatilia na kutathmini huduma za afya zitolewazo na Serikali za Mitaa,
Mikoa, hospitali za Rufaa na Taifa
• Kuimarisha huduma za chanjo, kuendeleza ubadilishaji wa mfumo wa uendeshaji wa
majokofu ya chanjo kutoka matumizi ya mafuta ya taa kwenda katika matumizi ya gesi.
Shughuli za chanjo zitaendelea kuimarishwa kote nchini
• Kutekeleza mpango wa ukarabati na matengenezo ya hospitali za Mikoa na za Rufaa.
Karakana Kuu za Kanda za vifaa na za ukarabati zitatumika kusaidia hospitali za
Mikoa na Serikali za Mitaa kuanzisha uhakikimali na kuweka viwango kamili vya vifaa
vya kutolea huduma za afya vinavyotumiwa na vituo vinavyotoa huduma za afya
• Kufuatilia na kusimamia ubora na usalama wa chakula, dawa na vipodozi
utakaotekelezwa na Mamlaka ya Taifa ya Chakula na Dawa (TFDA) kwa kutoa
huduma za ukaguzi, usajili wa uzalishaji, majaribio na uchunguzi wa kimaabara wa
sampuli ili kuhakikisha kuwa wazalishaji, wasafirishaji nje, waagizaji, wasambazaji na
wauzaji wanazingatia ubora, viwango, taratibu na matendo ya utunzaji yanayokubalika
• Kuzuia magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza hasa Malaria, UKIMWI,
Kifua Kikuu na Utapiamlo. Hatua zitakazochukuliwa zitajumuisha uimarishaji na
kuinua elimu ya afya na usimamizi wa kemikali
• Kuweka kipaumbele katika utekelezaji wa mkakati mpya wa sekta ya afya wa
kupambana na UKIMWI kwa kuhakikisha mpango huu unatekelezwa na kila idara
umeingizwa katika mpango wa afya wa mwaka wa kila Halmashauri ya Wilaya.
• Kutoa huduma za tiba kwa wagonjwa wa UKIMWI na magonjwa yanayoambatana
nayo, kutoa ushauri nasaha na kupunguza unyanyapaa kwa walioathirika
• Kutoa mafunzo kwa wataalamu mbalimbali wa afya juu ya tiba sahihi ya Malaria
katika Wilaya zote nchini, uhamasishaji juu ya utumiaji wa vyandarua vyenye
viuatilifu, utafiti wa usugu wa vimelea vya Malaria na tiba mseto
• Kuhakikisha usalama wa damu, kuzuia maambukizi ya UKIMWI kwa mtoto toka kwa
mama, kuhamasisha uzuiaji wa kuenea kwa UKIMWI kupitia ngono, uaminifu kwa
mpenzi mmoja na matumizi ya kondom
• Kuchukua hatua ambazo zitaongeza upatikanaji wa dawa za kupunguza makali ya
UKIMWI kwa kushirikiana na wahisani na mifuko mbali mbali kama vile “Global
Fund, The Bill and Melinda Gates Foundation”, “Clinton Foundation” na “President G.
W. Bush Initiatives”
8
•
•
•
•
•
•
•
•
Kutekeleza mikakati ya pamoja ya kudhibiti maambukizi ya Kifua Kikuu na UKIMWI,
kutoa dawa za Kifua Kikuu na Ukoma katika vituo vyote vya matibabu. Kufanya utafiti
wa kitaifa wa Kifua Kikuu na kampeni za kutokomeza Ukoma
Kuendelea kutoa kipaumbele kwa magonjwa mengine kwa kutekeleza mipango na kazi
zinazolenga utoaji wa huduma muhimu za afya kwa jamii, huduma za afya ngazi ya
Wilaya na katika hospitali za Mikoa na Rufaa
Kuimarisha mipango ya mafunzo ya wataalamu na kuboresha mafunzo katika vyuo
vyake ili kuhakikisha elimu inayotolewa na vyuo hivyo inakuwa bora zaidi. Kuweka
mkazo zaidi katika mafunzo ya kujiendeleza ili kuwaongezea ujuzi na utaalamu
wafanyakazi wa afya katika ngazi zote. Kuandaa mipango ya mafunzo endelevu ya
wafanyakazi ambayo itatengenezwa kulingana na mahitaji ya kazi
Kukarabati majengo na vifaa vya kutolea huduma za afya na kukamilisha uchunguzi
utakaosaidia uandaaji wa mpango wa maendeleo wa miaka 10 wa huduma za hospitali
Kukamilisha mapitio ya Sera ya Taifa ya Afya kwa kujumuisha maoni yaliyotolewa na
wadau wengine wa afya
Kuwasilisha muswada wa sheria ya Afya ya Jamii katika Wizara ya Sheria na Mambo
ya Katiba ili ukamilishwe na uwasilishwe bungeni
Kuimarisha ushirikiano na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Kutoa mafunzo ya huduma za dharura kwa wazazi kwa kufundisha waalimu 12 wa
kitaifa na 80 kutoka Mikoani.
2.0 UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU AFYA MAKAO MAKUU 2004/2005
2.1 Mipango ya Maendeleo
Mwaka 2004/05 Wizara ya Afya ilitengewa kiasi cha shilingi 91,215,753,600/= kwa ajili ya
utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Kati ya kiasi hicho, jumla ya shilingi 3,552,448,200/=
zilitolewa na Serikali ya Tanzania na kiasi cha shilingi 87, 663, 305,400/= zilitoka kwa
wahisani mbalimbali, wakiwemo wahisani wanaochangia Mfuko wa Pamoja wa Afya (Health
Basket Fund). Fedha hizo zimetumika kutekeleza miradi ifuatayo: • Ukarabati wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Wizara iliendelea kushirikiana na Benki ya
Maendeleo ya Afrika (ADB) ili kukamilisha ukarabati mkubwa unaoendelea katika
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Ukarabati huu unaenda sambamba na ununuzi na
ufungaji wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya Hospitali ya Taifa Muhimbili na hospitali za
Manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni
• Kuendeleza ujenzi wa wodi ya watoto (Paediatric Ward Complex)
• Kuimarisha Hospitali Maalum na za Rufaa
o Ukarabati wa majengo ya huduma ya wagonjwa wa nje, upasuaji, mfumo wa
maji taka katika hospitali ya Meta mjini Mbeya, pamoja na ukarabati wa kijiji
cha wagonjwa wa akili Isanga
o Kutayarisha michoro kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya madaktari wanafunzi
(Intern Doctors) na kukamilisha ujenzi wa chumba cha wagonjwa mahututi
(ICU) katika hospitali ya Rufaa Mbeya
o Ununuzi wa vifaa vya tiba kwa ajili ya hospitali za rufaa na maalum
o Serikali imeweza kutoa mchango wake wote kama ilivyopangwa katika Taasisi
ya Mifupa Muhimbili (MOI)
o Serikali iliweza kukarabati majengo ya vyuo vya mafunzo ya afya nchini
o Serikali imeweza kumalizia kutoa mchango wake wote (counterpart fund) ili
kununua vifaa vya Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili – MOI
o Udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza
9
o
o
o
o
o
o
Kukamilisha ujenzi wa jengo la ofisi za Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya
Binaadamu (NIMR) Tukuyu
Kufanya ukarabati wa mifumo ya njia za umeme kwenye jengo la ofisi za
Huduma za Mama na Mtoto Dar es Salaam
Kufanya ukarabati wa ofisi, mabweni na madarasa katika vyuo 33 vya afya
vilivyo chini ya Wizara
Kuvipatia vituo vyote vya afya dawa na vifaa kwa ajili ya kukinga na kutibu
magonjwa ya zinaa – STIs
Kukomboa na kusambaza dawa za ugonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma. Serikali
imetoa mchango wake (counterpart funds) kwenye mradi kwa ajili ya kudhibiti
magonjwa haya
Kutayarisha na kusambaza vitabu vya Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji Huduma
za Afya (MTUHA) nchi nzima.
2.2 Sera na Mipango
2.2.1 Mabadiliko katika Sekta ya Afya (Health Sector Reforms)
Wizara kwa mwaka 2004/2005 ilifanikiwa kuhamasisha na kutoa mafunzo kwa Halmashauri
za Wilaya 92 Tanzania Bara na kuziwezesha kuandaa na kupitisha Sheria ndogo ya kuanzisha
Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Halmashauri hizo hazijumuishi Halmashauri kwa Wilaya 8
ambazo ni mpya kwa kuwa Wizara bado inasubiri zipate mabaraza ya Madiwani, October
2005.
Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) unaendelea kuwa mkombozi kwa wananchi wenye kipato
cha chini kwa kutoa unafuu wa matibabu kwa wale wanaojiunga na mfuko huo kwa
kuwahakikishia upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vifaa muhimu. Wilaya za Mbinga, Igunga,
Singida, Iramba, Songea na Iringa zimeendelea kuwa mfano.
Wizara kwa kushirikiana na TAMISEMI na Halmashauri imeweza kuandaa na kusaini
Mikataba ya CHF inayolenga kuwa na mwongozo wa matumizi bora ya fedha za CHF.
Wizara itatumia mikataba ya CHF kulipia tele kwa tele kwa Halmashauri 30 zilizochanga
kwa awamu mbili, yaani mwezi Oktoba 2004 Wizara ililipa shilingi millioni 400 na Juni
2005 ililipa shilingi millioni 100.
Wizara pia imehamasisha Halmashauri za Miji ya Moshi, Iringa, Mtwara na Jiji la Mwanza
juu ya utaratibu wa kuchangia huduma za afya kabla ya kuugua kwa sekta isiyo rasmi katika
maeneo ya mijini. Utaratibu huu unajulikana kwa jina la TIBA KWA KADI (TIKA). Mpango
huu wa TIKA unafanana na CHF ya Halmashauri ya Wilaya na Mfuko wa Taifa wa Bima ya
Afya ambapo kaya au watumishi wanachangia kabla ya kuugua na kupata matibabu ya
mwaka mzima kwa kutumia KADI ya matibabu na hivyo kuzuia kutoa fedha taslimu ambazo
zinaashiria mianya ya rushwa.
Matarajio ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) Mwaka 2005/2006
Mwaka 2005/06 Wizara inatarajia kutekeleza yafuatayo:
• Kutoa mafunzo ya njia bora za kufanya makisio ya makusanyo
• Kuhamasisha kwa ufasaha na ufanisi
• Utunzaji na matumizi bora ya fedha za CHF
10
•
•
Kujenga msingi wa kudumu katika ngazi ya Kanda na Mikoa kwa kuvitumia vyuo vya
kanda na kushauri Mikoa yote kuteua waratibu wa CHF wa Mikoa chini ya Kamati za
uendeshaji huduma za afya za Mikoa, RHMT ili wawe kiungo kati ya Wizara, Kanda
na Halmashauri
Kushauri Halmashari nazo ziwe na waratibu wa CHF.
Pia, Wizara imepanga kuhamasisha na kuziwezesha Halmashauri zote za Miji/Manispaa/Jiji
kuanzisha mpango wa Tiba kwa Kadi (TIKA) kwa kutunga sheria ndogo za TIKA na
kuidhinishwa katika ngazi ya Halmashauri.
2.2.2 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeendelea kuimarisha shughuli zake na kuboresha
huduma kwa wanachama wake. Mfuko huu sasa upo katika mwaka wake wa nne wa
utekelezaji na sote tu mashahidi kuwa matatizo mengi ya awali yaliyotokana na uchanga wa
Mfuko huu yamekuwa yakipatiwa ufumbuzi na kazi ya kuuboresha Mfuko huu inaendelea.
Mwaka 2004/2005 Mfuko ulitekeleza yafuatayo:• Ulisajili wanachama wapya 6,321 na hivyo kuufanya Mfuko kufikisha jumla ya
wanachama 248,829 ikilinganishwa na wanachama 242,508 waliokuwepo kipindi cha
2003/2004. Kati ya hao asilimia 56 ni wanaume na asilimia 44 ni wanawake. Juhudi
zaidi za kusajili wanachama wapya zinaendelea kupitia ofisi za kanda pamoja na
Makao Makuu ya Mfuko ili Watanzania wengi zaidi waendelee kunufaika na Mfuko
huu
• Idadi ya wanaonufaika na mpango huu imeongezeka kutoka 1,115,537 kipindi cha
mwaka 2003/2004 hadi kufikia 1,144,614 katika mwaka 2004/2005. Hii ni sawa na
asilimia nne (4%) ya Watanzania wote. Kundi la wazee nalo lipo ambapo wazee wenye
umri wa zaidi ya miaka 60 walioandikishwa na watoto wao kama wategemezi ni
468,148. Mfuko huu utaendelea kuangalia namna bora ya kuwajumuisha wazee wengi
hasa kundi la wastaafu chini ya utaratibu huu
• Umetengeneza jumla ya vitambulisho 949,153 kutokana na fomu zilizopokelewa. Hii
ni asilimia 83.1 ya lengo la kutengeneza vitambulisho 1,142,378
• Mahudhurio katika vituo vya matibabu yameongezeka kutoka wastani wa wanachama
64,917 kwa mwezi katika mwaka 2003/2004 hadi kufikia wastani wa wanachama
98,825 kwa mwezi katika mwaka 2004/2005. Jumla ya mahudhurio (Total attendance)
tangu mwaka 2001 hadi Januari 2005 ilikuwa 1,991,977. Kati ya waliotibiwa asilimia
62.5% ni walimu na asilimia 37% ni kundi la wanawake na watoto
• Aidha, jumla ya shilingi bilioni 7.35 zimekwishalipwa kwa watoa huduma wa Serikali
na wale wa asasi zisizo za Serikali tangu utaratibu huu ulipoanza kutumika miaka
minne iliyopita, ikiwa ni marejesho kwa huduma walizotoa kwa wanachama
• Jumla ya vituo 3,558 vya matibabu vilisajiliwa na Mfuko ili kuhudumia wanachama,
ambapo asilimia 70 ya vituo hivi vipo vijijini. Kati ya vituo hivi vituo 519 vinamilikiwa
na madhehebu ya dini na asasi zisizo za Serikali na maduka ya dawa ni 36
yanamilikiwa na wamiliki binafsi
• Umeweza kufanya tathmini ya uhai wa shughuli zake kwa kutumia wataalamu wake.
Kwa upande wake Shirika la Kazi Duniani (ILO) limeipitia tathmini hiyo na kuridhika
nayo. Utekelezaji wa tathmini hiyo utauwezesha uongozi wa mfuko kuboresha mafao
mbalimbali pamoja na wigo wake, ikiwemo orodha ya madawa
11
•
•
•
•
•
Umekwishakamilisha mpango wake wa miaka 5 wa “Strategic Corporate Plan”
unaoanza utekelezaji wake katika mwaka ujao wa fedha wa 2005/06. Mfuko utaweka
kipaumbele vijijini katika mwaka wa kwanza wa utekelezaji wa mpango huo makini
Umetoa elimu kwa wadau 96,414 wakiwemo viongozi wa vyama vya wafanyakazi,
watoa huduma na vilevile kwa vyombo vya habari
Umeimarisha ofisi zake saba za kanda kwa kuzipatia nyenzo, vifaa na madaraka zaidi.
Katika kipindi hicho jumla ya watumishi 37 waliajiriwa katika Ofisi za Kanda, wengi
wao wakiwa ni wakaguzi na hivyo kufanya Mfuko kuwa na watumishi 121 nchi nzima
Ulifanya zoezi la sensa kwa wanachama wake pamoja na ukaguzi wa vituo vya
matibabu. Zoezi hili lilifanyika katika kanda ya mashariki na kanda ya ziwa na
linaendelea katika kanda nyingine. Lengo kuu la zoezi hili, ni kuhakiki taarifa muhimu
za wanachama hususan upande wa vitambulisho na upatikanaji wa huduma za
matibabu hasa vijijini. Tathmini imeonyesha mafanikio makubwa katika kulipatia
ufumbuzi tatizo la vitambulisho, kuimarisha na kuboresha zaidi huduma kwa
wanachama
Umeweza kuimarisha shughuli zake kupitia teknolojia ya habari na mawasiliano
ambapo shughuli nyingi sasa zinafanyika kupitia mfumo huo. Hii ni pamoja na
kuziunganisha ofisi zote saba za kanda na Makao Makuu, kurahisisha uandaaji wa
malipo kwa watoa huduma na mawasiliano ya haraka na wateja.
Matarajio ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mwaka 2005/2006
Mkakati utawekwa wa kutumia mbinu za soko ili kusajili waajiri wote wanaotakiwa
kusajiliwa kisheria (k.m, Mashirika ya Umma na Taasisi za Umma) ikiwa ni katika kusajili
wanachama wengi zaidi.
Mfuko utaendelea na zoezi la sensa ya wanachama wake ili kutambua idadi yao, maeneo
waishio na upatikanaji wa huduma za Afya katika maeneo husika. Zoezi hili pia linahusisha
ujazaji wa fomu za uanachama kwa wanachama ambao walikuwa bado hawajajaza fomu za
kujiandikisha na hivyo kutokuwa na vitambulisho. Zoezi hili limebaini kwamba asilimia
kubwa ya wanachama wanaolalamikia kutokuwa na vitambulisho ukweli ni kuwa hawajajaza
fomu za uanachama wala kuwasilisha picha.
Mfuko umekwishaanza zoezi la ukaguzi wa watoa huduma wote kwa lengo la kuangalia
huduma zitolewazo kwa wanachama, mazingira ya vituo, idadi ya wafanyakazi katika vituo,
hali ya vifaa vya vipimo, tiba na vitendea kazi, majengo ya vituo, pamoja na mpangilio wa
jinsi wagonjwa wa Mfuko wanavyohudumiwa. Lengo la zoezi la ukaguzi ni kuhakiki na
kuboresha huduma za afya zitolewazo.
Mfuko utaendelea na programu ya uelimishaji kwa kutumia mabango ambayo yanasambazwa
katika maeneo ya vijijini ambako njia za mawasiliano ni hafifu. Mabango hayo yatachapisha
ujumbe mbalimbali muhimu kuhusu Mfuko, kwa mfano, mafao yatolewayo na Mfuko, namna
ya ujazaji wa fomu za uanachama, ujazaji wa fomu za madai, haki na wajibu wa Wanachama
na Wadau wengine wa Mfuko.
Programu maalum ya mafunzo kwa watoa huduma wa ngazi za vituo vya afya na zahanati
ambako wanachama wengi wa Mfuko wanatibiwa itaendelea katika kipindi cha mwaka ujao
wa fedha ili kujenga uwezo zaidi wa watoa huduma.
12
Mfuko unatarajia kuingia katika awamu ya mwisho ya zoezi la kufunga mitambo ya mfumo
wa kompyuta na mifumo habari katika ofisi zote za Mfuko. Mifumo na mtandao huu wa
teknolojia ya habari (TEKNOHAMA) unatarajiwa kuongeza uwezo wa kufanya mawasiliano
na watoa huduma na kurahisha taratibu na mchakato wa ulipaji madai na hivyo kupunguza
ucheleweshaji na kero zilizokuwepo hapo awali.
Mfuko unatarajia kuwekeza zaidi katika eneo la utoaji wa huduma za Mfuko katika ofisi za
kanda kwa vile uzoefu wa uendeshaji wa ofisi za kanda uliokwishapatikana katika kipindi cha
miaka miwili iliyopita umebaini mahitaji zaidi ya watumishi na vitendea kazi.
Mfuko umekusudia kuandaa na kuanza kutekeleza Mkakati maalum wa miaka mitano (2005 2009). Mkakati huu utaweka bayana na kuainisha maeneo ya msingi ambayo Mfuko utayapa
kipaumbele katika kuhakikisha kuwa dira, dhamira na mipango ya Mfuko inatekelezwa kama
ilivyopangwa.
Mfuko unatarajia kufanya mapitio ya sera ya uwekezaji ya Mfuko, ili kuweza kuanzisha
maeneo zaidi ya uwekezaji, mkakati unaolenga kuleta faida zaidi, pasipo kuwa na uwezekano
mkubwa wa kupoteza fedha za wanachama.
Ongezeko la akiba (Reserve) litauwezesha Mfuko kupanua uwigo wa mafao vikiwemo
vipimo zaidi, miwani na muda mrefu zaidi wa kuhudumia wastaafu, ambavyo vitahitaji
marekebisho ya sheria.
Mfuko unakusudia kufanya marekebisho katika baadhi ya maeneo mfano, suala la mafao
ambayo hayamo katika kitita cha mafao, (exclusions), wigo wa wanachama na uboreshaji wa
mafao, ambavyo vinapendekezwa kuhamishiwa kutoka kwenye Sheria mama na kuwekwa
katika Kanuni na Taratibu (Regulations), ili pindi vikihitaji kubadilishwa visiwe vinakuwa
na mlolongo mrefu kama kurejeshwa Bungeni ambako huchukua muda mrefu.
Lengo la marekebisho yote hayo ni kurekebisha mfumo wa utekelezaji na hivyo kuondoa
kero mbalimbali zinazowasibu wanachama kwa vile baadhi ya malalamiko ya wanachama ni
ya kweli lakini pamoja na dhamira ya Mfuko ya kuyashughulikia malalamiko hayo, sheria ya
Mfuko bado hairuhusu maeneo hayo kujumuishwa.
Lengo la baadaye la Mfuko ni kupanua uanachama ili kujumuisha wananchi wengi zaidi
wakiwemo walio katika sekta ya ajira isiyo rasmi, ili kuboresha upatikanaji wa huduma bora
ya Afya kwa wananchi wote.
2.2.3 Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya (MTUHA)
Wizara imeendelea kutoa kipaumbele kwa upatikanaji wa takwimu katika sekta ya afya.
Kumekuwapo na mikakati ya makusudi ili kuhakikisha kuwa takwimu zinazohitajika
zinapatikana kwa ajili ya mipango, kutoa tathmini ya utoaji wa huduma za afya, kufuatilia
utekelezaji wa mipango mbalimbali ya kisekta na kuboresha sera na miongozo mbalimbali ili
kuhakikisha kwamba huduma zinatolewa katika ubora unaostahili.
13
Katika kufanikisha mipango ya upatikanaji wa takwimu mikakati ifuatayo imetekelezwa
katika mifumo inayotumika kupata takwimu:• Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya (MTUHA) umeendelea
kuboreshwa katika ngazi ya Wilaya. Hii ni baada ya kuweka kompyuta na programu ya
kuchambua takwimu hizo. Hii imesaidia kuongeza kasi ya upatiakanaji wa takwimu
katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa
• Takwimu zinazopatikana kupitia mfumo wa kufanya tafiti mbalimbali nao
umeimarishwa zaidi. Mafunzo yametolewa kwa viongozi waliomo kwenye Kamati za
Afya za uendeshaji wa huduma Wilayani na Mikoani. Lengo kuu la mafunzo hayo
lililikuwa kuwapa uwezo wa kimbinu wa kuandaa miswada ya kukusanya takwimu
zilizo sahihi, kufanya utafiti, kuchambua takwimu zitokananzo na tafiti na kutumia
matokeo ya fafiti ili kuboresha huduma ngazi ya Wilaya na Jamii kwa ujumla
• Wizara imeendelea kuimarisha kitengo kinachoratibu takwimu za jamii ambazo
zinakusanywa katika maeneo maalum hapa nchini. Takwimu hizi ndizo zinazotoa
makadirio yanayoonyesha uzito wa matatizo ya magonjwa yanayoisibu jamii yetu
• Mfumo wa mawasiliano ya kompyuta katika Makao Makuu ya Wizara yamekamilika.
Hii itaboresha upatikanaji wa takwimu katika idara, sehemu na vitengo mbalimbali
kuwa na kasi zaidi. Mtandao wa kompyuta kupitia mfumo huo umeanza kufanya kazi
na huduma nyinginezo zitaongezwa kulingana na mahitaji.
Matarajio ya Mfuko wa Taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya mwaka 2005/2006
Katika mwaka 2005/2006, Wizara inatarajia kuunganisha mfumo wa kompyuta uliopo makao
Makuu ya Wizara na mifumo iliyopo mikoani na katika hospitali za mikoa na za rufaa. Lengo
kuu ni kurahisisha ubadilishanaji wa taarifa mbalimbali zikiwemo takwimu za afya. Pia
Wizara ipo mbioni kuanzisha tovuti yake kwa lengo la kuwapatia wananchi taarifa muhimu
zinazohusu sekta ya afya.
Pia, Wizara ipo mbioni kubadilisha nyenzo za kukusanya takwimu za afya za siku hadi siku.
Mabadiliko hayo yanalenga kuhakikisha kuwa takwimu zinazokusanywa kutoka vituo vya
kutolea tiba vinaingizwa kwenye kompyuta moja kwa moja badala ya kuandaa ripoti maalum
inayopelekwa Wilayani kwa ajjili ya kuingizwa kwenye kompyuta
Umuhimu wa takwimu kutoka katika jamii unazidi kuongezeka siku hadi siku. Kwa sababu
hiyo mwaka 2005/2006 Wizara itaboresha huu mfumo ili vigezo vitakavyopatikana vitoe
takwimu ya nchi nzima na sehemu muhimu za jamii. Lengo ni kupanua wigo wa maeneo ya
kukusanya takwimu za aina hii.
2.3 Huduma za Kinga Utekelezaji wa Majukumu mwaka 2004/2005
2.3.1 Udhibiti wa Magonjwa ya Kuambukiza
Pamoja na juhudi kubwa zinazochukuliwa za kupambana na magonjwa, tatizo la magonjwa
ya kuambukiza limeendelea kuwepo nchini. Katika kipindi cha Juni 2004 hadi Aprili 2005
kulikuwa na wagonjwa 3,462 wa kipindupindu na kati yao 93 walifariki ikilinganishwa na
kipindi kama hicho 2003/2004 ambapo kulikuwa na wagonjwa 12,397 na vifo 217. Mikoa
iliyoathirika zaidi na tatizo hili ni Dar es salaam, Morogoro, Tanga, Kigoma, Mbeya, Kagera,
Arusha na Kilimanjaro. Ipo haja ya kuzingatia kanuni za afya bora ili kuondokana na
ugonjwa huu unaotokana na uchafu.
14
Tatizo la watu kuumwa na mbwa au wanyama wanaohisiwa kuwa na kichaa cha mbwa
limekuwa likiongezeka kila mwaka. Mwaka 2004 watu 15,528 waliumwa na mbwa au
wanyama wanaohisiwa kuwa na kichaa cha mbwa na kati yao watu 98 waliugua ambapo 78
walifariki ikilinganishwa na mwaka 2003 ambapo watu 12,120 waliumwa na kati yao 56
waliugua ambapo 47 walifariki. Wizara inashughulikia kinga ya kichaa cha mbwa, pia
iliendelea kuwasiliana na Wizara ya Maji na Maendeleo ya Mifugo, Wizara ya Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Maliasili na Utalii, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa
Serikali ili kuandaa mkakati wa kukabiliana na tatizo la watu kuumwa na wanyama
wanaohisiwa kuwa na ugonjwa wa kichaa cha mbwa.
Kutokana na kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wananchi wa nchi zetu tatu
wamekuwa na uhuru zaidi wa kutembeleana, kwa hiyo Wizara inashirikiana na Wizara
husika za Kenya na Uganda katika kupanua wigo wa ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ya
milipuko hasa sehemu za mipakani.
Udhibiti wa Magonjwa yanayoenezwa na Wadudu (Vectors and Vector Borne Diseases)
Katika kipindi cha mwaka 2004/2005 Wizara ikishirikiana na Taasisi ya Viuatilifu ya Arusha
(TPRI) imefanya utafiti ili kupata viuatilifu (acaricides) vinavyofaa kuangamiza papasi
wanaoleta homa ya papasi na matokeo ya utafiti huu yatakapokamilika yatatolewa kwa
wadau. Aidha, wananchi katika mikoa husika wameendelea kuhamasishwa juu ya ujenzi wa
nyumba bora na usafi wa mazingira ikiwa ni pamoja na matumizi ya vitanda ili kujiweka
mbali na mazalio ya papasi.
Matarajio ya Udhibiti wa Magonjwa ya Kuambukiza mwaka 2005/2006
Ili kudhibiti magonjwa ya kuambukiza Wizara itaendelea kutoa mafunzo juu ya ufuatiliaji na
udhibiti wa magonjwa kwa wataalam katika Wilaya 30. Wizara itaendelea na mapambano
dhidi ya magonjwa yanayoenezwa na wadudu wanaoruka, wasioruka pamoja na wanyama
(Vectors and vector borne diseases) kwa kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli za
udhibiti wa magonjwa hayo katika Wilaya 20.
2.3.2 Mpango wa Taifa wa kudhibiti Malaria
Ugonjwa wa malaria bado ni tatizo kubwa hapa nchini na linahitaji jitihada za pamoja katika
kukabiliana nalo. Katika kipindi cha 2004/2005, Wizara ilitekeleza majukumu mbalimbali
katika kukabiliana na ugonjwa wa Malaria. Utekelezaji huo ulihusu:• kutoa mafunzo kwa wataalam mbalimbali wa afya kuhusu tiba sahihi,
• uhamasishaji juu ya utumiaji wa vyandarua vyenye viuatilifu hasa kwa mama
wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka 5
• utafiti wa usugu wa vimelea vya malaria
• utafiti juu ya tiba ya mseto
• utoaji wa tiba ya tahadhari kwa vipindi kwa mama wajawazito
• tahadhari za kudhibiti milipuko ya malaria katika wilaya zenye milipuko ya malaria
na uimarishaji wa udhibiti wa malaria ngazi ya jamii.
Wizara kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inaendelea na uhamasishaji wa jamii katika
kutumia vyandarua vyenye viuatilifu.
15
Wizara pia ilizindua Mpango wa Taifa wa Hati Punguzo tarehe 22 Oktoba mwaka 2004,
mpango ambao unawawezesha mama wajawazito na watoto walio chini ya umri wa miaka
mitano kupata vyandarua vyenye viuatilifu kwa bei nafuu. Kwa hivi sasa, mpango wa Taifa
wa Hati Punguzo unatekelezwa katika mikoa ya Dar-es-salaam, Dodoma, Morogoro, Tanga,
Pwani, Kilimanjaro na Arusha. Mpango huu utajumuisha mikoa yote ya Tanzania Bara
ifikapo mwishoni mwa mwaka 2005. Kufikia mwezi Mei mwaka 2005, mpango huu
umeonyesha mafanikio makubwa katika utekelezaji kwani mama wajawazito wapatao
100,000 wametumia Hati Punguzo kununulia vyandarua.
Matarajio ya Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria mwaka 2005/2006
Mwaka huu Wizara kwa kushirikiana na wadau mbalimbali iliadhimisha Siku ya Malaria
Afrika iliyofanyika Kitaifa tarehe 25 Aprili, 2005 mkoani Singida. Kauli mbiu ya
maadhimisho hayo ilikuwa “Tushirikiane kwa pamoja tushinde Malaria”. Kauli mbiu hii
inakumbusha na kusisitiza umuhimu wa kuwashirikisha wadau wote katika Afya kupiga vita
Malaria, hii ikiwa ni pamoja na jamii, Serikali kuu, Serikali za mitaa, wahisani mbalimbali,
mashirika ya dini, watu binafsi nk.
Pamoja na jitihada kubwa zinazofanyika ili kudhibiti ugonjwa wa Malaria nchini, kuna
Wilaya 25 ambazo zipo katika hatari ya kupata milipuko ya ugonjwa wa malaria. Kwa hali
hiyo, Wizara katika mwaka huu wa fedha imeandaa mikakati ya kuziweka wilaya zenye
uwezekano wa kupata milipuko ya Malaria katika hali ya tahadhari ya kuweza kutabiri na
kudhibiti milipuko hiyo.
Wizara imeanza maandalizi ya kubadilisha matibabu ya Malaria kutoka dawa ya SP kwenda
dawa ya mseto ya Artemether /Lumefantrine (ALU/Coartem). Maandalizi ya kubadili
mwongozo wa matibabu, kuendesha mafunzo kwa watoa huduma za afya kuhusu tiba mpya
na kuelimisha jamii yatafanyika. Matarajio ni kuanza kutumia dawa mseto ifikapo mwezi wa
8, mwaka 2006.
2.3.3 Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma
Mwaka 2004 kumekuwa na ongezeko la usajili wa wagonjwa wa Kifua Kikuu toka 64,665
mwaka 2003 hadi 65,644 mwaka 2004. Ongezeko hilo ni sawa na asilimia 1.5. Aidha,
uponaji wa wagonjwa wa Kifua Kikuu pia umeongezeka kutoka asilimia 80.2 mwaka 2002
hadi asilimia 82.5 mwaka 2003. Ongezeko hili ni la asilimia 2.8. Vilevile, idadi ya wagonjwa
wa Kifua Kikuu wasiomaliza matibabu kama ilivyoelekezwa na wahudumu imepungua kwa
asilimia 0.5.
Kwa upande wa ugonjwa wa Ukoma, wagonjwa wamepungua kutoka 5,771 mwaka 2003
hadi wagonjwa 5,602 mwaka 2004 ambalo ni punguzo la asilimia 3. Mafanikio haya
yametokana na utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti maradhi haya kwa kushirikisha jamii
ambayo ni kuwatafuta, kuwatambua mapema na kutoa tiba kamilifu kwa wagonjwa chini ya
usimamizi maalum unaoitwa ‘Directly Observed Treatment Short Course (DOTS)’ kwa ajili
ya Kifua Kikuu na Multi -Drug Therapy (MDT) kwa ajili ya Ukoma.
16
Katika kipindi cha Julai 2004 mpaka Juni 2005, Mpango wa Taifa wa Kifua Kikuu na
Ukoma ulifanya ufuatiliaji wa watoto wa shule 1,048 waliobainika kuwa na uambukizo wa
ugonjwa wa Kifua Kikuu katika mikoa ya Singida, Iringa, Mbeya, Kigoma na Kagera.
Asilimia 48 ya watoto hao walipata uambukizo ndani ya kaya zao na jumla ya watoto 75
yaani asilimia 3 walikuwa tayari na ugonjwa wa Kifua Kikuu (active TB) na walipewa dawa
za matibabu.
Kampeni za kutokomeza ugonjwa wa Ukoma Duniani zilifanyika katika mikoa ya Kagera,
Rukwa na Tabora ambako jumla ya wagonjwa wapya 836 waligunduliwa na kuanzishiwa
tiba. Aidha, katika juhudi za kurekebisha ulemavu (prevention and rehabilitation of
disabilities) unaotokana na Ukoma, watu walioathirika na Ukoma wenye ulemavu 175
walifanyiwa upasuaji wa aina mbalimbali na wengine 5,811 walipewa viatu maalum na watu
37 walipewa miguu bandia. Vile vile, madaktari bingwa wa upasuaji 5 walipewa mafunzo
rejea juu ya upasuaji wa wagonjwa waliopata ulemavu kutokana na Ukoma.
Katika kipindi cha 2004/2005, jamii iliendelea kuelimishwa kwa kutumia njia mbalimbali
ikiwa ni pamoja na kutoa matangazo kwa kutumia vyombo vya habari, kusambaza
vipeperushi na mabango yenye ujumbe wa jinsi ya kutambua dalili, kujikinga na matibabu ya
Kifua Kikuu na Ukoma. Aidha, dawa za kutosha za Kifua Kikuu na Ukoma ziliendelea
kusambazwa katika mikoa, wilaya na vituo vyote vya matibabu. Dawa hizo zilitolewa kwa
wagonjwa wote bila malipo.
Matarajio ya Mpango wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma mwaka 2005/2006
Katika kipindi cha 2005/06 Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma
utaendeleza kampeni za kutokomeza Ukoma katika mikoa ya Ruvuma, Morogoro na Tanga.
Aidha, shughuli za kurekebisha rejesta za wagonjwa wa Ukoma zitaendelea sambamba na
kampeni za kutokomeza Ukoma ili kufikia lengo la kimataifa ifikapo Desemba mwaka 2005.
Mpango utaendelea kuimarisha huduma za pamoja za kudhibiti Kifua Kikuu na UKIMWI na
zile za kudhibiti Kifua Kikuu sugu ili kisienee nchini. Aidha, uagizaji na usambazaji wa dawa
za kutosha za Kifua Kikuu na Ukoma katika vituo vyote vya matibabu nchini utafanywa.
Sambamba na hili, Mpango utaendelea kuelimisha jamii kwa kutumia vipeperushi, mabango
na kutoa habari kwa njia ya luninga na radio jinsi ya kujikinga na maambukizi, kutambua
mapema na taratibu za kufuata wakati wa matibabu ya magonjwa ya Kifua Kikuu na Ukoma.
Wizara inategemea kuanzisha huduma kwa wagonjwa wenye Kifua Kikuu sugu (Multi Drug
TB) katika hospitali ya Kibong’oto iliyopo Wilayani Hai na kuanzisha mpango wa kutumia
dawa za mseto zilizochanganywa pamoja (4 Fixed Dose Combinations) kutibu Kifua Kikuu
katika Wilaya 6 za mwanzo za majaribio. Aidha, Wizara itaendelea na utekelezaji wa mpango
wa pamoja wa kudhibiti uambukizo wa Kifua Kikuu na UKIMWI katika wilaya za Temeke,
Korogwe na Iringa mjini.
Bado jitihada za pamoja zinahitajika katika kuelimisha jamii kutambua dalili za Kifua Kikuu
na Ukoma, kujitokeza kufanya uchunguzi na kuanza matibabu mapema ambayo hutolewa bila
malipo katika vituo vya kutolea huduma za afya.
17
2.3.4 Mpango wa Taifa wa Huduma za Macho na Kudhibiti Ugonjwa wa Usubi
Katika kipindi cha mwaka 2004/2005 Wizara imetekeleza azimio la kimataifa la kutokomeza
upofu unaozuilika duniani ifikapo mwaka 2020 (Vision 2020”) kwa kukamilisha na
kuuzindua rasmi Mpango/Mkakati wa miaka mitano (2004-2008) wa Huduma za Macho
Kitaifa. Mpango/Mkakati huu unatoa dira na mwelekeo wa Huduma za Macho katika jitihada
za kudhibiti upofu ambao vyanzo vyake vikuu ni mtoto wa jicho, ukungu wa kioo cha jicho
unaosababishwa na Trachoma, upungufu wa Vitamin A na Surua, presha ya macho, matatizo
ya kuona yanayorekebishwa na lensi za miwani pamoja na Kisukari. Tanzania ni mojawapo
ya mataifa ya kwanza kabisa kukamilisha Mpango Mkakati huu wa Kitaifa.
Vilevile, katika kipindi hiki Wizara imeweza kutoa tiba ya ugonjwa wa Trachoma kwa
kutumia dawa ya Zithromax kwa mtindo mpya unaoitwa “District Wide Approach” katika
Wilaya 6 za Sikonge, Handeni, Dodoma vijijini, Tunduru, Magu na Ruangwa ambapo watu
1,186,913 walitibiwa ikiwa ni juhudi za kutokomeza ugonjwa wa Trachoma ulimwenguni
ifikapo mwaka 2020. Wizara pia imeandaa Mpango Mkakati wa miaka mitano (2004-2008)
wa kudhibiti Ugonjwa wa Trachoma ambao unatoa dira na mwelekeo wa kuzuia upofu
unaosababishwa na ugonjwa wa Trachoma, ugonjwa ambao unakadiriwa kuathiri takriban
wilaya 50 hapa nchini.
Ili kuharakisha utokomezaji wa upofu utokanao na Trachoma, Shirika la Afya Duniani
limetoa mwongozo mpya wa utoaji wa dawa ya Zithromax inayotumika kutibu na kuzuia
Trachoma, dawa inayotolewa kwa msaada na kampuni ya Pfizer kupitia Shirika la Kimataifa
la kudhibiti Trachoma (International Trachoma Initiative). Mwongozo huu ulipelekea
kufanyika kwa utafiti wa awali ili kuweza kujua kiwango cha ugonjwa huu katika ngazi ya
wilaya. Wizara kwa msaada wa shirika la Kimataifa la kudhibiti Trachoma imefanikiwa
kukamilisha utafiti huo katika Wilaya thelathini zenye ugonjwa huu. Utafiti huu bado
unaendelea katika Wilaya 20 zilizobakia.
Tanzania ni nchi ya kwanza kufanya utafiti huu kulingana na mwongozo mpya na
inachukuliwa kama nchi ya mfano kwa nchi nyingine ambazo zina tatizo la ugonjwa huu
kulingana na mafanikio yaliyojitokeza. Matokeo ya awali ya utafiti huu yameonyesha kuwa
wilaya 26 kati ya 30 zina ugonjwa huu kwa kiwango cha zaidi ya asilimia 10.
Mpango wa Taifa wa kudhibiti ugonjwa wa Usubi uliweza kugawa dawa ya Mectizan katika
vijiji 650 vilivyopo katika Wilaya 14 ambazo ni Ulanga, Kilombero, Kilosa, Songea, Mbinga,
Tunduru, Ludewa, Rungwe, Kyela, Muheza, Mvomero, Morogoro, Korogwe, na Lushoto.
Jumla ya wananchi 2,948,862 walipatiwa dawa hii katika kipindi cha mwaka 2004/2005.
Wizara inatarajia kugawa dawa ya Mectizan kwa wananchi wapatao 3,000,000 katika kipindi
hiki.
Malengo ya Mpango wa Taifa wa Huduma za Macho na Kudhibiti ugonjwa wa Usubi
mwaka 2005/2006
Katika kipindi cha 2005/2006 Wizara inatarajia kuongeza Wilaya 10 zaidi katika mpango wa
kudhibiti ugonjwa wa Trachoma nchini kwa kutumia mtindo mpya wa “District WideApproach”. Jumla ya Wilaya 8 kati ya hizo zinatarajiwa kutolewa dawa ya Zithromax kwa
wananchi wake.
18
Wilaya zitakazojumuishwa katika mpango huo ni Kongwa, Kilosa, Meatu, Iramba, Singida
vijijini, Igunga, Simanjiro na Mkuranga ambapo watu wapatao 2,300,000 wanatarajiwa
kupatiwa matibabu ya ugonjwa wa Trachoma.
Wizara inatarajia pia kugawa dawa ya “Mectizan” kwa ajili ya tiba ya ugonjwa wa Usubi
(mass treatment) kwa wananchi wapatao 3,000,000 katika vijiji 690 vilivyoko katika Wilaya
15 za Ulanga, Kilombero, Kilosa, Songea, Mbinga, Tunduru, Ludewa, Rungwe, Kyela,
Muheza, Mvomero, Morogoro vijijini, Korogwe, Lushoto na Tunduru.
23.5 Huduma ya Elimu ya Afya Kwa Umma
Kwa mwaka 2004/2005, kazi ya kuelimisha na kuhamasisha jamii ishiriki katika kutambua na
kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya ki-afya yanayoisibu iliendelezwa. Aidha, Wizara
inaendelea kukuza uwezo wa Kamati na Bodi za Afya za Wilaya ili ziweze kupanga,
kutekeleza, kufuatilia na kutathmini huduma za Elimu ya Afya katika Jamii. Hii ni pamoja na
kuwezesha Kamati na Bodi za Afya kubuni mikakati ya mawasiliano ya afya na kuandaa
vielelezo vya afya vyenye uwezo wa kuleta mabadiliko yanayohitajika katika kuboresha afya
ya jamii.
Matarajio ya Huduma ya Elimu ya Afya kwa Umma mwaka 2005/2006
Katika kipindi cha 2005/2006, Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma kitaendelea
kushirikiana na wadau mbali mbali kuelimisha wananchi mbinu za kubadili tabia na mitindo
ya maisha inayohatarisha afya zao.
Aidha, Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma kitaimarisha uratibu na kupanua wigo wa
shughuli za utoaji Elimu ya Afya kwa kushirikiana na vyombo mbalimbali vya habari
vilivyopo katika jamii yetu, ikiwa ni pamoja na sanaa kwa maendeleo, ili kuweza kufikisha
ujumbe wa afya kwa wananchi wengi.
2.3.6 Huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto
Katika kipindi cha 2004/2005, huduma maalum kwa wajawazito na watoto chini ya umri wa
miaka mitano ziliendelea kutolewa bila malipo katika vituo vyote vya kutolea huduma vya
Serikali. Huduma hizo ni pamoja na huduma kwa wanawake wajawazito, huduma za
kujifungua, chanjo, matibabu kwa watoto wagonjwa wenye umri chini ya miaka 5 na uzazi
wa mpango. Aidha, Wizara ilihakikisha upatikanaji na usambazaji wa dawa mbali mbali za
uzazi wa mpango unafanyika nchini kwa kushirikiana na wahisani mbalimbali.
Tathmini ya kina ya kutambua hali halisi ya uwezo wa vituo vyetu katika kukabiliana na
dharura ya uzazi pamoja na rufaa imefanyika. Taarifa kamili itakuwa tayari Mwezi Julai
2005. Matokeo yatatumika katika kuimarisha mikakati iliyopo ya kupunguza vifo
vitokanavyo na uzazi ambapo wilaya zitakuwa ni watekelezaji wakuu. Aidha, tathimini ya
kitaifa kuhusu hali halisi ya Afya ya Uzazi na Mtoto hapa nchini imefanyika (Tanzania
Demographic Health Survey) kwa kushirikiana na National Bureau of Statistics. Matokeo ya
awali yatapatikana mwezi Septemba 2005. Tathmini hii itatupatia takwimu ya hali halisi ya
sasa ya vifo vya wanawake vinavyotokana na uzazi kitaifa.
19
Katika kipindi cha 2004/2005, watoa huduma na wakufunzi 130 walipata mafunzo rejea
kuhusu uzazi wa mpango kutoka mikoa ya Dodoma, Kilimanjaro, Morogoro, Tanga, Lindi,
Mbeya, Pwani na Mwanza. Pia, watoa huduma 100 kutoka mikoa ya Kilimanjaro, Dodoma,
Tanga, Mtwara, Morogoro, Lindi, Mbeya, Mwanza na Pwani walipata mafunzo rejea ya
utoaji huduma za wajawazito ikijumuisha matibabu ya tahadhari na kutoa kinga kwa
wajawazito dhidi ya Malaria na upimaji wa ugonjwa wa Kaswende.
Matarajio ya Huduma ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto mwaka 2005/2006
Wizara ya Afya itaendelea kuboresha huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto bila malipo
ikiwa ni huduma za matibabu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, chanjo, uzazi
wa mpango, huduma kwa wanawake wajawazito ambao watahudhuria kliniki na kujifungua
katika vituo vya kutolea huduma vya Serikali.
Aidha, Wizara itaendelea kununua na kusambaza dawa za uzazi wa mpango nchi nzima kwa
kushirikiana na wahisani. Wizara imetenga fedha kiasi cha shilingi billion 6.8 kwa ajili ya
manunuzi hayo na usambazaji.
Wizara imepanga kutoa mafunzo mbalimbali katika maeneo ya uzazi wa mpango (100), uzazi
salama (80), Afya ya uzazi kwa vijana (40) kutoka katika mikoa ya Kilimanjaro, Dodoma,
Tanga, Mtwara, Morogoro, Lindi, Mbeya, Mwanza na Pwani. Ufuatiliaji na usimamizi wa
masuala ya afya ya uzazi, mama na mtoto utafanyika katika mikoa saba hapa nchini. Uhakiki
wa utumiaji wa dawa za uzazi wa mpango katika maghala ya MSD makao makuu na Kanda
(6), pamoja na zile za baadhi ya Wilaya katika Kanda zote saba za Afya ya Uzazi na Mtoto
utafanyika ili kuboresha utunzaji wa dawa husika.
2.3.7 Mkakati wa Kutibu Magonjwa ya Watoto kwa Uwiano (Intergrated Management of
Childhood Illness-IMCI)
Wizara ikishirikiana na wahisani iliendelea kutekeleza mkakati wa Udhibiti wa Magonjwa ya
Watoto kwa Uwiano unaolenga kupunguza vifo vya watoto hasa vinavyotokana na Malaria,
Kuharisha, Pneumonia, Surua na Utapiamlo.
Katika kipindi cha 2004/2005, Wilaya 87 zimetekeleza mkakati wa IMCI. Jumla ya
Wahudumu wa Afya 300 wamepata mafunzo kuhusu stadi za kumtibu mtoto. Wahudumu 40
kutoka hospitali 7 wamepata mafunzo juu ya huduma ya dharura na kuboresha huduma kwa
mtoto aliyezidiwa.
Aidha, jamii imeendelea kuelimishwa juu ya mienendo inayoboresha afya ya mtoto.
Mienendo hii inakazia lishe kwa mtoto, Makuzi ya Mwili na Akili, pamoja na Uzuiaji wa
Magonjwa ya Watoto. Mafunzo haya yametolewa hadi ngazi ya kaya katika Wilaya 13.
Matarajio ya Udhibiti wa Magonjwa ya Watoto kwa Uwiano (IMCI) mwaka 2005/2006
Huduma za Afya na matibabu kwa watoto chini ya miaka mitano zitaendelea kuboreshwa
katika ngazi zote. Wizara inatarajia kutoa mafunzo ya stadi za kutibu watoto kwa wahudumu
wa afya na wakurufunzi 160. Mafunzo ya huduma ya dharura kwa wahudumu wa afya
yatafanyika kwa wahudumu 30 na mafunzo ya wakurufunzi ngazi ya Taifa 50 na ngazi ya
Wilaya 200 watapata mafunzo ya mienendo inayoboresha Afya ya Mtoto.
20
2.3.8 Mpango wa Taifa wa Chanjo
Huduma za chanjo zimeendelea kutolewa nchi nzima kwa watoto wanaostahili kupata chanjo
hizo kama juhudi za serikali za kupunguza vifo na magonjwa ya watoto yanayozuilika kwa
chanjo. Magonjwa hayo ni Kifua Kikuu, Dondakoo, Kifaduro, Pepopunda, Polio, Surua na
Homa ya ini. Viwango vya chanjo vimeendelea kuongezeka vikilinganishwa na viwango vya
mwaka uliopita DPT HB3 kutoka 89% hadi 91%, Measles toka 90% hadi 93% Polio toka
92% hadi 93%, Kifua Kikuu kutoka 94% hadi 95%. Mafanikio haya yametokana na juhudi za
serikali, jamii wadau mbalimbali pamoja na GAVI.
Matarajio ya Mpango wa Taifa wa Chanjo mwaka 2005/2006
Katika kipindi cha mwaka 2005/2006, Wizara ya Afya kwa kushirikiana na mikoa itaendelea
kusimamia huduma za chanjo katika ngazi za Wilaya na itaendelea kutoa vitendea kazi na
chanjo ili kuhakikisha watoto wote wanaostahili chanjo wanapata chanjo. Aidha, juhudi
zitafanywa ili kutokomeza polio, kupunguza magonjwa ya surua, kufuta pepopunda kwa
watoto wachanga na kupunguza vifo zitaendelea kuimarishwa. Wizara pia itaendelea kufanya
tathmini ya magonjwa mengine yanayozuilika kwa chanjo ambazo hazijaanza kutumika hapa
nchini.
2.3.9 Huduma za Afya Shuleni
Katika mwaka 2004/2005 Wizara ilisambaza Kadi za kupimia Afya za wanafunzi katika
Manispaa za IIala, Temeke na Kinondoni. Waratibu wapatao 150 kutoka ngazi ya mkoa na
wilaya walipatiwa mafunzo juu ya Udhibiti wa Magonjwa ya Kichocho na Minyoo mingine.
Aidha, utafiti kuhusu ugonjwa wa Kichocho katika shule za msingi umefanyika katika
Wilaya zote nchini.
Matarajio ya Huduma za Afya Shuleni mwaka 2005/2006
Katika mwaka 2005/2006, Wizara ya Afya inategemea kutoa mafunzo ya Huduma ya kwanza
kwa Waratibu wa Afya Shuleni ngazi ya Wilaya, kuhamasisha Wilaya kuchangia katika
kuchapisha kadi ya kupima afya za wanafunzi kwa shule za awali hadi sekondari. Utoaji wa
dawa za Kichocho /Minyoo kwa wanafunzi pia utatekelezwa katika maeneo yaliyoathirika.
2.3.10 Afya ya Mazingira
Katika mwaka 2004/2005, Wizara imeimarisha udhibiti wa taka za hospitali (Health care
Waste Management) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali pamoja na Chuo Kikuu cha Dar
es Salaam kwa kuendesha mafunzo juu ya udhibiti taka za hospitali na ujenzi wa matanuru
katika hospitali za Wilaya za Kilosa na Mahenge, Hospitali ya Ocean Road na Hospitali ya
Rufaa ya Kibongoto. Aidha, Wizara imeboresha na kuinua hali ya Afya na Usafi wa
Mazingira kwa kuendesha mashindano ya Afya na Usafi wa Mazingira nchini. Mashindano
haya yalishirikisha Halmashauiri za Jiji la Mwanza, Manisipaa 12, Halmashauri za Miji 9 na
Halmashauri 114 za Wilaya nchini.
Ili kuinua kiwango cha usafi na ubora wa vyoo, kalibu (Moulds) za kutengenezea mabamba
(slab) 560 zilitengenezwa na kusambazwa katika Wilaya za Rungwe, Bagamoyo, Kisarawe,
Monduli na Mufindi pamoja na Mkoa wa Kigoma ili zitumike kujengea vyoo bora.
21
Aidha, Wizara iliandaa na kusambaza miongozo ya utekelezaji wa huduma za Afya ya
Mazingira nchini Miongozo na mikakati iliyoandaliwa ni pamoja na:-.
• Mwongozo wa Mafunzo ya Mbinu Shirikishi Jamii katika kuboresha tabia za Afya na
Usafi wa Mazingira
• Mwongozo wa Udhibiti wa Taka (Waste Management Policy Guideline)
• Mkakati wa Kitaifa wa Afya na Usafi wa Mazingira (National Environmental Health,
Hygiene and Sanitation Strategy) mkakati huu unazingatia malengo ya kuondoa
umaskini nchini pamoja na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (Millenium
Development Goals).
Matarajio ya Afya ya Mazingira mwaka 2005/2006
Katika kipindi cha 2005/2006, Wizara ya Afya inakusudia kuanzisha Vijiji bora kwa kila
Mkoa ambavyo vitakidhi mahitaji yote ya kiafya. Tunatarajia kuanza na Wilaya tano kwa
kuchagua Kijiji kimoja kila Wilaya. Aidha, Wizara itaendelea kushirikiana na Wizara mbali
mbali, jumuia za kimataifa, mashirika yasiyokuwa ya kiserikali (NGOs) na jamii katika
upangaji mipango mbinu shirikishi jamii ili kuboresha hali ya afya na usafi wa mazingira
katika mikoa yote.
Aidha, Wizara itaanza kutekeleza Mpango maalum wa Kudhibiti Taka za Hospitali (Health
Care Waste Management) ili kudhibiti hali ya uambukizi wa maradhi kwa watoa huduma,
wateja na jamii kwa jumla kwa vile mara nyingi taka zitokanazo na huduma za afya nchini
zimekuwa zikionekana zikizagaa ovyo mahali zisipotakikana. Mpango huu utatekelezwa kwa
muda wa miaka mitano 2005/06 – 2009/2010 katika mikoa yote. Mpango huu utaanza kwa
kuzihusisha hospitali za Halmashauri zote za Wilaya, hospitali za mikoa na hospitali za rufaa
nchini.
Vilevile, itaratibu mapitio ya sheria ya ‘Drainage and Sewerage Ordinance Cap 259’ ya
mwaka 1955 inayosimamia udhibiti wa maji taka nchini. Sheria hii ni ya zamani sana na
imepitwa na wakati itapitiwa na kufanyiwa marekedisho yanayokidhi haja ya hali ilivyo kwa
wakati huu.
Katika kupima maendeleo ya Afya ya Mazingira Wizara itaendeleza mashindano ya Afya na
Usafi wa Mazingira nchini, ambayo yataendelea kujumuisha halmashauri zote nchini (Jiji,
Manisipaa, Mji na Wilaya). Lengo kuu la mashindano haya ni kushirikisha wananchi, sekta
binafsi katika kuboresha hali ya usafi wa mazingira katika maeneo yao
2.3.11 Huduma za Afya Mipakani
Katika kuhakikisha kuwa udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza kutoka nje ya nchi
unaimarika, Wizara imeboresha huduma za Afya Mipakani ambapo maafisa wa Afya
wamepata mafunzo mbalimbali ikiwemo jinsi ya kupambana na majanga. Pia, vituo
vimeimarishwa kwa kuongeza vitendea kazi na kuajiri wataalam wa afya katika vituo vya
Afya. Katika mwaka huu wa fedha, zaidi ya tani 5,470,000 za vyakula zilikaguliwa ambapo
tani 40,800 ziliharibiwa baada ya kuthibitika kuwa hazifai kwa matumizi ya binadamu.
22
Matarajio ya Huduma za Afya Mipakani mwaka 2005/2006
Wizara itaendelea kuhakikisha kuwa magonjwa ya kuambukiza ya kimataifa yanadhibitiwa
kwa kufuata sheria za Afya za Kimataifa. Vituo vya mipakani vitapatiwa nyenzo na vitendea
kazi vya kisasa ikiwemo usafiri. Pia, udhibiti wa uingizwaji wa vyakula, dawa na vipodozi
visivyokidhi viwango vya Afya utaimarishwa kwa kushirikiana na wadau wengine kwa
Halmashauri zote nchini 113.
2.3.12 Afya katika Sehemu za Kazi
Kwa kuzingatia umuhimu wa Afya ya Wafanyakazi hususan maeneo ya viwanda, ujenzi na
mashamba, Wizara imefanya uhamasishaji wa kamati za Halmashauri za Wilaya 48 juu ya
uainishaji wa huduma za afya sehemu za kazi na huduma za afya ya msingi. Shughuli za
usimamizi na ufuatiliaji wa afya sehemu za kazi zimefanyika katika Halmashauri 12. Aidha,
mafunzo kwa wachimbaji wadogo wadogo 70 wa madini katika Mikoa ya Arusha na Mwanza
yamefanyika.
Matarajio ya Afya katika Sehemu za Kazi mwaka 2005/2006
Kwa kutambua umuhimu wa afya ya wafanyakazi mahali pa kazi, Wizara imeweka mikakati
ya kuwafikia na kuwahamasisha wafanyakazi wote juu ya madhara yatokanayo na kazi
ifikapo 2015. Aidha Wizara imeweka mikakati endelevu inayotilia mkazo juu ya uzuiaji wa
maambukizi ya UKIMWI mahali pa kazi. Ili kufikia azma hii madaktari 118 wa Halmashauri
za Wilaya watapatiwa mafunzo juu ya uboreshaji wa afya ya wafanyakazi sehemu za kazi.
2.3.13 Huduma za Afya Wilayani (District Health Services)
Utekelezaji wa mabadiliko ya Sekta ya Afya ngazi ya Wilaya yalianza kutekelezwa kwa
awamu tatu tofauti. Awamu ya kwanza ilikuwa kwa Halmashauri 37 kwa mwaka 2000,
awamu ya pili 2002 Halmashauri 45 na awamu ya mwisho Halmashauri 31 na kufanya jumla
ya Halmashauri za Wilaya, Jiji, Miji na Manispaa 113.
Utekelezaji ulianza kwa kufundisha Halmashauri zote namna ya kuandaa Mipango
Kambambe ya Afya ya Halmashauri (Comprehensive Council Health Plan) na kutayarisha
taarifa za robo mwaka za utekelezaji zikihusu fedha na kazi halisi zilizotekelezwa (quarterly
progress implementation reports – technical and financial). Mpaka sasa Halmashauri zote
zinaandaa, kutekeleza na kutoa taarifa ya utekelezaji wa mipango hii kama ilivyopangwa.
Mabadiliko yamekwenda sambamba na uundaji wa taasisi na miundo ya kuwezesha jamii
kushiriki katika uendeshaji, umiliki na usimamizi wa huduma za afya. Vyombo hivyo ni
Bodi za Huduma za Afya za Halmashauri na Kamati za Vituo vya Tiba. (Council Health
Service Boards and Health Facility Governing Committees).
Aidha, mpaka sasa Halmashauri zote 113 zimehamasishwa na kuridhia uundaji wa Bodi za
afya na Kamati za Vituo vya Tiba. Hati Rasmi pamoja na Sheria Ndogo ya Mfuko wa Afya
ya Jamii zipo katika ngazi ya utekelezaji kwa kuwa zikitoka Wilayani zinapelekwa mikoani
ili kupitiwa na kuandikiwa barua na kupelekwa kwa Waziri mwenye dhamana na Serikali za
Mitaa. Mwisho Katiba na Sheria kuandikwa kama Sheria na kutangazwa kwenye Gazeti la
Serikali.
23
Mpaka sasa kati ya Halmashauri 113 zilizohamasishwa ni Halmashauri 70 tu ambazo
zimezindua Bodi za Huduma za afya na Kamati za vituo vya Tiba na zinafanyakazi. Wizara
pia kwa mwaka jana ilibadilisha magari mapya 24 kwenye Halmshauri kwa ajili ya ufuatiliaji
na usambazaji wa dawa na vifaa tiba na kinga kwenye vituo vya kutolea huduma.
Matarajio ya Huduma za Afya Wilayani (District Health Services) mwaka 2005/2006
Mwaka 2005/06 Wizara itakamilisha uzinduzi wa Bodi za Afya katika Halmashauri 63
zilizobakia mara Sheria zao zitakapotangazwa kwenye Gazeti la Serikali. Sambamba na
uzinduzi na uhamasishaji wa Bodi na Kamati za vituo vya Tiba, pia Halmashauri zitaendelea
kuhamasishwa ili kuanzisha Mfuko wa Afya wa Jamii (Community Health Fund). Kwa vile
hadi sasa Halmashauri za Wilaya 40 kati ya 113 zinatekeleza Mfuko wa Afya wa Jamii. Kwa
kuwa Mfuko wa Afya wa Jamii unaendana na uzinduzi wa Bodi za Afya za Halmashauri
inategemewa kwa mwaka wa 2005/06 kusaidia Halmashauri 73 zilizobakia ziwe zinatekeleza
Mfuko huu.
Wizara kwa mwaka 2005/06 itaendelea kutoa usimamizi wa kitaalam kwa Halmashauri juu
ya uendeshaji wa huduma za afya katika ngazi ya Wilaya ili kuboresha huduma na kuendelea
kubadilisha na kupeleka magari mapya 10 kwenye Halmashauri kwa ajili ya ufuatiliaji na
usambazaji wa dawa na vifaa muhimu vya afya.
Wizara itatoa mafunzo juu ya uainishaji wa MKUKUTA (NSGPR), Kitita cha Huduma
Muhimu za Afya (NEPHI), Mpango wa Mabadiliko ya Afya wa miaka mitano (HSSP) na
Mipango Kabambe ya Halmashauri CCHP). Aidha, mafunzo yatatolewa kwa timu za
uandaaji Mipango ya Afya ya Halmashauri jinsi ya kutumia teknolojia ya kisasa ya kukotoa
hesabu za bajeti za mipango ya Halmashauri (CCHP) kwa kulinganisha na mzigo wa
magonjwa (Burden of Disease).
2.3.14 UKIMWI
Katika kukabiliana na janga hili la UKIMWI nchini, Wizara ilitekeleza Mkakati wa Sekta ya
Afya wa Kudhibiti UKIMWI 2003-2006, ambao ni pamoja na Huduma ya Damu Salama,
kutoa Ushauri Nasaha, Kufuatilia Mwenendo wa maambukizi ya Virusi vya UKIMWI katika
Jamii, pamoja na Huduma ya Magonjwa ya Ngono (Sexually Transmitted Infections – STI).
Mwaka 2004/05, kulikuwa na azma ya serikali ya kuanzisha mpango wa kitaifa wa kutoa
dawa za kupunguza makali ya ugonjwa wa UKIMWI. Mpango huu uliweza kununua dawa
kwa kutumia fedha zilizotengwa na Serikali. Hadi sasa wagonjwa wapatao 4,200
wameanzishiwa dawa hizo katika vituo hivyo 32. Aidha, dawa zaidi zimeagizwa na
zinategemewa kupokelewa hapa nchini kuanzia mwishoni wa mwezi April 2005. Dawa hizo
zitatosha kuwaanzishia wagonjwa waliokusudiwa dawa wapatao 44,000.
Aidha, katika kujenga uwezo wa hospitali wa kupima wagonjwa wa UKIMWI na kutambua
hatua ya ugonjwa kwa lengo la kuanzisha matibabu, machine za Facs Count zinazopima
viwango vya chembechembe za CD4 zipatazo 20 zimenunliwa na kusambazwa katika
hospitali zote za rufaa na baadhi ya hospitali za mikoa. Mashine nyingine nane (8)
zimeagizwa kwa ajili ya hospitali za mikoa iliyobakia.
24
Aidha, mafunzo kwa wataalam wa afya ambao watatoa dawa za kupunguza makali ya
UKIMWI kwa wagonjwa yametolewa kwa wataalam mbalimbali wa afya wapatao 492
kutoka vituo 96 vya kutolea huduma za Afya. Vituo hivyo 96 vinajumuisha hospitali zote za
rufaa na mikoa, baadhi ya hospitali za Wilaya, hospitali za Mashirika ya dini na Watu
Binafsi. Huduma za kutoa madawa ya kupunguza makali ya ugonjwa wa UKIMWI
zitaendelezwa kwa awamu kulingana na uwezo wa kifedha wa Serikali.
Nchi yetu ina idadi kubwa ya watu wanaaohitaji dawa za kupunguza makali ya ugonjwa wa
UKIMWI. Idadi hiyo ambayo inakisiwa kufikia watu 500,000 ni kubwa sana kulinganisha na
uwezo. Serikali itaendelea kuongeza idadi ya wagonjwa wanaopata huduma hii kwa awamu
mpaka wote wafikiwe.
Matarajio ya Mpango wa kukabiliana na Ugonjwa wa UKIMWI mwaka 2005/2006
Katika kuendelea kudhibiti ugonjwa wa UKIMWI na kutoa huduma kwa wale walioathirika
na ugonjwa huu, Wizara mwaka 2005/2006 itaendelea kufuatilia mwenendo wa maambukizi
ya virusi vya UKIMWI katika jamii kwa kufuatilia wajawazito katika kliniki 93 zilizopo
kwenye mikoa 15 ya Tanzania Bara. Matokeo ya ufuatiliaji huu yatatoa picha kuhusu kuenea
kwa virusi vya UKIMWI katika jamii na matokeo ya mikakati inayoendelea ya kudhibiti
UKIMWI.
Katika kipindi hiki, Wizara itakamilisha kuandaa utafiti wa kufuatilia usugu wa virusi vya
UKIMWI kwa madawa yanayotumika hivi sasa kupunguza makali ya UKIMWI. Hivyo,
ufuatiliaji wa usugu wa madawa ya kupunguza makali ya UKIMWI (HIV drug resistance
threshold surveys) utaanzishwa katika mkoa wa Dar es Salaam ambapo dawa za kupunguza
makali ya UKIMWI yalianza kutumika miaka kadhaa kabla ya serikali kuanza mpango wa
kutoa dawa za kupunguza makali ya UKIMWI kwa wagonjwa wa UKIMWI.
Matokeo yake yatasaidia katika kugundua dawa ambazo tayari Virusi vya UKIMWI
vimekwisha kuwa sugu nazo kiasi kwamba haziwezi kupunguza makali ya ugonjwa wa
UKIMWI na hivyo kusaidia wataalam kutoa maelekezo ya dawa zinazofaa.
Wizara itanunua na kusambaza dawa za kupunguza makali ya UKIMWI katika vituo 180
vilivyoteuliwa kutoa huduma hiyo kote nchini ili kuwafikia wagonjwa wapya 56,000 ili
kufikia lengo jipya lililowekwa la kuwafikia wagonjwa 100,000 nchini kote ifikapo Juni
2006. Vituo vipya vitakavyohusishwa katika mpango huu ni pamoja na hospitali zote za
Wilaya na hospitali za binafsi ziliopo kwenye mikoa ya pembezoni na mikoa iliyo na
viwango vya maamukizi ya UKIMWI zaidi ya asilimia saba.
Huduma za ushauri nasaha na upimaji wa hiari zitaendelea kutolewa katika vituo 521
vinavyotoa huduma ili kuweza kutoa ushauri nashaha kwa wagonjwa wote 100,000
watakaokuwa kwenye tiba ya dawa za UKIMWI. Aidha, tutahakikisha mafunzo kwa
wataalam wa kutoa huduma za dawa za kupunguza makali ya UKIMWI katika kila kituo
yatatolewa na angalau watalam wanne ambao wameshapatiwa mafunzo wanakuwepo katika
vituo vya huduma. Wizara itaendelea kutoa huduma za Magonjwa ya Zinaa katika mikoa
yote 21 pamoja na kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa UKIMWI hususan kuacha
kuwanyanyapaa wagonjwa wa UKIMWI na kuzingatia matumizi sahihi ya dawa za
kupunguza makali ya ugonjwa wa UKIMWI.
25
2.3.15 Mradi wa Uimarishaji Huduma Muhimu za Afya (MUHUMA) TEHIP
Mradi wa Uimarishaji Huduma Muhimu za Afya (MUHUMA) umekuwa ukitekelezwa katika
Wilaya mbili za Morogoro vijijini na Rufiji toka Mwaka 1997 mpaka mwaka 2004 ulipofikia
kikomo kama mradi. Utafiti umeonyesha kuwa kasi ya vifo imepungua katika Wilaya zote
mbili kwa asilimia zaidi ya 55% kwa watoto chini ya miaka mitano na asilimia 18% kwa
watu wazima. Kupungua huku kumeziweka Wilaya hizo mbili kwenye matumaini ya kufikia
moja ya malengo ya milenia ya Umoja wa Mataifa ya kupunguza kasi ya vifo miongoni mwa
watoto chini ya miaka mitano kwa theluthi mbili ifikapo mwaka 2015.
Kufuatana na matokeo haya, Wizara ya Afya ikishirikiana na wadau wengine imeanza
mikakati ya kupata fedha za kueneza mbinu na nyenzo zilizobuniwa na kufanyiwa kazi katika
Wilaya hizo mbili katika Wilaya zote nchini. Dhana ni kuwa endapo nchi nzima itatekeleza
yaliyofanywa Morogoro na Rufiji basi kasi ya vifo vya watoto wadogo na wakubwa
itapungua na hivyo Tanzania kuwa miongoni mwa nchi za mwanzo kutekeleza mpango huo.
2.4 Idara za Tiba Utekelezaji wa Majukumu mwaka 2004/2005
2.4. 1 Huduma za Uchunguzi wa Magonjwa
Mradi wa uimarishaji wa huduma za X-ray na Ultrasound ulikabidhiwa kwa Serikali kutoka
kampuni ya “Philips Medical Systems” ya nchi ya Uholanzi ili tuweze kuuendeleza
wenyewe. Makabidhiano hayo yalifanyika Jijini Mwanza katika hospitali ya Bugando tarehe
22 Februari 2005, ambapo Mheshimiwa Rais alikabidhiwa mashine kubwa na maalum ya
Ultrasound kutoka kwa mwakilishi wa Kampuni hiyo yenye thamani ya takriban fedha ya
kitanzania shilingi milioni 88. Mashine nyingine ilipelekwa Zanzibar katika hospitali ya
Mnazi mmoja tarehe 14 Machi, 2005. Aidha, Wizara iliagizwa kusimamia ukarabati na kinga
ya matengenezo ya mashine hizo baada ya mradi kwisha ifikapo mwishoni mwa mwaka
2005. Vilevile, Wizara imekamilisha taratibu zote za kupeleka Bungeni muswada wa sheria
inayohusu usajili wa wanataaluma ya mionzi ili kuboresha huduma za mionzi.
Kuhusu usimamizi na utekelezaji wa huduma za karakana zetu za Kanda, Wizara imeendelea
kuziimarisha kwa kuzipatia vipuli, vifaa na nyenzo za utekelezaji wa matengenezo ya
mashine hizo za kutolea huduma za Afya.
Kuhusu uimarishaji wa maabara za hospitali ili ziweze kufuatilia wagonjwa wanaopatiwa
dawa za kupunguza makali ya UKIMWI, Wizara imekwishaweka mashine 20 za kupima
CD4 katika hospitali zote za rufaa na mikoa 16. Mashine nyingine 8 za CD4 na dawa zake
zimeshawasili kwa ajili ya mikoa iliyobaki na hospitali za manispaa za Dar es Salaam.
Vilevile, mashine kwa ajili ya vipimo vingine (Clinical Chemistry and Haematology) kwa
ajili ya hospitlai 10 za mikoa na 13 za Wilaya zimegizwa. Vipimo hivyo ni kwa ajili ya
kufuatilia athari za ARV (Toxicity follow up) kwa wagonjwa wanaotumia.
Kuhusu huduma ya damu salama, ujenzi wa vituo vya kanda vya upatikanaji wa damu (Zonal
Blood Transfusion Centres- ZBTC) umekamilika katika Kanda za Ziwa, Kasikazini na
Nyanda za juu Kusini. Kwa upande wa Kanda ya Mashariki, ujenzi umeshaanza Dar es
Salaam na kanda ya Kusini ujenzi haujaanza. Mwongozo wa huduma za damu salama
umekamilika.
26
Matarajio ya Huduma za Uchunguzi wa Magonjwa mwaka 2005/2006
Wizara itaingia mkataba na Kampuni ya Philips Medical Systems katika kuhakikisha kuwa,
mashine za X-ray, Ultrasound na vifaa vingine chini ya mradi wa kuimarisha huduma za
uchunguzi wa magonjwa nchini zinadumu kwa miaka mingi. Katika mkataba huo mafunzo
maalum hasa yale ya mashine zenye teknolojia ya hali ya juu hususan X-ray na Ultrasound
yatatolewa kwa watumiaji, makandarasi na mafundi wetu waliopo kwenye karakana za
Kanda.
Mkataba huu utakuwa wa miaka 5 kuanzia Januari 2006 hadi Desemba 2010. Wizara pia
itaendelea kuvifanyia matengenezo ya mara kwa mara vifaa tiba kupitia karakana za kanda
kwa maeneo yote yanayotoa huduma ya afya kuanzia zahanati hadi hospitali za rufaa, kwa
utaratibu utakaopangwa kwa ajili ya utekelezaji wake kufuatana na mwongozo wa Wizara juu
ya uboreshaji na matengenezo ya vifaa tiba vya hospitali nchini.
Wizara inakusudia kupeleka Bungeni muswada wa sheria inayohusu taaluma ya mionzi
nchini katika mwaka 2005/06. Pia Tanzania imepewa heshima na nchi za Afrika ya kuwa
mwenyeji wa kongamano la wanataaluma ya Radiologia kutoka Afrika mnamo mwezi
Septemba, 2005.
Wizara itaendelea kuimarisha huduma za maabara kwa kuagiza mashine nyingine, na vifaa
vya maabara kwa ajili ya kufuatilia wagonjwa wanaopatiwa dawa za kusaidia kupunguza
makali ya UKIMWI. Aidha, baadhi ya maabara zitaboreshwa kwa kufanyiwa ukarabati ili
kukidhi mahitaji ya utoaji wa huduma hizo.
Kuhusu huduma ya damu salama, Wizara itakamilisha ujenzi wa Kanda ya Mashariki pamoja
na kuanza mipango ya ujenzi wa Kanda za Kusini (Mtwara) na Kati (Dodoma). Wakati huo
Kanda za Ziwa, Nyanda za Juu Kusini na Kaskazini zitaanza kazi ya ukusanyaji wa damu
salama katika hospitali zetu kwa kushirikiana na Shirika la Msalaba Mwekundu Tanzania.
2.4.2 Huduma za Tiba Asili
Mwaka 2002/2003 muswada wa Sheria ya Dawa, Tiba Asili na Tiba Mbadala, ulipitishwa na
Bunge. Utekelezaji wa Sheria Namba 23 ya mwaka 2002 utaanza July 2005. Baraza la Tiba
Asili na Tiba Mbadala tayari limekwisha teuliwa na mamlaka husika kwa mujibu wa Sheria
hiyo.
Wizara ya Afya imeandaa Kanuni na Miongozo ya usajili wa Waganga wa Tiba Asili na Tiba
Mbadala. Usajili wa vituo vya kutolea huduma za Tiba Asili na Tiba Mbadala; nidhamu na
maadili kwa Waganga wa Tiba Asili na Tiba Mbadala; usimamizi na usajili wa bidhaa
nyinginezo za Asili zinazotumika kwa ajili ya afya ya binadamu.
Matarajio ya Huduma za Tiba Asili mwaka 2005/2006
Wizara itaendelea kuwaelimisha Waganga wa jadi na Wadau wa Tiba Asili na tiba mbadala
ili kuielewa sheria ya tiba asili na tiba mbadala. Aidha, Wizara itaendelea na ufuatiliaji wa
tiba asili na tiba mbadala likiwemo suala la utafiti.
27
2.4.3 Huduma za Afya ya Kinywa
Katika mwaka 2004/2005, Wizara ya Afya imefunga vifaa vya Tiba ya Meno (Dental Units)
katika Halmashauri za Wilaya zifuatazo: Mbarali, Karatu, Ngorongoro, Simanjiro, Kiomboi,
Morogoro Vijijini, Morogoro Manispaa, Mbozi, Hanang, Sikonge, Mpanda, Mvomero,
Bariadi, Bukombe, Kilombero, Liwale, Njombe, Ludewa, Sengerema, Geita, Ukerewe,
Misungwi, Newala, Mwanga na Kwimba. Pia, vifaa vilifungwa katika hospitali zifuatazo:
Iringa, Bombo, Mawenzi, Mt. Meru na KCMC.
Aidha dawa na vifaa muhimu vya tiba ya meno vilinunuliwa kwa ajili ya matumizi ya
hospitali za mikoa na kwa ajili ya mafunzo vyuoni.
Matarajio ya Huduma za Afya ya Kinywa mwaka 2005/2006
Katika mwaka wa fedha 2005/2006 awamu ya pili ya ufungaji vifaa kwa kuzipatia kliniki za
meno za Wilaya na Halmashauri viti (Dental Chairs), taa maalum (operating lights) na viti
vya kukalia madaktari wa meno wanapofanya kazi (Operating Stools) utaanza.
Wilaya/Halmashauri zitakazopatiwa vifaa hivyo ni:- Muheza, Korogwe, Chunya, Ileje,
Mbeya Vijijini, Mbeya Manispaa, Mbarali, Rungwe, Kyela, Karatu, Ngorongoro, Simanjiro,
Iramba, Morogoro Vijijini, Morogoro Manispaa, Mbozi, Hannang, Singida, Tabora, Sikonge,
Mpanda, Musoma, Kigoma, Kilombero, Mvomero, Bariadi, Bukombe, Kishapu, Liwale,
Njombe, Ludewa, Bukoba, Karagwe, Sengerema, Geita, Ukerewe, Misungwi, Newala,
Mwanga, Kwimba, Dodoma Manispaa, Tarime, Bunda, Biharamulo, Tabora Manispaa, na
Mbinga. Pia hospitali zifuatazo zitapatiwa vifaa hivyo; Kibosho, Mbeya Rufaa, Mawenzi, Mt.
Meru, Bombo, Iringa, Dodoma, Mbeya Mkoa, Mirembe, Kilema, Bugando, Dareda, Ligula,
Maweni, Singida na Bukoba.
2.4.4 Huduma za Afya ya Akili na Vita dhidi ya Dawa za Kulevya
Mwaka 2004/2005, Wizara imeendelea kusimamia uboreshaji wa huduma za afya ya akili
ngazi ya msingi. Shughuli hizo zinaendelezwa katika mikoa ya Dar es Salaam, Manyara,
Mtwara na Mwanza.
Toleo rasmi la kwanza la vitabu vya Huduma ya Afya ya Akili ngazi ya Msingi
vimechapishwa nakala 4,500 na kusambazwa kulingana na utaratibu wa kutoa mafunzo
katika kila Mkoa.
Matarajio ya Huduma za Afya ya Akili mwaka 2005/2006
Kitengo kitaendelea na mipango ya kueneza huduma ya afya ya akili ngazi ya msingi kwa
kushirikiana na wadau wa ndani na nje katika Mikoa ya Tanga, Arusha, Kilimanjaro,
Manyara na Mwanza kwa kushirikiana na MEHATA na CORDAID na Mkoani Mtwara kwa
kushirikiana na shirika la Basic Needs.
Mpango wa kutoa Mafunzo kwa watoa huduma ngazi ya msingi utaendelea katika Mikoa ya
Dar es Salaam na Manyara. Pia, Wizara inategemea kukamilisha uchapishaji wa mwongozo
wa Sera ya Afya ya Akili.
28
2.4.5 Huduma za Hospitali za Mashirika ya kujitolea, Makampuni na Watu Binafsi
Katika mwaka 2004/2005, Hospitali mbili za Mashirika ya Dini (Karatu na Mugana)
ziliombwa na Halmashauri za Wilaya ya Karatu na Bukoba Vijijini zitumike kama Hospitali
Teule. Hospitali hizo tayari zimeanza kutumika kama hospitali Teule za Wilaya hizo. Ruzuku
ilibakia kuwa TShs 30,000/= kwa kitanda kwa mwaka. Kulikuwa na ongezeko la vitanda 174
kwa ajili ya kupewa Ruzuku.
Jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya vilivyosajiliwa mwaka 2004/2005 ni 53 ambavyo
ni 73% kati ya 73 vilivyoombewa usajili.
Matarajio ya Huduma za Hospitali za Mashirika ya kujitolea, Makampuni na Watu
Binafsi mwaka 2005/2006
Wizara itaanza kutumia “Service Agreement” katika kufanya makubaliano kati ya
Halmashauri za Wilaya na wamiliki wa hospitali za mashirika ya dini. Vile vile, Wizara
itajadili maombi ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kuhusu kutumia hospitali ya
Tosamaganga kama hospitali Teule ya Wilaya hiyo.
2.4.6
Huduma ya Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba
Mwaka 2004/05, kiasi cha Tshs. 35,175,356,000 zilitumika kununua dawa, vifaa na vifaa tiba
kwa matumizi ya hospitali, Zahanati na Vituo vya Afya. Aidha, hospitali za Wilaya, Mikoa
na Rufaa ziliendelea na utekelezaji wa uchangiaji wa gharama za dawa chini ya mfumo wa
‘Capitalization of Hospital Pharmacies’ ambapo wananchi wanalipa nusu ya bei halisi ya
dawa. Fedha kutokana na mauzo ya dawa ziliingizwa kwenye mfuko wa dawa (Drug
Revolving Fund) kuwezesha hospitali hizo kununua dawa nyingine zilizohitajika.
Mwaka 2004/2005, Zahanati mpya 526 na Vituo vya Aya 36 vilivyojengwa na Halmashauri
na kwa nguvu za wananchi vilipewa masanduku ya dawa. Aidha, Zahanati 716 na vituo vya
afya 88 katika Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza na Shinyanga vilianza kuagiza dawa na vifaa
kwa kutumia mfumo wa Indent. Ili kurahisisha utoaji wa dawa na vifaa kwa mfumo huu,
sehemu maalum imejengwa katika Bohari ya Mwanza kwa ajili ya kuhudumia Zahanati na
Vituo vya Afya hivyo. Kutokana na hatua hiyo, Bohari ya Mwanza sasa imeondokana na
mfumo wa usambazaji wa masanduku ya dawa.
Wizara pia ilitoa mafunzo ya utekelezaji wa mfumo wa Indent kwa baadhi ya wajumbe wa
Kamati za Uendeshaji wa Huduma za Afya katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Tanga.
Wajumbe hawa watatoa mafunzo kwa watumishi katika Zahanati na Vituo vya Afya katika
mikoa yao ili kuwezesha uagizaji wa dawa na vifaa kulingana na mahitaji na kwa kuzingatia
mgao wa fedha na maradhi katika sehemu zao.
Bohari ya Dawa iliendelea na usambazaji wa dawa na vifaa vya miradi misonge (vertical
programmes) na vya misaada. Katika kipindi hicho, Bohari ya Dawa ilisambaza chanjo, dawa
za kutibu Kifua Kikuu na Ukoma, Usubi, Uzazi wa Mpango, Matende, Ngirimaji na
magonjwa ya mtegesheo kwa watu waishio na UKIMWI.
29
Matarajio ya Huduma ya Dawa, Vifaa na Vifaa Tiba mwaka 2005/2006
Katika mwaka wa fedha 2005/06, Wizara ya Afya imetengewa jumla ya Tshs.
32,320,996,556 kwa ajili ya ununuzi wa dawa, vifaa na vifaa tiba kwa matumizi ya Zahanati,
Vituo vya Afya na hospitali za Serikali na hospitali Teule kwa matumizi ya kawaida. Pia
Serikali imetenga Tshs. 20,000,000,000 kwa ajili ya ununuzi na usambazaji wa dawa na vifaa
tiba vya kupunguza makali ya UKIMWI.
Wizara ya Afya kupitia Bohari ya Madawa, itasambaza dawa na vifaa katika Zahanati 3,500
na Vituo vya Afya 400. Kati ya hivyo, Zahanati 175 na Vituo vya Afya 25 vitakuwa vipya
vilivyojengwa na Halmashauri na nguvu za wananchi. Aidha, katika kuboresha usambazaji
wa dawa, vifaa na vifaa tiba, Wizara ya Afya itaendesha majaribio ya mfumo ujulikanao
kama Integrated Logistics System katika mikoa ya Dodoma na Iringa. Mfumo huu
utawezesha Zahanati, Vituo vya Afya na hospitali kuagiza dawa na vifaa vya kawaida na vile
vya miradi na misaada chini ya mfumo mmoja. Mfumo huu unatarajiwa kuiwezesha Wizara
kukusanya takwimu za mahitaji na matumizi halisi ya dawa, vifaa na vifaa tiba.
2.4.7 Huduma za kuzuia Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kutoka kwa Mama kwenda
kwa Mtoto
Katika mwaka 2004/2005 wizara imesambaza huduma ya kuzuia maambukizi ya virusi vya
ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mototo katika mikoa 9 zaidi ya Tanzania bara na
kufanya huduma hii kupatikana katika hospitali zote za mikoa na 82 za Wilaya. Mikoa hiyo
ni Lindi, Dodoma, Ruvuma, Rukwa, Kigoma, Mara, Shinyanga, Tanga na Singida.
Vilevile, wizara inashirikiana na wadau mbalimbali ilikuweza kusambaza hudma hii katika
hospitali na vituo vya kutolea huduma vinavyomilikiwa na mashirika ya dini.
Wizara imeendelea na mpango wa kutoa dawa za kupunguza makali ya ugonjwa wa
UKIMWI kwa akinamama wajawazito, wazazi wenzao na watoto wao. Mpango huu ambao
unaitwa “MTCT –Plus” unaenda sambamba na mpango wa Taifa wa kutoa dawa za
kupunguza makali ya UKIMWI (ART programe) na hivyo umeanza kutekelezwa katika vituo
96 vilivyo katika mpango wa ART.
Matarijio ya Huduma za kuzuia Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kutoka kwa
Mama kwenda kwa Mtoto mwaka 2005/2006
Katika mwaka 2005/2006 Wizara ya Afya imepanga kupanua huduma ya kuzuia
maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT) katika
wilaya 20 zaidi ambazo hazina huduma hiyo na kufanya jumla ya wilaya 102 kuwa na
huduma hii.
Vile vile, Wizara itaendelea kuimarisha huduma ya “MTCT – Plus” ambayo imeanza
kutolewa katika vituo vile 96 vilivyo katika mpango wa “ART Programme”.
Lengo ni kuhakikisha akinamama wajawazito walioathirika na VVU na wenye vigezo vya
kupata “ART” wapate huduma hiyo na wale ambao hawana vigezo wakisha jifungua
waendelee kufuatiliwa na pindi watakapobainika kuwa wana vigezo wapatiwe huduma ya
ART.
30
2.4.8 Huduma ya Matibabu Nje ya Nchi
Wizara imefanya mazungumzo na wahisani kutoka nje ya nchi ili kuanzisha hapa nchini
huduma ya tiba ya magonjwa ambayo kwa sasa yanatibiwa nje ya nchi. Wahisani hao ni
Serikali ya Japan na Serikali ya Watu wa China. Mipango hii imelenga kulipunguzia Taifa
gharama za tiba nje ya nchi pamoja na kuwapunguzia wagonjwa maumivu wakati wakingojea
kwa muda mrefu kwenda kutibiwa nje ya nchi kutokana na upungufu wa fedha.
Matarajio ya Huduma ya Matibabu Nje ya Nchi mwaka 2005/2006
Bajeti itaongezwa ili kuwezesha wagonjwa wengi zaidi kupelekwa kutibiwa nje ya nchi na
kuendelea kutoa msaada kwa matibabu ya wagonjwa ambao badala ya kupelekwa kutibiwa
nje ya nchi watatibiwa hapa nchini kwa vile wanashindwa kumudu gharama za matibabu
hayo.
Wizara itaendelea kushirikiana na mashirika na hospitali zinazoanzisha utoaji wa matibabu
ambayo kwa sasa yanapatikana nje ya nchi, pamoja na Serikali ambazo zina mpango wa
kusaidia nchi kuweza kutoa matibabu kama hayo.
2.5 Huduma ya Utawala na Watumishi
2.5.1 Idara ya Utawala Utekelezaji wa Majukumu mwaka 2004/2005
Mwaka wa 2004/2005, Wizara ya Afya imeendelea kutekeleza Sera ya Menejimenti na Ajira
katika Utumishi wa Umma ya Mwaka 1999, kwa kuajiri jumla ya Watumishi 148 wa kada
mbalimbali za Afya. Aidha, katika kushughulikia maslahi na maendeleo ya watumishi ili
kuimarisha utendaji kazi Wizara imewapandisha vyeo watumishi 6,587. Hili ni ongezeko la
asilimia 65 ya lengo lililokuwa limewekwa la kuwapandisha vyeo watumishi 4,000.
Watumishi wapatao 110 wa kada na ngazi tofauti walifanyiwa upekuzi (vetting) kwa
madhumuni ya kuwawezesha kuelewa na kuzingatia misingi ya maadili mema katika
utumishi wa Umma kwa mujibu wa Sheria, kanuni na taratibu zilizopo. Msisitizo mkubwa
uliowekwa katika mafunzo hayo ulihusu suala zima la matumizi sahihi ya taarifa za Serikali
na utii kwa Serikali. Aidha, Wizara iliendelea kutoa mafunzo ya jinsia kwa watumishi ili
kuendelea kudumisha Utawala Bora ambapo jumla ya watumishi 744 walipatiwa mafunzo
hayo.
Pia Wizara ilitoa mafunzo kwa maafisa waandamizi na wa ngazi ya kati kuhusu
misingi ya Utawala Bora na mapambano dhidi ya rushwa ili kuzuia matukio ya
rushwa na kuziba mianya ya rushwa. Mafunzo haya yaliwahusisha Wakurugenzi wa
Wizara ya Afya, Waganga Wakuu wa Mikoa, Waganga Wakuu wa Wilaya, Wakuu
wa Vyuo vyote vya Afya nchini na Maafisa wengine. Jumla ya watumishi 1,169
walipatiwa mafunzo hayo. Sambamba na mapambano dhidi ya rushwa, Wizara
ilichapisha vijarida 850 vya Mkataba wa Huduma kwa Mteja na kuvisambaza kwa
wadau. Lengo lilikuwa kuwafahamisha wateja wetu kuhusu mahusiano yetu na
majukumu yetu kwao pamoja na haki na wajibu wao. Mkataba huu unaelekeza pia
namna mteja anavyoweza kutuma malalamiko/maoni kuhusu huduma zetu.
31
Matarajio ya Huduma za Utawala na Watumishi mwaka 2005/2006
Wizara ya Afya itaendelea kutoa kipaumbele katika kuimarisha na kuboresha maslahi,
maendeleo na utendaji kazi (Capacity building) kwa watumishi wake ili kuimarisha na
kuongeza utoaji wa huduma za afya kwa wananchi watakaohitaji huduma hiyo muhimu.
Malengo haya yatafikiwa kwa kuajiri watumishi wapya ili kuziba mapengo yaliyopo na
kuwapandisha vyeo watumishi waliopo kwa kuzingatia sifa, vigezo na ikama iliyoidhinishwa.
Ili kwenda sambamba na mabadiliko yanayoendelea kufanyika katika Sekta ya Afya, Wizara
imejiwekea mpango wa kutoa mafunzo ya Huduma kwa Mteja kwa watumishi wake wote
(customer care and Public ethics).Mafunzo haya yatawahusisha watumishi wapatao 3,336
kutoka Makao Makuu ya wizara, Hospitali tatu za Rufaa, Vyuo vya Afya 108 pamoja na
Kanda 6 za mafunzo. Mafunzo hayo yataendeshwa kwa awamu tatu.
Aidha, Wizara imejipangia kuanzisha teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Information
Communication Technology) ili kuimarisha na kuongeza utoaji wa huduma bora ya
upatikanaji na upashanaji wa habari kwa haraka zaidi. Wizara tayari imeanza utoaji wa
mafunzo kwa watumishi wake na itaendelea na mafunzo hayo ili kuwawezesha kumudu
matumizi ya teknolojia hiyo.
Kwa kutambua umuhimu wa mashirikiano na Mashirika ya Kimataifa na kwa kuzingatia Sera
ya Utandawazi, Wizara ya Afya itaendelea kushirikiana na Taasisi zote muhimu ili kwenda
sambamba na maendeleo ya kisasa.
Viongozi wa Wizara na watendaji wake wakuu watahudhuria mikutano muhimu ili
kujadiliana na kutolea maamuzi muhimu ya kimaendeleo na kuchangia uzoefu wa nchi yetu
katika masuala mbalimbali ambayo tumeonyesha kuyamudu.
2.6 Huduma ya Mafunzo ya Watumishi, Utekelezaji wa Majukumu mwaka 2004/05
Katika kipindi cha mwaka 2004/2005 Wizara ilifanya yafuatayo:
• Wanafunzi 2,803 walihitimu katika vyuo mbalimbali vya afya hapa nchini katika fani
za Uuguzi na Sayansi za Afya. Aidha, jumla ya wanafunzi 214 walihitimu mafunzo
ya Madaktari Tiba, Wafamasia, Madaktari wa meno katika ngazi ya Shahada katika
vyuo vya Muhimbili, KCMC na Hubert Kairuki Memorial University. Madaktari 136
walimaliza mafunzo ya “internship” na wanatarajia kupatiwa mafunzo ya kuwaandaa
kufanya kazi (Inducton course) na kupangiwa vituo vya kazi sehemu mbalimbali
nchini
• Wizara imegharamia mafunzo ya muda mrefu ya watumishi 257 nje na ndani ya nchi
ambao wanatarajiwa kumaliza mafunzo yao mwaka huu
• Wizara imefanya mapitio kwa mitaala mitano katika vyuo vya Uguzi na Sayansi za
Afya
• Jumla ya vyuo 17 viliweza kufanyiwa ukarabati ambao utaendelea katika mwaka
ujao wa 2005/2006 katika baadhi ya vyuo
• Jumla ya vyuo 78 kati ya 93 vilivyokaguliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
(NACTE) vilipata usajili wa baraza hilo
• Wizara kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)
imeendelea kukagua vyuo vyote vinavyoendesha mafunzo katika fani ya Sayansi za
Afya hapa nchini ili kupata usajili wa baraza hilo na kuviandaa kufikia hatua ya
kupata ithibati (accreditation)
32
•
•
•
•
•
Wizara imetoa mafunzo kuhusu tiba ya kupunguza makali ya UKIMWI kwa
watumishi 492 wakiwemo Madakatari, Wafamasia, Mafundi sanifu maabara,
Wauguzi, watoa Ushauri nasaha na Wafauatiliaji wa wagonjwa majumbani (VCT
counsellors and Home based care Providers). Vilevile, miongozo ya tiba ya ugonjwa
wa UKIMWI na vijitabu vya kufundishia vilitengenezwa
Watumishi katika hospitali 68 wakiwemo Madaktari wafawidhi wa hospitali,
Wauguzi waandamizi na Wafamasia walipata mafunzo ya kujiendeleza kuhusu
matumizi sahihi ya madawa
Ukaguzi unaozingatia ubora wa viwango vya masomo, mafunzo ya vitendo na usafi
wa mazingira ulifanyika katika vyuo 54 vilivyopo katika Kanda za Kaskazini,
Mashariki, Kusini, Ziwa na Nyanda za juu Kusini
Wizara imekamilisha miongozo ya mafunzo ya Timu za Usimamizi katika ngazi ya
Mkoa , Hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati na kuanza mafunzo hayo kwa timu za
mikoa kwa awamu
Wizara imeendesha mafunzo kwa timu za afya kwenye Sekretarieti za Mikoa. Lengo
ni kuziimarisha timu hizi ziweze kuzisimamia na kuzisaidia Halmashauri za Wilaya
kuboresha huduma wanazozitoa, matumizi ya rasilimali, utoaji taarifa na uzingatiaji
wa viwango vya utoaji huduma. Katika mwaka huu timu za mikoa saba zilipatiwa
mafunzo hayo.
Kuhusu Mipango ya Watumishi mwaka 2004/2005 Wizara imefanya mambo yafuatayo:• Imeendesha utafiti wa matumizi ya wataalam wanaohitimu katika Taasisi ya Elimu
ya Afya ya Msingi (Tracer study)
• Imeratibu vikao vya kamati ya wadau ya ufuatiliaji wa masuala ya maendeleo ya
watumishi wa Sekta ya Afya
• Imetoa mafunzo na maelekezo juu ya mfumo wa utunzaji wa takwimu za watumishi
utumiao mfumo wa kompyuta kwa wahusika wakuu wa utunzaji wa takwimu za
watumishi katika ngazi za Wilaya 15
• Imefanya mapitio ya Sera ya watumishi katika Sekta ya Afya na kukamilisha
mapitio ya Ikama ya watumishi katika Vyuo vya Afya.
2.6.1 Matarajio ya Huduma ya Mafunzo ya Watumishi wa Afya mwaka 2005/2006
Mwaka 2005/2006 Wizara inatarajia kufanya yafuatayo;
• Wizara inatarajia kuvifanyia ukarabati vyuo vyake 27 ili kuviweka katika hali nzuri
zaidi. Samabamba na hilo itaanzisha mafunzo ya Madaktari Wasaidizi katika
kilichokuwa chuo cha Maafisa Tabibu Ifakara ambapo ukarabati mkubwa unaendelea
hivi sasa
• Wizara itafanya utafiti ili kupata mahitaji halisi ya mafunzo yanayohitajika sehemu
ya kazi (Training Needs Assesmnt) yenye lengo la kupata maeneo yanayohitajika
kutilia mkazo mafunzo kwa watumishi, ili kuboresha utoaji huduma zinazotolewa
kwa wananchi
• Wizara itaendesha mafunzo kwa timu za afya kwenye Sekretarieti za Mikoa. Lengo
ni kuziimarisha timu hizi ziweze kuzisimamia na kuzisaidia Halmashauri za Wilaya
kuboresha huduma wanazozitoa, matumizi ya rasilimali, utoaji taarifa na uzingatiaji
wa viwango vya utoaji huduma. Katika mwaka 2005/2006 timu za mikoa 12
zitapatiwa mafunzo hayo
• Wizara itaendelea kufanya mapitio ya mitaala 4 ya Vyuo vya Sayansi ya Afya na
uuguzi ili kuiboresha kulingana na mabadiliko yanayoendelea hivi sasa katika Sekta
ya Afya
33
•
•
•
•
•
Kufuatilia, kutathmini na kutoa ushauri juu ya hali ya watumishi katika Sekta ya
Afya kwa kushirikiana na mamlaka mbalimbali
Kuratibu vikao vya kamati ya Wadau ya kufuatialia masuala ya watumishi wa Sekta
ya Afya
Kundesha mafunzo na maelekezo ya mfumo wa utunzaji takwimu za watumishi kwa
kutumia kompyuta katika ngazi za Wilaya kwa zile Wilaya ambazo hazijapata
mafunzo haya
Kuandaa mpango mkakati wa watumishi wa Sekta ya Afya
Kuendeleza utafiti wa matumizi ya wahitimu wa chuo cha CEDHA utafiti (Tracer
Study), wenye lengo la kuboresha matumizi sahihi ya wataalam wanaohitimu katika
chuo hicho.
2.7 Ofisi ya Mganga Mkuu Kiongozi Utekelezaji wa Majukumu mwaka 2004/05
2.7.1 Huduma za Dharura na Maafa
Katika Kipindi cha mwaka 2004/2005, kazi zifuatazo zilitekelezwa:
• Kuchapisha miongozo miwili ya utoaji wa Huduma za Dharura na Maafa yaani,
“Health Sector Guidelines and Protocol on Emergency and Disaster Management” na
“Emergency Operation Plan” (EOP) nakala 1,000 kila moja na kuzisambaza katika
vituo vya kutolea huduma nchini
• Kutoa mafunzo ya jinsi ya kukabiliana na Dharura na Maafa kwa watoa huduma ya
afya katika Hospitali (First responders) ili kuongeza ufanisi katika kazi zao za kila
siku
• Kutoa mafunzo maalum ya jinsi ya kukabiliana na Dharura na Maafa kwa Kamati za
Uendeshaji wa Huduma za Afya katika mikoa (RHMT), ili kuongeza ufanisi katika
kusimamia kazi hiyo kwa watumishi katika hospitali
• Kufanya upembuzi yakinifu katika hospitali za Kilimanjaro, Tanga, Arusha na
Mbeya ili kutoa ushauri wa maandalizi ya jinsi ya kukabiliana na Dharura na Maafa,
pindi yatokeapo.
Matarajio ya Huduma za Dharura na Maafa mwaka 2005/2006
Katika kipindi cha mwaka 2005/2006, kitengo kinakusudia kufanya kazi zifuatazo:
• Kutembelea na kufanya ufuatiliaji (supportive supervision) katika Wilaya mbili (2)
kwa kila mkoa, katika mikoa tisa ya Tanzania Bara kwa lengo la kufuatilia na
kusimamia utoaji wa huduma za afya, ili kutoa ushauri na maelekezo ya kitaalam
katika kuboresha huduma za afya hususani Dharura na Maafa
• Kutoa mafunzo maalum ya jinsi ya kukabiliana na dharura na maafa kwa wajumbe
40 wa Timu za Uendeshaji Huduma za Afya za Mikoa (RHMT), ili kuongeza ufanisi
katika kusimamia utendaji wa kazi hiyo kwa watumishi katika hospitali zao
• Kutoa mafunzo maalum ya jinsi ya kukabiliana na Dharura na Maafa kwa watumishi
36 wa hospitali za hapa nchini (First responders) ili kuongeza ufanisi katika kazi za
Dharura na Maafa katika hospitali za hapa nchini
• Kuunda timu Maalum ya Kitaifa ya kukabiliana na Dharura na Maafa hapa nchini
(National Rapid Response Team). Timu hii itapewa mafunzo maalum ya jinsi ya
kukabiliana na Dharura na Maafa nchini, ili kuongeza ufanisi katika kazi zao za kila
siku
34
•
•
•
•
Watumishi wawili wa kitengo cha Dharura na Maafa watapata mafunzo maalum ya
muda mfupi nje au ndani ya nchi ya jinsi ya kukabiliana na Dharura na Maafa hapa
nchini
Mtumishi mmoja wa kitengo cha Dharura na Maafa atapata mafunzo ya Shahada
katika fani ya Uuguzi katika moja ya vyuo hapa nchini, ili kuongeza ufanisi katika
kazi zake za kila siku katika kukabiliana na Dharura na Maafa hapa nchini
Kuendelea kufanya upembuzi yakinifu (Hazard Analysis and Vulnerability) ya jinsi
ya kukabiliana na Dharura na Maafa nchini
Kuimarisha kitengo kwa kununua vitendea kazi pamoja na samani kwa ajili ya ofisi.
Vifaa hivyo ni pamoja na kompyuta, meza n.k kwa lengo la kuongeza ufanisi wa kazi
za kitengo cha Dharura na Maafa.
2.7.2 Ukaguzi wa Huduma za Afya
Mwaka 2004/2005, Wizara ilifanya kazi zifuatazo:• Kupanga na kuzindua mwongozo wa mfumo wa kimataifa wa ubora wa huduma za
afya
• Kufanya mkutano na wadau kuhusu mwongozo wa kudhibiti na kuzuia maambukizo
katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini
• Kuandaa viwango na viashiria vya utoaji bora wa huduma
• Kuandaa mwongozo wa kutathmini utendaji kazi kwa watumishi wa Afya
• Kuandaa mwongozo kwa watumishi wa afya wa kujitathmini wao wenyewe kiutendaji
kuhusiana na ubora wa huduma za afya wanazozitoa
• Kuandaa mwongozo wa kutathmini utendaji kazi kwa watumishi wa Afya kuhusiana na
ubora wa huduma za afya.
Matarajio ya Ukaguzi wa Huduma za Afya mwaka 2005/2006
Kitengo cha Ukaguzi wa utoaji wa huduma za Afya nchini kinategemea kutekeleza kazi
zifuatazo, mwaka 2005/2006:
• Kufanya usimamizi na ukaguzi katika Mikoa 8, Wilaya mbili kila mkoa
• Kufundisha wataalam wa Taifa (National Trainers of Trainers) kuwawezesha
kufundisha watumishi wengine katika kudhibiti maambukizo (Infection Prevention and
Control IPC)
• Kuendesha mafunzo juu ya udhibiti wa maambukizo (IPC), uboreshaji wa huduma za
afya na mwongozo wa usimamizi na ukaguzi wa huduma za afya kwa Timu za
Utendaji za Afya za Mikoa (Regional Health Management Teams) zote
• Kuandaa na kuchapisha muongozo wa udhibiti wa maambukizo kwa watumishi wa
Zahanati na Vituo vya Afya (Infection Prevention and Control for Health Centers and
Dispensaries)
• Kusambaza Mwongozo wa Kitaifa wa udhibiti wa maambukizo (National\Infection
Prevention and Control Guidelines for Healthcare Services) na Mfumo wa Kitaifa wa
Uboreshaji Huduma za Afya Tanzania (Tanzania Quality Improvement Framework).
2.7.3 Huduma za Uuguzi na Ukunga
Mwaka 2004/2005, Wizara ilitoa kipaumbele katika utoaji wa huduma za Uuguzi kwa
wagonjwa walioathirika na Virusi vya UKIMWI. Hii ni pamoja na kutayarisha miongozo
ya utoaji wa huduma za uuguzi kwa wagonjwa hao katika vituo vya kutolea huduma,
kufanya tathmini ya kazi ya kutoa ushauri nasaha inayofanywa na wauguzi. Hii ni kwa
35
kuzingatia kuwa, UKIMWI sasa ni tatizo kubwa mno katika vituo vyetu vya kutolea
huduma bila kuwasahau watoa huduma wenyewe.
Mafunzo ya uongozi wa wasimamizi wa huduma za Uuguzi na Ukunga yalitolewa kwa
wasimamizi 16, ili kuwapa maarifa na stadi za usimamizi bora wa utowaji wa huduma
katika vituo vya hospitali za mikoa na rufaa nchini.
Matarajio ya Huduma za Uuguzi na Ukunga mwaka 2005/2006
Mwaka wa 2005/2006, kitengo kinatarajia kutekeleza kazi zifuatazo;
• Kuelimisha na kusambaza mwongozo wa utoaji wa huduma kwa watoa huduma
kuhusu jinsi ya kujiepusha na kutoeneza maambukizi wakati wa kutoa huduma kwa
walioathirika na UKIMWI nchini
• Kuandaa mkakati kabambe wa utoaji huduma za uuguzi na ukunga wa miaka mitatu
2005 - 2008, kwa kulingana na mkakati wa sera ya Wizara ya Afya ya kutoa huduna
bora kwa kuzingatia MKUKUTA
• Kufanya usimamizi na ushauri wa kitaaluma wa utoaji wa huduma za Uuguzi na
Ukunga katika mikoa minane ya Mwanza, Pwani, Kilimanjaro, Shinyanga, Kagera,
Dodoma, Arusha na Mbeya.
• Kufuatilia kwa karibu watoa huduma hasa kwa kuzingatia malalamiko ya wananchi
kuhusu lugha zisizofaa kwa kushirikiana na Baraza la Uuguzi na Ukunga
• Kutoa mafunzo kwa maafisa wa Kitengo juu ya uendeshaji na usimamizi wa utoaji
wa huduma za Uuguzi na Ukunga ili kuinua viwango vya ubora wa huduma
zitolewazo nchini
• Kuwawezasha kupata mafunzo maalum ya uendeshaji wa huduma za Uuguzi na
Ukunga kwa maafisa wawili wa kitengo ndani na nje ya nchi, ili kuongeza ufanisi
katika usimamiaji wa huduma za Uuguzi na Ukunga.
2.8 Uhasibu na Fedha
2.8.1 Ukusanyaji mapato kwa mwaka 2004/2005
Wizara ilikuwa na lengo la kukusanya jumla ya Tsh. 496,504,000/= kutoka vyanzo
mbalimbali vya mapato katika mwaka wa fedha wa 2004/05. Hadi kufikia tarehe 31 Machi,
2005, Wizara ilikuwa imekusanya jumla ya Tsh. 609,344,885.11 ambazo zimetokana na
makato ya kodi za nyumba za Serikali na Mashirika ya Umma, malipo ya ununuzi wa vitabu
vya maombi ya Zabuni za Wizara na marejesho ya masurufu. Wizara inategemea kukusanya
kiasi cha Tshs 34,101,356.68 kati ya tarehe 1 Aprili, 2005 hadi 30 Juni, 2005. Kiasi halisi
kinachotegemewa kukusanywa kitakuwa kimevuka lengo la mapato yaliyokadiriwa. Hali hii
imetokana na kiasi kikubwa cha marejesho ya masurufu. Aidha, mapato haya hayajumuishi
fedha zinazotokana na makusanyo ya kuchangia gharama za huduma za afya. Fedha za
uchangiaji hutumika kwenye hospitali zinakokusanywa ili kuboresha huduma zitolewazo kwa
wananchi, kulingana na Sera ya Uchangiaji.
Matarajio ya Ukusanyaji mapato mwaka 2005/2006
Katika kipindi cha 2005/2006, Wizara ya Afya inatarajia kukusanya jumla ya Tshs
598,005,000.00. Mapato haya yatatokana na kodi za nyumba za Serikali na Mashirika ya
Umma zinazochangiwa na wafanyakazi, marejesho ya masurufu ya fedha za Serikali na
malipo ya kununua makabrasha ya Zabuni za Wizara. Kwa kuzingatia utaratibu uliopo,
36
mapato yanayotokana na makusanyo ya kuchangia gharama za huduma za afya
hayajumuishwi katika makadirio haya.
2.8.2 Matumizi ya fedha za Kawaida mwaka 2004/2005
Mwaka wa fedha wa 2004/2005, Wizara ya Afya ilidhinishiwa jumla ya Tsh 195,800.00 kwa
ajili yakugharamia utoaji wa huduma za afya. Kiasi cha Tsh 189.243,633,427.00 kati ya hizo
zilitengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ikijumuisha mishahara ya wafanyakazi wa
Hospitali Teule (DDH), Hospitali ya Taifa Muhimbili, KCMC, Bugando na Taasisi zilizo
chini ya Wizara. Kiasi kilichobaki cha Tsh. 6,642,499,373.00 kilitengwa kwa ajili ya
mishahara ya watumishi wa Idara za Wizara ya Afya, Vyuuo vyote vinavyosimamiwa na
Wizara na Hospitali za Kibong’oto, Mbeya Rufaa na Mirembe.
Makadirio ya matumizi ya Kawaida katika mwaka 2005/2006
Wizara ya Afya katika mwaka wa 2005/2006 inakadiria kutumia kiasi cha Tshs
180,305,853,900.00 kwa ajili ya matumzi ya kawaida. Katika mwaka 2004/2005 Wizara
ilitengewa jumla ya Tsh 104,465,379,200.00 kwa ajili ya matumzi ya kawaida. Hivyo kuna
ongezeko la Tsh 75,840,474,700.00 ikilinganishwa na mwaka 2004/2005.
Kati ya fedha hizo zilizotengwa kiasi cha Tsh 6,406,945,600.00 zitatumika kulipa mishahara
ya watumishiwa Wizara ya Afya makao makuu, Hospitali za Mbeya Rufaa, Mirembe na
Kibong’oto na Vyuo vyote vya mafunzo ya afya. Kiasi cha Tsh 173,898,908,300.00
kilichosalia kimetengwa kwa ajili ya Matumzi mengineyo (OC) kwa ajili ya kazi za Idara za
Wizara ya Afya na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya. Kiasi hiki pia kinajumuisha
mishahara ya Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya. Taasisi hizo ni pamoja na Taasisi ya
Chakula na lishe (TFNC), Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Hospitali
ya Taifa Muhimbili, Taasisi ya Mifupa (MOI), Taasisi ya Saratani – Ocean Road, Hositali
Teule (District Designated Hospitals – DDH) na Hospitali za Mashirika ya kujitolea
(Voluntary Agencies VA’s).
2.8.3 Matumizi ya fedha za Miradi ya Maendeleo mwaka 2004/2005
Jumla ya Tsh 66,416,700.00 zilitengwa kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.
Kati ya hizo Serikali ya Tanzania ilitenga jumla ya Tsh 3,552,448,200.00 na Tshs
62,863,658,500.00 ni mchango wa Wahisani wanaosaidia Sekta ya Afya.
Kiasi ambacho kilikuwa kimekwishatolewa na wahisani wa Mfuko wa Pamoja ni Tshs
40,680,869,900.00 na fedha zilizo nje ya Mfuko wa Pamoja ni Tshs 4,697,565,032.25. Fedha
zote zilizotolewa na wahisani zikijumuishwa pamoja zinafanya jumla ya Tsh
48,930,883,132.25 ambayo ni sawa na asilimia 53.6 ya fedha zote zilizokisiwa kutolewa na
Wahisani. Hadi tarehe 30 Aprili 2005, matumizi halisi kwa fedha zote za miradi ya
maendeleo zikiwemo za Serikali pamoja na Wahisani ni Tsh 21,526,163,399.74.
Makadirio ya Miradi ya Maendeleo mwaka 2005/2006
37
Katika mwaka wa fedha wa 2005/2006 Wizara ya Afya inakadiria kutumia jumla ya Tshs
90,862,748,400.00 kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo
shilingi 5,000,000,000.00 ni kutoka Serekali ya Tanzania na kiasi cha shilingi
85,862,748,400.00 ni kutoka Taasisi za Kimataifa zinazochangia Mfuko wa Pamoja wa Afya
(Busket Fund) na wale walio nje ya mfuko.
Fedha hizo zitatumika kutekeleza miradi ya maendeleo ifuatayo:
• Kuendeleza ukarabati wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na hospitali za Jiji la Dar es
Salaam
• Ukarabati wa wodi, maabara, chumba cha upasuaji na ujenzi wa hosteli ya madaktari
walio katika mazoezi (Intern’s doctors) katika hospitali ya Rufaa Mbeya
• Kuendeleza ukarabati wa wodi, nyumba za watumishi na jiko katika hospitali
maalum ya Mirembe na Taasisi ya Isanga
• Ukarabati wa wodi 6 za wagonjwa wa nje, nyumba za watumishi na wodi za
wagonjwa wa Kifua Kikuu na ununuzi wa vifaa kwa ajili ya hospitali maalum ya
Kifua Kikuu ya Kibongoto
• Kuendeleza ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali ya Taifa Muhimbili
• Kuendeleza michango ya Serekali (counterpart funds) kwa ajili ya kuendeleza
ukarabati wa majengo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, ujenzi wa hospitali maalum
hapa Dar es Salaam itakayojengwa kwa kushirikiana na Serekali ya Tanzania na
TOKUSHUKAI na ujenzi wa hospitali ya Kanda ya Kusini, Mtwara
• Kuendeleza ukamilishaji wa ujenzi wa maabara ya ubora (quality laboratory), Makao
Makuu ya Wakala wa Mkemia Mkuu wa Serekali pamoja na ununuzi wa vifaa na
kemikali kwa ajili ya maabara mpya ya Mwanza ambayo imekamilika hivi karibuni
• Ukarabati wa vituo vya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Amani, Gonja, Mwanza,
Tukuyu na Dar es Salaam
• Ukarabati wa jengo la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya litakalotumika kama ofisi
• Kuendelea kukamilisha ukarabati wa vyuo vya afya 28
• Kununua vifaa vya tiba kwa hospitali za Rufaa zote 6.
38
3.0 RIPOTI ZA TAASISI NA MAMLAKA ZILIZO CHINI YA WIZARA YA AFYA
3.1 Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC)
Katika kipindi cha mwaka 2004/2005 Wizara ya Afya kupitia Taasisi yake ya Chakula na
Lishe iliendelea kutoa ushauri wa kitaalam kwa Wilaya na kushirikiana na Taasisi na wadau
mbali mbali katika kuboresha hali ya lishe ya jamii nchini.
Katika juhudi za kudhibiti matatizo ya lishe, Taasisi iliendelea kuchukua hatua mbalimbali
ikiwa ni pamoja na kuimarisha uwekaji wa madini joto kwenye chumvi katika Wilaya 25
zenye wazalishaji chumvi wadogo kwa kuhamasisha viongozi wa Wilaya 285. Aidha, Taasisi
ilitoa mafunzo kwa wakaguzi wa chumvi (maafisa afya na maafisa madini) wapatao 451 na
kuunda timu za wakufunzi wa wazalishaji wa chumvi katika suala la uwekaji madini joto
kwenye chumvi. Zoezi hilo lilihusisha Wilaya za Mtwara, Lindi, Kilwa, Rufiji, Mkuranga,
Temeke, Kinondoni, Bagamoyo, Dodoma, Manyoni, Singida, Iramba, Kigoma, Njombe na
Mbozi. Wilaya nyingine ni Tanga, Pangani, Muheza, Korogwe, Same, Mwanga, Meatu,
Babati, Hanang na Karatu.
Juhudi zilielekezwa katika Wilaya hizo kutokana na hali halisi kuwa sehemu kubwa ya
chumvi inayozalishwa hapa nchini inatokana na wazalishaji wadogo katika maeneo hayo.
Aidha, takwimu zinaonyesha kwamba kati ya hao wazalishaji wadogo ni asilimia 30 tu ndio
wamekuwa wakiweka madini joto kwenye chumvi.
Katika kuhakikisha kwamba chumvi yote inayozalishwa nchini inawekwa madini joto,
Taasisi ya Chakula na Lishe sambamba na kutoa mafunzo na uhamasishaji ilisambaza vifaa
mbalimbali vya kuwekea madini joto kwenye chumvi kwa wazalishaji. Vifaa hivyo ni pamoja
na kilo 5,000 za madini joto na pampu 4,650 za kunyunyuzia madini joto kwenye chumvi na
jumla ya vichupa 93,750 vya kemikali ya kupima uwepo wa madini joto kwenye chumvi
(Iodine test solution). Taasisi iliendelea kuratibu utoaji wa matone ya Vitamini A kwa watoto
wa umri kati ya miezi sita hadi miaka mitano na vidonge vya kutibu minyoo ya tumboni kwa
watoto wa umri kati ya mwaka mmoja hadi miaka mitano katika mikoa yote Tanzania bara.
Katika zoezi lililofanyika Desemba 2004, asilimia 93 ya watoto waliolengwa walipata matone
ya Vitamini A na asilimia 90 walipata vidonge vya kutibu minyoo.
Katika juhudi za kuendeleza lishe na afya ya mtoto, mkakati wa kitaifa wa kusimamia Lishe
na Afya ya Mtoto chini ya umri wa miaka mitano umeandaliwa na kuzinduliwa. Aidha,
mpango wa utekelezaji wa mkakati huu wa miaka mitano 2005 - 2009 umeandaliwa. Mkakati
na Mpango wa Utekelezaji unaainisha vipengele muhimu kuhusu uimarishaji wa lishe ya
mtoto na pia majukumu ya wadau kutoka sekta mbalimbali ikiwemo sekta binafsi. Mkakati
huu utawezesha wadau kuchangia kikamilifu katika kuendeleza lishe na afya ya mtoto hasa
wakati huu wa janga la UKIMWI.
39
Taasisi pia iliandaa mwongozo wa kitaifa kuhusu lishe bora kwa wanaoishi na virusi vya
UKIMWI. Jumla ya nakala 10,000 za mwongozo huo zilichapishwa na kusambazwa kwenye
Wizara na taasisi husika, hospitali za rufaa, Mikoa na Wilaya, vyuo vya mafunzo na taasisi
mbalimbali zinazoshughulika na tatizo la UKIMWI hapa nchini.
Mpango wa Hospitali Rafiki wa Mama na Mtoto unaotekelezwa nchini toka mwaka 1992
unalenga katika kuboresha hali ya afya na lishe ya watoto wachanga. Chini ya mpango huu
hospitali zinatakiwa kutekeleza na kuboresha Huduma za Afya na Uzazi kwa wanawake
wajawazito na waliojifungua.
Katika kufuatilia Hospitali Rafiki wa Mama na Mtoto, hospitali 17 katika Wilaya za
Shinyanga, Kasulu, Ndanda, Nyakahanga, Rubya, Biharamulo, Mugana, Magu na Meatu
ziliweza kufanikiwa kuwa rafiki wa Mama na Mtoto kwa vigezo vya kimataifa. Hii inafanya
Tanzania kuwa na hospitali 68 ambazo ni Rafiki wa Mama na Mtoto.
Matarajio ya Taasisi ya Chakula na Lishe mwaka 2005/2006
Katika kipindi cha mwaka 2005/2006, Taasisi itaendelea kuratibu shughuli za kitaifa za utoaji
matone ya Vitamini A na vidonge vya kutibu minyoo kwa watoto walio na umri chini ya
miaka mitano katika mikoa yote ya Tanzania bara. Wizara itaendelea kufuatilia na kutoa
mafunzo na hamasa juu ya uwekaji wa madini joto kwenye chumvi ili kufikia lengo la
asilimia 90 (au zaidi ya kaya zote nchini) linalopendekezwa na Shirika la Afya Duniani
kwamba ziwe zinatumia chumvi yenye madini joto kutoka asilimia 84 ya hivi sasa.
Taasisi pia itafanya utafiti kuhusu tatizo la upungufu wa damu kwa nchi nzima ili kuwa na
takwimu sahihi za hali halisi ya tatizo hilo. Kupatikana kwa takwimu hizo kutasaidia katika
kupanga mikakati na programu za kupunguza tatizo hili. Aidha, Taasisi itaandaa na
kuchapisha vitabu zaidi kwa nia ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu lishe bora kwa wenye
UKIMWI na kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu lishe bora ili kuepukana na
magonjwa sugu yenye uhusiano na ulaji usiofaa kama vile kisukari, magonjwa ya mfumo wa
damu na moyo, saratani na mengineyo.
Ili kuzidi kuendeleza afya na lishe ya mtoto, Taasisi itaratibu mapitio ya Sheria Na. 10 ya
mwaka 1978 inayosimamia uingizaji na uuzaji wa vyakula vya watoto wachanga, ili kuingiza
vipengele vinavyohusiana na ulishaji wa mtoto na janga la UKIMWI. Sheria hii inadhibiti
ubora wa vyakula vinavyoingizwa nchini toka nje na vile ambavyo vinazalishwa katika nchi
yetu. Taasisi pia itaendelea kutoa ushauri wa kitaalam kwa Wilaya ili ziweze kupanga na
kutekeleza programu na miradi inayolenga kuboresha lishe na afya za wananchi.
3.2 Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali
Katika kipindi cha mwka 2004/2005, Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali
iliweza kufanya yafuatayo;
• Kuendelea kutekeleza malengo yake ya kutoa huduma bora za kimaabara zinazohusu
uchunguzi, ushauri wa kitaalam na utafiti katika nyanja za kemikali, vyakula, dawa,
usalama wa mazingira na sayansi ya makosa ya jinai kwa wadau na wananchi kwa
jumla
• Uchunguzi jumla ya sampuli 3,934 na kutoa matokeo katika muda wa siku 14 kama
ilivyoainishwa katika Mkataba wa Huduma kwa Mteja. Kati ya sampuli
zilizochunguzwa, asilimia 82 zilifikia viwango vinavyokubalika kitaifa na kimataifa
kwa matumizi ya binadamu na usalama wa mazingira. Mafanikio hayo yametokana na
40
•
•
•
•
•
•
•
•
kununuliwa kwa mitambo ya kisasa na vifaa vya Maabara, wataalam kuongozewa ujuzi
pamoja na kuzingatia maoni ya wateja
Uchunguzi wa sampuli 4,213 za dawa za kulevya (mihadharati) kutoka Idara, Asasi na
waathirika ili kuainisha aina za dawa husika na matokeo ya uchunguzi na kukabidhiwa
kwa mamlaka husika. Matokeo ya uchunguzi huo yamesaidia kuharakisha usikilizaji
wa kesi na utoaji haki mahakamani na ushauri kwa Asasi hususan hospitali katika
kusaidia kutoa tiba sahihi kwa waathirika
Kuendelea kutekeleza Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Kemikali zitumikazo
Viwandani na Majumbani “The Industrial and Consumer Chemicals (Management and
Control) Act No. 3, 2003” ilioyoanza kutekelezwa Julai 2003, kwa lengo la kulinda
afya za wananchi na mazingira
Kutoa elimu kwa umma kupitia vyombo vya habari, magazeti na vipeperushi kuhusu
kemikali zilizopigwa marufuku duniani kutokana na athari za kiafya na mazingira.
Sheria hii imesaidia kuzuia uwezekano wa nchi yetu kuwa jalala la kemikali hatari
zinazoathiri afya, kuchafua vyanzo vya maji na mazingira
Imeshungulikia maombi 150 ya usajili wa kemikali kutoka kwa wadau Tanzania Bara
na jumla ya vibali 365 vilitolewa kwa ajili ya uagizaji wa kemikali kutoka nje ya nchi
Kununua, kufunga na kuzindua mtambo wa DNA ambao unachunguza vinasaba (genes
vya urithi na ukoo) katika maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali. Matokeo ya
uchunguzi wa sampuli kwa kutumia mtambo huu umesaidia vyombo vya dola na
mamlaka nyingine mfano, katika masuala ya kusingiziwa, kuiba au kubadilishana
watoto hospitalini na hivyo kuondoa kero za wananchi. Pia husaidia kutambua vinasaba
vya magonjwa ya kurithi na tafiti mbalimbali zinazohusiana na vimelea vya magonjwa,
mimea na ugunduzi wa dawa za tiba mbadala. Aidha kumbukumbu za wahalifu
zitahifadhiwa kwa kutumia mtambo huo na zitasaidia kutambua wanaofanya makosa
mara kwa mara kwa kutumia majina bandia
Aidha, Maabara moja ya Kanda ya Ziwa Jijini Mwanza ilianzishwa ambayo imesaidia
kuondoa kero ya kusafirisha sampuli na gharama kubwa inayohitajika kufika Dar es
Salaam kufuatilia matokeo ya uchunguzi
Kupeleka wafanyakazi 17 kwa mafunzo ya muda mfupi na mrefu katika fani
mablimbali ndani na nje ya nchi kwa kuzingatia usawa wa jinsia na vipaumbele
Kuzindua tovuti ya Wakala wa Mkemia Mkuu wa Serikali (www.gcla.go.tz) katika
kuimarisha mawasiliano kati ya Wakala, wadau na jamii kwa ujumla ili kwenda
sambamba na utandawazi.
Matarajio ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serekali kwa mwaka
2005/2006.
Wakala inatarajia kufanya yafuatayo:• Kutumia kwa makini rasilimali watu, fedha na vifaa katika kutekeleza Mkakati wa
Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania
• Kuchunguza jumla ya sampuli 4,631 ambapo asilimia kubwa itatokana na usajili
wa kemikali na kuanzishwa kwa Maabara ya Kanda ya Ziwa Jijini Mwanza
• Kupata wadau wengi wanaotarajia kujisajili kutokana na kuelimishwa kuhusu
umuhimu wa sheria hii
• Kutangaza kwa kutumia vyombo vya habari na mawasiliano umuhimu wa mtambo
wa vinasaba katika kufanya tafifi mbalimbali kwa nchi za Afrika zilizo Kusini mwa
41
•
•
•
Jangwa la Sahara na hatimaye kuongeza mapato ya Wakala kutokana na huduma
zitakazotolewa
Kukamilisha uchambuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa Maabara ya Kanda ya
Kaskazini mjini Arusha
Kuweka kipaumbele katika kuwasomesha wafanyakazi 19 katika maeneo
yatakayosaidia kukuza uchumi na kupunguza umasikini wa kipato
Kuendelea kujitangaza kupitia tovuti yake ili huduma zake zifahamike kote
ulimwenguni.
3.3 Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA)
Mamlaka hii ilianzishwa kwa sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi namba 1 ya mwaka 2003
ili kusimamia udhibiti wa ubora, usalama na ufanisi wa vyakula, dawa, dawa za mitishamba,
vipodozi na vifaa tiba.
Katika kipindi cha 2004/2005, Mamlaka imeandaa rasimu ya kanuni/sheria ndogo zifuatazo:• The Tanzania Food, Drugs and Cosmetics (Registration of pre-packed food)
Regulations, 2004
• The Tanzania Food, Drugs and Cosmetics (Cosmetics) Regulations, 2004
• The Tanzania Food, Drugs and Cosmetics (Control of promotion of food)
Regulations, 2004 na
• The Tanzania Food, Drugs, and Cosmetics (Control of drug promotion) Regulation,
2004.
Aidha, mamlaka imeweza kuandaa miongozo ifuatayo:• Mwongozo wa namna ya kushughulikia maombi ya usajili wa dawa
• Mwongozo wa kutathmini maombi ya kutangaza bidhaa zinazodhibitiwa chini ya
sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi ya mwaka 2003
• Mwongozo wa kusajili vyakula nyongeza (food supplements).
Jumla ya dawa 279 za binadamu, 12 za mifugo na 11 za vyakula zilisajiliwa. Mamlaka
ilifanya kazi ya kutafuta taarifa za vyakula, vipodozi na dawa za miti shamba zinazozunguka
sokoni bila kuthaminiwa na kusajiliwa kwa lengo la kutambua bidhaa hizo ili watengenezaji
au waagizaji wake wahamasishwe kuleta maombi ya usajili. Jumla ya vyakula 5,066, vyakula
nyongeza 126 na vipodozi 921 vilitolewa taarifa katika zoezi hilo. Vile vile, jumla ya maombi
17 ya kusajili dawa za mitishamba yalipokelewa na yanaendelea kufanyiwa tathmini.
Katika kuhakikisha kwamba bidhaa zilizo katika soko la Tanzania ni bora na salama,
Mamlaka imefanya uchunguzi wa kimaabara kwa jumla ya sampuli 767, sampuli 608
zilikidhi viwango na 159 hazikukidhi viwango. Bidhaa ambazo hazikukidhi viwango
ziliondolewa sokoni na kwa zile zilizokuwa zinaombewa usajili, cheti cha kusajili
hakikutolewa na hivyo kutoruhusiwa kuingizwa katika soko la Tanzania. Jumla ya aina 168
ya vipodozi vyenye viambato vyenye sumu vilipigwa marufuku.
Mamlaka imefanya ukaguzi katika jumla ya maduka 630 ya dawa, 70 ya vipodozi na maduka
39 ya vyakula. Pia viwanda 183 vya ndani vya chakula na 72 (66 vya nje, na 6 vya ndani)
vya dawa vilikaguliwa, na jumla ya maombi 3474 ya vibali vya kuingiza bidhaa nchini
yalipokelewa. Vibali 1062 vya kuingiza vyakula kiasi cha tani 841,852.848 na vibali 2055
vya kuingiza dawa vilitolewa.
42
Mamlaka imefungua Ofisi za Kanda katika mikoa ya Mwanza na Arusha ili kusogeza
huduma karibu na wananchi na mafunzo kuhusu sheria mpya katika Kanda za Kusini na
Kaskazini yaliyofanyika kwa wadau 515.
Katika kukabiliana na tatizo la ukiukwaji mkubwa wa sheria unaofanywa katika Maduka ya
Dawa Baridi Mamlaka imeanzisha maduka 41 ya Dawa Muhimu (Accredited, Drug
Dispensing Outlets – ADDO) mkoani Ruvuma katika vijiji na miji midogo ikiwa ni nyongeza
kwa maduka 110 yaliyokwisha funguliwa tangu mpango uanzishwe mnamo mwezi Agosti
2003.
Tathmini ya mpango wa ADDO imefanyika na kuonyesha mafanikio makubwa katika kufikia
malengo ya awali kuhusu mpango huo.
Mwaka 2004/2005, kati ya matukio 42 ya madhara yaliyoshukiwa kutokana na matumizi ya
dawa yametolewa taarifa kwa usahihi.
Katika kushiriki vita dhidi ya UKIMWI Mamlaka imeendelea kuhakikisha kuwa dawa za
kupunguza makali ya UKIMWI, zilizoingia nchini ni bora, salama na zina ufanisi uliofikia
viwango vianvyotambulika.
Katika kuelimisha wadau na kuboresha upashanaji habari, Mamlaka ilizindua tovuti yake
mwaka 2004.
Matarajio ya Mamlaka ya Chakula na Dawa mwaka 2005/2006
Mamlaka ya Chakula na Dawa inatarajia kutekeleza yafuatayo:• Kuendelea kusimamia ubora, usalama na ufanisi wa chakula, dawa, vipodozi, vifaa
tiba n.k kwa kuimarisha mfumo wa usajili na ukaguzi ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa
viwanda vya nje na ndani, vituo vya mipakani na maeneo ya kufanyia biashara ya
bidhaa hizo
• Kuimarisha maabara kuu na zile ndogo zinazohamishika zilizopo vituo vya mipakani
na mkoani ili ziwe na uwezo wa kupima vipimo mbali mbali kwa kuzingatia viwango
vinvayokubalika vya bidhaa zinazosimamiwa na Mamlaka kwa kutumia zana za
kisasa
• Kuandaa miongozo na sheria ndogo ili kurahisisha utekelezaji wa Sheria Kuu, na
kuboresha uelewa wa wadau
• Kuendelea kutoa mafunzo kwa watumishi ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi zaidi
ikiwa ni pamoja na kuimarisha na kutoa vitendea kazi kwa kulingana na teknolojia
mpya
• Mamlaka itaendelea kutoa elimu kwa wadau na wananchi wote kupitia vyombo vya
habari na kupitia tovuti yake pamoja na kuendelea kutoa mafunzo mbalimbali
• Ofisi za Kanda zitaendelea kufunguliwa kwa kadri bajeti itakavyoruhusu.
3.4 Taasisi ya Utafiti wa Magojwa ya Binadamu (NIMR)
Sheria ya Namba 23 ya mwaka 1979 inaitaka Taasisi kushughulikia masuala ya utafiti wa
magonjwa ya binadamu. Mwaka 2004/2005, Taasisi ilishughulikia usimamizi, uratibu,
udhibiti, uenezi, utangazaji wa matokeo na ukuzaji wa utafiti nchini. Magonjwa
yaliyofanyiwa utafiti ni Malaria, Matende na Mabusha, Usubi, Kichocho, Minyoo ya Tumbo,
Kuhara, Magonjwa ya Zinaa, Malale, Kifua Kikuu na UKIMWI.
43
Utafiti wa Malaria
Katika kipindi cha 2004/2005 tafiti mbalimbali za Malaria zimetoa matokeo ambayo
yanaonyesha kuwa usugu wa vimelea vya Malaria kwa dawa ya SP unakua na umefikia
asilimia kumi na tano (15%). Hatua hii ya usugu iliyofikiwa inahitaji mabadiliko ya tiba dhidi
ya Malaria itakayoweka viwango vipya vya dawa za kutibu Malaria na kuweka bayana
mabadiliko ya sera ya tiba ya Malaria. Kiutafiti pendekezo linalotolewa kukabiliana na usugu
huu ni matumizi ya dawa mchanganyiko (combination therapy).
Taasisi inafuatilia kuona kama kuna uwezekano wa mbu kuwa na usugu kwa madawa
yanayotumika katika vyandarua hapa nchini. Ufuatiliaji huo umefanyika katika wilaya za
Muheza, Tanga, Korogwe, Lushoto, Babati, Arumeru, Magu, Tabora, Kyela, Moshi, Ifakara,
Kinondoni na Pangani.
Ugonjwa wa Usubi
Uchunguzi juu ya nguvu za sumu ya kuulia mazalia ya wadudu wanaosababisha Usubi
ulifanyika katika Wilaya za Rungwe na Kyela. Matokeo yalionyesha mafanikio mazuri kwa
kuua wadudu hao kama ilivyotarajiwa. Mbinu hii itatumika kuongeza kasi ya Mpango wa
Taifa wa Kudhibiti Usubi.
Utafiti wa Dawa Asilia
Taasisi imefanya utafiti ili kutathmini kiwango cha dawa kinachopatikana katika mmea wa
Artemisia Annua na pia kufanya utafiti katika ngazi ya kimaabara ya namna ya kutengeneza
dawa itokanayo na mmea huo. Kutokana na utafiti huu, Taasisi imefanikiwa kupata mtiririko
wa namna ya kutengeneza “Artemisinin” na baadaye kuibadilisha “Artemisinin” kuwa
“Dihydro-artemisinin”, dawa inayofaa kwa kutibu Malaria. Aidha, kwa kushirikiana na kituo
cha Munufu, Taasisi imeifanyia utafiti wa awali dawa ya Muhanse itumiwayo na wagonjwa
wa UKIMWI na kuiona haina madhara ya kuhatarisha maisha ya mtumiaji pamoja na
kwamba utafiti zaidi unahitajika.
Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Matende
Zoezi la “Mapping” kuangalia ukubwa wa tatizo la Matende limeonyesha kuwa Tanzania ina
watu karibu milioni 30 ambao wapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa Matende na
Mabusha. Kati ya hao watu asilimia sita (6.6%) yaani milioni mbili tayari wameathirika na
ugonjwa huu. Kimsingi asilimia 90% ya Wa-Tanzania wapo katika hatari ya kupata
maambukizi ya ugonjwa wa Matende. Tathmini pia imegundua kwamba watu wenye
vimelea vya ugonjwa wa Matende wapo katika Wilaya nchi isipokuwa Wilaya za Babati na
Chunya
Katika jitihada za kupambana na tatizo la Matende na Mabusha mwaka 2000 watu 38,000
waliopewa dawa katika kisiwa cha Mafia na mwaka 2001 watu 700,000 katika mkoa wa
Pwani. Katika mwaka 2002 idadi ya Watanzania waliopewa dawa ilifikia milioni mbili laki
nne baada ya kuongezeka mkoa wa Mtwara. Mwaka 2003 kumekuwapo na ongezeko la watu
wapatao milioni mbili na laki nne waliopatiwa dawa na kuifanya idadi ya Wa-Tanzania
waliopata tiba hiyo kuwa milioni nne na laki nne. Mwaka 2004 kulikuwa na ongezeko la
watu laki tisa katika mkoa wa Tanga na hivyo kufanya watu walionufaika na mradi huu kuwa
milioni tano. Mpango ulianza mwaka 2000 na umehusisha Wilaya 24.
44
Upasuaji wa Mabusha au mishipa ya kushuka unaendelea katika mkoa wa Pwani hususan
katika hospitali ya Wilaya ya Mafia na hospitali ya Wilaya ya Kibaha. Idadi iliyofikiwa ya
waliopasuliwa katika Mkoa wa Pwani ni 2,000. Aidha, Mpango ulishirikiana na Mpango wa
kutokomeza Usubi katika zoezi la usambazaji na unyweshaji wa dawa ya “Ivemectin” katika
Wilaya za Lushoto, Korogwe na Muheza. Hatua hii iliongeza ufanisi mkubwa kwani asilimia
kubwa ya watu walikunywa dawa na hivyo kufanya mipango yote miwili kufanikiwa.
Kituo cha Kuimarisha Mikakati Thabiti ya Kudhibiti Malaria (CEEMI)
Ujenzi wa jengo la Kituo cha Kuimarisha Mikakati Thabiti ya Kudhibiti Malaria (CEEMI)
ulikamilika na jengo kufunguliwa rasmi na Mhe. Naibu Waziri wa Afya Dk. Hussein Mwinyi
(MB) Septemba 16, 2004. Jengo hili linatumika kwa ushirika na Mpango wa Taifa wa
kuthibiti Malaria. Ushirika huu umerahisisha kujenga mahusiano ya karibu na kuleta ufanisi
katika kupiga vita dhidi ya Malaria nchini.
Matarajio ya Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu mwaka 2005/2006
Utafiti wa Malaria
Taasisi inatarajia kufanya utafiti wa dawa mchanganyiko dhidi ya Malaria ili kuweza kutoa
ushauri sahihi juu ya mchanganyiko huo wa dawa utakaoweza kukidhi haja na kupatikana
kwa bei nafuu kwa jamii nzima ya Wa-tanzania. Aidha, Taasisi inatarajia kufanya majaribio
ya madawa yatokanayo na miti shamba yanayoweza kuua au kufukuza mbu wa aina
mbalimbali. Miti kadhaa imejaribiwa na ipo inayotia matumaini.
Ugonjwa wa Usubi
Utafiti utaendelea kwa lengo la kudhibiti usubi kwa njia ya kuua wadudu waambukizaji na
kutathmini matokeo ya kazi hiyo katika kupunguza maambukizi ya Usubi. Pia, utafiti wa
kupima kiwango cha Usubi katika jamii inayoishi kando kando ya mito inayonyunyiziwa
dawa utafanyika.
Utafiti wa Dawa Asilia
Mwaka 2005/2006, Taasisi itafanya utafiti wa dawa za Malaria, viuatilifu kwa mbu na
viluwiluwi wa mbu. Aidha, dawa nyingine zinazotumiwa na wagonjwa wa UKIMWI
zitaendelea kufanyiwa utafiti kadiri nyenzo zitakavyoruhusu.
Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Matende
Inatarajiwa kuwa mpango huu utawafikia walengwa 2,800,000 katika Manispaa tatu za mkoa
wa Dar-es-Salaam. Mikakati iliyowekwa ni pamoja na kuunda kamati mbalimbali za
uhamasishaji (mabenki, wanahabari, asasi zisizo za kiserikali na Wizara mbalimbali)
zitakazosaidia katika uhamasishaji wa zoezi la kunywa dawa za kinga dhidi ya Matende na
Mabusha na kuwapatia wanafunzi wa shule vipeperushi vyenye kubeba ujumbe muhimu ili
wavipeleke majumbani mwao.
3.5 Matatizo na Changamoto
45
Pamoja na mafanikio mengi yaliyopatikana bado kuna matatizo yanayoikabili Wizara.
Matatizo hayo ni pamoja na:• Uhaba wa wataalam wa Afya katika ngazi zote
• Kuongezeka kwa uzito wa kazi katika hosptiali zote kutokana na ongezeko la
wagonjwa wa UKIMWI
• Kuibuka kwa magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza
• Kupanda kwa gharama za ukomboaji, utunzaji na usambazaji wa vifaa na dawa kutoka
MSD hadi mikoani na Wilayani
• Uchakavu wa majengo ya kutolea huduma za Afya nchini (majengo ya hosptiali na
vyuo vya mafunzo ya afya)
• Kuendelea kwa maambukizi ya UKIMWI
• Vifo vya akinamama vianvyotokana na uzazi na vifo vya watoto wachanga bado ni
vingi
• Uhaba wa vifaa muhimu vya hospitali na dawa
• Upungufu wa rasilimali za kutosheleza mahitaji muhimu ya kisekta unaotokana na
msukumo wa Kitaifa na Kimataifa kwa mfano fedha kwa ajili ya UKIMWI, Kifua
Kikuu na Malaria.
3.6 Maeneo yaliyopewa kipaumbele mwaka 2005/2006
Malengo ya Wizara yameelekezwa katika maeneo muhimu yaliyotajwa katika
Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Tanzania (MKUKUTA) na
yale yaliyopo katika Malengo ya Milenia. Maeneo yaliyopewa kipaumbele katika
bajeti ya matumzi ya kawaida na ya maendeleo katika bajeti ya 2005/2006 ni haya
yafuatayo:• Kuhakikisha kuwa wafanyakazi wote walio chini ya Wizara ya afya wanalipwa
mishahara na stahili zao
• Kuimarisha huduma za afya zitolewazo na hospitali za Rufaa, Mikoa, Wilaya,
Vituo vya Afya na Zahanati na kuhakikisha upatikanaji wa dawa muhimu
pamoja na vifaa vya kutolea huduma
• Kupunguza vifo vya watoto wachanga na vifo vya akinamama wajawazito
• Kuimarisha huduma za chanjo, lishe na huduma za mama na mtoto na kudhibiti
Malaria, Kifua Kikuu na Ukoma
• Kutoa huduma kwa akinamama na kinababa baada ya umri wa uzazi (post
Reproductive Age Services for Women and Men)
• Kutoa huduma kwa akinamama wanaoathirika kutokana na matatizo
yanayotokana na uzazi (Vesicle Vaginal Fistula – VVF)
• Kupambana na jana la ugonwja wa UKIMWI na hasa katika kuboresha huduma
za kinga ili kupunguza maambukizi pamoja na ununuzi wa dawa za kupugnuza
makali ya UKIMWI
• Kupambana na ugonjwa wa Ngirimaji, Matende na Usubi
• Kuendeleza na kuimarisha mabadiliko katika Sekta ya Afya ikiwa ni pamoja na
kufanya mapitio eneo la msamaha katika uchangiaji wa huduma za afya
• Kuzipatia hospitali Teule (DDH) na Mashirika ya Kujitolea (VAs) rasilimali ili
kuongeza uwezo wa kutoa huduma kwa wananchi katika sehemu zisizo na
Vituo vya Afya vya umma
46
•
•
•
•
•
•
•
•
•
•
•
Kuimarisha huduma za afya za Halmashauri za Wilaya katika kuendesha
huduma za afya kwa kutoa usafiri kwa ajili ya usimamizi, ufuatiliaji na
usambazaji wa dawa na vifaa tiba
Kuongeza wafanyakazi wenye ujuzi katika taaluma mbalimbali na kutoa
mafunzo ya kitaalam ya watarajali (pre-service), wataalam wa afya na ya
kujiendeleza katika kada zote za afya
Kuinua ubora wa afya ya mazingira
Kuendeleza utafiti wa magonjwa ya binafamu
Kutoa mchango wa Serikali katika miradi yaote inayopewa fedha na wahisani
mbalimbali
Kukamilisha ujenzi na ukarbati unaoendelea wa majengo ya hospitali na ya
vyuo vya kutolea mafunzo ya afya vilivyo chini ya Wizara ya Afya
Kuendelea na ununuzi wa vifaa muhimu vya uchunguzi kwa hospitali za rufaa
na maalum
Kufanya uchunguzi wa vyakula, dawa, kemikali na vipodozi, kutoa ushauri wa
kitaalam na kutambua vyanzo vya vifo kwa kufanya uchunguzi wa kisayansi
(forensic science)
Kusimamia na kudhibiti kemikali za viwandani na majumbani utakaotekelezwa
na Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali
Ununuzi wa magari ya vyuo ambavyo havina magari kabisa
Ujenzi wa hosteli ya madaktari wanafunzi hspitali ya Rufaa Mbeya, Ukarabati
wa wodi za wagonjwa hospitali ya Mirembe na ujenzi wa majengo ya hospitali
ya Kibong’oto.
47
4.0 RIPOTI YA HUDUMA ZA AFYA MIKOA
4.1 Utangulizi
Taarifa za huduma za afya nchini zinajumuisha zile zinazotoka Mikoani na Hospitali za
Rufaa/Maalum ambazo zimekuwa zikitolewa katika vikao vya Waganga Wakuu wa Mikoa na
Wakurugenzi wa Hospitali za Rufaa/Maalum. Lengo la ripoti hizi ni kutoa/kuonyesha hali
halisi katika utoaji wa huduma ya afya katika sehemu hizo. Taarifa hizi zinaonyesha hali
ilivyo katika maeneo ya watumishi, huduma, na mapato zikiainisha mafanikio, matatizo,
mikakati ya kuendeleza mafanikio na kutatua mataizo yanayojitokeza.
Kwa miaka kadhaa, watendaji katika ngazi ya Mikoa na Hospitali za Rufaa walikusanya
takwimu mbalimbali kila mwaka. Hata hivyo ukusanyaji wa takwimu hizi haukufuata mfumo
mmoja na hivyo ilikuwa vigumu kufanya majumuisho ya kitaifa na kufanya mlinganisho.
Hata hivyo watendaji wachache wameendelea kutuma ripoti ambazo hazifanani kimfumo.
Ili kuwa na uwiano na uelewa wa pamoja katika kutoa huduma ya afya kwa kuzingatia
Mabadiliko katika Sekta ya Afya, Idara ya Tiba ilipewa jukumu la kuratibu uandaaji wa
mwongozo utakaotumika kuandaa ripoti. Mwongozo wa mfumo huu umezingatia takwimu
muhimu zinazorahisisha ufuatiliaji wa utendaji kitaifa na mfumo wa uwasilishaji wa takwimu
hizo bila kuathiri ukamilifu na ubora na takwimu hizo.
4.2 Mchanganuo wa Idadi ya watu katika Mikoa
Tanzania bara ina idadi ya watu wapatao 34,718,009 kati ya hao akina mama wenye umri wa
miaka 15 - 49 ni 34,718,009 (20%), watoto wa umri <1 1,621,461 (5%) na watoto wa umri
<5 ni 6,645,101 (19%). Jedwali na. 1.
Jedwali na 1: Mchanganuo wa Idadi ya watu katika Mkoa
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Idadi ya
Watu
1,387,650
2646921
1777175
1524223
2146919
1430499
1503989
825302
1128138
1136393
2425161
1852504
1174593
3119237
Mama Umri wa
Miaka 15 - 49
277,529
430182
363426
356565
428933
261160
59801
148554
226527
286718
433009
369144
245889
601672
Watoto
Umri < 1
55,506
106974
71088
60969
89926
46804
300798
24759
42276
57545
84179
74098
44460
128206
Watoto
Umri < 5
277,529
446456
363426
304885
426244
240032
305899
148554
226527
286718
410415
370500
221739
601672
48
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
928325
1235046
1145467
1170076
2975594
1479583
1705214
34,718,009
216272
245650
481340
234017
580469
373915
306930
6,927,702
28206
49739
49495
46803
116638
74783
68209
1,621,461
709247
25650
481340
234017
541488
373916
358094
6,645,101
4.3 Mchanganuo wa hali ya Vifo vya Watoto na Akinamama wajawazito katika Mikoa
Kasi ya vifo vya watoto umri wa chini ya mwaka mmoja kati ya vizazi hai 1,000 ilikuwa ya
juu kwa mikoa ya Tanga (255), Pwani (153), Mtwara (126) na Kagera (106). (Mchoro na. 1).
255
78
Jumla Kitaifa, 2004
8
16
Ruvuma
Mara
Manyara
36
36
Arusha
40
37
Kilimanjaro
Lindi
Iringa
Dar es Salaam
Pwani
Tanga
0.0
Kagera
50.0
Mwanza
56
Dodoma
72
60
Mbeya
74
100.0
73
90
Shinyanga
106
90
150.0
Morogoro
153
200.0
126
250.0
Mtwara
Kasi ya vifo kati ya watoto 100
Mchoro 1: Kasi ya Vifo Vya Watoto Umri Chini ya Mwaka 1
300.0
Mikoa
Kuhusu kasi ya vifo vya watoto miaka 5+, kati ya vizazi hai 1000 mikoa iliyoongoza ni
Rukwa (648), Tanga (487), Pwani (396), Mtwara (212), Kagera (167) na Morogoro (140).
(Mchoro na. 2).
49
Kasi ya vifo kati ya watoto 100
648
Mchoro 2: Kasi ya Vifo Vya Watoto Umri wa Miaka 5+
700.0
487
600.0
396
500.0
137
6
Mara
Kigoma
Jumla Kitaifa, 2004
21
14
Shinyanga
27
27
Arusha
Manyara
41
29
Iringa
Lindi
43
41
Tabora
Kilimanjaro
51
Mwanza
79
70
Mbeya
Dodoma
140
100
Morogoro
Kagera
Pwani
Mtwara
Tanga
0.0
Rukwa
100.0
Dar es Salaam
167
200.0
142
212
300.0
Ruvuma
400.0
Mikoa
280
200
253
281
50
35
67
100
53
114
113
Kigoma
150
Kilimanjaro
156
163
Mara
176
166
Arusha
205
200
189
252
250
221
261
257
Tabora
Mwanza
Kasi ya vifo
300
265
266
350
326
Mchoro 3: Kasi ya Vifo Vya Mama Wajawazito Katika Kila Mkoa
328
400
387
Kuhusu vifo vya akinamama kwa sababu ya uzazi kasi kubwa ilikuwa kwa mikoa ya
Morogoro (387), Manyara (328), Lindi (326), Kagera (266), Mbeya (265) na Tabora (261).
(Mchoro na.3).
Jumla Kitaifa, 2004
Jumla Kitaifa, 2003
Jumla Kitaifa, 2002
Dar es Salaam
Jumla Kitaifa, 2001
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Tanga
Mtwara
Dodoma
Iringa
Shinyanga
Mbeya
Lindi
Kagera
Manyara
Morogoro
0
Mikoa
4.4 Mchanganuo wa Maeneo ya Kiutawala katika Mikoa
Kiutawala Tanzania Bara kuna Tarafa 550, Vijiji 10,478, na Kaya 5,598,655. (Jedwali na 2).
Jedwali na 2: Mchanganuo wa Maeneo ya Kiutawala katika Mikoa
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Idadi ya Vijiji
315
0
496
720
556
492
238
Idadi ya Kaya
184443
623939
382914
357397
393808
249021
210263
Idadi ya Tarafa
22
10
26
33
25
21
19
50
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
453
300
444
963
817
232
715
417
436
514
366
868
489
647
10478
190761
199860
259699
483387
141
170
368561
81
222868
238659
198589
369598
307503
356993
55986655
28
52
20
27
30
35
33
25
21
22
21
27
20
33
550
4.5a: Uwiano wa Wataalam wa Afya na Idadi ya Watu
Mikoa yenye uwiano mzuri wa Madaktari na idadi ya watu ni Arusha (1:38,545), Pwani (1:
42,196), Dar es Salaam (1:50,322) na Mara (1:58,120). Mikoa inayoongoza kwa kutokuwa na
uwiano mzuri ni Rukwa na Mwanza (1:308,761 na 1:307,770). (Mchoro na. 4).
Mchoro 4: Uwiano wa Daktari Mmoja na Idadi ya Watu Katika Kila Mkoa
308,761
Rukwa
307,770
Mwanz a
305,978
Shinyanga
Iringa
254,037
Dodoma
168,179
152,638
Mbe ya
145,159
Manyara
143,159
Tabora
132,500
Morogoro
119,371
Mkoa
Li ndi
Ki li manjaro
116,190
Mtwara
115,692
115,692
Ki goma
65,950
Kage ra
Tanga
60,618
Ruvuma
58,731
58,120
Mara
Dar e s Salaam
50,322
42,196
Pwani
38,545
Arusha
137,980
Juml a Kitai fa, 2004
-
50,000
100,000
150,000
200,000
250,000
300,000
350,000
Idadi ya watu
Kuhusu Madaktari Wasaidizi mikoa inayoongoza kwa kuwa na uwiano mzuri ni Mara (1:19,593),
Arusha (1:22,381), Tanga (1:23,906) na Kilimanjaro (1:25,118). Mikoa inayoongoza kwa
kutokuwa na uwiano mzuri ni Shinyanga (1:377,782), Pwani (1:197,552) na Mwanza (1:89,259).
(Mchoro na. 5).
51
Mchoro 5: Uwiano wa Daktari Msaidizi Mmoja na Idadi ya Watu Katika Kila Mkoa
377,782
Shinyanga
197,552
Pwani
89,259
Mwanz a
Kage ra
65,951
Tabora
57,264
Manyara
57,264
53,690
Dodoma
51,458
Mkoa
Morogoro
Mbe ya
47,513
Mtwara
44,235
44,235
Ki goma
38,595
Rukwa
Dar e s Sal aam
35,419
Lindi
34,816
30,121
Ruvuma
26,741
Iri nga
Ki li manjaro
25,118
Tanga
23,906
22,381
Arusha
19,593
Mara
67,145
Jumla Kitai fa, 2004
-
50,000
100,000
150,000
200,000
250,000
300,000
350,000
400,000
Idadi ya watu
Mikoa yenye uwiano mzuri wa Afisa Tabibu na idadi ya watu ni Tanga (1:5,715), Arusha (1:
5,930), Lindi (1:6,113) na Mara (1:6,210). Mikoa inayoongoza kwa kutokuwa na uwiano mzuri ni
Pwani na Shinyanga (1:56,606 – 1:36,805). (Mchoro na. 6).
Mchoro 6: Uwiano wa Afisa Tabibu (CO) Mmoja na Idadi ya Watu Katika Kila Mkoa
56,606
Pwan i
36,805
S hi n yanga
23,056
Dar e s S al aam
Mtwara
12,966
Ki goma
12,966
12,029
Morogoro
11,565
Mwanz a
10,989
Dodoma
10,647
Ruk wa
9,956
Mkoa
Kage ra
8,103
Tabora
8,103
Man yara
7,293
Iri nga
Ki li manjaro
7,093
Ru vu ma
7,076
6,913
Mbe ya
6,210
Mara
Li n di
6,113
5,930
Arusha
5,715
Tanga
13,307
Jumla Kitai fa, 2004
-
10,000
20,000
30,000
40,000
50,000
60,000
Idadi ya watu
Kuhusu Afisa Muuguzi mikoa inayoongoza kwa kuwa na uwiano mzuri ni Shinyanga (1:1226),
Iringa (1:1,746), Ruvuma (1:1,932) na Arusha (1:2,234). Mikoa inayoongoza kwa kutokuwa na
52
uwiano mzuri ni Morogoro (1:12,561), Mbeya (1:12,462) na Dar ea Salaam (1:9,054). (Mchoro
na. 7).
Mchoro 7: Uwiano wa Afisa Muuguzo (NO & TN) Mmoja na Idadi ya Watu Katika Kila Mkoa
12,561
Morogoro
12,462
Mbe ya
9,054
Dar e s Sal aam
8,796
Mtwara
Ki goma
8,796
8,265
Dodoma
5,428
Kage ra
5,221
Mwanz a
4,761
Pwan i
4,491
Mkoa
Ru kwa
3,642
Mara
3,609
Tabora
3,609
Manyara
3,504
Ki l i man jaro
2,921
Tan ga
2,723
Li n di
2,234
Aru sha
Ruvu ma
1,932
1,746
Iri nga
1,226
Sh i nyan ga
5,349
Jum l a Ki tai fa, 2004
-
2,000
4,000
6,000
8,000
10,000
12,000
14,000
Idadi ya watu
4.5b: Uwiano wa Wataalam wa Afya ya Kinywa (Dental) na Idadi ya Watu
Mikoa ya Arusha na Dar es Salaam ndiyo yenye uwiano mzuri na wataalam wa Afya ya
Kinywa wakati uwiano usio mzuri upo zaidi kwa mikoa ya Mwanza, Morogoro Mbeya na
Tabora. (Jedwali na.3).
Jedwali na 3: Uwiano wa Wataalam wa Afya ya Kinywa (Dental) na Idadi ya Watu
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dom
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
Madaktari wa
Meno (DDS)
1:277,530
1:258,419
1:888,587
1:508,075
1:1,073,460
1:1,376,702
1:1,503,989
1:417,697
1:128,138
1:1,136,393
1:277,547
1:1,852,504
1:174593
1:3,119,237
1:928,325
1:1,235,046
1:391542
1:1170076
1:2975594
1:1,479,583
1:424326
Madaktari Wasaidizi
wa Meno (ADO)
1:231275
1:339309
1:444,293
1:381055
1:155794
1:286100
1:501,330
1:412,651
1:64,079
1:284,098
1:119,004
1:231,563
1:245,889
1:445,606
1:309,333
1:617,523
1:293656
1:1170078
1;991865
1:429477
1:339460
Tabibu Meno
(DTs)
1:277,530
1:256,591
1:888,587
1:27,017
1:450,566
1:698,351
1:501330
1:206,326
42,713
1:568,196
1:156,542
1:168,409
1:44,460
1:445,606
1:185,,665
1:617,523
1:391542
1:39003
1;743899
1:428253
1:242472
Fundi Sanifu
Meno (DLTs)
1:101724
1:658584
1:1,777,175
1:524223
1:14453
1:1376702
0
0
0
1:1,136,393
1:299867
1:926252
1:174593
1:1559619
0
1:1235046
1:1145467
0
0
0
1:1697302
4.5: Idadi ya Vituo vya kutolea Tiba na Umiliki wake
53
Zipo Zahanati 4,678 nchini ambapo 3,109 (66%) zinamilikiwa na Serikali, 737 (15%)
Mashirika ya Dini, 739 (16%) Watu Binafsi na 135 (3%) Mashirika ya Umma (Mchoro na 8).
Mchoro 8: Umiliki wa Zahanati Katika Tanzania
Binafsi
16%
Mashirika ya Umma
3%
Mashirika ya Dini
15%
S erikali
66%
Mkoa wa Mwanza unaoongoza kwa kuwa na zahanati nyingi (336 ), ukifuatiwa na mikoa ya
Kilimanjaro (332), Dar es Salaam (330), Mbeya (307) na Iringa (282). (Mchoro na 9).
Mchoro 9: Jumla ya Zahanati ZoteKatika Kila Mkoa
336
Mwanz a
Ki limanjaro
332
330
DSM
307
Mbe ya
282
Iringa
272
Shi nyanga
249
Morogoro
240
Dodoma
231
Mikoa
Tanga
213
Kage ra
207
Tabora
198
Kigoma
196
Arusha
186
Mara
184
Rukwa
182
Pwani
Ruvuma
155
Lindi
154
152
Mtwara
139
Si ngida
133
Manyara
0
50
100
150
200
250
300
350
Idadi
Vituo vya Afya
54
Vipo vituo vya Afya 491 nchini, ambapo vituo 333 (67%) vinamilikiwa na Serikali, 113
(23%) Mashirika ya Dini, 10 (2%) Mashirika ya Umma na 37 (8%) Watu Binafsi. (Mchoro
na. 10).
Mchoro 10: Umiliki wa Vituo Vya Afya
Binafsi
8%
Mashirika ya Umma
2%
Mashirika ya Dini
23%
S erikali
67%
Mkoa unayoongoza kwa kuwa na vituo vyingi vya afya ni Mkoa wa Mwanza ukifuatiwa
na mikoa ya Iringa, Kilimanjaro na Morogoro. (Mchoro na 11).
Mchoro 11: Idadi ya Vituo Vya Afya Katika kila Mkoa
Mwan z a
39
Iringa
34
32
Kilimanjaro
31
Morogoro
30
Kage ra
29
Arusha
Rukwa
28
Mbe ya
28
27
Mkoa
Shinyanga
Tanga
25
23
DSM
21
Ruvuma
Dodoma
21
Mara
20
18
Kigoma
17
Pwani
Tabora
15
Singida
15
15
Lindi
Mtwara
14
11
Manyara
0
5
10
15
20
25
30
35
40
Idadi
Hospitali
55
Hospitali zipo 217, ambapo 86 (38%) zinamilikiwa na Serikali, 88 (39%) Mashirika ya Dini,
17 (7%) Mashirka ya Umma na 37 (16%) Watu Binafsi. (Mchoro na. 12).
Mchoro 12: Umiliki wa Hospitali Katika Asilimia Tanzania
Binafsi
16%
Mashirika ya Umma
7%
S erikali
38%
Mashirika ya Dini
39%
Mchoro na. 13 unaonyesha umiliki wa vituo vyote vya kutolea tiba Tanzania Bara 2004.
Mchoro 13: Umiliki wa Vituo Vyote Vya Kutolea Tiba, Tanzania
Mashirika ya Umma
3%
Binafsi
15%
S erikali
65%
Mashirika ya Dini
17%
4.7: Idadi ya vitanda vya kulaza wagonjwa kwa kufuata Miliki ya Vituo vya kutolea tiba
Vituo vya Afya
56
Uwezo wa vituo vya Afya kulaza wagonjwa nchini ni vitanda 10,184 na idadi ya vitanda
vilivyopo ni 9,121 sawa na asilimia 86.8% ya uwezo wa kulaza. Kwa ujumla Mikoa ya
Iringa, Tanga na Mwanza inaozongoza kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kulaza wagonjwa.
Wakati Mikoa ya Manyara, Arusha na Dar es Salaam ina uwezo mdogo. Serikali inaongoza
kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kulaza wagonjwa kwa (68.6%) ikifuatiwa na Mashirika ya
Dini (30%), Watu Binafsi na (4.5%) Mashirika ya Umma (2%). (Jedwali na.4).
Jedwali Na 4: Idadi ya Vitanda vya kulaza Wagonjwa kwa kufuata Miliki ya Vituo vya kutolea Tiba (Vituo vya Afya)
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
Serikali
Uwezo
Vilivyopo*
127
132
126
84
422
373
396
294
298
295
405
453
237
294
237
167
70
137
260
201
504
414
390
297
245
255
777
497
216
400
327
548
524
199
199
490
377
230
171
660
497
7021
6204
Idadi ya Vitanda Kwenye Vituo vya Huduma
Mashirika ya Dini
Mashirika ya Umma
Uwezo
Vilivyopo*
Uwezo
Vilivyopo*
188
268
8
8
100
100
0
15
80
97
0
0
670
614
0
0
180
145
0
0
33
58
0
5
147
223
15
0
33
33
0
0
30
78
0
0
100
104
25
14
173
157
0
0
50
30
52
29
115
110
0
0
96
96
0
0
15
0
200
136
0
0
415
630
0
0
58
30
0
0
50
0
0
0
95
110
0
0
237
201
0
0
3050
3235
100
71
Jumla
Binafsi
Uwezo
Vilivyopo*
70
70
40
50
30
22
57
21
16
25
18
53
15
0
0
6
0
0
50
50
3
29
30
0
0
0
35
35
16
0
0
0
0
0
0
0
0
0
0
13
13
377
390
Uwezo
293
216
490
1123
549
356
414
270
60
435
760
406
360
858
600
963
257
552
325
897
10184
Vilivyopo*
478
249
492
929
410
569
217
220
215
369
547
362
365
177
247
463
1154
229
437
281
711
9121
Hospitali
Uwezo wa Hospitali nchini kulaza wagonjwa ni vitanda 25,710 na idadi ya vitanda vilivyopo
ni 25,641 ikiwa na vitanda 69 zaidi. Serikali inaongoza kwa kuwa na uwezo mkubwa wa
kulaza wagonjwa (54.1%) ikifuatiwa na Mashirika ya Dini (39.9%), Watu Binafsi (4.8) na
Mashirika ya Umma (1.5%). Mikoa yenye uwezo mkubwa ni Mwanza, Iringa na Dodoma na
ile yenye uwezo mdogo ni Rukwa, Manyara na Kilimanjaro. (Jedwali na. 5).
Jedwali Na 5: Idadi ya Vitanda vya kulaza Wagonjwa kwa kufuata Miliki ya Vituo vya kutolea Tiba (Hospitali)
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Serikali
Uwezo
Vilivyopo*
701
642
632
522
1463
1329
925
745
305
192
542
873
549
549
616
530
545
454
769
769
590
450
520
527
1010
877
1087
854
498
500
390
325
665
630
444
1038
838
790
693
Idadi ya Vitanda Kwenye Vituo vya Huduma
Mashirika ya Dini
Mashirika ya Umma
Uwezo
Vilivyopo*
Uwezo
Vilivyopo*
649
618
30
30
66
66
0
0
580
330
0
0
990
961
150
40
580
690
0
0
320
1147
0
35
227
227
0
0
411
397
30
24
200
530
0
0
285
262
0
0
899
901
0
0
778
790
135
135
350
300
0
0
1693
1693
0
0
100
213
150
90
0
0
645
1015
0
0
995
912
0
0
250
188
0
0
479
0
0
0
Jumla
Binafsi
Uweazo
Vilivyopo*
12
12
606
606
0
0
235
85
60
60
0
130
0
0
0
0
0
0
0
0
40
30
73
73
0
0
20
20
0
0
0
0
0
0
0
88
88
0
0
Uwezo
1192
1184
2043
2300
1487
562
776
1057
404
1053
1529
1506
1360
2780
650
970
1625
1376
1269
Vilivyopo*
1302
1094
1659
1831
1300
1735
776
951
1004
1031
1381
1525
1177
2508
811
480
1679
1356
1104
1172
57
Tanga
Jumla Kitaifa
948
14160
559
13400
542
10444
520
10722
0
345
0
477
65
1199
65
1169
1557
25710
1444
25641
Mkoa wa Dar es Salaam una uwiano mbaya wa kitanda kimoja na idadi ya watu (1:1,686),
ukifuatiwa na Kigoma (1:1,205), Rukwa (1:1186) na Kagera (1:1,177). Mikoa iliyo na
uwiano mzuri ni Iringa (1:540), Shinyanga (1:437) na Singida (1:229). Kitaifa uwiano huo ni
1:928. (Mchoro na. 14).
1,686
Mchoro 14: Uwiano wa Kitanda Kimoja kwa Idadi ya Watu Katika Kila Mkoa
1,800
928
540
598
724
729
Mtwara
800
673
759
Tanga
837
787
Dodoma
851
1,000
929
1,070
1,154
974
Idadi ya Watu
1,200
1,091
1,177
1,205
1,400
1,186
1,600
437
600
229
400
200
Jumla Kitaifa
Singida
Shinyanga
Iringa
Kilimanjaro
Lindi
Arusha
Pwani
Manyara
Morogoro
Mara
Mbeya
Mwanza
Ruvuma
Tabora
Kagera
Rukwa
Kigoma
Dar es Salaam
-
Mikoa
4.8: Watumishi wa sekta ya Afya na Sehemu za Kazi
Jumla ya watumishi waliopo kwenye sekta ya afya mikoani ni 31,952 ambapo 23,874
(74.7%) wameajiriwa Serikalini. Kwa ujumla Serikali ina upungufu wa watumishi 12,843
ikiwa ni 40.2%. (Jedwali na 6).
Jedwali Na 6: Watumishi wa sekta ya Afya na Sehemu za Kazi
Watumishi
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
Medical Doctors
Specialist Doctors
Dental Surgeons
Specialist Dental Surgeons
Pharmacists
Chemists
Assistant Medical Officers
Assistant Dental Officers
Dental Therapists
Clinical Officer
Assistant Clinical Officers
Nursing Officers
Nurse Tutors
Trained Nurses
Nurse Midwives
Public H. Nurse B
MCH Aides
Medical Laboratory Technicians
Radiographers
Dental Technicians
Optometry Technicians
Orthopaedic Technicians
Physiotherapists
Serekali
Waliopo
Pungufu
185
181
43
74
27
39
8
14
65
60
12
22
522
488
338
178
307
115
2186
2128
998
417
1466
519
506
348
688
805
2225
1612
1492
2259
1347
449
274
144
56
96
74
113
19
83
8
46
49
84
Sehemu ya Kazi
Mashirika ya Dini
Mashirika ya Umma
Waliopo
Pungufu
Waliopo
Pungufu
70
69
3
2
22
29
5
2
0
7
0
0
0
5
0
0
3
27
1
0
0
2
1
0
220
139
16
4
19
46
2
1
29
49
13
2
420
635
49
7
119
22
1
0
980
275
32
22
60
19
47
10
294
252
7
0
920
604
1
0
76
398
3
0
77
4
3
1
44
67
0
5
30
39
1
0
6
31
0
0
11
26
0
0
7
13
0
0
14
26
1
0
Mashirika Binafsi
Waliopo
Pungufu
33
18
17
2
1
0
1
0
2
0
3
3
34
7
13
8
15
10
116
25
18
6
43
6
10
0
11
2
212
41
20
4
16
0
17
10
1
0
0
0
0
0
0
0
1
0
Jumla
Waliopo
291
87
28
9
71
16
792
372
364
2771
1136
2521
623
1000
3358
1591
1443
335
88
80
30
15
65
58
Pungufu
270
107
46
19
87
27
638
233
176
2795
445
822
377
1059
2257
2661
454
226
135
144
109
59
110
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
Chemical Laboratory Technicians
Health Officers
Pharmac. Technicians
Medical Records Officers
Lauderers
Catering Officers
Health Secretaries
Wahudumu wa chumba cha maiti
All Others
Wahudumu Wauguzi
Wahudumu Maabara
Wahudumu Meno
Wahudumu Pharmacy
Wahudumu X-ray
Accounts Assistant
Drivers
Jumla ya Watumishi Kitaifa
12
676
144
135
176
9
57
111
1814
5961
1221
135
97
55
53
323
23874
31
358
297
232
199
87
99
87
243
449
118
76
82
46
67
98
12843
2
12
31
65
84
13
29
35
777
1874
211
37
36
31
48
105
6811
5
24
35
84
51
18
34
43
77
103
22
32
40
8
33
7
3400
0
3
4
0
4
3
2
6
37
40
6
2
2
1
0
4
300
1
2
8
1
0
0
0
2
21
4
0
1
1
0
0
1
98
0
8
0
4
2
0
0
28
132
149
27
9
12
3
7
2
967
0
0
0
14
4
4
3
3
9
5
1
1
2
0
3
0
191
14
699
179
204
266
25
88
180
2760
8024
1465
183
147
90
108
434
31952
4.9a: Magari/Pikipiki
Kuna jumla ya magari 733 ambapo asilimia 83.8 yanafanya kazi. Mikoa ya Mwanza na Mara
inaongoza kwa kuwa na magari yanayofanya kazi (yote yanafanya kazi). Wakati Mikoa ya
Rukwa na Iringa inaongoza kwa kuwa na magari mengi yasiofanya kazi asilimia 54 na 31.
Kwa upande wa pikipiki Serikali ina pikipiki 433ambapo 90% ndizo zinazofanya kazi. Mikoa
ya Kilimanjaro, Kigoma, Lindi na Rukwa pikipiki zote zinafanyakazi. Mkoa wa Iringa
unaogoza kwa kuwa na pikipiki mbovu 35% ya pikipiki zote. (Jedwali na. 7).
Jedwali na. 7: Magari/ Pikipiki
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
Hali ya Magari/Pikipiki
Yanayofanya Kazi
Yasiyofanya Kazi
Magari
Pikipiki
Magari
Pikipiki
38
12
6
1
29
22
2
1
24
24
7
2
32
24
15
13
25
14
3
2
29
24
9
0
33
16
2
0
30
15
8
0
21
9
5
1
23
10
0
1
35
24
6
2
40
53
4
2
14
20
2
2
26
30
0
4
32
0
2
23
4
27
0
18
14
4
1
27
24
9
3
35
22
4
0
30
19
2
4
47
10
5
0
611
390
122
39
Jumla
Magari
44
31
31
47
28
38
35
38
26
23
41
44
16
26
34
50
22
36
39
32
52
733
Pikipiki
13
23
26
37
16
24
16
15
10
11
26
55
22
34
0
8
15
27
22
23
10
433
4.9b: Hadubini
Kuna jumla ya hadubini 2,146 ambapo 80% zinafanya kazi. Mikoa yenye hadubini
zinazofanya kazi kwa wingi ni Arusha na Dodoma. Mikoa yenye hadubini nyingi mbovu ni
Rukwa na Lindi. (Jedwali na. 8).
59
37
384
340
331
254
109
136
135
350
561
141
110
125
54
103
106
16532
Jedwali na. 8: Hadubini
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
Hali ya Hadubini
Zinazofanya Kazi
Zisizofanya Kazi
102
9
75
16
64
6
86
37
176
27
192
32
92
12
30
15
51
16
107
18
52
14
128
26
60
16
111
15
45
12
23
21
70
13
70
8
63
16
61
18
67
16
1,725
363
Jumla
111
91
70
113
203
224
104
54
116
135
66
154
76
126
57
44
83
78
79
79
83
2146
4.9c: Mashine za X-ray
Kuna jumla ya mashine za X-ray 244 mikoani ambapo 83% zinafanyakazi. Mikoa
inayoongoza kwa kuwa na mashine nyingi za X-ray zinazofanya kazi ni Da es Salaam na
Arusha wakati mikoa yenye X-ray chache zinazofanya kazi ni Dodoma na Rukwa. (Jedwali
na. 9).
Jedwali na. 9: Mashine za X-ray s
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
Hali ya X-ray
Zinazofanya Kazi
Zisizofanya Kazi
16
5
28
2
4
2
11
5
10
0
19
4
6
2
10
4
5
0
8
1
8
3
8
2
6
2
9
4
7
1
5
3
7
3
5
5
9
0
8
6
11
200
54
Jumla
21
30
6
6
10
23
8
14
5
9
11
10
8
13
8
8
10
10
9
14
11
244
4.9d: Vifaa vya Utakasaji
Kuna jumla ya mashine za utakasaji 3,116 mikoani ambapo 87% zinafanyakazi. Mikoa ya
Rukwa, Lindi na Kigoma inaongoza kwa kuwa na mashine nyingi zisizofanyakazi. (Jedwali
na. 10).
60
Jedwali na. 10: Vifaa vya Utakasaji
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kimkoa
Hali ya Mashine za Utakasaji
Zinazofanya Kazi
Zisizofanya Kazi
34
17
199
27
281
18
72
2
235
36
382
52
11
5
23
12
24
5
14
0
520
83
300
20
96
4
84
24
14
4
86
53
15
5
24
26
8
0
18
14
255
4
2,695
411
Jumla
51
226
299
74
271
434
16
35
29
14
613
320
100
108
18
139
20
50
8
32
259
3,116
4.9e: Vifaa vya Tiba ya Meno (Dental Unit and Chair)
Jumla ya vifaa vya tiba ya meno ni 289 na vinavyofanyakazi ni 226 ambayo ni sawa na
78.7%. Mikoa ambayo ina vifaa vingi visivyofanya kazi ni Dar es Salaam (40%), Dodoma
(40%) na Kilimanajro (35.7%). (Jedwali na. 11).
Jedwali na. 11: Vifaa vya Tiba ya Meno (Dental Unit and Chair)
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
Hali ya Vifaa
Vinavyofanya Kazi
Visivyofanya Kazi
15
15
9
15
7
9
6
6
5
6
14
13
6
15
14
4
12
8
10
17
20
226
Jumla
1
10
6
2
1
5
4
4
1
3
5
2
2
5
4
0
2
4
1
3
0
65
16
25
15
17
8
14
10
10
6
9
19
15
8
19
18
4
14
12
11
19
20
289
4.10 Magonjwa yanayotolewa Taarifa
61
Jumla ya wagonjwa 451,166 walitolewa taarifa kutoka Mikoa yote. Ugonjwa wa Dysentry
uliongoza kwa kutolewa taarifa (22%) ukifuatiwa na Typhoid (17%), Meningitis (15%),
Animal Bites (15%) na Measels (15%). (Mchoro na 15).
Mchoro 15: Magonjwa Yaliyotolewa Taarifa Watu Wote, 2004
Yellow Fever
0%
Cholera
2%
Acute Flaccid Paralysis
0%
Dysentery
22%
Typhoid
17%
Plague
0%
Anim al Bites
15%
Louse Borne Typhus
(Relapsing Fever)
14%
Meningitis
15%
Measles
15%
Kwa watu wa umri chini ya miaka mitano magonjwa yaliyotolewa taarifa ni Dysentry (85%),
Typoid (5%), Cholera (4%) na Measles (1%). (Mchoro na. 16).
Mchoro 16: Magonjwa Yaliyotolewa Taarifa Umri Miaka < 5, 2004
Plague
0%
Meningitis
3%
Measles
1%
Animal Bites
0%
Typhoid
5%
Acute Flaccid Paralysis
0%
Yellow Fever
0%
Cholera
4%
Louse Borne Typhus
(Relapsing Fever)
2%
Dysentery
85%
62
Kwa walio na umri wa miaka 5 na zaidi magonjwa yaliyotolewa taarifa zaidi ni
Typhoid (18%), Animal Bites (16%), Meningitis (16%), Measles (16%), Dysentery
(16%) na Relapsing Fever (16%). (Mchoro na 17).
Mchoro 17: Magonjwa Yaliyotolewa Taarifa Umri Miaka 5+, 2004
Acute Flaccid Paralysis
0%
Yellow Fever
Cholera
0%
2%
Dysentery
16%
Typhoid
18%
Plague
0%
Anim al Bites
16%
Louse Borne Typhus
(Relapsing Fever)
16%
Meningitis
16%
Measles
16%
Vifo vilivyotokana na magonjwa yanayotolewa taarifa kwa watu wote ni kama
inavyoonyeshwa kwenye Mchoro na. 18.
Mchoro 18: Vifo Vitokanavyo na Magonjwa Yaliyotolewa Taarifa Umri Kwa Watu Wote, 2004
Typhoid
17%
Animal Bites
16%
Acute Flaccid Paralysis
2%
Cholera
Dysentry
3%
10%
Louse Borne Typhus
(Relapsing Fever)
10%
Plague
0%
Neonatal Tetanus
16%
Measles
10%
Meningitis
16%
63
Kwa mwaka 2003 magonjwa yaliyoongoza kwa kutolewa taarifa yalikuwa Kuhara Damu
(75%), Homa ya Matumbo (15%) na Kipindupindu (8%). (Mchoro na 19).
Mchoro 19: Magonjwa Yaliyotolewa Taarifa Watu Wote, 2003
Kichaa cha m bw a
1%
Kipindupindu
8%
Tauni
0%
Hom a ya Matum bo
15%
Uti w a Mgongo
1%
Kuhara dam u
75%
4.10 Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa wa Nje (OPD)
Katika magonjwa yaliyojitokeza kwa wagonjwa wa umri chini ya miaka 5 wa OPD ni
Malaria (39.4%), ARI (16.5%), Pneumonia (9.6%) na Diarrhoea Disease (7.1%). (Mchoro na
20).
64
Mchoro 20: Magonjwa 10 Yaliyojitokeza Zaidi kwa Wagonjwa wa Nje Umri < ya Miaka 5, 2004
Malaria
9.6
Pne umonia
Aina ya Magonjwa
39.4
16.5
ARI
7.1
Diarrhoe al Dise ase
4.6
Inte stinal Worms
3.9
Eye Infe ctions
3.4
Skin Infe ctions
2.5
Anae mia
2.0
1.5
Minor surgical Conditions
Ear Infe ctions
2.0
Ill De fine d Symptoms (No diagnosis)
7.6
O the r Diagnosis
0.0
5.0
10.0
15.0
20.0
25.0
30.0
35.0
40.0
Idadi Katika Asilimia
Kwa wagonjwa wenye umri wa miaka 5 na zaidi magonjwa yaliyoongoza ni Malaria
(48.4%), ARI (10.6%), Intestinal Worms ( 4.5%) na Pneumonia (4.5%). (Mchoro na. 21).
Mchoro 21: Magonjwa 10 Yaliyojitokeza Zaidi kwa Wagonjwa wa Nje Umri Miaka 5+, 2004
Malaria
Inte stinal Worms
Aina ya Magonjwa
48.4
10.6
ARI
4.5
4.5
Pne umonia
4.5
Diarrhoe al Dise ase
Minor surgical Conditions
2.8
Eye Infe ctions
2.3
Anae mia
2.0
Urinary Tract Infe ctions
1.9
1.1
Non-infe ctious Gastro-inte st Dise ase
2.8
Ill de fine d symptoms
14.7
O the rs Diagnosis
0.0
5.0
10.0
15.0
20.0
25.0
30.0
35.0
40.0
45.0
50.0
Idadi Katika Asilimia
Kuhusu Ugonjwa wa Malaria, wagonjwa wa nje wenye umri chini ya miaka 5 waliokuja na
tatizo la ugonjwa huu walikuwa wengi kwa mikoa ya Mwanza (10.8%), Morogoro (9.3%),
Dar eas Salaam (8.2) na Mbeya (7.8%). Mikoa iliyokuwa na mahudhurio ya chini ni Iringa
(1.5%), Manyara (2.1%), Kilimanjaro (3.4%) na Lindi (3.5%). (Mchoro na.22).
65
Mchoro 22: Wagonjwa Wa Nje wenye umri < miaka 5 Waliokuja na Tatizo la Malaria kwa kila mkoa,
2004
Mwan z a
10.8
Morogoro
9.3
8.2
DS M
Mbe ya
7.8
7.4
Tan ga
Kage ra
7.3
5.8
Dodom a
5.8
Tabora
5.5
Mikoa
Mtwara
5.4
Ki gom a
Pwan i
5.0
3.8
Mara
3.7
Ru k wa
Aru sh a
3.7
3.5
Li n di
3.4
Ki l i m an jaro
2.1
Man yara
1.5
Iri n ga
0.0
2.0
4.0
6.0
8.0
10.0
12.0
Idadi ya Wagonjwa Katika %
Kwa wagonjwa wa nje wenye umri wa miaka 5 na zaidi waliokuja na tatizo la ugonjwa wa
Malaria walikuwa wengi kwa mikoa ya Dar es Salaam (13.9%), Mwanza (11.9%), Tanga
(8.5%) na Morogoro (7.6%). Mikoa iliyokuwa na mahudhurio ya chini kwa Malaria ni
Rukwa (0.3%), Arusha (0.3%), Lindi (2.6%) na Manyara (3.0% ). (Mchoro na 23)).
Mchoro 23: Wagonjwa wa Nje Umri Miaka 5+ Walikuja na Tatizo la Malaria Kwa Kila
Mkoa,2004
13.9
DS M
11.9
Mwan z a
8.5
Tan ga
7.6
Morogoro
Pwan i
7.3
Ki l i m an jaro
7.3
5.9
Mara
Mikoa
Mbe ya
5.7
5.6
Dodom a
Ki gom a
5.2
3.9
Kage ra
3.8
Iri n ga
Mtwara
3.8
3.5
Tabora
3.0
Man yara
2.6
Li n di
0.3
Aru sh a
0.3
Ru k wa
0.0
2.0
4.0
6.0
8.0
10.0
12.0
14.0
Idadi Katika Asilimia
4.10 Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa Waliolazwa
Magonjwa yaliyojitokeza kwa wagonjwa waliolazwa wenye umri chini ya miaka mitano, ni
Malaria (31.2%), ARI (18.1%), Diarrhoeal Diseases (7.6%), Pneumonia (5.8%) na Aanemia
(4.8%). (Mchoro na 24).
66
Mchoro 24: Magonjwa 10 Yaliyojitokeza Zaidi kwa Waliolazwa Umri < 5, 2004
31.2
Malaria- Uncomplicated
18.1
Acute Respiratory Infections
15.5
Malaria- S evere, Complicated
7.6
Diarrhoeal Diseases
5.8
Magonjwa
Pneumonia
4.8
Anaemia
4.0
Intestinal Worms
2.4
Respiratory Disease (Nyinginezo)
0.9
Tuberculosis
0.7
Epilepsy
0.7
Ill Defined S ymtoms, no Diagnosis
8.3
Other Diagnosis
0.0
5.0
10.0
15.0
20.0
25.0
30.0
35.0
Idadi Katika Asilimia
Kwa wagonjwa waliolazwa wa umri wa miaka 5 na zaidi magonjwa yaliyoongoza ni
Uncomplicated Malaria (40.1%), ARI (12.3%) Severe and Complicated Malaria (11.6%) na
Diarrhoea diseases (7.1%). (Mchoro na. 25).
Mchoro 25:Magonjwa 10 Yaliyojitokeza Zaidi kwa Waliolazwa Umri 5+, 2004
40.1
Mal aria- Uncompl icate d
12.3
Acu te Re spiratory Infe ction s
11.6
Mal ari a- S e ve re , C ompl icate d
Magonjwa
Diarrh oe al Dise ase s
7.1
3.9
Pn e umonia
3.8
Inte sti nal W orms
2.5
Anae mia
1.3
Tube rculosi s
1.0
HIV/AIDS
0.8
Uri nary tract In fe ction s (UTI)
14.9
O the r Diagnosi s
0.9
Ill De fine d S ymptoms, no Diagn osi s
0.0
5.0
10.0
15.0
20.0
25.0
30.0
35.0
40.0
45.0
Idadi Katika Asilimia
Uncomplicated Malaria, Severe and Complicated Malaria, Anaemia pamoja na Pneumonia
yaliongoza kati ya Magonjwa kumi yaliyosababisha vifo kwa watoto wenye umri chini ya
miaka 5. (Mchoro na. 26).
67
Mchoro 26: Magonjwa 10 Yaliyosababisha Vifo kwa Watoto Wenye Umri < ya Miaka 5, 2004
24.9
Malaria- Uncomplicated
23.2
Malaria- S evere, Complicated
Anaemia
11.8
Magonjwa
Pneumonia
7.1
4.6
Diarrhoeal Diseases
3.9
Respiratory Disease (Nyinginezo)
3.0
Peri-natal Conditions
2.8
HIV/AIDS
Epilepsy
2.3
S evere Protein Ernegy Malnut.
2.2
Other Diagnosis
13.1
Ill Defined S ymtoms, no Diagnosis
1.1
0.0
5.0
10.0
15.0
20.0
25.0
Idadi Katika Asilimia
Kwa wagonjwa wa umri wa miaka 5 na zaidi vifo vyingi vilisababishwa na magonjwa ya
Severe and Complicated Malaria (19.2%), HIV/AIDS (10.5%) na Uncomplicated Malaria
(7.2%). (Mchoro na. 27).
Mchoro 27: Magonjwa 10 Yaliyosababisha Vifo kwa Watu Wenye Umri Miaka 5+, 2004
21.6
O the r Di agn osis
7.3
Ill De fine d Symptoms, no Di agnosis
Mal aria- Se ve re , C omplicate d
19.2
Magonjwa
HIV/AIDS
10.5
Malari a- Uncomplicate d
7.2
6.7
Tube rculosis
6.2
Pne um on ia
5.6
Ne opl asms
5.3
Anae mia
5.0
Thyroid Dise ase s
2.7
C ardiac Failure
Di arrhoe al Di se ase s
2.6
0.0
5.0
10.0
15.0
20.0
25.0
Idadi Katika Asilimia
4.13 Taarifa ya Huduma Maalum
Huduma maaalum zilijumuisha upasuaji, kufunga uzazi (sterilization), blood transfusion, Xrays na ushauri nasaha. (Jedwali 12). mkoa wa Dodoma ulikuwa na Major Surgeries chache
68
(904) kuliko mikoa yote wakati Mkoa wa Pwani ndio uliokuwa na Minor surgeries chache
(1,134) kuliko yote. Sterilization kwa wanaume ilifanyika zaidi katika Mikoa ya Singida
(7,260), Tabora (2,150), Kigoma (111) na Dar es Salaam (27). Mikoa ya Mtwara,
Kilimanjaro na Manyara ilikuwa na Units chache zaidi za damu walizoongezewa wagonjwa
kuliko mikoa mingine. Vilevile, mkoa wa Dodoma ulikuwa na idadi kidogo zaidi ya X-rays
zilizopigwa wakati mikoa iliyopiga idadi kubwa ni Morogoro, Mwanza, Mbeya, Arusha na
Iringa. Mikoa ya Kilimanjaro na Dodoma inatoa huduma kidogo zaidi za ushauri nasaha
kuliko mingine. (Jedwali na 12).
Jedwali na 12: Taarifa za Huduma Maalum
Mikoa
Major
Surgeries
Minor
Surgeries
Sterilization
Wanaume
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
4410
4294
904
5067
5096
3187
2925
3867
3418
3234
4575
5876
1306
5121
2336
1395
5661
17845
4717
2077
5169
764180
23435
70848
3602
12538
14728
12271
19315
3825
11759
3873
15275
13728
13465
5965
1134
3147
12753
673
13699
7256
9525
272814
7
27
0
0
0
7
111
0
0
0
3
0
0
7
0
0
2
4720
1
2150
3
7038
Wanawake
779
5646
213
1141
1027
2108
932
814
597
1310
924
196
416
1067
141
844
994
2540
709
3543
467
26408
Blood Transfusions
(Units)
Idadi ya Xrays
1226
43079
3018
5650
6257
1633
9197
4925
1996
11496
4614
6495
1655
16847
3055
6252
12078
6110
14654
13937
8428
182603
22499
18496
3691
21667
4097
8029
4713
5534
4591
11389
22609
36331
4566
25364
6666
8896
17868
7825
15363
8604
9003
267801
Counseling
Services
11311
18496
368
10891
6872
216
6822
2189
8891
6424
23876
10002
603
11057
0
1959
5676
1110
3606
5490
0
135859
4.14 Aina ya X-ray zilizopigwa
Kati ya Picha za X-ray zilizopigwa nyingi zilikuwa za Chest (37%), zikifuatiwa na
Extremeties (33%), na Abdomen (15%). (Mchoro na. 28).
69
Mchoro 28: Aina ya X-Ray Zilizopigwa 2004
Abdomen
15%
Others
4%
Chest
37%
Pelvic
3%
Contrast Studies
1%
Skull
3%
Spine
4%
Extremeties
33%
4.14 Huduma za Maabara
Kuhusu Huduma za Maabara, vipimo vilivyoongoza kwa wingi ni vipimo vya Damu (B/S)
(45%) vikifuatiwa na Wekundu wa Damu (Hb) (19%), Mkojo (13%) na Choo kikubwa
(12%). (Mchoro na. 29).
Mchoro 29: Mchanganuo wa Huduma za Maabara, 2004
Kaswende
5%
S ukari Kwenye Damu
2%
Wingi wa Damu (Hb)
19%
Damu
45%
Ngozi
0%
Makohozi
4%
Mkojo
13%
Choo
12%
4.16 Matokeo ya Vipimo vya Maabara
Kati ya Vipimo vilivyopimwa vilivyoongoza kwa wingi ni Blood Slides (5,890,174),
zikifuatiwa na Hb (2,194,096) pamoja na vipimo vya mkojo 1,013,392. (Jedwali na. 13).
70
Jedwali 13: Matokeo ya Vipimo vya Maabara
VIPIMO VYA DAMU B/S
Jumla ya Vipimo
Positive Malaria
Positive Borellia
Positive others
VIPIMO VYA WEKUNDU WA DAMU (Hb)
9263382
4350210
3461
3731
Jumla ya Vipimo
3194715
HB chini ya 7.0g/L (50%)
VIPIMO VYA KASWENDE RPR/VORL
Jumla ya Vipimo
Positive syphilis
VIPIMO VYA SUKARI KWENYE DAMU (B/Sugar)
Jumla ya vipimo
Juu ya 10mmo/L (180mg/L)
VIPIMO VYA CHOO
Jumla ya Vipimo
Positive kwa H/worms
Positive kwa Ascaries
Positive kwa E. Histolytica
Positive Nyingine
VIPIMO VYA MKOJO
545734
544231
68892
344372
64192
1508440
117943
68202
37640
68944
Jumla ya Vipimo
Positive kwa S. Haematobium
Positive kwa H. Vaginalis
Positive kwa Sugar
VIPIMO VYA MAKOHOZI
Jumla ya Vipimo
Positive AFB
VIPIMO VYA PROTEIN KWENYE DAMU
Jumla ya Vipimo
Positive Urea/Nitrogen
1766116
130723
19685
32159
448715
78504
140671
1301
4.17 Huduma za kliniki ya Meno
Kung’oa meno ndiyo tiba inayoongoza kwa asilimia 77 kati ya huduma za kinywa
zinazotolewa. (Mchoro na. 30).
Mchoro 30: Aina ya Tiba ya Meno
Kuziba (Filling)
10%
Tiba Nyinginezo
13%
Kung’oa (Extraction)
77%
4.18 Mahudhurio ya Kliniki kwa Mama Wajawazito
Matarajio ya mahudhurio ya kliniki kwa mama wajawazito yalikuwa 1,536,131. Jumla ya
waliohudhurio ni 1,310,004 ikiwa ni pungufu kwa asilimia 14.7 ya matarajio. (Jedwali na. 13).
71
Jedwali na 13: Mahudhurio ya Kliniki kwa Mama Wajawazito
Mikoa
Matarajio
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
55506
106943
71046
4782
89923
48000
59801
24759
33245
59183
156329
74468
39074
124537
Mahudhurio kwa Mara ya
Kwanza
< wiki 20
Wiki 20+
24641
27069
52216
52628
40535
28509
17392
27859
37232
49691
21977
22132
22831
35633
17609
983
12068
24333
28201
28364
36000
39864
39377
40160
20812
21168
61354
71826
61748
46985
45661
240507
123361
70273
1536131
16981
21372
22104
39639
23342
27493
583179
Jumla ya Mahudhurio
51710
104844
69044
45251
86923
44109
58464
18592
36401
56565
75864
79537
41980
133180
36960
22113
26586
71655
52145
37201
716879
53941
43485
48690
121279
75487
64694
1310040
4.18 Kiwango cha wajawazito waliojifungulia kliniki
Mikoa ya Kagera, Ruvuma na Lindi iliongoza kwa asilimia kubwa ya wajawazito
waliojifungulia kliniki. (Mchoro na. 31).
Mchoro 31: Kiwango cha Wajawazito Waliofungulia Kliniki
96.0
Kage ra
83.6
Ru vuma
78.0
Li ndi
76.0
Tanga
Aru sha
75.0
66.9
Iri nga
Mikoa
Mbe ya
63.1
Tabora
61.0
Mara
60.3
Mwanz a
59.2
Ki goma
51.4
Dom
49.0
Morogoro
47.0
S hi nyanga
46.8
S i ngi da
42.7
42.5
Ki l i manjaro
Ruk wa
35.0
30.0
Man yara
Mtwara
29.0
57.5
Avarage
0.0
10.0
20.0
30.0
40.0
50.0
60.0
70.0
80.0
90.0
100.0
Kiwango Katika Asilimia
4.20 Huduma kwa Mama waliojifungua
Jumla ya akinamama 976,858 walijifungulia katika vituo vya kutolea tiba. Asilimia 91.6
walijifungua kwa njia ya kawaida. (Mchoro na 32).
72
Mchoro 32: Taarifa za Kujifungua Wajawazito Katika Vituo Vya Kutolea Tiba
Kupasuliwa(C/S )
4.9%
Njia Nyinginezo
3.1%
Vacuum
0.4%
Kawaida
91.6%
4.21 Matatizo ya Akina mama wakati wa kujifungua
Tatizo kubwa ambalo liliwapata akina mama wakati wa kujifungua lilikuwa ni kutokwa na
damu nyingi baada ya kujifungua (PPH). (Jedwali na.14).
Jedwali na 14: Matatizo ya Akina Mama wakati wa Kujifungua
Mikoa
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
APH
37
89
1
7
58
62
107
7
28
0
11
160
8
36
100
2
15
5
23
25
0
776
Kutokwa
Damu Nyingi
PPH
100
4869
55
97
266
168
235
114
189
78
214
126
111
674
33
18
171
87
248
378
144
8288
Kondo la Nyuma
Kubaki
Kuchanika Msamba
(3rd degree)
83
89
35
51
137
51
139
113
141
97
113
72
69
300
2
59
57
87
127
246
110
2091
3
22
4
22
16
7
14
0
8
0
7
11
3
12
116
5
5
10
2
12
3
272
Matatizo
Mengine
171
660
69
99
116
159
48
218
107
100
138
1717
33
340
53
26
522
66
421
248
256
5501
4.22 Sababu za Vifo vya Mama Wajawazito
73
Sababu iliyoongoza mwaka 2004 kusababisha vifo vingi vya akinamama ni PPH (16%)
ikifuatiwa na Puperial Sepsis (15%), Anaemia (12%), Eclampsia (10%) na Malaria (9%).
(Mchoro na 34).
Mchoro 34: Sababu zilizosababisha vifo vya akina mama waliojifungua mwaka 2004
Other Diagnosis
14%
PPH
16%
S epticaemia
3%
Puerperial S epsis
15%
Obstructed Labour
4%
APH
4%
Ruptured Uterus
6%
Anaemia
12%
HIV/AIDS
8%
Malaria
8%
Eclampsia
10%
Kwa mwaka 2003 vifo vingi vilisababishwa na PPH (34%), Anaemia (10%), Puperial sepsis
(7%), na Eclampsia (7%). (Mchoro na. 35).
Mchoro 35: Sababu zilizosababisha vifo vya akina mama waliojifungua mwaka 2003
HIV/AIDS
5%
Abraptid Placenta
1%
Ruptured Uteraus
5%
Others
19%
Chronic Infection
1%
PPH
34%
Unsafe Abotion
0%
Malaria
5%
Obstracted labour
2%
APH
2%
Anaemia
10%
Relapsing Fever
0%
Puperal S epsis
7%
Eclampsia
7%
EPH gestrois
2%
4.23a Taarifa ya watoto waliozaliwa mmoja mmoja
74
Kati ya watoto waliozaliwa mmojammoja watoto 792,549 walizaliwa hai ambapo watoto
54,287 walikuwa na uzito < ya 2.5 kg .Watoto 4,302 walifariki kabla na baada ya masaa 24.
Watoto 13,549 walizaliwa wafu (Jedwali na 15).
Jedwali na 15: Taarifa za Watoto Waliozaliwa Mmojammoja
Mikoa
Waliozaliwa Hai
Arusha
DSM
Dom
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
25673
81280
36727
14578
54481
36494
54664
18982
15959
29316
37511
35600
27343
71959
25987
33699
37664
25138
53022
46706
29703
792486
Uzito wa Waliozaliwa Hai
Waliopimwa
25673
81280
36301
45578
40728
31930
33781
18399
15524
29266
37067
35749
17819
69976
33699
37664
20901
52946
35832
29436
729549
Idadi < 2.5 kg
1023
4417
639
2555
2534
1335
2901
1316
999
250
2471
5104
1180
6398
1785
1372
4136
764
1946
9101
2061
54287
Waliozaliwa Wafu
(Still Births)
Macerated
Fresh
323
208
869
433
151
101
573
383
444
276
205
238
239
203
196
139
224
132
135
147
495
455
530
396
175
106
1546
357
247
159
257
64
310
95
207
114
588
441
459
250
439
240
8612
4937
Waliozaliwa Hai Kisha
Wakafa
Saa < 24
Saa 24+
96
157
191
227
49
19
171
135
104
61
193
136
96
129
77
37
82
85
33
58
209
268
171
260
53
77
182
159
29
28
0
0
51
68
52
18
113
42
176
78
89
43
2217
2085
4.23b Taarifa ya Watoto waliozaliwa zaidi ya mmoja
Kati ya watoto waliozaliwa zaidi ya mmoja, waliozaliwa hai walikuwa 120,225 ambapo
watoto 753 walifariki kabla na baada ya masaa 24. Watoto waliozaliwa wafu ni 2,800.
(Jedwali na. 16).
Jedwali na. 16: Taarifa za watoto waliozaliwa zaidi ya mmoja
Mikoa
Waliozaliwa
Hai
Waliozaliwa Wafu (Still Births)
Macerated
Arusha
Dar es Salaam
Dodoma
Iringa
Kagera
Kilimanjaro
Kigoma
Lindi
Manyara
Mara
Mbeya
Morogoro
Mtwara
Mwanza
Pwani
Rukwa
Ruvuma
Singida
Shinyanga
Tabora
Tanga
Jumla Kitaifa
870
43285
547
1073
1852
491
1894
330
453
177
8577
833
322
9061
358
33711
632
381
1889
12407
1082
120,225
27
222
15
29
20
36
19
18
11
15
168
26
99
226
12
322
43
30
170
137
51
1696
Frsh
37
109
14
26
34
24
16
14
12
21
175
22
46
87
8
127
26
19
110
134
43
1104
Waliozaliwa Hai Kisha Wakafa (Still
Births)
Saa ≤24
Saa 24+
15
15
32
1
6
10
34
20
15
10
19
31
19
24
22
10
21
5
5
2
17
9
26
27
3
8
58
23
47
12
0
0
15
18
21
52
7
34
14
13
19
474
279
4.24 Idadi ya watoto chini ya mwaka mmoja waliopata chanjo
75
100.0
90.0
90.0
90.0
90.0
89.0
Mbeya
Rukwa
Shinyanga
Singida
Iringa
82.6
Ruvuma
Total 2004
Total 2003
Total 2002
Total 2001
91.3
84.2
79.0
83.0
Tabora
Kigoma
83.0
Mtwara
105.9
94.8
88.0
90.3
Tanga
91.0
92.4
Arusha
Manyara
92.7
Dar es Salaam
93.3
Pwani
Kagera
93.6
Lindi
20.0
0.0
97.0
95.0
94.0
94.0
Mtwara
Tabora
Iringa
Singida
Total 2003
Total 2002
Total 2001
Kilimanjaro
Manyara
90.1
114.9
100.0
90.5
92.0
92.4
95.0
Morogoro
Ruvuma
96.0
95.0
Dodoma
96.4
97.0
Pwani
Shinyanga
Arusha
98.0
97.0
Kigoma
98.5
Mara
Dar es Salaam
98.6
Rukwa
121.3
113.8
107.0
99.4
40.0
Kagera
60.0
100.0
80.0
Mbeya
Tanga
Mwanza
100.0
Lindi
94.0
0.0
Morogoro
20.0
95.0
40.0
94.1
60.0
Dodoma
80.0
Mwanza
95.9
109.0
Kiwango Katika Asilimia
120.0
Mara
120.0
Kilimanjaro
Kiwango Katika Asilimia
Kuhusu chanjo ya BCG mikoa ya Lindi (121.3%), Mwanza (113.8%), Tanga (107%)
iliongoza kwa viwango vikubwa kupita malengo. Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara, na Iringa
ilikuwa na viwango vidogo (90.5 – 94%). (Mchoro na. 36).
Mchoro 36: Kiwango cha Chanjo ya BCG
140.0
Mikoa na Taifa
Kwa chanjo ya DPT3 mkoa wa Kilimanjaro ulivuka lengo ambapo kiwango kilikuwa 109%,
wakati mikoa ya Kigoma, Ruvuma, Tabora na Mtwara ilikuwa na viwango vya chini (79 –
83%). (Mchoro na. 37).
Mchoro 37: Kiwango cha Chanjo ya DPT3
Mik oa na Taifa
76
Kwa chanjo ya Polio mikoa ya Kilimanjaro, Lindi na Mwanza iliongoza kwa kuvuka
malengo kwa kuwa na viwango vikubwa (104 – 109.8%), wakati mikoa ya Mtwara , Tabora,
Pwani na Kigoma ilikuwa na viwango vya chini (83 – 85.6%). (Mchoro na. 38).
108.5
93.1
88.0
85.0
83.0
85.6
88.0
90.6
89.1
Mbeya
85.6
91.0
Shinyanga
Dar es Salaam
88.0
92.0
92.0
Rukwa
92.2
93.8
93.0
Manyara
94.0
Tanga
Kagera
96.9
95.0
97.1
Mara
80.0
60.0
49.0
Kiwango Katika Asilimia
100.0
Ruvuma
106.7
104.0
120.0
109.8
Mchoro 38: Kiwango cha Chanjo ya Polio3
40.0
20.0
Total 2004
Total 2003
Total 2002
Total 2001
Mtwara
Pwani
Tabora
Kigoma
Iringa
Singgida
Arusha
Morogoro
Dodoma
Mwanza
Lindi
Kilimanjaro
0.0
Mik oa na Taifa
Kuhusu chanjo ya Surua mikoa iliyoongoza kwa kuvuka malengo ni Lindi, Tanga, Mwanza
na Kilimanjaro (109 – 116.8%), wakati mikoa iliyokuwa na viwango vidogo ni Mtwara,
Tabora na Pwani (78.4 – 87.8%). (Mchoro na. 39).
95.2
105.1
86.0
88.1
78.4
87.8
84.0
88.0
88.0
88.0
Mbeya
89.0
Iringa
Arusha
90.0
Manyara
88.8
90.1
Kagera
91.0
93.0
95.9
Mara
94.0
96.0
80.0
60.0
40.0
20.0
Total 2004
Total 2003
Total 2002
Total 2001
Mtwara
Pwani
Tabora
Shinyanga
Kigoma
Singida
Morogoro
Dom
DSM
Kilimanjaro
Mwanza
Lindi
0.0
Tanga
Kiwango Katika Asilimia
100.0
Rukwa
109.9
96.0
113.9
114.0
120.0
116.8
Mchoro 39: Kiwango cha Chanjo ya Surua
Mikoa na Taifa
77
4.25 Chanjo ya TT2+ kwa akinamama wajawazito
97.3
61.0
62.0
78.8
95.9
90.6
92.0
88.4
Iringa
Kagera
85.3
86.0
80.6
85.1
80.0
78.4
78.5
77.0
78.4
74.0
73.4
66.7
55.0
70.0
60.0
50.0
40.0
30.0
26.1
Kiwango Katika Asilimia
80.0
74.7
90.0
92.0
Mchoro 40: Kiwango cha Chanjo ya TT2+
100.0
97.5
Mikoa ya Mwanza na Dar es Salaam iliongoza kwa Kiwango cha chanjo ya TT2+ kwa kuwa
na viwango vikubwa (95.9 – 97.5) wakati mkoa uliokuwa na kiwango cha chini kabisa ni
Pwani (26.1%). (Mchoro na. 40).
20.0
10.0
Total 2004
Total 2003
Total 2002
Total 2001
Mwanza
Mara
Dar ea Salaam
Dodoma
Singida
Tanga
Lindi
Morogoro
Shinyanga
Mtwara
Ruvuma
Arusha
Kilimanjaro
Rukwa
Manyara
Mbeya
Kigoma
Pwani
Tabora
0.0
Mikoa na Taifa
4.26 Wateja wa uzazi wa mpango wanaoendelea na Huduma
Mkoa wa Tanga unaongoza kwa kuwa na akina mama wengi wanaoendelea na uzazi wa
mpango (60.5%) ukifuatiwa na Mbeya. Mikoa yenye viwango vya chini ni Kagera (15.4%)
na Mtwara (16.6%). Kitaifa akinamama wanaoendelea na uzazi wa mpango ni 36.9%.
(Mchoro na. 41).
Mchoro 41: Mama Wanaoendelea na Uzazi wa Mpango
65.5
Tanga
65.0
Mbe ya
54.6
Ru vu ma
Dar e a S al aam
53.7
48.0
Ki li manjaro
44.0
Dodoma
43.0
42.0
Iri nga
Mikoa na Taifa
Arusha
Morogoro
40.0
Si n gida
36.0
34.8
Mara
31.0
Tabora
Pwan i
30.5
27.8
Mwanz a
Li n di
25.4
24.0
Man yara
Ki goma
21.1
S hi n yanga
18.6
Mtwara
16.6
Kage ra
15.4
36.9
Jumla Kitai fa,2004
0.0
10.0
20.0
30.0
40.0
50.0
60.0
70.0
Kiwango katika Asilimia
78
Mkoa wa Rukwa unaongoza kwa kuwa na wateja wengi wapya wa uzazi wa mpango (28%)
ukifuatiwa na mikoa ya Mara na Dar es Salaam (22.8%) kila mkoa. Mikoa yenye kiwango
cha chini kabisa ni Manyara (5.2%) na Shinyanga (7.4%). Kitaifa wateja wapya wa uzazi wa
mpango ni (15.7%). (Mchoro na. 42).
Mchoro na. 42: Kiwango cha Wateja Wapya wa Uzazi wa Mpango
28.0
Rukwa
Mara
22.8
Dar e a Sal aam
22.8
22.0
Dodoma
20.0
Mtwara
18.0
Tabora
17.4
17.1
Mikoa na Taifa
Ruvuma
Li ndi
15.6
Mbe ya
14.4
Tanga
14.0
13.4
Arusha
Mwanz a
Si ngida
13.0
13.0
Morogoro
Kigoma
12.3
10.6
Kage ra
10.1
Ki l imanjaro
8.0
Iri nga
Shi nyanga
7.4
5.2
Manyara
15.7
Juml a Ki taifa,2004
0.0
5.0
10.0
15.0
20.0
25.0
30.0
Kiwango katika silimia
4.27 Watoto waliopata matone ya Vitamin A
Jumla ya watoto 2,277,173 wa umri wa miezi 6-11, walipata matone ya Vitamin A ambao ni
asilimia 86.3 ya watoto wa umri huo. Mkoa wa Morogoro unaongoza kwa watoto wa umri wa
miezi 6 – 11 waliopata matone ya Vitamini A (125%). Mkoa wa Manyara ulikuwa na
kiwango cha chini (11%). Kitaifa asilimia 86.3 walipata matone ya Vitamin A. (Mchoro
na.43).
79
Mchoro 43: Watoto Umri Miezi 6 - 11 Waliopata Matone ya Vitamin A
125.0
Morogoro
Kigoma
123.2
Pwani
119.7
Mara
113.0
Tanga
110.0
Mtwara
102.0
Mwanza
97.6
Rukwa
96.3
Mikoa na Taifa
Kilimanjaro
93.2
Lindi
91.7
Arus ha
91.3
Ruvuma
87.4
86.0
Dodoma
Mbeya
85.2
Tabora
81.0
Dar es Salaam
77.5
Shiinyanga
38.9
Kagera
33.3
Iringa
16.9
11.0
Manyara
86.3
Jumla Kitaifa, 2004
0.0
20.0
40.0
60.0
80.0
100.0
120.0
140.0
Viwango Katika Asilimia
Kwa watoto wa umri wa miaka 1 – 5 waliopata matone ya Vitamin A, kiwango cha Kitaifa
kilikuwa ni 91.5%. Mkoa wa Mtwara uliongoza (125%) na Manyara ulikuwa wa mwisho
(69%). (Mchoro na. 44).
Mchoro 44: Watoto Umri Miaka 1 - 5 Waliopata Matone ya Vitamin A
125.0
Mtwara
108.0
Tabora
Dodoma
100.0
98.2
Arus ha
Kagera
98.1
Kigoma
96.3
95.6
Shinyanga
Mwanza
93.1
92.1
Lindi
Mikoa na Taifa
Pwani
90.9
90.4
Kilimanjaro
Tanga
89.0
Mara
89.0
Ruvuma
88.5
Dar es Salaam
88.3
85.0
Morogoro
78.9
Mbeya
Iringa
78.7
Rukwa
77.2
Manyara
69.0
Jumla Kitaifa, 2001
26.0
Jumla Kitaifa, 2002
87.0
92.0
Jumla Kitaifa, 2003
91.5
Jumla Kitaifa, 2004
0.0
20.0
40.0
60.0
80.0
100.0
120.0
140.0
Viwango Katik a Asilimia
80
4.28 Kiwango cha Watoto wenye Utapiamlo Mkali
Jumla ya watoto 71,536 kati ya 2,121,767 waliopimwa walikuwa na Utapiamlo mkali sawa na
asilimia 3.8 ya kiwango Kitaifa. Mkoa wa Morogoro uliongoza kwa kiwango kikubwa cha
watoto wenye utapiamlo mkali (13.5%). Mikoa ya Iringa na Dodoma imekuwa na viwango
vya chini vya watoto wenye utapiamlo mkali (0.8% – 0.9%). (Mchoro na. 45).
Mchoro 45: Kiwango cha Utapiamlo Mkali
13.5
14.0
Asilimia
9.5
10.0
10.1
12.0
5.2
6.1
8.0
4.0
4.4
3.8
Tabora
2.2
2.2
2.0
2.0
2.0
1.8
1.7
1.1
1.1
0.8
0.9
2.0
1.3
2.4
1.6
2.4
3.3
4.0
Mtwara
3.8
6.0
Morogoro
Tanga
Lindi
Rukwa
Shinyanga
Kigoma
Ruvuma
Pwani
Dar es Salaam
Mbeya
Mara
Manyara
Mwanza
Singda
Arusha
Kagera
Kilimanjaro
Iringa
Dodoma
Jumla Kitaifa, 2001
Jumla Kitaifa, 2002
Jumla Kitaifa, 2003
Jumla Kitaifa, 2004
0.0
Mikoa na Taifa
4.29 Kiwango cha Kaya zenye vyoo vinavyokubalika na maji toka vyanzo salama
Kiwango cha Kaya zenye vyoo vinavyokubalika Kitaifa ni 64.8%. Mikoa iliyoongoza kwa
kuwa na vyoo vinavyokubalika ni Shinyanga, Dar es Salaam na Iringa (80 – 84.4%). Mikoa
iliyokuwa na viwango vya chini ni Tabora na Manyara (37 – 42%). (Mchoro na. 46).
Mchoro 46: Kiwango cha Kaya Zenye Vyoo Vinavyokubalika
83.4
Sh i nyanga
80.8
Dar e s Sal aam
80.0
Iri nga
77.3
Tanga
Dodom a
77.0
76.2
Arush a
Ruvum a
75.3
71.5
Kiwango Katika Asilimia
Mwanz a
69.0
Mbe ya
67.0
Si n gi da
66.2
Mtwara
65.1
Morogoro
63.7
Ki gom a
Li n di
62.7
62.0
Pwan i
61.6
Ru kwa
Ki l i m an jaro
55.8
54.0
Mara
42.0
Man yara
37.0
Tabora
63.0
Ju ml a Ki tai fa 2001
63.0
Ju ml a Ki tai fa, 2002
65.0
Ju ml a Ki tai fa, 2003
64.8
Ju ml a Ki tai fa, 2004
0.0
10.0
20.0
30.0
40.0
50.0
60.0
70.0
80.0
90.0
Mikoa na Taifa
81
Kuhusu Kaya zinazopata maji toka vyanzo salama, mikoa ya Dodoma, Rukwa na Arusha
inaongoza kwa viwango vya juu (62.8 – 84.2%). Kitaifa 53% ya Kaya hupata maji toka
vyanzo salama. Mikoa ya Kigoma, Mtwara na Manyara ina viwango vya chini (32.8 – 39%).
(Mchoro na. 47).
Mchoro 47: Kiwango cha Kaya Zenye Vyanzo Vya Maji Salaama
84.2
Kage ra
76.0
Dodoma
64.1
Ru k wa
Aru s h a
62.8
60.9
Ru vu ma
Pwan i
60.0
Tan ga
59.0
56.4
Kiwango Katika Asilimia
Iri n ga
54.3
Mwan z a
54.0
Mbe ya
53.0
Li n di
47.4
Mara
43.1
Ki l i m an jaro
S h i n yan ga
43.0
39.2
Morogoro
39.0
Tabora
Man yara
39.0
35.9
Mtwara
33.7
S i n gi da
32.8
Ki goma
51.0
Ju ml a Ki tai fa, 2001
52.0
Ju ml a Ki tai fa, 2002
54.0
Ju ml a Ki tai fa, 2003
53.0
Ju ml a Ki tai fa, 2004
0.0
10.0
20.0
30.0
40.0
50.0
60.0
70.0
80.0
90.0
Mikoa na Taifa
4.30 Mapato na vyanzo vyake
Mikoa mingi imetoa taarifa ya mapato na vyanzo vyake ikilinganishwa na miaka iliyopita.
Kwa mwaka 2004 fedha nyingi zilikuwa za Serekali (OC 34% na PE 33%) zikifuatiwa na za
Wahisani (Busket Fund) 23%. Mapato kutoka Halmashauri yalikuwa kidogo (1%). (Mchoro
na. 48)).
Mchoro 48: Vyanzo Mbalimbali vya Mapato, 2004
Cost Sharing
4%
Vyanz o vingine
10%
C ommunity He alth Fund
1%
Fe dha z a Halmashauri
1%
Capitaliz ation
2%
PE
34%
Baske t Funds
23%
OC
23%
Miradi ya Mae nde le o
2%
82
Mkoa ulioongoza kwa mapato ulikuwa ni Morogoro ukifuatiwa na Iringa, Mwanza, Arusha
na Mbeya. Mikoa iliyokuwa na mapato ya chini zaidi ni Dodoma, Mtwara, Kigoma, Ruvuma
na Lindi. (Mchoro na. 49).
Mchoro 49: Jumla ya Mapato Kwa Kila Mkoa, 2004
14,000,000,000
12,000,000,000
10,000,000,000
Tsh
8,000,000,000
6,000,000,000
4,000,000,000
2,000,000,000
Morogoro
Iringa
Mwanza
Arusha
Mbeya
DSM
Manyara
Tabora
Pwani
Mara
Shinyanga
Kilima
Tanga
Rukwa
Kagera
Lindi
Ruvuma
Kigoma
Mtwara
Dom
-
Mikoa
4.31 Fedha zilizotumika
Fedha nyingi zilizotumika ziliwiana na upatikanaji wake kutoka vyanzo mbalimbali ambapo
matumizi makubwa yalikuwa kwa ajili ya PE (32.5%). (Mchoro na. 50).
Mchoro 50: Vyanzo vya Fedha Zilizotumika, 2004
Fe dha z a Mae nde l e o
1.7%
Fe dha z a Hal mashauri
0.6%
Vyanz o vi ngi ne
6.4%
C ost Shari ng
3.5%
C ommuni ty He al th Fund
0.4%
C api tali z ati on
12.6%
Baske t Funds
21.3%
PE*
32.5%
OC
21.0%
83
Mkoa wa Morogoro umeongoza kwa kutumia fedha nyingi, ukifuatiwa na mikoa ya Iringa na
Mwanza. Mikoa iliyotumia fedha kidogo zaidi ni Dodoma, Mwanza, Kigoma na Ruvuma.
(Mchoro na 51).
Mchoro 51: Kiasi cha Fedha kilichotumika, 2004
9,000,000,000
8,000,000,000
7,000,000,000
6,000,000,000
Tsh
5,000,000,000
4,000,000,000
3,000,000,000
2,000,000,000
1,000,000,000
Morogoro
Iringa
Mbeya
Arusha
Mwanza
Mara
Tabora
Lindi
Pwani
Kilimanjaro
Manyara
Rukwa
Dodoma
Mtwara
Kagera
-
Mikoa
84
5.0 RIPOTI ZA HOSPITALI ZA RUFAA
5.1 Utangulizi
Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC)
Hospitali ya Rufaa Bugando (Bugando Medical Centre) iliyopo Jijini Mwanza inatoa huduma
za kirufaa kwa Kanda ya Ziwa. Inaendeshwa kwa makubaliano ya uendeshaji wa pamoja kati
ya Serikali na Kanisa chini ya Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki Tanzania ikiwa na Bodi ya
Wadhamini na Kamati ya Utendaji.
Utekelezaji wa maboresho ya huduma za afya uliendelea katika Hospitali ya Bugando katika
mwaka wa 2004. Maboresho hayo yalilenga Ukarabati, Utoaji mafunzo, Utoaji wa Dawa za
Kupunguza Makali ya UKIMWI (ARVs). Ujenzi wa Kituo cha Kanda cha kuhifadhi Damu
salama (Zonal Blood Bank) pamoja na Huduma ya Kutembelea Hospitali (Outreach Services)
Hospitali hii imefanya ukarabati wa ghorofa 5 za Jengo Kuu la Hospitali kwenye maeneo
yanayotumika kwa kutoa huduma kwa wagonjwa. Ukarabati huo uliojumuisha Wodi ya
Wazazi na Chumba cha upasuaji wa Wazazi uligharimu Tshs.142,153,250/= kwa msaada
kutoka Japan/Tanzania Food Counterpart Fund
Mafunzo mahali pa kazi yalitolewa kwa wafanyakazi wa hospitali wa vitengo mbalimbali ili
kuboresha huduma zinazotolewa. Aidha, wafanyakazi 45 walipelekwa kwenye mafunzo ya
kujiendeleza vyuoni. Ili kuinua kiwango cha elimu kwa wafanyakazi wasio na elimu ya
sekondari hospitali imeanzisha masomo ya sekondari kwa Wauguzi na watumishi wengine ili
waweze kujipatia elimu hiyo kwenye sehemu yao ya kazi.
Hospitali ya Rufaa ya Bugando ilianza kutoa Dawa za Kupunguza makali ya UKIMWI
mwezi Oktoba 2004. Wananchi wengi wamejitokeza na zoezi linaendelea vizuri. Wagonjwa
1,000 wanahudhuria kliniki kati ya hao 300 ndio wapo kwenye matibabu ya dawa za
kupunguza makali ya UKIMWI. Aidha, huduma za kuzuia maambukizi ya UKIMWI toka
kwa mama kwenda kwa mtoto nazo zinaendelea kupanuka.
Hospitali ya Rufaa ya Bugando imeendelea kukabiliwa na tatizo la upungufu mkubwa wa
watumishi, hasa Madaktari. Kati ya jumla ya madaktari na madaktari bingwa 99 wanaotakiwa
kuwepo, hospitali ina madaktari bingwa na madaktari wa kawaida 49 tu. Aidha, hospitali kwa
sasa haina madaktari bingwa wa watoto na magonjwa ya akili.
Hospitali ya Bugando imeanzisha mpango maalum kwa kuishirikiana na AMREF wa
kupeleka madaktari bingwa kwenye hospitali za Mikoa ya Kagera, Kigoma, Shinyanga na
Mwanza kila mwezi ili kutoa huduma za ubingwa.
Katika eneo la hospitali pia vipo vyuo vya afya 6 na Chuo Kikuu Kishiriki cha Tiba chenye
wanafunzi 35 (mwaka wa kwanza 25 na mwaka wa pili 10).
Matarajio ya Hospitali ya Rufaa Bugando mwaka 2005/2006
Katika mwaka 2005/06 Hospitali ya Rufaa Bugando itaendelea na juhudi zake za kuboresha
huduma kwa kuendelea na ukarabati wa jengo la hospitali, kuimarisha utoaji wa huduma kwa
wagonjwa na kuendelea na juhudi za kutafuta Madaktari Bingwa na wa kawaida, hasa katika
fani ambazo hazina wataalam hao na zenye upungufu mkubwa.
85
Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC)
Hospitali hii ya rufaa inamilikiwa na shirika la Msamaria Mwema na inaendeshwa kwa
kushirikiana na Serekali ya Tanzania. Mwaka 2004/05 hospitali ya KCMC ilikamilisha
awamu ya kwanza ya upanuzi wa jengo la Idara ya Wagonjwa wa Dharura. Jengo hili pia
linatumika kwa huduma za wagonjwa wa nje, vipimo vya ubongo, mionzi, Famasia, kutunza
kumbukumbu za wagonjwa na huduma ya afya kazini. Pia Jengo la Bio-Techonolojia kwa
ajili ya utafiti wa Malaria lilizinduliwa.
Aidha hospitali imepokea vifaa vipya kwa ajili ya Kitengo cha Endoscopy vyenye thamani ya
shilingi milioni 300 pamoja na kununua mashine ya kufulia. Katika kipindi hicho hospitali
ilianza uzalishaji wa hewa ya oxygen na hivyo kuondokana na gharama za ununuzi wa hewa
hiyo na ina uwezo wa kutoa huduma kwa hospitali za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro,
Manyara na Tanga kwa malipo.
Hospitali ya KCMC ilifanya upasuaji wa kwanza wa wagonjwa wa moyo 13. Upasuaji huo
ulifanywa na madaktari wa hospitali hiyo kwa kushirikiana na madaktari kutoka Florida
Merekani.
Mwaka 2004/05, mafunzo ya uganga yaliendelea kuongezeka katika Chuo Kikuu cha Tiba
(KCMC College) kama ifuatavyo, mwaka wa kwanza wanafunzi 38, wa pili 27, wa tatu 24,
wa nne 26 na wa tano 15. Pia kumekuwepo na ongezeka la madaktari wanaochukua mafunzo
ya ubingwa hadi kufikia 87.
Matarajio ya Hospitali ya KCMC mwaka 2005/2006
Mwaka 2005/06, hospitali ya KCMC inatarajia kuwapeleka madaktari wa upasuaji, nusu
kaputi na wauguzi kwenye mafunzo ya muda mfupi ili kupata taaluma zaidi ya upasuaji wa
moyo. Kwa kushirikiana na Harvad University Merekani, CIPRA/Duke University na
London School of Hygiene and Tropical Medicine, hospitali itaendelea na utafiti wa
magonjwa ya Malaria na UKIMWI.
Hospitali itaimarisha huduma za wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa
kuteua mratibu ambaye atahakikisha shughuli zote za mfuko zinaratibiwa. Aidha, itapanua
huduma kwa wagonjwa wa UKIMWI kufuatia kukamilika kwa majengo ya wagonjwa wa
nje.
Aidha, Chuo Kikuu cha KCMC kinatarajia kuongeza nafasi za masomo ya udaktari ili
kuongeza idadi yao hapa nchini kulingana na ufadhili wa Serekali.
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)
Hii ni hospitali pekee ya Taifa chini ya Wizara ya Afya yenye Bodi ya Wadhamini na
shughuli zake kusimamiwa na Mkurugenzi Mkuu Mtendaji. Majukumu ya hospitali hii ya
rufaa ni pamoja na kutoa huduma za tiba za ngazi ya ubingwa (tertiary care ) na kufanya
utafiti wa magonjwa.
86
Taarifa ya ujenzi na ukarabati wa majengo mbalimbali ulioanza mwaka 2003/2004 ni kama
ifuatavyo:
Ujenzi wa jengo la watoto bado unaendelea, awamu ya kwanza ya ghorofa tatu
umeshakamilika kwa kiasi kikubwa.
Sehemu zilizokamilika zimeshaanza kutumika kama maabara, chumba cha wagonjwa
mahututi, vyumba vya upasuaji, wodi za wagonjwa n.k. Wizara inafuatilia kibali cha
kuendelea na ujenzi kwa kutumia mkandarasi yule yule kutoka Central Tender Board
Mradi unaofadhiliwa na Benki ya Africa unaendelea vizuri ambapo jengo la Sewahaji
limeshakamilika na linatumika. Kazi imeanza kwenye jengo la Kibasila, jengo la upasuaji na
X-ray. Jengo la upasuaji katika kitengo cha akina mama litakamilika mwezi Mei na kuanza
kutumika mwezi Juni 2005.
Majengo mengine yaliyopo kwenye hatua za mwisho kukamilika ni pamoja na Karakana ya
matengenezo, banda la mashine za kuchomea taka, nyumba ya kuhifadhia maiti, vibanda vya
vituo vya umeme pamoja na majenereta. Njia za maji safi, maji taka, umeme na barabara zipo
kwenye hatua nzuri. Pamoja na ukarabati unaoendelea pia mashine 10 mpya za ufuaji,
mashine moja ya kutakasa vifaa na mashine ya kuchomea taka hatari zimefungwa na
zinafanya kazi.
Mradi unaofadhiliwa na Abbott Laboratories unahusu kukarabati maabara kuu, ujenzi wa
jengo jipya la mapokezi OPD na kuwekewa vifaa vipya vya kufanyia kazi pamoja na kujenga
ukuta kuzunguka eneo lote la Muhimbili. Mradi huu unatagemewa kukamilika mwezi Mei
2005.
Pamoja na hayo, mfadhili amegharamia ukarabati wa nyumba moja, jengo la usalama, paa la
jengo la ufuaji, vifaa vya ulinzi kama radio call, mtandao wa mawasiliano,
“Computerization” pamoja na ukarabati wa jengo la madaktari wanafunzi. Mategemeo ni
kuwa, mwaka huu jengo la utawala litakarabatiwa, mtambo wa simu utawekwa na ujenzi wa
jengo jipya la stoo ya kutunzia vifaa na madawa utaanza.
Ujenzi wa jengo la ushauri nasaha umegharimiwa na Serikali ya Tanzania, JICA, na CDC.
Jengo hili limeshakamilika na baadhi ya sehemu zimeanza kutumika.
Matarajio ya Hospitali ya Rufaa Muhimbili mwaka 2005/2006
Mwaka 2005/06 Hospitali ya taifa Muhimbili itaimarisha huduma za tiba kwa wananchi
ikiwa ni pamoja na wagonjwa wa UKIMWI kulingana na mpango wa Taifa wa kudhibiti
UKIMWI kwa kushirikiana na Centre for Disease Control (CDC) Merekani, Columbia
University na Abbott/Axios.
Ujenzi wa Jengo la wodi ya watoto utakamilishwa na baadhi ya vifaa vinavyohitajika
vitanunuliwa ili kuliwezesha jengo hilo kufanya kazi. Aidha, ukarabati wa jengo la Kibasila ,
upasuaji na X-ray utakamilika. Ukarabati wa majengo ya Mwaisela na Wazazi utaanza.
Utengenezaji wa njia za maji safi, maji taka, umeme na barabara utaendelezwa. Ukarabati wa
maabara kuu, ujenzi wa ukuta kuzunguka eneo la Muhimbili pamoja na jengo la mapokezi
kwa msaada wa Abbott Laboratorie utakamilika.
Pia hospitali inatarajia kuanza kutumia muundo mpya wa utumishi mwaka 2005/06.
87
Hospitali ya Rufaa Mbeya (MRH)
Hospitali hii ni hospitali ya rufaa chini ya Wizara ya Afya kwa Kanda ya Nyanda za Juu
Kusini.
Hospitali imegawanyika katika sehemu mbili, sehemu kuu ambayo ipo katikati ya mji wa
Mbeya na kitengo cha magonjwa ya Akina Mama (obstetric and gynaecology) kilichopo eneo
la Meta kilombeta 3 toka ilipo hospitali kuu. Pamoja na kutoa huduma za tiba za kirufaa,
hushughulika na kufundisha wataalam mbalimbali wa afya na kufanya tafiti mbalimbali ili
kubaini vyanzo vya matatizo. Hospitali ina Bodi ya Ushauri na inaendeshwa na Kamati ya
Uongozi wa Hospitali.
Mwaka wa fedha 2004/05 miradi ifuatayo ilitekelezwa:• Ujenzi wa wodi ya wagonjwa mahututi (ICU) ambayo inatarajia kugharimu Sh.
76,000,000/=
• Ujenzi wa uzio wa ukuta katika eneo la kijiji cha ukarabati wa wagonjwa wa akili
Uyole, kazi hiyo itafanywa kwa gharama ya Sh. 78,203,140/= • Ununuzi wa mitambo ya nguvu za jua (Solar Heating System) kwa ajili ya hospitali
ya Meta utagharimu Sh. 65,191,200
• Michoro kwa ajili ya Ujenzi wa hosteli ya madaktari walio katika mazoezi na
upanuzi wa jengo la maabara imekamilika na taratibu za kupata wakandarasi wa
kufanya kazi hizo zinaendelea kufanywa
• Ununuzi wa samani kwa ajili ya wodi ya wagonjwa mahututi unatekelezwa kupitia
MSD
• Ujenzi wa kituo cha mafunzo na matibabu ya wagonjwa wa UKIMWI na kufundishia
wafanyakazi wa afya katika masuala ya kuwahudumia wagonjwa wa UKIMWI
• Ujenzi wa jengo kwa ajili ya utafiti wa chanjo ya ugonjwa wa UKIMWI yaani
“Vaccine Trial Center”. Mradi huu umefadhiliwa na Serikali ya Ujerumani.
Matarajio ya Hospitali ya Mbeya Rufaa mwaka 2005/2006
Mwaka 2005/06 Hospitali ya Rufaa Mbeya imepanga kufanya yafuatayo:
• Kukamilisha ukarabati wa wodi za hospitali kuu
• Kukamilisha ujenzi wa hosteli ya Intern doctors
• Upanuzi wa maabara ya hospitali
• Kuanza ujenzi wa kituo cha mafunzo, utafiti wa chanjo na matibabu ya ugonjwa wa
UKIMWI
• Kuimarisha sehemu ya kuhifadhia kumbukumbu za wagonjwa
• Kuanza kutumia huduma kutoka sekta binafsi katika maeneo ya ulinzi, usafi wa nje
na ufuaji nguo.
88
5.2 Ripoti ya Huduma zilizotolewa hospitali za Rufaa mwaka 2004
5.2.1
Mahudhurio ya Nje (OPD)
Kwa mwaka 2004 mahudhurio ya nje (OPD) kwa kufuata umri yamekuwa ya idadi ndogo
kwa Hospitali ya Bugando ikilinganishwa na hospitali nyingine (MNH, Mbeya Rufaa na
KCMC). (Mchoro na. 1).
Mchoro 1: Mahudhurio ya nje (OPD) kwa kufuata umri
600000
536175
500000
400000
336661
263223
Idadi 300000
195512
200000
100221
72510
100000
90317
62658 69113
59675
30642
40928
6455
0
Total
Muhimbili
KCMC
Hospital
Miaka <5
Miaka 5+
Bugando
Mbeya
Total
Idara zilizoongoza kwa kupokea wagonjwa wengi wa OPD katika hospitali za Rufaa ni
Emergency Medicine (17%) ikifuatiwa na Oplthalmology (11%), Obstretrics (10%) na
General OPD (7%). (Mchoro na 2).
Mchoro 2: Idara zilizoongoza kwa kupokea wagonjwa wengi wa nje (OPD) katika Hospitali za Rufaa
18
17
16
14
11
10
10
6
5
4
4
4
4
4
3
3
3
2
2
2
Underfives
6
Urology
7
6
Neonatal
8
2
TB
Paediatrics
Orthopaedics
Ear Nose Throat (ENT)
Oncology
Mental Health (Psychiatry)
Internal Medicine
Dermatology
General Surgery
Physiotherapy
Obstetrics
General OPD Main
Ophthalmology
0
Emergency Medicine
Wagonjwa %
12
Idara
89
5.2.2 Wagonjwa Waliolazwa (IPD)
Jedwali namba 1 linaonyesha mahudhurio ya ndani (IPD) likijumuisha idadi ya vitanda,
wagonjwa waliolazwa, utumiaji wa vitanda, wastani wa mgonjwa kukaa hospitalini na kasi
ya vifo kwa idara katika hospitali za rufaa mwaka 2004. Hospitali ya MNH haikutoa
takwimu hizi.
Jedwali na. 1: Hali ya wodi na vitanda katika hospitali zote za rufaa nchini
No.
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
16
17
Wodi/Idara
Internal Medicine
Upasuaji
Watoto
Neonatal
Orthopaedic
Macho (Eye)
ENT
Dental
Psychiatry
Wazazi (Obstetrics)
Gynecology
Urology
Kifua kikuu (TB)
ICU
VVF
VIP Ward
Jumla 2004
Idadi ya
vitanda
476
410
358
191
99
147
47
7
152
460
161
94
81
53
50
11
Idadi
ya
waliolazwa kwa
mwaka
19338
12700
14767
12119
3407
4432
2128
486
2675
41333
8243
3082
354
643
247
107
Average Days of
stay in Hospitals
9
16
7
9
7
16
2
0
56
3
12
4
1
11
0
0
Bed occupancy
rate
63%
77%
53%
66%
77%
42%
29%
0%
37%
72%
51%
30%
17%
44%
0%
1%
Uwiano(%) wa
vifo kwa Idara
15%
6%
11%
18%
1%
0%
1%
0%
2%
3%
3%
5%
16%
31%
0%
0%
2,797
126,061
9
39%
113%
5.2.3 Magonjwa yaliyojitokeza kwa wingi kwa Mahudhurio ya Nje (OPD)
Mchoro na 3 unaonyesha magonjwa yaliyojitokeza kwa wingi kwa mahudhurio ya nje (OPD)
ni Malaria, Pneumonia, Diarrhoea Diseases, Anaemia, Hypertension na Dental Caries kwa
hospitali za Bugando na Mbeya Rufaa. KCMC ni Malaria, ARI, UTI na Hypertension. Kwa
Hospitali ya Taifa Muhimbili magonjwa yaliyoongoza ni Dental caries, Anaemia,
Hypertension, BPH, Disorders of the Ear na UTI.
90
M choro 3: M agonjw a yaliyojitok e za k w a w ingi k w a m ahudhurio ya nje (OPD) k atik a Hos pitali za Rufaa
M w ak a 2004
45
40
35
30
25
Idadi %
20
15
10
TB
HIV/AIDS
Anaemia
Fractures
UTI
Hypertension
Diarrhoeal Diseases
ARI
Malaria
Pneumonia
0
Dental Caries
5
Ugonjw a
Bugando
KCMC
MNH
Mbeya
Kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa mahudhurio ya OPD takwimu za magonjwa ya ARI
na Diarrhoeal Diseases hazikupatikana wakati wa kuandaa hizi takwimu kutokana na baadhi
ya kumbukumbu kutoonekana.
5.2.4 Magonjwa Kumi yaliyoongoza kwa Mahudhurio ya Nje (OPD)
Magonjwa yaliyoongoza kwa mahudhurio ya nje (OPD) kwa hospitali za rufaa bado ni
Malaria, Pneumonia, Anaemia, Kifua Kikuu, Intestinal Worms, na ARI. (Mchoro na. 4).
Mchoro 4: Magonjwa yaliyoongoza kwa mahudhurio ya nje (OPD)
50
45
40
35
30
Idadi % 25
20
15
10
5
Refractive Error
UTI
Fractures
Diarrheal Diseases
ARI
Intestinal Worms
Pulmonary
Tuberculosis
Anaemia
Pneumonia
Malaria
0
Magonjwa
91
5.2.5 Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa wa Ndani (IPD) kwa ujumla
Magonjwa yaliyojitokeza zaidi kwa wagonjwa wa ndani (IPD) kwa ujumla kwa hospitali zote
ni Labour pains, Malaria, Pneumonia, Fractures, HIV/AIDS, Anaemia na Hypertension.
(Mchoro na. 5).
Mchoro 5: Magonjwa yaliyoongoza kwa wagonjwa wa ndani (IPD)
35
30
25
20
Idadi %
15
`
10
5
Heart Failure
Diabetes Mellitus
Hypertension
Anaemia
PTB
HIV/AIDS
Fractures
Pneumonia
Labour pains
Malaria
0
Magonjwa
Bugando
KCMC
Muhimbili
Mbeya
5.2.6 Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa waliolazwa Idara ya “Internal Medicine”
Magonjwa yaliyojitokeza zaidi kwa wagonjwa waliolazwa Idara ya Internal Medicine ni
Malaria, Pneumonia, HIV/AIDS, na Hypertension. (Mchoro na. 6).
Mchoro 6: Magonjwa yaliyoongoza kwa kulazwa na vifo vingi idara ya Internal Medicine
7000
6086
6000
5000
idadi
4000
3000
2447
2439
2000
1404
1000
1193
792
481
336
154
1039
233
985
785
161
110
772
741
131
100
134
CCF
Anaemia
Malignancies
Diabetes
Diarrhoea Diseases
PTB
Hypertension
HIV/AIDS
Pneumonia
Malaria
0
Magonjwa
Idadi
Vifo
92
5.2.7 Magonjwa yaliyojitokeza kwa Wagonjwa waliolazwa Wodi ya Upasuaji
Magonjwa yaliyojitokeza zaidi kwa wagojwa waliolazwa wodi ya upasuaji ni Fractures
Injuries excluding fractures, dislocation, sprains and strains, Intestinal Obstruction, Hernias,
Peptic Ulcer, Abdominal Malignancy, na Chest Trauma. (Mchoro na. 7).
Mchoro 7: Magonjw a yaliyojitokeza kw a w ingi na vifo w odi za upasuaji
Fractures
Injury excluding fractures, dislocation, sprains and strains
Intestinal Obstruction
Hernias
Peptic Ulcer Disease
Idadi
Abdominal Malignancy
Portal Hypertention
BPH
Head injury
Goiter
Foreign body in the ENT
Malignacy of genital organs
0
100
200
300
400
500
600
700
800
900
1000
M agonjwa
Wagonjwa
Vifo
5.2.8 Huduma za Upasuaji
Kwa hospitali zote za Rufaa vyumba vyote vya upasuaji ni “Non dedicated” na idadi ya
upasuaji mkubwa na mdogo uliofanyika ni kama inavyoonekana katika Mchoro na. 8.
Mchoro 8: Idadi ya vyumba vya upasuaji na aina ya upasuaji iliyofanyika
9000
8109
8000
7285
7000
5640
6000
5151
5000
idadi
4000
2515
3000
1437
2000
14
Jumla ya upasuaji
9
Upasuaji Mdogo
5
Upasuaji Mkubwa
0
1076
529 629
Idadi ya vyumba vya
upasuaji
1000
Aina ya upasuaji
Bugando
KCMC
Muhimbili
Mbeya
93
Upasuaji mkubwa uliofanyika ulifanyika katika Idara za Obstetrics na Gynaecology (47%),
Orthopedic (16%), General Surgery (14%) VVF/RVF (4%) na Opthalmology (2%). (Mchoro
na. 9).
Mchoro 9: Upasuaji Mkubwa uliofanyika
Others
0%
VVF/RVF
4%
Ophthalmology
2%
General Surgery
14%
Plasti Surgery
0%
Neurology
0%
Paediatic Surgery
0%
Orthopaedic
16%
ENT
9%
Urology
8%
Obs and Gynnaecology
47%
Upasuaji mdogo uliofanyika ulikuwa Evacuation (20%), EUA (18%), Incision and Biopsy
(14%), Reduction and PoP (8%) na Excision (8%). (Mchoro na. 10).
Mchoro 10: Upasuaji mdogo uliofanyika
Bougnage
4%
Oesophagascopy
2%
Anal Dilation
1%
UWSD
5%
Evacuation
20%
Suprapubic Catheter
4%
Circumcision
4%
Foreign Body Removal
6%
EUA
18%
Screw and Pin removal
6%
Excision
8%
Reduction and PoP
8%
Insision and Biopsy
14%
94
5.2.9 Magonjwa ya Akina Mama (Gynaecology)
Magonjwa yaliyoongoza kwa magonjwa ya akina mama ni Pelvic Inflammatory Disease,
Infertility na Uterine Fibroid kwa hospitali za Bugando na Mbeya Rufaa. Magonjwa ya
Uterine fibroid, Carcinoma of the Cervix na Infertility yalioongoza kwa Hospitali ya KCMC.
Kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ni Malignant Neoplasm, Ectopic Pregnancy, Infertility na
Pelvic Inflammatory Disease. (Mchoro na. 11).
Mchoro 11: Magonjwa ya akina mama (gynaecology)
1600
1400
1200
1000
Idadi
800
600
400
Genital Prolapse
Ovarian Tumors
Carcinoma of the
Cervix
Adnexial Cyst
Infertility
Uterine Fibroid
0
Pelvic Inflammatory
Disease
200
Magonjwa
BUGANDO
KCMC
MNH
MBEYA
5.2.10 Sababu za kulazwa Mama Wajawazito
Sababu zilizoongoza katika kulazwa mama wajawazito ni Deliveries (89%), Abortions (6%),
Malaria in Pregnancy (1%) na Ectopic Pregnancy (1%). (Mchoro na. 12).
Mchoro 12: Sababu za kulazw a mama w ajaw azito
Pelivic Inflamatory disease
3%
Malaria in pregnancy
1%
Hyperemesis gravidarum
0%
Anaemia
0%
Ectopic pregnancy
1%
Abortions
6%
Deliveries
89%
Takwimu za Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa magonjwa ya Malaria in Pregnancy, Pelvic
Inflammatory Disease, na Ectopic Pregnancy hazikupatikana kwa kukosekana kwa
kumbukumbu wakati takwimu zinaandaliwa.
95
5.2.11 Kujifungua Mama Wajawazito
Kuhusu kujifungua mama wajawazito zaidi ya asilimia 99 ya wale walioripotiwa
walijifungulia hospitalini kwa hospitali zote. (Mchoro na. 13).
Mchoro 13: Kujifungua Mama wajawazito
TBAs
0%
BBAs
1%
Others (Taja)
0%
Hospitali
99%
Hospitali
BBAs
TBAs
Others (Taja)
5.2.12 Aina ya kujifungua Mama Wajawazito
Kuhusu aina ya kujifungua mama wajawazito, wengi wa akina mama walijifungua kwa njia
ya kawaida Spontaneous Vaginal Delivery ikifuatiwa na upasuaji (Caesarian Section) na
Vacuum Extraction (Mchoro na. 14).
Mchoro 14: Aina ya kujifungua mama w ajawazito
Forceps delivery
0%
Destructive procedures
0%
Breech extraction
2%
Others
0%
Vacuum extraction
7%
Caesarian section
24%
Spontaneous vaginal delivery
67%
Idadi ya akinamama waliojifungulia hospitali Bugando (5,451), KCMC (2,834), Muhimbili
(11,530) na Mbeya (6,792) hailingani na idadi ya aina ya kujifungua kwa hospitali zote
Bugando (6,989), KCMC (2,767), Muhimbili (11,414) na Mbeya (6,631). Hii ni kutokana na
baadhi ya kumbukumbu kutopatikana.
96
5.2.13 Matokeo ya kujifungua Mama Wajawazito
Matokeo ya kujifungua akina mama wajawazito ni kuwa, akina mama 18,470 walijifungua
kawaida na watoto 24,782 walizaliwa hai. Watoto 5,790 walikuwa na matatizo (Macerated
Still Birth, Fresh Still Birth, Pre-term Babies na Underweight ≤ 2.5 kg. (Mchoro na. 15).
Mchoro 15: Matoke o ya kujifungua mama w ajaw azito
12000
10000
Idadi
8000
6000
4000
2000
Ruptured Uterus
Under weight < 2.5
kg
Pre-term Babies
Fresh Still Birth
Macerated Still Birth
Normal Deliveries
Born Alive
0
Aina ya matoke o
BUGANDO
KCMC
MNH
MBEYA
5.2.14 Sababu za Vifo vya Mama Wajawazito
Tatizo la vifo vya akinamama wajawazito katika hospitali za rufaa bado ni kubwa kwa vile
katika kipindi cha mwaka 2004 pekee hospitali zimeripoti jumla ya akinamama 533 walifariki
kutokana na matatizo ya uzazi. Septicaemia iliongoza kwa 17%, PPH 15%, Pneuomonia
11%, Eclampsia 10% na HIV/AIDS 5% kama inavyoonyeshwa katika Mchoro na. 16.
Mchoro 16: Sababu za vifo mama wajawazito
18
17
15
16
14
12
11
10
10
Asilimia %
8
8
7
7
6
6
5
4
2
2
1
1
Others
2
Anaesthesis Accidents
2
Puerperal Sepsis
2
EPH Gestosis
2
Septic Abortion
3
2
Unsafe Abortion
Meningitis
Ruptured uterus
Pulmonary Oedema
HIV/AIDS
APH
Malaria
Obstructed Labour
Anaemia
Eclampsia
Pneumonia
PPH
Septicaemia
0
Magonjwa
Kuhusu idadi ya vifo vya akina mama wajawazito, hospitali ya Bugando inaongoza kwa idadi
kubwa. Sababu zilizoongoza kwa vifo vya akina mama wajawazito kwa hospitali zote ni
Pneumonia, PPH, Malaria, Anaemia, Septecaemia pamoja na HIV/AIDS.
97
5.2.15 Sababu za kulazwa na vifo wodi za watoto
Sababu zilizoongoza kwa kulazwa na vifo kwa watoto kwa hospitali zote ni Malaria,
Pneumonia, Diarrhoea, Malnutrition, PTB na Prematurity (Mchoro na. 17). Takwimu kutoka
hospitali ya Taifa Muhimbili hazina ripoti ya ugonjwa ya Diarrhoea kwa vile wagonjwa
hawapo na wodi 17 iliyokuwa ikitumiwa kwa ajili hiyo inatumika kwa wagonjwa wengine.
Mchoro 17: Sababu za kulazwa watoto wodi za watoto
PTB
1%
Septicaemia
2%
Birth Asphyxia
3%
Gastroenteritis
1%
ARC
1%
Dysentery
1%
Pre – maturity
3%
Malaria
35%
Malnutrition
11%
Paediatric AIDS
3%
Pneumonia
14%
Anaemia
13%
Acute Watery Diarrhoea
12%
5.2.16 Sababu ya Vifo vya Watoto wa umri chini ya mwaka mmoja
Takwimu zilizokusanywa mwaka 2004 zinaonyesha kuwa sababu zilizoongoza kwa vifo
vya watoto wa umri chini ya mwaka mmoja kwa hospitali zote ni:- Malaria,
Pneumonia, Diarrhoea, Anaemia Pediatric AIDS na Malnutrition. Hospitali ya Taifa
Muhimbili haikutoa takwimu kwa magonjwa ya Diarrhoea, Septicaemia, na Birth
Asyphyxia kwa vile kumbukumbu hazikupatikana. (Mchoro na. 18).
Mchoro 18: Vifo vya watoto chini ya mwaka mmoja
25
15
10
5
Congenital
Abnormalities
Others (Taja)
ARC
Gastroenteritis
Birth Asphyxia
Septicaemia
PTB
Pre – maturity
Malnutrition
Padiatric AIDS
Anaemia
Acute Watery
Diarrhoea
Pneumonia
0
Malaria
Asilimia %
20
Magonjwa
98
5.2.17 Magonjwa ya Macho kwa waliolazwa
Jumla ya wagonjwa 3079 walilazwa kwa magonjwa ya macho. Ugonjwa wa Cataract
uliongoza kwa 70% ya wagonjwa wote ukifuatiwa na Trauma 12%, Trachoma 5%,
Retinal/Optic disease 3% na mengine kama inavyoonyeshwa katika Mchoro na. 19.
Mchoro 19; Waliolazwa magonjwa ya macho
Glaucoma
5%
Others
1%
Retinal/Optic Disease
2%
Corneal Ulcers
3%
Trachoma
0%
Corneal perforation
1%
Uveitis
1%
Endophthalmitis
1%
Hyphaema
1%
Orbital Cellulitis
1%
Malignancy
2%
Cataract
70%
Trauma
12%
5.2.18 Magonjwa ya Akili kwa waliolazwa
Jumla ya wagonjwa 1,095 waliripotiwa kulazwa kwa magonjwa ya akili na kati ya hao
Non organic psyhcosis walikuwa 40%, Alcohol and Schizophrenia 29%, Manic depressive
psychosis 23%, Drug abuse 17% na magonjwa mengine 4%. Hospitali ya KCMC haina wodi
ya wagonjwa wa akili. (Mchoro na. 20).
Mchoro 20: Magonjwa ya akili kwa waliolazwa
Other Mental and behauvioral
disorders
4%
Other unspecified disorders of
the nervous system
3%
Mental deficiency
0%
Schizophrenia
18%
Epilepsy
5%
Alcohol and drugs abuse
10%
Organic brain syndrome
2%
Acute psychosis
2%
Non organic psycosis
25%
Alcoholic psychosis
3%
Senile Psycosis
2%
Manic depresive psychosis
14%
Psychoactive substance use
disorders
10%
Depression
2%
99
5.2.19 Magonjwa ya Kinywa
Katika kipindi cha mwaka 2004 jumla ya wagonjwa 14,780 waliripotiwa kupata huduma ya
matibabu ya magonjwa ya kinywa na kati ya hao 72.8% walikuwa ni kwa ajili ya Dental
Caries, 14.8% Gingivitis and other mucosal conditions, 2.7% Trauma na Periodontal disease
pamoja na magonjwa mengine 7.2%. (Mchoro na. 21).
Mchoro 21: Magonjwa ya kinywa
Lymphadenopathy/Begign
growth
2%
Abscesses
1%
Trauma
7%
Cancer (malignancies)
3%
Post Extraction Bleedind
1%
Cysts
1%
Gingivitis & other mucosal
13%
Ameloblastoma
1%
Scalling
1%
Others
17%
Dental caries
46%
Periodontal disease
7%
5.2.20 Idara ya Vipimo vya Maabara
Idadi ya vipimo vya maabara kwa hospitali zote kwa idara ilikuwa kama inavyoonyeshwa
kwenye Jedwali na 2 na Mchoro na 22.
Jedwali na 2: Idara ya Vipimo vya Maabara
Clinical Chemistry
Hematology
Microbiology
Serology
Parasitology
Histopathology
BUGANDO
Idadi
Positve
27027
2972
41278
4226
1298
18736
3900
30320
5260
3051
0
KCMC
Idadi
Positve
21650
3069
27326
1528
6802
76
8486
1246
14842
46
7880
MNH
Idadi
Positve
30367
95200
3709
6160
8990
6681
MBEYA RUFAA
Idadi
Positve
5683
44651
19
2664
574
17134
70
18647
2849
4228
JUMLA
Idadi
84727
208455
17401
50516
72799
21840
Positive
6041
1547
1948
5216
8155
0
100
Mchoro na. 22 unaonyesha huduma mbalimbali zilizotolewa Idara ya Maabara katika
hospitali zote za rufaa.
Mchoro 22: Huduma mbalimbali zilizotolewa idara ya maabara
100000
90000
80000
70000
Idadi
60000
50000
40000
30000
20000
10000
0
Bugando (Idadi)
Bugando
(Posit ive)
KCM C (Idadi)
KCM C
(Posit ive)
M NH (Idadi)
M NH
(Posit ive)
M BEYA (Idadi)
M BEYA
(Posit ive)
Hospital
Clinical Chemistry
Hematology
Microbiology
Serology
Parasitology
Histopathology
5.2.21: Takwimu za Damu Salama
Hospitali ya Bugando ilioongoza katika huduma ya damu salama kwa kukusanya damu
(Blood Donoted) units 4,451 ambapo units 4,420 walioongezwa wagonjwa. (Mchoro na. 23).
Mchoro 23: Takwimu za Damu Salaama
16000
14000
12000
10000
idadi
8000
6000
4000
2000
0
Blood Donated (Units)
Blood Transfusion
(Units)
Blood Grouping (Units)
Blood Grouping
(Patients)
Cross Matching (Units)
huduma zilizotolewa
BUGANDO
KCMC
MNH
MBEYA
101
5.2.22: Takwimu za X-ray zilizopigwa
Idadi kubwa ya X-ray zilizopigwa kwa hospitali zote ni Chest, Spine, Skull, Extremities pamoja
na Abdomen. (Mchoro na. 24). Hospitali za Bugando, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na
Mbeya Rufaa hazikutoa idadi ya Contrast Studies zilizofanyika.
40
Barium Studies
Femor
Hip Joint
Shoulder
Legs
Others (Taja)
Abdomen
Pelvis
Contrast studies
Skull
Spine
Extremeties
Chest
0
20
Idadi %
60
80
Mchoro 24: Idadi ya X - ray zilizopigwa
Magonjwa
5.2.23 Tawimu za kipimo cha Ultrasound
Katika mwaka 2004 jumla ya vipimo 26,139 vya ultrasound vilifanyika katika hospitali za
rufaa. 51% ikiwa ni vya abdomen, 22% Obstetric, 13% Echocardiograms, 8% Pelivic na
vingine kama inavyoonyeshwa kwenye Mchoro na. 25.
Mchoro 25: Utra - sound zilizofanyika
Brest
0%
Thyroid
0%
Pelvic
8%
Urinary Tract
3%
All others
1%
Echocardiograms
13%
Musculoskeletal
1%
Eye
0%
Obstetrics
22%
Brain
1%
Abdomen
51%
102
5.2.24 Takwimu za kipimo cha CT Scan
Jumla ya vipimo mbalimbali 2915 vya CT- Scan vilivyofanyika kutoka kwa wagonjwa
mbalimbali waliokuja kuomba huduma hii ikiwa 72% ni Brain, 17% Spine, 7% Abdomen na
3% Chest kama inavyoonyeshwa katika Mchoro na.26.
Mchoro 26: CT - Scan zilizofanyika
Chest
3%
Others
1%
Hip
0%
Orbit
0%
Sinuses
0%
Pelvis
0%
Abdomen
7%
Spine
17%
`
Brain
72%
103
5.2.25 Takwimu za Watumishi
Kutokana na idadi ya watumishi waliopo kwenye hospitali za rufaa ikilinganishwa na ikama
pamoja na wale waliopo, upungufu mkubwa upo katika hospitali zote. Zaidi ni kwa kada za
Specialist Doctors (214), Medical Doctors (113), Trained Nurses/Midwives (168), Nursing
officers (678). Hospitali ya Taifa Muhimbili na KCMC pekee hazina Specialist Dental
Surgeons, wanahitajika 8 kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili na 2 kwa KCMC. (Jedwali na.
3).
Jedwali na. 3: Watumishi
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
Kada
Specialist Doctors
Medical Doctors
Specialist Dental Surgeons
Dental Surgeons
Clinical psychologist
Occupational therapist
Pharmacists
Chemists
Assistant Medical Officers (Anaest)
Assistant Dental Officers
Nursing Officers
Nurse Tutors
Trained Nurses/Nurse Midwives
Public Health Nurse B
Medical Laboratory Technicians
Radiographers
Dental Technicians
Optometry Technicians
Orthopedic Technicians
Physiotherapists
Chemical Laboratory Technicians
22
23
24
Health officers
Medical Recorders
25
26
27
Health Secretaries
Accountants
28
29
30
31
32
33
34
35
35
Pharmaceutical Technicians
Administrative Officers
All Others
Director of finance and Planning
Director of Adim. and HR
Social wellfare officers
Accounts clerks/Assistants
Health Attendants
Supplies officers
Supplies assistants
Others
Jumla 2004
Ikama
16
24
1
0
0
0
6
0
1
2
140
0
191
0
25
6
1
2
2
4
0
0
8
BUGANDO
Waliopo
Pungufu
15
35
21
27
1
0
0
1
0
6
0
1
6
0
0
0
1
7
1
1
140
0
0
0
181
10
0
0
23
2
4
4
1
0
2
0
2
0
4
0
0
0
0
1
5
8
Ikama
117
54
2
2
0
17
6
2
7
0
477
0
122
6
32
8
4
7
8
14
0
4
24
KCMC
Waliopo
53
22
0
3
1
7
5
0
6
1
184
3
138
0
15
8
1
3
7
8
0
0
17
Pungufu
65
32
2
0
0
10
1
2
1
0
293
0
0
6
17
0
3
4
1
6
0
4
7
Ikama
142
86
8
2
0
9
13
0
0
0
665
0
372
0
24
19
4
2
0
20
14
0
47
MNH
Waliopo
54
51
0
3
0
3
14
0
0
0
310
0
318
0
15
14
2
5
0
9
0
0
40
Pungufu
88
35
8
0
0
6
0
0
0
0
355
0
54
0
9
5
2
0
0
11
14
0
7
Ikama
43
45
2
2
1
1
4
1
0
2
125
0
231
4
25
8
2
6
6
6
2
1
20
MBEYA RUFAA
Waliopo
Pungufu
14
26
16
19
2
0
1
1
0
1
0
1
3
1
0
1
20
0
1
1
95
30
0
0
127
104
4
0
12
13
3
5
0
2
2
4
1
5
3
3
0
2
0
1
0
20
4
2
8
2
2
8
6
0
0
6
2
12
3
3
20
3
0
0
20
0
6
15
0
6
5
0
0
8
2
2
2
1
1
6
1
0
1
7
0
0
2
7
240
5
2
1
7
0
0
2
7
240
5
2
0
5
1
1
0
0
0
0
4
0
0
0
0
18
0
0
0
0
1
113
1
1
2
6
114
3
0
104
0
0
2
1
202
1
0
0
1
0
0
3
0
0
25
0
0
0
0
2
3
14
0
5
0
481
10
0
0
0
15
1
0
0
0
281
6
0
1
1
3
25
206
5
7
561
1323
4
0
0
0
33
0
0
0
0
286
2
0
1
1
5
28
220
2
12
465
1669
1490
885
617
273
314
31
5.2.26 Takwimu za Madaktari Bingwa
Kuna upungufu wa asilimia 55 ya Madaktari bingwa katika hospitali za rufaa ikilinganishwa
na ikama. Takwimu zilizopatikana mwaka 2004 zinaonyesha kuwa kuna madaktari bingwa
132 ikilinganishwa na ikama inayoonyesha madaktari bingwa 287 ambapo Hospitali ya Rufaa
Mbeya ina upungufu mkubwa kwa 66%, Muhimbili 55%, Bugando 63% na KCMC 32%.
(Mchoro na. 27).
104
Mchoro 27: Takwimu za Madaktari Bingwa
132
140
120
100
83
80
66
Idadi
60
49
48
47
42
31
40
21
19
23
16
20
0
Muhimbili
KCMC
Bugando
Mbeya
Hospital
Ikama
Waliopo
Upungufu
5.2.27 Taarifa ya Fedha za Kuendeshea Huduma
Kwa mwaka 2004/2005, Hospitali ya Taifa Muhimbili na Bugando zilipewa fedha kama
zilivyoidhinishwa. Upungufu ulikuwa mdogo sana ambapo hospitali ya Bugando ilipewa pungufu
kwa 0.5% na Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa 0.2%.
Hospitali ya Mbeya Rufaa ilipewa fedha Tshs 2,490,060,610 pungufu kwa 62% ikilinganishwa na
kiasi kilichoidhinishwa cha Tshs. 4,017,257,580. Hata hivyo hospitali ilipokea Tshs.
1,724,769,966, kati ya hizi zilitumika Tshs. 1,156,572,757 na kubaki kiasi cha Tshs. 568,197,209.
Hospitali ya KCMC ilipewa fedha Tshs. 2,756,548,318 ikiwa ni pungufu kwa 58.5 %
ikilinganishwa na kiasi kilichoidhinishwa cha Tshs.4,711,396,122.
Jumla ya fedha zilizoombwa, zilizopokelewa, upungufu na zilizotumika kwa hospitali zote za
rufaa ni kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali na. 4.
Jedwali na. 4: Taarifa ya fedha za kuendeshea Huduma
No.
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
Maelezo
Ruzuku toka Serikali Kuu (OC)
Ruzuku toka kwa Miradi ya Maendeleo
Ruzuku toka Busket Fund
Ruzuku ya dawa
Ruzuku ya vifaa vya Hospital
Ruzuku ya Reagents na vifaa vya Maabara
Ruzuku ya Dental Supplies
Uchangiaji huduma za Afya
Capitalization
Mishahara ya Wafanyakazi (PE)
Vyanzo vingine (Taja)
Medical equipment
Injection safety
Blood Bank
VAS
PMTCT
Axios
IPPM
CT Scan
Spec. Paed Lab
Others
Jumla 2004
Zilizoombwa
16840558262
3798000000
22000000
3455015380
96000000
48600000
12000000
150000000
45415000
25275644712
0
0
28560000
35700400
6422800
0
39340500
0
0
0
0
45141860932
Zilizopokelewa
8353934576
1114462413
148000000
2717852082
33115290
33531363
3794262
1047342030
39741850
19681204219
0
147520000
17000000
25000000
6422800
5053000
22032700
534337037
150556500
59515750
106558564
28648709517
Upungufu
2209173296
1883537587
0
139823461
62884709
15068636
8205737
33508237
26797800
153249133
0
0
11560000
10700400
0
0
17307800
0
0
0
0
2584038972
Zilizotumika
13550060785
1547264461
22000005
3272846080
0
0
0
287038225
42249305
25048935854
0
0
0
0
0
0
0
1068674079
301113005
119031505
213117133
41437825166
105
5.3 Mafanikio na Matatizo katika Hospitali za Rufaa
Hospitali ya Rufaa Bugando
Mafanikio
Hospitali imepewa nafasi 10 za Wauguzi kati ya 20, nafasi 4 za Madaktari kati ya 12
na nafasi 1 ya Madaktari Bingwa kati ya 6 zilizoombwa kwa mwaka 2004/2005.
Hospitali ilipewa fedha toka Serikalini karibu sawa na kiasi kilichoidhinishwa.
Matatizo
Hospitali inakabiliwa na upungufu wa watumishi hasa katika kada za:
• Anaesthesiologist
• Paediatrician
• Pathologist
• Ajali na Dharua na
• Magonjwa ya Akili
Upo upungufu wa vyumba vya upasuaji kwa shughuli maalum za upasuaji
Hospitali ya Rufaa Mbeya
Mafanikio
Hospitali ilipata fedha zote zilizoombwa kwa miradi ya Vit A Supplement toka
UNICEF, PMTCT toka Wizarani na fedha kutoka Axios Foundation zilizotumika
kukarabati jengo la OPD, kuendesha mafunzo ya kujikinga na maambukizi ya
UKIMWI kwa watumishi na ununuzi wa dawa za kupunguza makali ya UKIMWI.
Matatizo
•
•
•
•
•
Upo upungufu mkubwa wa watumishi katika kada za Uuguzi, Medical Records,
Madaktari Bingwa wa Urology, Pediatric Surgery, ENT, Cordiothoracic
Surgery, Plastic Surgery na Technologist
Reagents hazikupatikana kwa baadhi ya vipimo na ubora wa vipimo
haukuridhisha kutokana na uhaba wa Technologist
Hakuna CT Scan
Mashine za kufua nguo za wagonjwa ni chakavu
Hospitali ilipewa fedha pungufu kwa 62% kulingana na kiasi kilichoidhinishwa.
106
Hospitali ya Taifa Muhimbili
Mafanikio
•
•
•
•
Hospitali ilipewa fedha karibu sawa na kiasi kilichoidhinishwa
Miradi ya maendeleo ya ujenzi na ukarabati ipo katika hatua nzuri
Wagonjwa wanalipa mara moja kwa huduma zote ikiwa ni katika kupunguza
usumbufu
Nafasi za uongozi zimejazwa (Directors na Heads of Departments).
Matatizo
•
•
•
•
Hospitali inakabiliwa na upungufu mkubwa wa watumishi katika kada za
Specialist Doctors, Medical Doctors, Specialist Dental Surgeons, Nursing
Officers, Trained Nurses/Midwives, Medical Lab. Technicians na
Physiotherapists
Hospitali ilipewa fedha pungufu kwa 50% ikilinganishwa na kiasi
kilichoainishwa kwenye bajeti
Wagonjwa wote hawapewi chakula, ni wale tu wa rufaa waliopokelewa na
watoto.
Huduma zimekuwa zikitolewa kwa shida na kwa kiwango kidogo kutokana na
ujenzi/ukarabati unaoendelea.
107
6.0 RIPOTI ZA HOSPITALI ZA HUDUMA MAALUM
6.1 Hospitali ya Kibong’oto
Katika kipindi cha mwaka 2004, hospitali hii maalum kwa kutibu ugonjwa wa Kifua Kikuu
ilihudumia wagonjwa wa nje 5,518, kati ya hao 2,178 walitibiwa ugonjwa wa Kifua Kikuu
ambapo wenye umri chini ya miaka 5 walikuwa 174 na 2,004 wa umri wa miaka 5 na zaidi.
Kuhusu wagonjwa wanaolazwa, hospitali ina vitanda 300, 256 vya wagonjwa wa Kifua
Kikuu na 44 vya kawaida. Kasi ya kutumia kitanda ilikuwa 63% kwa Kifua Kikuu na 14%
kawaida. Wastani wa kulaza wagonjwa kwa mwezi ni wagonjwa 90 kwa Kifua Kikuu na 30
wa kawaida. Wastani wa siku kwa mgonjwa kukaa hospitali ulikuwa siku 60 kwa Kifua
Kikuu na siku 5 kwa wagonjwa wa kawaida. Kasi ya vifo kutokana na ugonjwa wa Kifua
Kikuu ilikuwa 14% na 15% kwa wagonjwa wa kawaida.
Ugonjwa wa Kifua Kikuu ulioongoza katika magonjwa kwa mahudhurio ya nje (OPD) 49%
ukifuatiwa na ARI (19%), na kwa wagonjwa wa ndani (IPD) Kifua Kikuu (59%) na ARI
(12%) vile vile.
Kuhusu huduma za maabara vipimo 39,462 vilifanyika, 35.2% ya vipimo hivyo ni Blood
slide ikifuatiwa na Clinical haematology 17.2%
Jumla ya X-rays 6,992 zilipigwa ambapo 50.4% zilikuwa za Kifua (Chest) ikifuatiwa na
Upper Limbs 26%.
Kwa mwaka 2004 hospitali ilikuwa na watumishi 183 kwa ujumla ikiwa na upungufu wa
watumishi 92 ikilinganishwa na ikama ambayo ni watumishi 275. Upungufu mkubwa
ulikuwa katika kada za Medical Doctors, Nurisng Officers, Trained Nurses/Midwives,
Radiographers pamoja na Sanitary Labourer
Katika kipindi hiki hospitali ilipokea fedha za kuendeshea huduma Tshs 860,411,848 zikiwa
ni pungufu kwa kiasi cha Tshs 1,707,405,632 ikilinganishwa na kiasi kilichoidhinishwa cha
Tshs 2,567,817,480.
Matarajio ya Hospitali ya Kibongoto mwaka 2005/2006
Mwaka 2005/06, hospitali itaendelea kutoa huduma za tiba kwa wagonjwa wa Kifua Kikuu
na wagonjwa wengine. Hospitali pia itajenga maabara ya kuchunguza vimelea sugu vya
Kifua Kikuu. Aidha, hospitali itakarabati mfumo wa maji taka, wodi tatu pamoja na nyumba
tatu za watumishi.
6.2 Taasisi ya Tiba ya Magonjwa ya Mifupa (MOI)
Kwa kipindi cha mwaka 2004 Taasisi hii inayoshughulikia magonjwa ya mifupa, majeruhi na
mishipa ya fahamu ilihudumia wagonjwa wa nje (OPD) 18669, wagonjwa 2050 wakiwa na
umri chini ya miaka 5 na 16,619 wa umri wa miaka 5 na zaidi.
Taasisi ina vitanda 167 ambapo wastani wa kulaza wagonjwa kwa mwezi ni wagonjwa 557
ikiliganishwa na 548 mwaka 2003 na kasi ya vifo vya wagonjwa ilikuwa 4% ikilinganishwa
na 4.7% mwaka 2003.
108
Ugonjwa ulioongoza kwa mahudhurio ya nje (OPD) ulikuwa Degenerative diseases kwa 65%
wakati ugonjwa uliongoza kwa wagonjwa wa ndani ni fractures of extremities (Upper and
lower limbs) 33% ukifuatiwa na soft tissue injury 21%.
Kuhusu huduma ya upasuaji mwaka 2004 idadi ya upasuaji uliofanyika ni 2011
ikilinganishwa na 1174 mwaka 2003.
Kati ya vipimo vya maabara 9440 vilifyofanyika 56% ni vya clinical haematology
vikifuatiwa na 20% vya clinical chemistry.
Taasisi kwa mwaka 2004 ilikusanya units za damu 102, wagonjwa 2069 waliongezewa damu,
wagonjwa 1623 walitambuliwa makundi yao ya damu (Blood Groups), units 3447 zilifanyiwa
mlinganisho wa makundi ya damu (Cros-matching) na wagonjwa 129 waliongezewa damu
zao wenyewe (autodonation).
Jumla ya X-rays 8386 zilipigwa, 56% kati ya hizi zilikuwa za extremities, 17% spine, 14%
chest na 15% pelvic.
Taasisi ilikuwa na jumla ya watumishi 386 ikiwa na upungufu wa watumishi 100 kulingana
na ikama ambayo ni watumishi 486. Upungufu mkubwa upo katika kada za Senior Doctors,
ICU Nurses, na Casuality Nurses.
Kuhusu fedha za kuendeshea huduma kwa mwaka 2004, kulikuwa na upungufu katika
kipengele kimoja tu cha Ruzuku toka Serikali Kuu (OC) kwa kiasi cha Tshs. 527,632,177
kutokana na Tshs 1,400,000,000 zilizoidhinishwa ambapo zilipokelewa Tshs 872,367,883.
Hapakuwa na upungufu kwa vyanzo vingine vya fedha kwa ujumla kwa vile Taasisi ilipokea
Tshs 4,506,237,410 ikilinganishwa na Tshs 3,761,454,192 zilizoidhinishwa.
Matarajio ya Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) mwaka 2005/2006
Katika mwaka wa 2005/06 Taasisi inatarajia kutoa huduma kwa wagonjwa wa nje wapatao
18,000 kati yao 8,460 (47%) ni wa kulipia na 9,540 ni wa kawaida. Katika kipindi hicho
hicho pia jumla ya wagonjwa 6,560 wanategemewa kupatiwa huduma ya wagonjwa wa
kulazwa, kati yao wagonjwa 760 (12%) watakuwa ni wa kulipia. Aidha, katika kipindi hicho
wagonjwa 2,319 watapatiwa huduma ya upasuaji wa mifupa, ubongo na mishipa ya fahamu
ambao kati yao wagonjwa 587 (25%) watakuwa wa kulipia.
Taasisi pia imedhamiria kutoa tiba ya mazoezi ya viungo kwa wagonjwa wa nje na wa ndani
kwa jumla ya mahudhurio (sessions) 24,200 na kutoa huduma ya viungo bandia 800, huduma
za maabara kwa wagonjwa wa nje na ndani wapatao 15,700, kupiga picha (X-ray) kwa
wagonjwa 20,200 na kuwahudumia wagonjwa mahututi 2,800.
6.3 Hospitali ya Mirembe
Hospitali hii hutuoa huduma za rufaa kwa wagonjwa wa magonjwa ya Akili. Katika mwaka
2004 iliweza kutoa huduma ya wagonjwa wa nje 33,067 na waliolazwa 3,010. Kati ya
wagonjwa waliolazwa wastani wa kukaa hospitali ulikuwa siku 4 kwa wagonjwa wa kawaida,
na siku 31 kwa wagonjwa wa magonjwa ya Akili. Idadi ya vifo vilivyotokea katika mwaka
2004 kwa kwa wagonjwa wa magonjwa ya akili ilikuwa asilima 4.4 ya idadi ya wagonjwa
waliolazwa.
109
Magonjwa ya Akili kumi yaliyoongoza kwa wagonjwa waliolazwa mwaka wa 2004 ni
Schizophrenia 61%, Epilepsy 229 (8.4)%, Organic brain syndrome 134 (6%), Acute
psychosis, Psychoactive substance use disorders 14% Depression, Alcoholic psychosis 2%
Manic-depressive psychosis, Mania 0.7%, Senile dementia 1.4%, Acute Psychosis 0.9%,
Mental deficiency 0.5% na Anxiety neurosis 0.4%
Hospitali ya Mirembe pia hupokea wagonjwa wenye magonjwa ya kawaida na katika mwaka
2004, magonjwa kumi yaliyojitokeza kwa mahudhulio ya nje (OPD) yalikuwa kama
ifuatavyo: Malaria (2,668), Urinary Tract Infections (312), Diarrhoea Diseases (302), ARI
(274), Hypertensions (242), Dental \Caries (208), Typhoid (661), Migrain Headache (227),
Rheumatism (226) na PID (219).
Taasisi ya Isanga
Taasisi ya Isanga hutoa huduma kwa wagonjwa wa Akili wahalifu pamoja na huduma za
kawaida kwa wagonjwa wa Akili. Jukumu pekee kwa Taasisi ya Isanga ni kuchunguza na
kutoa taarifa ya hali ya Afya ya Akili aliyokuwa nayo mgonjwa wakati wa kutenda
kosa/makosa yaliyomfanya achukuliwe hatua za kisheria.
Taasisi ya Isanga ina vituo viwili vya kukarabati mienendo ya wagonjwa wa akili ambavyo ni
Mirembe Annex na Kijiji cha Hombolo.
Katika mwaka 2004/2005 Taasisi ya Isanga imekarabati wodi tatu pamoja na ukarabati wa
mfumo wa maji taka Isanga.
Matarajio ya Hospitali ya Mirembe na Taasisi ya Isanga mwaka 2005/2006
Mwaka 2005/06 hospitali ya Mirembe na Taasisi ya Isanga imepanga kukarabati wodi tatu,
kufanya maandalizi ya kujenga kituo cha walioathirika kwa utumiaji wa pombe na madawa
ya kulevya, kukarabati nyumba za watumishi na kujenga wodi moja katika Taasisi ya Isanga.
6.4 Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI)
Taasisi hii maalum ya kutibu magonjwa ya Saratani kwa mwaka 2004 ilihudumia wagonjwa
wa nje (OPD) 6,962 ambapo wagonjwa 2,947 walikuwa wa Saratani ya shingo ya uzazi na
kati ya hao wagonjwa wapya walikuwa 992 na waliokuwa wakifuatiliwa ni 1,955. Wagonjwa
4,015 walikuwa na Saratani za aina nyingine ambapo 1,874 kati yao ni wapya na 2,141
walikuwa wakifuatiliwa.
Kuhusu wagonjwa waliolazwa, Taasisi ina vitanda 122 ambapo wagonjwa 2,312 walilazwa
mwaka 2004. Kasi ya kutumia vitanda ilikuwa 100% na wastani wa siku za kuwa hospitali
ilikuwa siku 50 kwa wodi za wanawake, 120 wodi ya watoto na 30 wodi ya wanaume. Jumla
ya vifo 187 vilitokea kutokana na magonjwa ya Saratani.
Saratani ya shingo ya uzazi iliongoza kwa 34.6% ikifuatiwa na Kaposis Sarcoma 14%,
Oesophagial carcinoma 8.1 %, Saratani ya matiti 8.0 % pamoja na Saratani za Head and Neck
7.8% kati ya magonjwa kumi yaliyooongoza kwa magonjwa ya nje (OPD).
Mwaka 2004 huduma za maabara zilizotolewa ni pamoja na vipimo vya Clinical Chemistry
8,212 ambapo positive vilikuwa 2,073, Haematology 42, positive 29, Serology 11,498,
positive 3,044 na Parasitology vipimo 4,961, positive vikiwa 1,477.
110
Idadi ya X-rays zilizopigwa zilikuwa 2,332 ambapo Chest iliongoza kwa 71.9% ikifuatiwa na
Barium meal/swallow 6.2%, Extremities 5.5% pamoja na Pelvis 4.9%.Vipimo vya Ultrsound
vilikuwa 4,067 ambapo kipimo cha Abdomen/pelvis kilioongoza kwa 52.1% kikifuatiwa na
Pelvis 18% pamoja na Abdomen 8.1%
Tiba ya mionzi ilitolewa kwa wagonjwa 30,045 ambapo Shingo ya uzazi ilioongoza katika
viungo vilivyotibiwa kwa 65%, ikifutiwa na Head and Neck 10.5% pamoja na Oesophagus
6.3%.
Kwa mwaka 2004, Taasisi ilikuwa na jumla ya watumishi 134 ikiwa na upungufu wa
watumishi 111 ikilinganishwa na ikama ambayo ni watumishi 218. Upungufu mkubwa upo
katika kada za Specialist Doctors ambapo 10 ndio wanahitajika, Medical Doctors 9, Nursing
Officers 64 na Radiographers 12.
Kuhusu Madaktari Bingwa, wapo madaktari 5 kukiwa na upungufu wa madaktari 14
ikilinganishwa na ikama ambayo ni 18. Upungufu upo zadi kwa kada za General
Surgeons/Onchologists 2, Physicians 5, Onchologists 3, Public Health Specialists 2 na
Pathologist 1.
Katika kipindi hiki Taasisi ilipewa fedha za kuendeshea huduma pungufu kwa 59.6% kwa
vile ilipokea Tshs 1,552,369,335.30 ikilinganishwa na fedha zlizoidhinishwa Tshs.
2,981,477,019.80.
Matarajio ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road mwaka 2005/2006
Katika mwaka 2005/2006, ili Taasisi ya Saratani iweze kuboresha huduma za wagonjwa wa
Saratani ambao wamekuwa wakiongezeka mwaka hadi mwaka, itajitahidi kupata mashine
mpya za matibabu, itakarabati na kuongeza wodi za wagonjwa katika awamu tatu ambapo
awamu ya kwanza imepanga kutekelezwa na itagharimu Shilingi za Kitanzania milioni mia
moja.
7.0 Ushirikiano na Nchi za Nje
Wizara ya Afya iliendelea kuwa na ushirikiano mzuri na wa karibu na nchi marafiki na
mashirika ya kimataifa yenye moyo wa kusaidia sekta ya afya katika utoaji wa huduma za
afya. Wizara ya Afya pia imepata ushirikiano mzuri na sekta nyingine hususan katika
kuandaa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania (MKUKUTA).
Wizara pia imeendelea kuadhimisha siku za Afya za Kitaifa na Kimataifa
Wizara inazishukuru nchi za Denmark, Uholanzi, Ujeremani, Uswisi na mashirika ya Benki
ya Dunia, UNFPA, Development Cooperation of Ireland (DCI) kwa kutoa misaada yao
kupitia Mfuko wa Pamoja wa Sekta ya Afya (Basket Funds) ambazo zimesaidia kwa kiasi
kikubwa kuboresha huduma za afya ikiwa ni pamoja na kuendelea kutoa fedha za ukarabati
wa zahanati na vituo vya afya nchini. Pia, nchi nyingine ni China, Cuba, Canada, Hispania,
India, Ireland, Italia, Japan, Korea ya Kusini, Merekani, Misri, Sweden, Ufaransa na
Uingereza ambazo zimeendelea kuisaidia sekta ya Afya.
111
Vilevile Wizara imeshirikiana na Mashirika ya Kimataifa yafuatayo ; Jumuia ya Nchi za
Ulaya (EU), Shirika la Kimataifa la Maendeleo (UNDP), Shirika la Afya Ulimwenguni
(WHO), Shirika la Kuhudumia Watoto (UNICEF), Shirika la Umoja wa Mataifa la Uzazi wa
Mpango (UNFPA), Shirika la Kimataifa la Kudhibiti UKIMWI (UNAIDS), Shirika la Umoja
wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Benki ya Dunia (WB), Benki ya Maendeleo
ya Afrika (ADB), Benki ya Nchi za Kiarabu kwa ajili ya Maendeleo ya Uchumi wa Nchi za
Afrika (BADEA) OPEC, na Madaktari Wasio na Mpaka (Medicin Sans Frontieres – MSF).
Mashirika mengine ni mashirika ya maendeleo ya nchi mbali mbali ambayo ni CIDA
(Canada), CUAMM (Italy), DANIDA (Denmark), DFID (Uingereza), GTZ (Ujeremani),
IDRC (Ujeremani), IRELAND AID, JICA (Japan), KfW (Ujeremani), MISERIOR
(Ujeremani), SAREC (Sweden), SDC (Uswisi), CDC (Marekani), SIDA (Sweden) na USAID
(Marekani).
Wafadhili wa miradi mbali mbali ni pamoja na International Eye Foundation, Merk, Pfizer,
Hellen Keller Foundation, International Trochoma Initiative, Axios International, US
President G.W. Bush Initiative, Bill Clinton Foundation, Bill and Melinda Gates Foundation,
Abbot Laboratories, London School of Hygine and Tropical Medicine, John Hopkins
University, Global Fund for HIV/AIDS, TB and Malaria na PMTCT-Plus University of
Columbia.
Mashirika yasiyo ya kiSerekali yalihusika katika kuchangia uimarishaji wa huduma za afya.
Mashirika hayo ni Aga Khan Foundation, AMREF, Lions Club, Rotary International,
BAKWATA, CCBRT, CCT, ELCT , TEC, Msalaba Mwekundu, Shree Hindu Mandal,
Hubert Kairuki Memorial Hospital, Regency Hospital, TPHA, German Leprosy Relief
Association, MEHATA na TANESA.
8.0 Shukrani
Kwa wafuatao kwa kushiriki katika utayarishaji wa Ripoti ya Huduma za Afya Tanzania
mwaka 2004. Dr. H.J. Mosha MDS, Ph D (CDS – Retired), Dr. E. Mung’ong’o MD, MPH
(Tiba MoH), Mr.J. Ihunyo DNM, ADHA, MHRH (Tiba MoH), Dr. A. Senkoro DDS, MPH
(Ag. CDS MoH), Dr. E. Silayo DDS, MPH (MNH), Dr. J. Masalu DDS, MPH, Ph.D
(MUCHS), Dr. A. Nyamihura DDS, MPH (Mafunzo ya Watumishi MoH), Ms. E. Bakari
ADHA, MHRH (Kinga MoH), Mr. C. Mpandana DNM, BscN, MHA (Ofisi ya
Mganga Mkuu Kiongozi), Mr. C. John Bsc. Statistics (PTMCT) na Mr. J. Rubona Bsc.
Statistics, Msc. MD, Msc Computer Science (Mipango MoH).
112